< Yeremia 7 >
1 Hili ndilo neno la BWANA lililomjia Yermia,
Hina Gode da na Debolo logo ga: su (amoga Yuda dunu da Ema sia: ne gadomusa: golili ahoa) amoga asunasi. E da nama amogai lela, Hina Gode Bagadedafa amo Ea sia: alofele ilima sia: ma: ne sia: i, amane, “Dilia esalebe hou amola dilia hawa: hamobe afadenema. Amasea, dilia da guiguda: esaloma: ne, Na da logo doasimu.
2 Simama katika lango la nyumba ya BWANA na utangaze ujumbe huu! Sikiilizeni neno la BWANA, ninyi nyote watu wa Yuda, ninyi mnaoingia katika malango haya kumwabudu BWANA.
3 BWANA wsa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Tengenezeni njia zenu na kufanya mema, nami nitawaacha muishi hapa.
4 Msitumainie maneno ya uongo mkisema, “Hekalu la BWANA!, Hekalu la BWANA! Hekalu la BWANA!”
Sia: amo, ‘Ninia da gaga: i dagoi. Amo da Hina Gode Ea Debolo diasu! Amo da Hina Gode Ea Debolo diasu!’ Amo sia: da ogogosa, amola amo dafawaneyale mae dawa: ma.
5 Bali kama mtazitengeneza njia zenu na kufanya mema, kama mtatoa hukumu ya haki kati ya mtu na jirani yake
Dilia esalebe hou amola dilia hawa: hamobe afadenema! Enoma enoma moloidafa hou hamoma.
6 -kama hamtanyonya anayekaa katika nchi, yatima, mjane, na kama hamtamwaga damu ya mtu asiye na hatia mahali hapa, na kama hataenda kwa miungu mingine kwa ajili ya maumivu yenu
Guga: loi hou fisili, ga fi dunu amola guluba: mano amola didalo ilima moloidafa amola asigi hou fawane hamoma. Dilia soge ganodini dilia da hou moloidafa hamosu dunu udigili medole legesa. Amo hou yolesima! Ogogosu ‘gode’ ilima dilia nodone sia: ne gadolala. Amo hou da dili wadela: lesimu. Yolesima!
7 -ndipo nitakapowaacha mkae mahali hapa, katika nchi ambayo niliwapia mababu zenu toka zamani na hata milele.
Na da dilia soge amo dilia aowalalia eso huluane gaguma: ne ilima i. Amola, dilia da dilia hou afadenesea, dilia amo ganodini bu esaloma: ne, Na da logo doasimu.
8 Tazama! Mnatumainia maneno ya uongo ambayo hayawasaidii.
Ba: ma: i! Dilia da ogogosu sia: amo dafawaneyale dawa: sa.
9 Je, mnaiba. mnaua, manafanya uzinzi? na mnaapa kwa uongo na kufukiza uvumba kwa Baali na kwenda kwa miungu mingine ambao hamkuwajua?
Dilia da wamolala amola medole legelala, inia uda amola dunu adole lala, dafawane hamona: nibuya ilegesea ogogolala, Ba: ielema gobele salasu iaha, amola ogogosu ‘gode’ amo dilia da musa: hame dawa: i, ilima nodone sia: ne gadolala.
10 Je, mnakuja na kusimama mbele yangu katika nyumba hii ambapo jina langu linatangazwa na kusema, “Tumeokoka.” hivyo mnaweza kufanya machukizo yote haya?
Hou amo Na da higasa. Be dilia da hahawane hamonana. Amalalu, dilia da Na Debolo diasu golili misini, Na midadi lelawane, Nama amane sia: sa, ‘Ninia da gaga: i dagoi!’
11 Je, hii ndiyo nyumba inayobeba jina langu, pango la wanyang'anyi mbele ya macho yenu? Lakini tazama, Nimeiona - BWANA asema.'
Dilia adi dawa: bela: ? Na Debolo diasu da wamolasu dunu ilia wamoaligisula: ? Hame mabu! Dilia hamonanebe amo Na da ba: i dagoi.
12 Kwa hiyo uende mahali pangu kule Shiloh, Kule ambako mwanzoni niliruhusu jina langu kukaa, na tazama kile nilichofanya pale kwa sababu ya maovu ya watu wangu Israeli.
Dilia Siailou moilaiga ba: la masa. Siailou amoga Isala: ili dunu da Nama nodone sia: ne gadoma: ne, Na da degabo ilegei dagoi. Be Na fi Isala: ili dunu da wadela: i hou hamobeba: le, Na da Siailou wadela: lesi dagoi.
13 Kwa hiyo sasa, kwa sababu ya matendo yako haya yote - asema BWANA - Nilikuambia mara kadhaa, lakini hukusikiliza. Nilikuita, lakini hukuitika.
Dilia amola da amo wadela: i hou huluane hamonanu. Na da dilima sia: ne ba: loba, sia: ne ba: loba, be dilia da Na sia: hame nabi. Na da dilima wele sia: beba: le, dilia da bu hame adole i.
14 Kwa hiyo kile nilichofanya Shilo, ndicho ambacho pia nitakachofanya kwa nyumba yangu hii inayoitwa kwa jina langu, nyumba amabyo ninyi mmeitumainia, mahali hapa ambapo niliwapa ninyi na mababu zenu.
Amaiba: le, Na da Siailou amoma hamoi defele, Na da Na Debolo (amo da dili gaga: mu dilia dawa: ) amoma hamomu. Amo soge guiguda: Na da dilia aowalalia ilima amola dilima i dagoi. Be guiguda: , Na da Siailou amoma hamoi defele hamomu.
15 Kwa kuwa nitawafukuza mtoke kwangu kama vile nilivyowafukuza ndugu zenu wote, uzao wote wa Efraimu.'
Na da dilia na: iyado fi dunu, Isala: ili dunu, Na mae ba: ma: ne gadili sefasi dagoi. Amo defele, Na da dili sefasimu. Na, Hina Gode da sia: i dagoi.”
16 Na wewe, Yeremia, usiwaombee watu hawa, na usiinue maombolezo ya kilio au kuomba sala kwa niaba yao, na usinishi, kwa kuwa sitakusikiliza.
Hina Gode da nama amane sia: i, “Yelemaia! Amo dunu fidima: ne, mae sia: ne gadoma. Ili fidima: ne, mae dima amola mae sia: ne gadoma. Amola Nama mae edegema - Na da dia sia: hame nabimu.
17 Kwani huoni kile wanachofanya katika miji ya Yuda na katika mitaa ya Yerusalemu?
Ilia hou Yuda moilai bai bagade huluane amola Yelusaleme logo amo ganodini hamonana, di da ba: sala: ?
18 Watoto wanakusanya kuni na baba zao huwasha moto! Wanawake hukanda unga ili kuoka mikate kwa ajili ya malikia wa mbinguni na kumimina sadaka ya vinywaji kwa miungu mingine ili kunikasirisha mimi.
Mano da lalu habesa, dunu da lalu didisa, uda da falaua agi ga: gi hamoma: ne bibiagosa amo huluane ogogosu uda ‘gode’ (ema ilia da Hebene Uda hina bagade dio asuli) amoma ima: ne hamosa. Amola ilia da Nama se ima: ne, eno ogogosu ‘gode’ liligi ilima ima: ne, waini hano sogadigisa.
19 Ni kweli wananikasirisha mimi? - asema BWANA - Je, si wao wanaojikasirisha, ili kwamba aibu iwe juu yao?
Be ilia da Nama dafawane se iahabela: ? Hame mabu! Ilia da ilila: se iaha amola ilila: gogosiasu iaha.
20 Kwa hiyo BWANA, Mungu asema hivi, 'Tazama, hasira na ghahdabu yangu zitamwagwa juu ya mahali hapa, kwa watu wote na wanyama, juu ya miti katika mashamba na mazao ya ardhi, Itawaka nayo haitazimishwa.
Amaiba: le, Na, Ouligisudafa Hina Gode, da Na ougi gia: i bagade amo Na Debolo amoma sogadigimu. Amo ougi, Na da dunu amola ohe fi ilima defele sogadigimu. Amola ifa amola ha: i manu bugi amoma sogadigimu. Na ougi da lalu enoga ha: ba: domu hamedene nenanusu ba: mu.
21 BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli asema hivi, Jiongezeeni sadaka za kuteketezwa katika dhabihu zenu na nyama zake.
Na fi dunu! Gobele salasu liligi mogili dilia oloda da: iya dafawane gobesisa, mogili dilia da naha (sema agoane gala). Be Na, Hina Gode, da dilia gobele salasu liligi huluane Nama mae iawane dilisu manu da defea, sia: sa. Bai dilia mae dawa: le udigili gobele sala.
22 Kwani wakati nilipowatoa mababu zenu kutoka nchi ya Misri, Sikuhitaji chochote kutoka kwao. Sikuwapa amri juu ya maswala ya sadaka za kuteketezwa na dhabihu.
Na da dilia aowalalia amo Idibidi sogega fisili masa: ne, gadili oule misini, Na da ilima gobele salasu amola eno gobele salimusa: hamoma: ne hame sia: i.
23 Niliwapa amri hii tu, “Sikilizeni sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu nanyi mtakuwa watu wangu. Kwa hiyo muishi katika njia ambazo ninawaamuru, ili mambo yenu yawe mazuri.”
Be Na da ilia Gode esaloma: ne amola ilia da Na fi dunu esaloma: ne, Na da ilima Na hamoma: ne sia: nabawane hamoma: ne sia: i. Amola ilia da hahawane esaloma: ne, Na da ilima ilia da Na sia: defele esaloma: ne sia: i.
24 Lakini hawkunisikiliza wala kuzingatia. Walishi kwa kufuata mipango yao ya uasi ya mioyo ya maovu, kwa hiyo walirudi nyuma badala ya kuendelea mbele.
Be ilia da Na sia: hame nabi amola hame dawa: digi. Be amo mae dawa: le, ilia da ilia ga: nasi amola wadela: i dogoga asigi dawa: su amoga ilia hanaiga hamosu. Amola ilia hou da bu mae hahamone, gudu sa: i dagoi.
25 Tangu siku ambayo mababu zenu walitoka katika nchi ya Misri mpaka leo, Nimetuma watumishi wangu, manabii wangu, kwenu. Niliendelea kuwatuma.
Eso amoga dilia aowalali da Idibidi soge yolesili, amogainini wali eso doaga: le, Na da mae yolesili, Na hawa: hamosu dunu, balofede dunu, dilima asula ahoasu.
26 Lakini hawakuwasikiliza. Hawakuzingatia. Badala yake walishupaza shingo zao. Walikuwa waovu zaidi ya mababu zao.
Be dunu afae da hame nabi amola hamedafa dawa: i galu. Be dilia wadela: i hou da heda: le, dilia ga: nasi amola odoga: su hou da dilia aowalali ilia hou baligi dagoi.
27 Kwa hiyo yatangaze maneno haya yote kwao, japo hawatakusikiliza. Yatangaze mambo haya kwao, lakini hawatakujibu.
Amaiba: le Yelemaia! Di da amo sia: huluane Na fi dunuma sia: ma. Be ilia da dia sia: hame nabimu. Di da ilima wele sia: mu, be ilia da dima bu hame adole imunu.
28 Waambie kuwa hili ni taifa ambalo haliisikilizi sauti ya BWANA, Mungu wake na lisilopokea mafundisho. Ukweli uneharibiwa na kukatwa kutoka kwenye vinywa vyao.
Di da ilima ilia fi da Na, ilia Hina Gode, Ea sia: hame naba, amo sia: ma. Amola ilia da Na se iasu lai dagoiba: le, bu dawa: su hame laha, amo sia: ma. Moloidafa mae yolesili fa: no bobogesu hou da bogoi dagoi. Dunu ilia da amo hou noga: iwane bu hame sia: sa.
29 Zikate nywele zako na kujinyoa, na kuzitupa. Imba wimbo wa maombolezo katika maeneo yaliyo wazi. Kwa kuwa BWANA amekikataa na kukitupa kizazi hiki cha hasira yake.
Yelusaleme fi dunu! Da: i dioiba: le, didigia: ma! Dilia dialuma hinabo damuni, ha: digima! Agolo da: iya, idigisa gesami hea: ma! Bai Na, Hina Gode, da ougi gala. Na da Na fi dunu higale yolesiagai.
30 Kwa kuwa wana wa Yuda wamefanya maovu mbele ya macho yangu - asema BWANA - wameweka machukizo yao katika nyumba ambayo jina langu hunenwa, ili kulinajisi.
Yuda fi dunu da wadela: le bagade hamoi dagoi. Ilia da ilia loboga hamoi ‘gode’ agoaila (amo Na higasa) amo Na Debolo diasu ganodini sali dagoi. Ilia da Na Debolo nigima: ne wadela: lesi.
31 Kisha wamejenga mahali palipoinuka pa Tofethi ambapo pako kwenye bonde la Ben Hinomu. Walifanya hivi ili kuwachoma wana na binti zao kwenye moto - kitu ambacho mimi sikuamuru, wala kuweka jambo hilo katika akili zangu.
Ilia da Hinome Fago amo ganodini, oloda gaguli amola amoma Doubede dio asuli. Amo da: iya ilia da ilia dunu mano amola uda mano gobele sala. Na da amo hamoma: ne hame sia: i. Na da amo hou hamedafa dawa: i galu.
32 Kwa hiyo, tazama siku zinakuja - asema BWANA - ambapo hapataitwa tena Tofethi au bonde la Ben Hinomu. Litakuwa bonde la machinjio; watazika maiti hapo Tofethi mpaka eneo lote lienee.
Amaiba: le, eso da misunu, amoga ilia da amo sogebi ea dio da Doubede o Hinome Fago ilia da hame sia: mu. Be ilia da amoga Medole Legesu Fago dio asulimu. Bogoi dunu ilia da: i hodo da eno sogega uli dogomu hamedeiba: le, ilia da amo fagoga uli dogomu.
33 Mizoga ya watu hawa itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa duniani, na hakutakuwa na mtu wa kuwafukuza.
Sio fi amola sigua ohe da amo bogoi da: i hodo manu, amola dunu da ili sefasimu hamedei ba: mu.
34 Nitazikomesha katika miji ya Yuda na mitaa ya Yerusalaemu sauti za kuiniuliwa na vicheko, Sauti ya bwana arusi na ya bibi arusi; kwa kuwa nchi hiyo itakuwa ukiwa.”
Yuda soge da hafoga: i amola dunu hame esalebe soge agoai ba: mu. Yuda moilai bai bagade amola Yelusaleme logo amo ganodini hahawane sia: amola uda lasu lolo nabe hahawane sia: , amola gesami huluane Na da dagolesimu.”