< Yeremia 9 >
1 Kama kichwa changu kingetoa maji, na macho yangu kuwa chemichemi ya machozi! kwa kuwa natamani kulia usiku na mchana kwa ajili yao waliokuwa binti za watu wangu ambao wameuawa.
Na dialuma da si hano amoga nabai ganumu da defea. Amola na si da si hano amoga nabale bubuga: mu da defea. Amai galea, na da eso amola gasia mae fisili, na fi dunu medole legei amo dawa: ma: ne dinanumu defele ba: mu.
2 Kama mtu anganipatia mahali pa wasafiri nyikani ili nikae, mahali ambapo ningeenda kuwatelekeza watu wangu. Kama ningewaacha, kwa kuwa wote ni wazinzi, kundi la wenye hiana!
Na da hafoga: i sogega wamoaligisu sogebi lamu hanai gala. Amoga, na da na fi dunu yolesili masunu da defea. Bai na fi dunu huluane da molole fa: no bobogesu hou hame dawa: Ilia huluane da hohonosu dunu.
3 asema BWANA, “Huupinda ulimi wao kana kwamba ni upinde ili wapate kuongea uongo, lakini si kwa uamiinifu wao kwamba wanapata nguvu duniani. Wanatoka uovu mmoja hadi mwiingine. Hawanijui mimi.”
Ilia da eso huluane ogogomusa: ouesala. Moloidafa hou hame be ogogosu hou fawane da amo soge ouligisa. Hina Gode da amane sia: sa, “Na fi dunu da wadela: i hou afae hamone, bu wadela: i hou eno hamonana. Ilia da Na da ilia Gode hame ilegesa.”
4 Kila mmoja wenu, awe mlinzi wa jirani yake na usimwamini hata ndugu yako yeyote. kwa kuwa kila ndugu ni mwongo,
Hohonosu hou da bagade. Amaiba: le, dunu huluane afae afae da ea sama amola ea yolali ilia hou dafawaneyale hame dawa: sa. Yolali fi huluane da Ya: igobe defele, ogogosu dawa: Amola dunu huluane da ea na: iyado ea hou baligiduwane sia: sa.
5 kila jirani anatembea akilaghai. Kila mwanamume anakejeli jirani yake na haongei ukweli. Ndimi zao hufundisha vitu vya uongo. Hujidhofisha ili kusema uongo.
6 Makazi yenu yako kati ya udanganyifu; kwa uongo wao wanakataa kunitambua mimi. Asema BWANA.”
Ilia da ilia sama dunu huluane ilima ogogosa. Amola ilia moloidafa sia: mu hame dawa: Ilia da ogogole sia: ma: ne, ilia gona: su noga: le olelesa, amola ilia wadela: i hou hamonana amo yolesimu ilia hame dawa: Ilia da nimi bagade fasu hou hamonana, amola ogogosu hou hamonana. Hina Gode da amane sia: sa, “Na fi dunu da Na higale yolesi dagoi.”
7 Kwa hiyo BWANA wa majeshi asema hivi, “Tazama, Niko tayari kuwajaribu. Nitawajaribu nione. Jinsi gani niwezavyo kufanya kwa binti za watu wangu?
Amaiba: le, Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa, “Na da Na fi dunu ouli adoba: su hou defele, ili adoba: mu. Bai Na fi dunu da wadela: i hou hamoi dagoi. Amaiba: le, Na da adoba: su hou fawane ilima hamomu.
8 Ndimi zao ni mishale iliyochongoka; huongea vitu vya uasi. Kwa midomo yao wanatangaza amani pamoja na jirani zao, lakini katika mioyo yao wanadanganya wakati wa kusubri.
Ilia gona: su da medole legesu dadi ganisi defele gala. Ilia da mae fisili, ogogolala. Dunu huluane da ea na: iyadoma asigi sia: sa. Be e da asigi hame - e da ea na: iyado hohonomusa: dawa:
9 Kwa nini nisiwaadhibu kwa sababu ya mambo haya - asema BWANA na kwa nini nisijilipizie kisasi kwa taifa ambalo liko kama hili?
Na da ilima se ima: bela: ? Na da ilia wadela: i hou hamoi, amoma dabe ima: bela: ? Dafawane! Na da se ilima imunu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
10 Nitaimba wimbo wa kuomboleza na kulia kwa ajili ya milima, na wimbo wa mazishi utaimbwa nyikani. Kwa kuwa wameteketezwa kwa hiyo hakuna anAyeweza kupita kati kati yao. Hawatasikia sauti ya ng'ombe yeyote. Ndege wa angani na wanyama wote wamekimbia.
Na (Yelemaia) da amane sia: i, “Na da dimu amola didigia: mu. Bai gisi da bioi dagoi amola goumi da wadela: lesi, amola amo sogega, dunu eno da hame ahoa. Wali ohe fi ilia sia: da hame naba amola sio fi amola sigua ohe huluane da hobea: i dagoi.”
11 Kwa hiyo nitaigeuza Yerusalemu kuwa vifusi vya ukiwa, maficho ya mbweha. Nitaifanya miji ya Yuda kuwa miji iliyoharibiwa isiyokaliwa na watu.
Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Yelusaleme mugululi, e da isu ligisisu bi defele ba: mu. Amo ganodini, sigua wa: me fawane da esalumu. Yuda moilai bai bagade huluane da hafoga: i wadela: i soge ba: mu amola amo ganodini, dunu da hamedafa esalumu.”
12 Ni nani mwenye hekima anayeyaelewa haya? Je, kinywa cha BWANA kinatangaza nini kwake ili aweze kuyasema? Kwa nini nchi imepotea? Imeharibiwa kama jangwa, ambapo hakuna apitaye kati kati yake.
Na da amane adole ba: i, “Hina Gode! Soge da abuliba: le hafoga: i amola wadela: lesi dagoiba: le, dunu huluane da amoga hame ahoa? Amo bai dawa: ma: ne, dunu huluane ilia asigi dawa: su da defele hame. Di da amo ea bai nowama olelebela: ? Dunu afae da eno dunuma alofele olelema: ne, Di da nowama adobela: ?”
13 BWANA asema, “Ni kwa sababu wameziacha sheria zake ambazo niliwatengenezea, kwa sababu hawaisikilizi sauti yangu au kuishi kwa kuifuta.
Hina Gode da amane bu adole i, “Na fi dunu da Na olelesu amo fisi dagoiba: le, amo hou da ilima doaga: i. Ilia da Na sia: nabawane hame hamosu.
14 Ni kwa sababu wameishi kwa ushupavu wa mioyo yao na wamewafuata Mabaali kama baba zao walivyowafundisha kufanya.
Be ilia dogo da ga: nasi hamone, ilia da ilia eda ilia olelesu defele, Ba: iele ogogosu loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadolalusu.
15 Kwa hiyo BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, 'Tazama, Ninataka kuwafanya hawa watu wale pakanga na kunywa maji ya sumu.
Amaiba: le nabima! Na, Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, Na da agoane hamomu. Na da Na fi ilima gamogai ha: i manu imunu, amola wadela: i medosu hano ili moma: ne imunu.
16 Ndipo nitakapowasambaza kati ya mataifa ambayo hawajayajua, wao wala mababu zao. Nitatuma upanga kwa ajili yao mpaka nimewaangamiza wote kabisa.'”
Ilia da fifi asi gala amo ilia amola ilia aowalalia da musa: hamedafa dawa: i, amo ganodini esaloma: ne, Na da ili afagogomu. Amola ili dafawanedafa wadela: lesima: ne, Na da dadi gagui wa: i gilisi ilima doagala: ma: ne asunasimu.”
17 BWANA wa majeshi asema hivi, “Yafikirini haya: Waiteni waliaji; waje. Tumeni wanawake wenye taaluma ya kuomboleza, waje.
Hina Gode Bagadedafa da amane sia: i, “Wali manebe hou dawa: ma! Didigia: su dawa: uda amo didigia: su gesami hea: lala, amo misa: ne sia: ma!
18 Waje haraka waimbe wimbo wa maombolezo juu yetu, ili macho yetu yatokwe na machozi na kope zetu zibubujikwe na maji.
Yuda dunu ilia da amane sia: i, “Ilia hedolo misini, ninima idigisa gesami hea: ma: ne sia: ma! Amasea, ninia si da si hanoga nabai amola ninia si abo dibi amoga si abo nanegai ba: mu.”
19 Kwa kuwa sauti ya kilio imesikika Sayuni, 'Jinsi tulivyoharibiwa. Tumeaibishwa sana, kwa kuwa tumeitelekeza nchi tangu walIpoangusha nyumba zetu.'
Saione sogega, didigia: su bagade nabima! “Ninia da wadela: lesi dagoi! Ninia da dafawanedafa gogosiasu nabi dagoi. Ninia soge yolesimu. Bai ninia diasu huluane da mugululi, wadela: lesi dagoi.”
20 Kwa hiyo ninyi wanawake, sikieni neno la BWANA; zingatieni ujumbe unaokuja toka kinywani mwake. Kisha wafundisheni binti zenu wimbo wa maombolezo, na kila mwanamke wa jirani wimbo wa kilio.
Na da amane sia: i, “Dilia uda! Hina Gode Ea sia: nabima amola noga: le dawa: digima! Dilia idiwi ilima da: i dioi didigia: su hou olelema! Amola dilia na: iyado ilima idigisa gesami hea: su olelema.
21 Kwa kuwa vifo vimekuja kupitia dirishani; vinaelekea mahali petu. Vinawaharibu watoto kutoka nje na vijana kwenye viwanja vya miji.
Bogosu da ninia fo misa: ne agenesi amoga golili misi amola ninia hina bagade ilia diasuga golili misi. Ninia mano moilai logoga esalebe amola ayeligi bidi lasu sogebi amoga esala, amoga bogosu da doaga: i dagoi.
22 Uyatangaze haya, 'Asema BWANA - mizoga ya wanaume itaanguka kama mavi kwenye mashamba na kama mabua baada ya mvunaji, na hapatakuwa na mtu wa kuyakusanya.'”
Bogoi da: i hodo da iga ligisisu defele soge huluane amoga afagogole dialebe. Bogoi da: i hodo da gagoma amo faisu dunu da udigili damuni, amo defele udigili dialebe ba: sa. Hina Gode da amo sia: dilima alofele sia: ma: ne nama sia: i dagoi.”
23 BWANA asema hivi, “Usimwache mtu mwenye busara ajivune kwa ajili ya hekima yake, au shujaa kwa sababu ya uwezo wake. Usimwache mtu tajiri ajivunie utajiri wake.
Hina Gode da amane sia: sa, “Bagade dawa: su dunu da ilia asigi dawa: su dawa: beba: le, hidale sia: mu da defea hame. Amola gasa bagade dunu ilia gasa dawa: beba: le, hidale sia: mu da defea hame. Amola bagade gagui dunu ilia muni amola liligi dawa: beba: le, hidale sia: mu da defea hame.
24 Kwa kuwa kama mtu atajivunia chochote kile, acha iwe hivi, yeye awe na busra na kunijua mimi. Kwa kuwa mimi ni BWANA, atendaye katika agano la wema, haki, na hukumu duniani. Ni katika hili kwamba ninafurahia- asema BWANA.
Nowa da hidale sia: musa: dawa: sea, e da Na dawa: amola Na hou dawa: amo fawane hidale sia: mu da defea. Bai Na asigi hou da eso huluane diala. Amola Na da hou moloidafa fawane hamosa. Agoaiwane hou fawane, Na da hahawane ba: sa. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
25 Tazama, siku zaja - asema BWANA wakati nitakapowaadhibu wote ambao hawajatahiriwa ambao wako hivyo hivyo katika miili yao.
26 Nitaiadhibu Misri na Yuda, Edomu, watu wa Amoni, Moabu, na watu wote wanaonyoa denge. Kwani mataifa yote haya hayajatahiriwa, na nyumba yote ya Israeli ina moyo ambao haujatahiriwa.”
Hina Gode da amane sia: sa, “Eso da doaga: mu, amoga Na da dunu fi huluane Idibidi, Yuda, Idome, A:mone, Moua: be amola hafoga: i soge esalebe dunu (amo da ilia ogogosu ‘gode’ ilima nodone dawa: ma: ne ilia dialuma hinabo dadamusa) amo dunu huluane ilima se imunu. Amo dunu huluane da ilia gadofo damui dagoi ba: sa. Gadofo damusu da Na Gousa: su amo ea dawa: digima: ne olelesu. Be ilia da Na Gousa: su hamedafa dawa: digisa. Amo dunu huluane amola Isala: ili dunu da Na Gousa: su hamedafa dawa: digisa.”