< Yeremia 8 >

1 Wakati huo - BWANA asema - wataleta kutoka makaburini mifupa ya wafalme wa Yuda na wakuu wake, mifupa ya makuhani na ya manabii na mifupa ya wakazi wa Yerusalemu.
Yahweh says, “At the time [that your corpses are scattered on the ground], [your enemies will] break open the graves of your kings and [other] officials who lived in Judah, and the graves of your priests and prophets and other people who lived there.
2 Kisha wataitandaza nje mchana kweupe na mbalamwezi na nyota zote za angani; hivi vitu katika anga vimenifuata na kunitumikia, na kwamba vimetembea na kutafuta, na kwamba vimeniabudu. Mifupa haitakusanywa na kuzikwa tena. Itakuwa kama mavi juu ya uso wa dunia.
They will take out their bones [from their graves] and [dishonor them by] scattering them on the ground under the sun and the moon and the stars— those are the gods which my people loved and served and worshiped. No one will gather up their bones and bury them [again]; they will remain scattered on the ground like dung.
3 Na katika kila eneo lililobaki ambalo nimewafukuza, Watachagua mauti badala ya uzima kwa ajili yao, wote ambao watasalia kutokana na taifa hili ovu - asema BWANA wa majeshi.
And all the people of this wicked nation [who are still alive and] whom I have exiled to other countries will say, ‘We would prefer to die than to continue to stay alive [here in these countries].’ [That will be true because I], Yahweh, have said it.”
4 Kwa hiyo uwaambie, 'BWANA asema hivi: Je, kuna mtu anyeanguka na hasimami? Je, kuna mtu anayepotea na hawezi kujaribu kurudi?
[Yahweh said to me, “Jeremiah], tell the people that this is what [I], Yahweh, am saying to them: ‘When people fall down, they get up again, do they not [RHQ]? When people are going along a road and find out that they are walking on the wrong road, they go back [and find the correct road], do they not [RHQ]?
5 Kwa nini hawa watu, Yerusalemu, wamegeukia uasi daima? Wanashikilia uongo na wanakataa kutubu.
[Yes, they do], so why do these people [of Judah] continue [trusting in those idols that have deceived them]? They continue turning away from me, [even though I have warned them].
6 Nilikaa kwa uangalifu na nikasikiliza, lakini hawakuongea kilicho sahihi; hakuna aliyetubia uovu wake, hakuna asemaye, “Nimefanya nini?” Kila mmoja wao huenda kule anakotaka, kama farasi aendaye kasi vitani.
I have listened carefully [DOU] [to what they say], but they do not say what they should say. Not one of them is sorry for having sinned. No one says, “I have done [RHQ] wicked things.” They are [sinning and] doing what they want to as fast as [SIM] a horse that is running into a battle.
7 Hata koikoi angani hujua wakati sahihi; na njiwa, na mbayuayu, n a korongo. Huhama kwa wakati sahihi, lakini watu wangu hawayajui maagizo ya BWANA.
All the birds [that fly south for the (winter/cold season)] know the time that they need to fly south, and they all return at the right time the following year. But my people [are not like those birds]! They do not know what [I], Yahweh, require them to do.
8 Kwa nini mnasema, “Sisi tuna hekima! na sheria ya BWANA tunayoi?” Hakika, Tazama! Kalamu yenye uongo ya mwandishi imefanya uongo.
Your men who teach you [the laws that Moses wrote] have been saying false things [about those laws]. [So], why [RHQ] do they [continue] saying, “We are [very] wise [because] we have the laws of Yahweh”?
9 Wenye hekima wataaibishwa. Wameyeyuka na na kunaswa. Tazama! wanakataa neno la BWANA, kwa hiyo hekima yao ni kwa ajili ya matumizi gani?
Those teachers, who think that [IRO] they are wise, will be ashamed/disgraced and dismayed when they are taken [to other countries by their enemies] because they sinned by rejecting what I told them. Truly, they were not [RHQ] very wise to do that!
10 Kwa wake zao nitawapa wengine, na mashamba yao kwa wale watakaowamiliki, kwa kuwa kuanzia kijana hadi mkuu, kwa pamoja ni wachoyo! Kuanzia nabii hadi kuhani, wote wanasema uongo.
So, I will give their wives to other men; I will give their fields to [the enemy soldiers] who conquer them. All the people, including those who are important and those who are not important, deceive [others] in order to obtain their possessions. Even [my] prophets and my priests do that.
11 Kwa kuwa wametibu jeraha ya binti za watu wangu kwa juu juu. Walijisemea, “Amani, Amani,” na kumbe hapakuwa na amani.
[They act as though the sins of my people] are not serious, [like] [MET] wounds that do not need to be cleaned and bandaged. They tell the people that everything will go well with them, [but that is not true]; things will not go well with them.
12 Je, waliona aibu walipofanya machukizo? Hawakuaibika. Hawakuwa na utu. Kwa hiyo wataanguka wakati wa adhabu, pamoja na wale walioanguka. Watatupwa chini, asema BWANA.
They should be [RHQ] ashamed when they do disgusting things [RHQ], but they do not even know how to show on their faces that they are ashamed [about their sins]. So, [they will be killed, and] their corpses [also] will lie among the corpses of others who have been slaughtered [by their enemies]. They will be killed when I punish them.
13 Nitawaondoa kabisa - asema BWANA - hapatakuwa na zabibu kwenye mizabibu yao, wala tini katika mitini yao. kwa kuwa jani litanyauka, na kile nilichowapatia kitaisha.
I will [allow their enemies to] take away the figs and grapes that the people would have harvested from their fields. Their fruit trees will all wither. They will not receive [all] the blessings that I prepared for them. [This will certainly happen because I], Yahweh, have said it.’”
14 Kwa nini tunakaa hapa? Njoni pamoja; twendeni kwenye hiyo miji yenye maboma, na tutakaa kimya kule katika kifo. Kwa kuwa BWANA, Mungu wetu atatunyamazisha. Atatufanya tunywe sumu, kwa kuwa tumemtenda dhambi.
[Then the people will say], “(Why should we wait here [in these small towns]?/We should not wait here [in these small towns].) [RHQ]! We should go to the cities that have high walls around them, [but even if we do that] we will be killed there, because Yahweh our God has decided that we must be destroyed; [it is as though] [MET] he has given us a cup of poison to drink, because we sinned against him.
15 Tunatumainia amani, lakini hakutakuwa na jema. Tunatumainia wakati wa uponyaji, lakini tazama kutakuwa na hofu.
We hoped/desired that things would go well for us, but things have not gone well. We hoped that bad things would not happen to us any more, but only things that terrify us [are happening to us].
16 Mkoromo wa farasi wake umesikika kutoka Dani. Dunia nzima inatikisika kwa sababu ya sauti ya kukaribia kwa farasi wake wenye nguvu. Kwa kuwa watakuja kuiangamiza nchi na utajiri wake, mji na wote wakaao nadani yake.
People [far north in Israel] in [the city of] Dan can already hear the snorting of the horses of their enemies [who are preparing to attack us]. [It is as though] the entire land [of Judah] is shaking as their army approaches; they are coming to destroy our land and everything in it, the people and the cities.”
17 Hebu tazama, ninawatuma nyoka kati yenu, fira ambao hawawezi kuzuiliwa kwa uganga. Watawauma - asema BWANA,”
[Yahweh says], “I will send [those enemy soldiers to Judah], and they will be like [MET] poisonous snakes among you. No one will be able to stop them from attacking you [MET]; they will attack you like snakes do, [and kill you].”
18 Huzuni yangu haina ukomo, na moyo wangu unaugua.
I grieve very much [for the people of Judah], and my grieving does not end. I am very sad [IDM].
19 Tazama! sauti ya maumivu ya binti wa watu wangu kutoka mbali! Je, BWANA hayumo Sayuni? Je, mfalme wake hayumo ndani yake? Kwa nini sasa wananichukiza kwa vitu vya kuchongwa na sanamu za kigeni zilizo batili?
Throughout our land, the people ask, “Has Yahweh abandoned Jerusalem? Is [he], our city’s king, no longer there?” [Yahweh replies], “Why do the people cause me to become very angry by [worshiping] idols and foreign gods?” [RHQ]
20 Mavuno yamepita, wakati wa hari umekwisha. Lakini sisi hatujaokoka.
[The people say], “The harvest [season] is finished, the (summer/hot season) has ended, [and we hoped that we would receive blessings from Yahweh], but he has not rescued us [from our enemies].”
21 Nimeumia kwa sababu ya maumivu ya binti wa watu wangu. Ninaomboleza kwa sababu ya mambo ya kushangaza ambayo yametokea kwake; Nimeyeyuka.
I cry because my people have been crushed. I mourn, and I am completely dismayed.
22 Je, kule Gileadi hakuan dawa? Je, huko hayuko mponyaji? Kwa nini uponyaji wa binti wa watu wangu hautokei?
[I ask], “Surely there is [RHQ] medicinal balm in the Gilead [region]! Surely there are [RHQ] doctors there!” But my people have been badly wounded [in their spirits], and nothing can heal them.

< Yeremia 8 >