< Yeremia 52 >

1 Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala; akatawala miaka kumi na mmoja huko Yerusalemu. Jina la mamaye lilikuwa Hamutali; alikuwa binti Yeremia wa Libna.
Zedekiah el yac longoul sie matwal ke el tokosrala lun Judah, ac el leum in acn Jerusalem yac singoul sie. Inen nina kial pa Hamutal, acn natul Jeremiah se su muta in siti Libnah.
2 Akafanya maovu machoni pa Yahwe; akafanya kila alichokifanya Yehoyakimu.
Tokosra Zedekiah el orekma koluk lain LEUM GOD, oapana Tokosra Jehoiakim.
3 Kwa hasira ya Yahwe, matukio haya yote yalitukia Yerusalemu na Yuda, hata alipowatoa mbele yake mwenyewe. Kisha Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.
LEUM GOD El mutawauk in arulana kasrkusrak sin mwet Jerusalem ac Judah, oru El siselosla liki ye mutal. Zedekiah el tuyak lainul Tokosra Nebuchadnezzar lun Babylonia,
4 Ikawa katika mwaka wa tisa wa utawala wa mfalme Sedeki, katika mwezi wa kumi, na siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadneza, mfalme wa Babeli, alikuja na jeshi lake lote dhidi ya Yerusalem. Wakapiga kambi kuukabili, nao wakajenga ukuta wa kuusuria kuuzunguka.
ke ma inge Nebuchadnezzar el tuku wi un mwet mweun lal nukewa ac mweuni Jerusalem ke len aksingoul in malem aksingoul ke yac akeu ma Zedekiah el tokosra. Elos tulokunak iwen aktuktuk selos likin siti uh, musaela acn in fan rauneak acn we,
5 Hivyo mji ukausuriwa mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa mfalme Sedekia.
ac kuhlusya siti uh nwe ke yac aksingoul sie lal Zedekiah.
6 Katika mwezi wa nne, siku ya tisa ya mwaka huo, njaa ikawa kali sana mjini hata hakukuwa na chakula kwa watu wa nchi.
Ke len akeu in malem akakosr ke yac sacna, ke sracl uh arulana upa ac wanginla mongo nun mwet uh,
7 Kisha mji ukatobolewa, na wapiganaji wote wakakimbia nje ya mji wakati wa usiku kwa njia ya lango lililokuwa kati ya kuta mbili, kwa bustani ya mfalme, japokuwa Wakaldayo walikuwa wameuzunguka mji. Hivyo wakaenda kwa njia ya Araba.
mwet Babylonia elos fukulya pot uh. Elos ne kuhlusya siti sac, a mwet mweun nukewa in siti uh kaingla in fong sac. Elos ut yen ima lun tokosra oan we, ac sasla ke mutunpot se inmasrlon pot luo ah, na elos kaingla ut layen nu ke Infahlfal Jordan.
8 Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuatia mfalme na kumpata Sedekia katika tambarare za bonde la Mto Yordani karibu na Yeriko. Jeshi lote lilikuwa limetawanyika mbali naye.
Tusruktu mwet mweun lun Babylonia ukwal Tokosra Zedekiah, sruokilya yen tupasrpasr apkuran nu Jericho, ac mwet mweun lal nukewa kaingla lukel.
9 Wakamkamata mfalme na kumleta hadi kwa mfalme wa Babeli huko Ribla katika nchi ya Hamathi, alipotoa hukumu juu yake.
Utukla Tokosra Zedekiah nu yorol Tokosra Nebuchadnezzar, su tuh muta in siti Riblah in acn Hamath, na Nebuchadnezzar el wotela ma ac orek nu sel we.
10 Mfalme wa Babeli akawachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake, na huko Ribla akawachinja viongozi wote wa Yuda.
In acn Riblah el uniya kewa wen natul Zedekiah ye mutal, ac el oayapa sap in anwuki mwet leum lun Judah.
11 Kisha akayaondoa macho ya Sedekia, akamfunga katika vifungo vya shaba, na kumleta Babeli. Mfalme wa Babeli akamweka kifungoni hata siku ya kufa kwake.
Tukun ma inge, el sap tipulyukla atronmutal Zedekiah, ac kapiri el ke sein, ac utukla el nu Babylon. Zedekiah el mutana in presin in acn Babylon nwe ke el misa.
12 Basi mwezi wa tano, siku ya kumi ya mwezi, ambao ulikuwa mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa mfalme Nebukadneza, mfalme wa Babeli, Nebuzaradani akaja Yerusalemu. Alikuwa jemedari wa walinzi wa mfalme na mtumishi wa mfalme wa Babeli.
Ke len aksingoul in malem aklimekosr ke yac aksingoul eu lal Tokosra Nebuchadnezzar lun Babylonia, Nebuzaradan su mwet kasru fulat lal tokosra ac mwet sap lun un mwet mweun, el utyak nu Jerusalem.
13 Akaiteketeza nyumba ya Yahwe, kasiri, na nyumba zote za Yerusalemu; pia kila jengo mhimu mjini alilichoma.
El esukak Tempul, inkul fulat sin tokosra, ac lohm sin mwet leum nukewa in Jerusalem,
14 Kama kwa kuta za kuuzunguka Yerusalemu, jeshi lote la Wababeli lililokuwa pamoja na jemedari wa mlinzi wakaviaribu.
ac mwet mweun lal fukulya pot in siti sac.
15 Kama kwa watu maskini sana, watu waliosalia walioachwa katika mji, waliokuwa wamemwendea mfalme wa Babeli, na baadhi ya watu wenye ujuzi - Nebuzaradan, jemedari wa askari walinzi, akawachukua baadhi yao uhamishoni.
Na Nebuzaradan el usla nu Babylonia mwet ma lula in siti sac, wi elos su usrnguk ke orekma, ac elos su sifacna kaingla nu yurin mwet Babylonia.
16 Lakini Nebuzaradani, jemedari wa mlinzi, akawaacha baadhi ya maskini sana wa nchi kuitunza mizabibu na mashamba.
Tusruktu el filiya kutu sin mwet su arulana sukasrup in mutana in acn Judah, ac el sang elos in orekma ke nien grape ac acn in ima saya.
17 Lakini kwa nguzo za shaba lilizokuwa katika nyumba ya Yahwe, mishikio na bahari ya shaba iliyokuwa katika nyumba ya Yahwe, Wakaldayo wakaivunja vipande wakaondoka navyo kurudi Babeli.
Mwet Babylonia elos kunausla sru bronze, ac mwe wiwa ma oan in Tempul, weang tacng bronze lulap sac, na elos usla bronze inge nukewa nu Babylon.
18 Vyungu, makoleo, kinara cha taa, mabakuri, na vitu vyote vya shaba ambavyo makuhani walikuwa wakivitumia hekaluni - Wakaldayo wakavichukua vyote.
Elos usla pac saful, ac mwe neinyuk apat ma orekmakinyuk nu ke aknasnasye loang in kisa, mwe kosrkosr wik, pol ma orekmakinyuk in nein srah ke ma kisakinyuk, pol in akok mwe keng, ac ma bronze nukewa saya ma orekmakinyuk in Tempul.
19 Makalai na chetezo cha uvumba, mabakuri, vyungu, kinara cha taa, vikaango, makalai zilizotengenezwa kwa dhahabu, na zilizotengenezwa kwa dhahabu - kapteni wa mlinzi wa mfalme akazichukua pia.
Elos usla ma nukewa ma orekla ke gold ac silver: pol srisrik, pan in utuk mulut firir, pol in nein srah ke mwe kisa, mwe neinyuk apat, sukan lam, pol in akok mwe keng, ac pol nu ke okwok wain in kisa.
20 Nguzo mbili, bahari, na ng'ombe kumi na wawili wa shaba waliokuwa chini yake, vitu Selemani alivyokuwa amevifanya kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vikiwa na shaba nyingi sana isiyoweza kupimwa.
Ma orekla ke bronze, ma Tokosra Solomon el orala lun Tempul — sru lukwa, mwe wiwa, tacng lulap sac wi cow mukul bronze singoul lukwa loangeya — ma inge arulana toasr ac tia ku in pauniyuki.
21 Nguzo zilikuwa na urefu wa dhiraha kumi na nane kila moja, na mstari kuzunguka kila moja wenye urefu wa dhiraha kumi na mbili. Kila moja ilikuwa na unene wa vidole vinne na tundu.
Sru lukwa uh oana sie lumah — fit longoul itkosr fulata ac fit singoul oalkosr raunyak, kewana oalal, ac matoltoliyen bronze kac inch tolu.
22 Kichwa cha shaba kilikuwa juu yake. Kichwa kilikuwa dhiraha tano urefu wake, kazi ya waya zinazokingamana na makomamanga kukizunguka. Chote kilitengenezwa kwa shaba. Na nguzo nyingine ilikuwa na makomamanga yake vilikuwa kama ya kwanza.
Sifen sru inge fit itkosr tafu ke kais soko, orekla mwe yun kac in luman sein ac pomegranate — ma inge nukewa orekla ke bronze.
23 Hivyo kulikuwa na makomamanga tisini na sita ubavuni mwa kila kichwa, na makomamanga mia moja juu ya nyaya zilizokingamana kukizunguka.
Ke acn yunla inge fin kais soko sru, oasr pomegranate siofok nufon, ac ma eungoul onkosr ke ma inge pa ku in liyeyuk tenyak.
24 Jemedari wa mlinzi akamchukua Seraya mfungwa, kuhani mkuu, pamoja na Sefania, kuhani wa pili, na wale mabawaba watatu.
Sayen ma inge, Nebuzaradan, mwet kol fulat lun mwet mweun, el usalla pac Seraiah mwet Tol Fulat, Zephaniah mwet tol akluo yal, ac mwet fulat tolu saya lun Tempul nu in sruoh.
25 Kutoka mjini akamchukua mfungwa afsa aliyekuwa juu ya askari, na watu saba wa wale waliomshauri mfalme, waliokuwa wamesalia mjini. Akamchukua mfungwa afsa wa jeshi la mfalme aliyekuwa na wajibu wa kuwaingiza watu katika jeshi, pamoja na watu mashuhuri sitini kutoka katika nchi waliokuwamo mjini.
El usla pac liki siti uh leum se su mwet sap lun un mwet mweun, itkosr sin mwet kasru nu sel tokosra sifacna su tuh srakna oasr in siti uh, mwet kasru lal mwet kol fulat su karingin ma simla lun mwet mweun, ac mwet yohk sripa onngoul saya.
26 Kisha Nebuzaradani, jemedari wa mlinzi, akawachukuwa na kuwaleta kwa mfalme wa Babeli huko Ribla.
Nebuzaradan el usalosla nu yorol tokosra lun Babylonia, nu in siti Riblah
27 Mfalme wa Babeli akawaua huko Ribla katika nchi ya Hamathi. Kwa njia hii, Yuda akaondoka katika nchi yake na kwenda uhamishoni.
in acn Hamath. Na tokosra el sap in sringsring elos ac anwuki. Ouinge mwet Judah utukla liki facl selos nu in sruoh.
28 Hawa walikuwa watu Nebukadneza aliwaamisha: katika mwaka wa saba, Wayudea 3, 023.
Pa inge ma simla ke mwet ma Nebuchadnezzar el usla nu in sruoh: ke yac akitkosr lal in tokosra, el usla mwet tolu tausin longoul tolu;
29 Katika mwaka wa kumi na nane wa Nebukadneza alichukuwa 832 kutoka Yerusalemu.
in yac aksingoul oalkosr lal, el usla mwet oalfoko tolngoul luo liki acn Jerusalem;
30 Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Nebukadneza, Nebuzaradani, jemedari wa walinzi wa mfalme, aliwahamisha Wayudea 745. Jumla ya watu walioamishwa walikuwa 4, 600.
ac in yac aklongoul tolu lal, Nebuzaradan el usla mwet itfoko angngaul limekosr. Pisen mwet nukewa ma utukla nu in sruoh pa tausin akosr onfoko.
31 Ikawa baadaye katika mwaka wa thelathini na saba wa kufungwa kwake Yohoyakini, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na tano ya mwezi, Evili Merodaki, mfalme wa Babeli akamfungua Yehoyakini mfalme wa Yuda kutoka kifungoni. Ilikuwa mwaka ambao Evili Merodaki alianza kutawala.
In yac se ma Evilmerodach el tokosrala lun Babylonia, el akkalemye kulang lal nu sel Tokosra Jehoiachin lun Judah ac tulalla liki kapir. Ma se inge sikyak ke len aklongoul limekosr ke malem aksingoul luo in yac aktolngoul itkosr tukun utukla Jehoiachin nu in sruoh.
32 Akaongea naye kwa upole na akampa kiti cha heshima kuliko cha wafalme wengine aliokuwa pamoja nao huko Babeli.
Evilmerodach el oru wo nu sel, ac akfulatyal liki tokosra nukewa saya su welul sruoh in Babylonia.
33 Evili Merodaki akaondoa mavazi ya gerezani ya Yehoyakini, na Yehoyakini akala chakula cha daima katika meza ya mfalme siku zote zilizosalia za maisha yake.
Ouinge filfilla nu sel Jehoiachin elan ku in ayaolla liki nuknuk in kapir lal, ac welul tokosra mongo ke tepu lal ke lusenna moul lal.
34 Na alipewa posho ya chakula cha kila siku kwa maisha yake yote yaliyosalia mpaka siku ya kufa kwake.
Ke kais sie len, ac itukyang nu sel lupan mwe kasru ma fal nu ke enenu lal, nwe ke na el misa.

< Yeremia 52 >