< Yeremia 8 >
1 Wakati huo - BWANA asema - wataleta kutoka makaburini mifupa ya wafalme wa Yuda na wakuu wake, mifupa ya makuhani na ya manabii na mifupa ya wakazi wa Yerusalemu.
Czasu onego, mówi Pan, wybiorą kości królów Judzkich, i kości książąt ich, i kości kapłanów, i kości proroków, i kości obywateli Jeruzalemskich z grobów ich;
2 Kisha wataitandaza nje mchana kweupe na mbalamwezi na nyota zote za angani; hivi vitu katika anga vimenifuata na kunitumikia, na kwamba vimetembea na kutafuta, na kwamba vimeniabudu. Mifupa haitakusanywa na kuzikwa tena. Itakuwa kama mavi juu ya uso wa dunia.
I rozrzucą je przed słońce, i przed miesiąc, i przed wszystko wojsko niebieskie, które miłują, i którym służą, i za którymi chodzą, i których szukają, i którym się kłaniają; nie pozbierają ich, ani pogrzebią, ale będą miasto gnoju na wierzchu ziem i.
3 Na katika kila eneo lililobaki ambalo nimewafukuza, Watachagua mauti badala ya uzima kwa ajili yao, wote ambao watasalia kutokana na taifa hili ovu - asema BWANA wa majeshi.
I obiorą raczej śmierć niżeli żywot wszystkie ostatki, które zostaną z tego rodzaju złośliwego po wszystkich miejscach, gdziebykolwiek zostali, tam, kędy ich zapędzę, mówi Pan zastępów.
4 Kwa hiyo uwaambie, 'BWANA asema hivi: Je, kuna mtu anyeanguka na hasimami? Je, kuna mtu anayepotea na hawezi kujaribu kurudi?
Przetoż rzeczesz do nich: Tak mówi Pan: Także upadli, aby nie mogli powstać? także się odwrócił, aby się zaś nie mógł nawrócić?
5 Kwa nini hawa watu, Yerusalemu, wamegeukia uasi daima? Wanashikilia uongo na wanakataa kutubu.
Przeczże się odwrócił ten lud Jeruzalemski odwróceniem wiecznem? chwytają się kłamstwa a nie chcą się nawracać.
6 Nilikaa kwa uangalifu na nikasikiliza, lakini hawakuongea kilicho sahihi; hakuna aliyetubia uovu wake, hakuna asemaye, “Nimefanya nini?” Kila mmoja wao huenda kule anakotaka, kama farasi aendaye kasi vitani.
Pilnowałem i słuchałem: nic nie mówiąc, co jest prawego; niemasz ktoby żałował złości swej, mówiąc: Cóżem uczynił? Każdy się obrócił za biegiem swoim, jako koń, który pędem bieży ku potkaniu.
7 Hata koikoi angani hujua wakati sahihi; na njiwa, na mbayuayu, n a korongo. Huhama kwa wakati sahihi, lakini watu wangu hawayajui maagizo ya BWANA.
I bocian na powietrzu zna ustawione czasy swoje, i synogarlica, i żuraw, i jaskółka przestrzegają czasu przylecenia swego; ale lud mój nie zna sądu Pańskiego.
8 Kwa nini mnasema, “Sisi tuna hekima! na sheria ya BWANA tunayoi?” Hakika, Tazama! Kalamu yenye uongo ya mwandishi imefanya uongo.
Jakoż mówicie: Myśmy mądrzy, a zakon Pański jest przy nas? zaprawdę, oto daremnie pióro pisarz czyni; daremnie są w zakonie biegłymi.
9 Wenye hekima wataaibishwa. Wameyeyuka na na kunaswa. Tazama! wanakataa neno la BWANA, kwa hiyo hekima yao ni kwa ajili ya matumizi gani?
Kogoż zawstydzili ci mędrcy? Którzyż są przestraszeni i pojmani? Oto słowo Pańskie odrzucają; cóż to tedy za mądrość ich?
10 Kwa wake zao nitawapa wengine, na mashamba yao kwa wale watakaowamiliki, kwa kuwa kuanzia kijana hadi mkuu, kwa pamoja ni wachoyo! Kuanzia nabii hadi kuhani, wote wanasema uongo.
Dlatego dam żony ich innym, pola ich tym, którzy ich opanują; bo od najmniejszego aż do największego, wszyscy zgoła udali się za łakomstwem; od proroka aż do kapłana wszyscy przewodzą kłamstwo.
11 Kwa kuwa wametibu jeraha ya binti za watu wangu kwa juu juu. Walijisemea, “Amani, Amani,” na kumbe hapakuwa na amani.
Bo leczą skruszenie córki ludu mego tylko po wierzchu, mówiąc: Pokój, pokój! choć niemasz pokoju.
12 Je, waliona aibu walipofanya machukizo? Hawakuaibika. Hawakuwa na utu. Kwa hiyo wataanguka wakati wa adhabu, pamoja na wale walioanguka. Watatupwa chini, asema BWANA.
Izali się zawstydzili, przeto, że obrzydliwość czynili? Zaiste, ani się zapałać ani wstydzić umieli; przetoż upadną między padającymi, czasu nawiedzenia swego upadną, mówi Pan.
13 Nitawaondoa kabisa - asema BWANA - hapatakuwa na zabibu kwenye mizabibu yao, wala tini katika mitini yao. kwa kuwa jani litanyauka, na kile nilichowapatia kitaisha.
Do szczętu ich wykorzenię, mówi Pan; nie będzie żadnego grona na winnej macicy, ani żadnych fig na drzewie figowem; nawet i liść opadnie, a com im dał, odjęte będzie.
14 Kwa nini tunakaa hapa? Njoni pamoja; twendeni kwenye hiyo miji yenye maboma, na tutakaa kimya kule katika kifo. Kwa kuwa BWANA, Mungu wetu atatunyamazisha. Atatufanya tunywe sumu, kwa kuwa tumemtenda dhambi.
Przecz my tu siedzimy? Zejdźcie się, a wynijdżmy do miast obronnych, a tam odpoczniemy; ale Pan, Bóg nasz każe nam odpocznąć, gdy nas napoi wodą żółci, iżeśmy zgrzeszyli przeciwko Panu.
15 Tunatumainia amani, lakini hakutakuwa na jema. Tunatumainia wakati wa uponyaji, lakini tazama kutakuwa na hofu.
Czekaj pokoju, alić nic dobrego; czasu uzdrowienia, alić oto strach.
16 Mkoromo wa farasi wake umesikika kutoka Dani. Dunia nzima inatikisika kwa sababu ya sauti ya kukaribia kwa farasi wake wenye nguvu. Kwa kuwa watakuja kuiangamiza nchi na utajiri wake, mji na wote wakaao nadani yake.
Od Dan słyszeć chrapanie koni jego, od głosu wykrzykania mocarzy jego wszystka ziemia zadrżała, którzy ciągną, aby pożarli ziemię, i wszystko, co jest na niej, miasto i tych, którzy mieszkają w niem.
17 Hebu tazama, ninawatuma nyoka kati yenu, fira ambao hawawezi kuzuiliwa kwa uganga. Watawauma - asema BWANA,”
Bo oto Ja poślę na was węże najjadowitsze, przeciwko którym niemasz zaklinania; i pokąsają was, mówi Pan.
18 Huzuni yangu haina ukomo, na moyo wangu unaugua.
Serce moje we mnie, któreby mię miało posilać w smutku, mdłe jest.
19 Tazama! sauti ya maumivu ya binti wa watu wangu kutoka mbali! Je, BWANA hayumo Sayuni? Je, mfalme wake hayumo ndani yake? Kwa nini sasa wananichukiza kwa vitu vya kuchongwa na sanamu za kigeni zilizo batili?
Oto głos krzyku córki ludu mego z ziemi bardzo dalekiej mówiącej: Izali Pana niemasz na Syonie? Izali króla jego niemasz na nim? Przeczże mię wzruszyli do gniewu bałwanami swemi, próżnościami cudzoziemców? mówi Pan.
20 Mavuno yamepita, wakati wa hari umekwisha. Lakini sisi hatujaokoka.
Pominęło żniwo, skończyło się lato, a myśmy nie wybawieni.
21 Nimeumia kwa sababu ya maumivu ya binti wa watu wangu. Ninaomboleza kwa sababu ya mambo ya kushangaza ambayo yametokea kwake; Nimeyeyuka.
Dla skruszenia córki ludu mojego skruszonym jest, żałobę ponoszę, zdumienie zdjęło mię.
22 Je, kule Gileadi hakuan dawa? Je, huko hayuko mponyaji? Kwa nini uponyaji wa binti wa watu wangu hautokei?
Izali niemasz balsamu w Galaad? Izali tam niemasz lekarza? Czemuż tedy nie jest uleczona córka ludu mojego?