< Yeremia 9 >

1 Kama kichwa changu kingetoa maji, na macho yangu kuwa chemichemi ya machozi! kwa kuwa natamani kulia usiku na mchana kwa ajili yao waliokuwa binti za watu wangu ambao wameuawa.
О, да би била главата ми вода, Очите ми извор на сълзи, Та да плача денем и нощем За убитите на дъщерята на людете ми!
2 Kama mtu anganipatia mahali pa wasafiri nyikani ili nikae, mahali ambapo ningeenda kuwatelekeza watu wangu. Kama ningewaacha, kwa kuwa wote ni wazinzi, kundi la wenye hiana!
О, да би имало за мене в пустинята убежище за пътници, За да оставя людете си и да си отида от тях! Защото те всички са прелюбодейци, Сбирщина от вероломци.
3 asema BWANA, “Huupinda ulimi wao kana kwamba ni upinde ili wapate kuongea uongo, lakini si kwa uamiinifu wao kwamba wanapata nguvu duniani. Wanatoka uovu mmoja hadi mwiingine. Hawanijui mimi.”
Запъват езика си като че ли е лъкът им за лъжа, Засилват се на земята, но не за честността; Защото напредват от зло на зло, А Мене не познават, казва Господ.
4 Kila mmoja wenu, awe mlinzi wa jirani yake na usimwamini hata ndugu yako yeyote. kwa kuwa kila ndugu ni mwongo,
Пазете се всеки от ближния си, И нямайте доверие на никой брат; Защото всеки брат ще изневерява до край, И всеки ближен разпространява клевети.
5 kila jirani anatembea akilaghai. Kila mwanamume anakejeli jirani yake na haongei ukweli. Ndimi zao hufundisha vitu vya uongo. Hujidhofisha ili kusema uongo.
Всеки мами ближния си, Никога не говорят истината, Научиха езика си да говори лъжи, До уморяване вършат беззаконие.
6 Makazi yenu yako kati ya udanganyifu; kwa uongo wao wanakataa kunitambua mimi. Asema BWANA.”
Жилището ти е всред коварство; Чрез коварство те отказват да Ме познаят, казва Господ.
7 Kwa hiyo BWANA wa majeshi asema hivi, “Tazama, Niko tayari kuwajaribu. Nitawajaribu nione. Jinsi gani niwezavyo kufanya kwa binti za watu wangu?
Затова, така казва Господ на Силите: Ето, ще ги претопя, та ще ги опитам; Защото какво друго да направя поради дъщерята на людете Ми?
8 Ndimi zao ni mishale iliyochongoka; huongea vitu vya uasi. Kwa midomo yao wanatangaza amani pamoja na jirani zao, lakini katika mioyo yao wanadanganya wakati wa kusubri.
Езикът им е смъртоносна стрела, говори коварно; С устата си човек говори мирно на ближния си, Но в сърцето си поставя засада против него.
9 Kwa nini nisiwaadhibu kwa sababu ya mambo haya - asema BWANA na kwa nini nisijilipizie kisasi kwa taifa ambalo liko kama hili?
Няма ли да ги накажа затова? казва Господ; Душата Ми не ще ли въздаде на такъв народ?
10 Nitaimba wimbo wa kuomboleza na kulia kwa ajili ya milima, na wimbo wa mazishi utaimbwa nyikani. Kwa kuwa wameteketezwa kwa hiyo hakuna anAyeweza kupita kati kati yao. Hawatasikia sauti ya ng'ombe yeyote. Ndege wa angani na wanyama wote wamekimbia.
За планините ще подема плач и ридание, За пасбищата на степите жалеене, Защото така изпогоряха, щото няма кой да мине през тях, Нито се чува глас на стадо; От небесна птица до животно Побягнаха, отидоха.
11 Kwa hiyo nitaigeuza Yerusalemu kuwa vifusi vya ukiwa, maficho ya mbweha. Nitaifanya miji ya Yuda kuwa miji iliyoharibiwa isiyokaliwa na watu.
Аз ще обърна Ерусалим на грамади, жилище на чакали, И ще обърна на пустиня Юдовите градове, останали без жители.
12 Ni nani mwenye hekima anayeyaelewa haya? Je, kinywa cha BWANA kinatangaza nini kwake ili aweze kuyasema? Kwa nini nchi imepotea? Imeharibiwa kama jangwa, ambapo hakuna apitaye kati kati yake.
Кой е мъдър човек, та да може да разбере това, Комуто са говорили устата Господни, за да обясни Защо загина страната И е изгорена като пустиня, та да няма кой да минава през нея?
13 BWANA asema, “Ni kwa sababu wameziacha sheria zake ambazo niliwatengenezea, kwa sababu hawaisikilizi sauti yangu au kuishi kwa kuifuta.
И Господ казва: Понеже оставиха Моя закон, Който поставих пред тях, И не послушаха гласа Ми, Нито ходиха по него,
14 Ni kwa sababu wameishi kwa ushupavu wa mioyo yao na wamewafuata Mabaali kama baba zao walivyowafundisha kufanya.
Но ходиха по упоритостта на своето сърце, И подир ваалимите, както ги научиха бащите им,
15 Kwa hiyo BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, 'Tazama, Ninataka kuwafanya hawa watu wale pakanga na kunywa maji ya sumu.
Затова, така казва Господ на Силите, Израилевият Бог: Ето, Аз ще нахраня тия люде с пелин, И ще ги напоя с горчива вода;
16 Ndipo nitakapowasambaza kati ya mataifa ambayo hawajayajua, wao wala mababu zao. Nitatuma upanga kwa ajili yao mpaka nimewaangamiza wote kabisa.'”
Тоже ще ги разпръсна между народи, Които нито те, нито бащите им са познали; И ще изпратя нож подир тях, Догдето ги изтребя.
17 BWANA wa majeshi asema hivi, “Yafikirini haya: Waiteni waliaji; waje. Tumeni wanawake wenye taaluma ya kuomboleza, waje.
Така говори Господ на Силите: Размислете, и повикайте да дойдат оплаквачките, И изпратете за вещите жени, за да дойдат;
18 Waje haraka waimbe wimbo wa maombolezo juu yetu, ili macho yetu yatokwe na machozi na kope zetu zibubujikwe na maji.
И нека побързат да подемат ридание за нас, За да поронят очите ни сълзи, И клепачите ни да излеят вода.
19 Kwa kuwa sauti ya kilio imesikika Sayuni, 'Jinsi tulivyoharibiwa. Tumeaibishwa sana, kwa kuwa tumeitelekeza nchi tangu walIpoangusha nyumba zetu.'
Защото глас на ридание се чува от Сион, който казва: Как сме разорени! Много сме посрамени, защото оставихме земята, Понеже събориха жилищата ни.
20 Kwa hiyo ninyi wanawake, sikieni neno la BWANA; zingatieni ujumbe unaokuja toka kinywani mwake. Kisha wafundisheni binti zenu wimbo wa maombolezo, na kila mwanamke wa jirani wimbo wa kilio.
Обаче, слушайте, жени, словото Господно, И нека приеме ухото ви словото на устата Му; Научете дъщерите си на ридание, И всяка ближната си на плач.
21 Kwa kuwa vifo vimekuja kupitia dirishani; vinaelekea mahali petu. Vinawaharibu watoto kutoka nje na vijana kwenye viwanja vya miji.
Защото смъртта възлезе през прозорците ни, Влезе в палатите ни, За да изсече децата от улиците, Юношите от площадите.
22 Uyatangaze haya, 'Asema BWANA - mizoga ya wanaume itaanguka kama mavi kwenye mashamba na kama mabua baada ya mvunaji, na hapatakuwa na mtu wa kuyakusanya.'”
Речи: Така казва Господ. Човешки трупове ще паднат Като тор по лицето на нивата, И като ръкойката зад жетвар, Която никой няма да събере.
23 BWANA asema hivi, “Usimwache mtu mwenye busara ajivune kwa ajili ya hekima yake, au shujaa kwa sababu ya uwezo wake. Usimwache mtu tajiri ajivunie utajiri wake.
Така казва Господ: Мъдрият да не се хвали с мъдростта си, Силният да не се хвали със силата си. И богатият да не се хвали с богатството си;
24 Kwa kuwa kama mtu atajivunia chochote kile, acha iwe hivi, yeye awe na busra na kunijua mimi. Kwa kuwa mimi ni BWANA, atendaye katika agano la wema, haki, na hukumu duniani. Ni katika hili kwamba ninafurahia- asema BWANA.
Но който се хвали, нека се хвали с това, Гдето разбира и познава Мене, Че съм Господ, който извършвам милост, Правосъдие, и правда на земята; Понеже в това благоволя, казва Господ,
25 Tazama, siku zaja - asema BWANA wakati nitakapowaadhibu wote ambao hawajatahiriwa ambao wako hivyo hivyo katika miili yao.
Ето, идат дни, казва Господ, Когато Аз ще накажа Всичките обрязани заедно с необрязаните:
26 Nitaiadhibu Misri na Yuda, Edomu, watu wa Amoni, Moabu, na watu wote wanaonyoa denge. Kwani mataifa yote haya hayajatahiriwa, na nyumba yote ya Israeli ina moyo ambao haujatahiriwa.”
Египет, Юда, Едом, Амонците, Моав, И всички, които си стрижат издадените части на косата, Които живеят в пустинята; Защото всички тия народи са необрязани, А целият Израилев дом е с необрязано сърце.

< Yeremia 9 >