< Yeremia 52 >
1 Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala; akatawala miaka kumi na mmoja huko Yerusalemu. Jina la mamaye lilikuwa Hamutali; alikuwa binti Yeremia wa Libna.
V jedenmecítma letech byl Sedechiáš, když počal kralovati, a jedenácte let kraloval v Jeruzalémě. Jméno matky jeho bylo Chamutal, dcera Jeremiášova z Lebna.
2 Akafanya maovu machoni pa Yahwe; akafanya kila alichokifanya Yehoyakimu.
I činil to, což jest zlého před očima Hospodinovýma, všecko tak, jakž byl dělal Joakim.
3 Kwa hasira ya Yahwe, matukio haya yote yalitukia Yerusalemu na Yuda, hata alipowatoa mbele yake mwenyewe. Kisha Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.
Nebo se to dálo pro rozhněvání Hospodinovo proti Jeruzalému a Judovi, až je i zavrhl od tváři své. V tom zprotivil se Sedechiáš králi Babylonskému.
4 Ikawa katika mwaka wa tisa wa utawala wa mfalme Sedeki, katika mwezi wa kumi, na siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadneza, mfalme wa Babeli, alikuja na jeshi lake lote dhidi ya Yerusalem. Wakapiga kambi kuukabili, nao wakajenga ukuta wa kuusuria kuuzunguka.
Stalo se pak léta devátého kralování jeho, měsíce desátého, v desátý den téhož měsíce, že přitáhl Nabuchodonozor král Babylonský se vším vojskem svým k Jeruzalému, a položili se u něho, a vzdělali proti němu hradbu vůkol.
5 Hivyo mji ukausuriwa mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa mfalme Sedekia.
A bylo město obleženo až do jedenáctého léta krále Sedechiáše.
6 Katika mwezi wa nne, siku ya tisa ya mwaka huo, njaa ikawa kali sana mjini hata hakukuwa na chakula kwa watu wa nchi.
V kterémžto, měsíce čtvrtého, devátého dne téhož měsíce, rozmohl se hlad v městě, a neměl chleba lid země.
7 Kisha mji ukatobolewa, na wapiganaji wote wakakimbia nje ya mji wakati wa usiku kwa njia ya lango lililokuwa kati ya kuta mbili, kwa bustani ya mfalme, japokuwa Wakaldayo walikuwa wameuzunguka mji. Hivyo wakaenda kwa njia ya Araba.
I prolomeny jsou zdi městské, a všickni muži bojovní utekli, a vyšli z města v noci skrze bránu mezi dvěma zdmi, u zahrady královské, (Kaldejští pak leželi okolo města), a ušli cestou pouště.
8 Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuatia mfalme na kumpata Sedekia katika tambarare za bonde la Mto Yordani karibu na Yeriko. Jeshi lote lilikuwa limetawanyika mbali naye.
I honilo vojsko Kaldejské krále, a postihli Sedechiáše na rovinách Jerišských, a všecko vojsko jeho rozprchlo se od něho.
9 Wakamkamata mfalme na kumleta hadi kwa mfalme wa Babeli huko Ribla katika nchi ya Hamathi, alipotoa hukumu juu yake.
A tak javše krále, přivedli ho k králi Babylonskému do Ribla v zemi Emat, kdežto učinil o něm soud.
10 Mfalme wa Babeli akawachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake, na huko Ribla akawachinja viongozi wote wa Yuda.
I zmordoval král Babylonský syny Sedechiášovy před očima jeho, ano i všecka knížata Judská zmordoval v Ribla.
11 Kisha akayaondoa macho ya Sedekia, akamfunga katika vifungo vya shaba, na kumleta Babeli. Mfalme wa Babeli akamweka kifungoni hata siku ya kufa kwake.
Oči pak Sedechiášovy oslepil, a svázav ho řetězy ocelivými král Babylonský, dal jej dovésti do Babylona, a dal jej do vězení až do dne smrti jeho.
12 Basi mwezi wa tano, siku ya kumi ya mwezi, ambao ulikuwa mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa mfalme Nebukadneza, mfalme wa Babeli, Nebuzaradani akaja Yerusalemu. Alikuwa jemedari wa walinzi wa mfalme na mtumishi wa mfalme wa Babeli.
Potom měsíce pátého, desátého dne téhož měsíce, léta devatenáctého kralování Nabuchodonozora krále Babylonského, přitáhl Nebuzardan, hejtman nad žoldnéři, kterýž sloužíval králi Babylonskému, do Jeruzaléma.
13 Akaiteketeza nyumba ya Yahwe, kasiri, na nyumba zote za Yerusalemu; pia kila jengo mhimu mjini alilichoma.
A zapálil dům Hospodinův, i dům královský, i všecky domy v Jeruzalémě, a tak všecky domy veliké vypálil ohněm.
14 Kama kwa kuta za kuuzunguka Yerusalemu, jeshi lote la Wababeli lililokuwa pamoja na jemedari wa mlinzi wakaviaribu.
Všecky také zdi Jeruzalémské vůkol pobořilo všecko vojsko Kaldejské, kteréž bylo s tím hejtmanem nad žoldnéři.
15 Kama kwa watu maskini sana, watu waliosalia walioachwa katika mji, waliokuwa wamemwendea mfalme wa Babeli, na baadhi ya watu wenye ujuzi - Nebuzaradan, jemedari wa askari walinzi, akawachukua baadhi yao uhamishoni.
Přitom z chaterného lidu, totiž ostatek lidu, kterýž byl zůstal v městě, i poběhlce, kteříž byli ustoupili k králi Babylonskému, a jiný obecný lid zavedl Nebuzardan, hejtman nad žoldnéři.
16 Lakini Nebuzaradani, jemedari wa mlinzi, akawaacha baadhi ya maskini sana wa nchi kuitunza mizabibu na mashamba.
Toliko něco chaterného lidu země zanechal Nebuzardan, hejtman nad žoldnéři, aby byli vinaři a oráči.
17 Lakini kwa nguzo za shaba lilizokuwa katika nyumba ya Yahwe, mishikio na bahari ya shaba iliyokuwa katika nyumba ya Yahwe, Wakaldayo wakaivunja vipande wakaondoka navyo kurudi Babeli.
Nadto sloupy měděné, kteříž byli v domě Hospodinově, i podstavky i moře měděné, kteréž bylo v domě Hospodinově, ztloukli Kaldejští, a odvezli všecku měď z nich do Babylona.
18 Vyungu, makoleo, kinara cha taa, mabakuri, na vitu vyote vya shaba ambavyo makuhani walikuwa wakivitumia hekaluni - Wakaldayo wakavichukua vyote.
Též hrnce. lopaty a nástroje hudebné, a kotlíky a kadidlnice, i všecky nádoby měděné, jimiž sloužili, pobrali.
19 Makalai na chetezo cha uvumba, mabakuri, vyungu, kinara cha taa, vikaango, makalai zilizotengenezwa kwa dhahabu, na zilizotengenezwa kwa dhahabu - kapteni wa mlinzi wa mfalme akazichukua pia.
I medenice a nádoby k oharkům, s kotlíky a hrnci, a svícny, a kadidlnice a koflíky, a cožkoli zlatého a stříbrného bylo, pobral hejtman nad žoldnéři;
20 Nguzo mbili, bahari, na ng'ombe kumi na wawili wa shaba waliokuwa chini yake, vitu Selemani alivyokuwa amevifanya kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vikiwa na shaba nyingi sana isiyoweza kupimwa.
Sloupy dva, moře jedno, a volů dvanáct měděných, kteříž byli pod podstavky, jichž byl nadělal král Šalomoun do domu Hospodinova. Nebylo váhy mědi všech těch nádob.
21 Nguzo zilikuwa na urefu wa dhiraha kumi na nane kila moja, na mstari kuzunguka kila moja wenye urefu wa dhiraha kumi na mbili. Kila moja ilikuwa na unene wa vidole vinne na tundu.
Nebo sloupů těch, osmnácti loket byla výška sloupu jednoho, kterýž okolek měl dvanácti loktů, ztlouští pak čtyř prstů byl dutý.
22 Kichwa cha shaba kilikuwa juu yake. Kichwa kilikuwa dhiraha tano urefu wake, kazi ya waya zinazokingamana na makomamanga kukizunguka. Chote kilitengenezwa kwa shaba. Na nguzo nyingine ilikuwa na makomamanga yake vilikuwa kama ya kwanza.
A makovice na něm měděná, a makovice jedné výška pěti loket, a mřežování i jablka zrnatá na té makovici vůkol; všecko bylo měděné. Takovýž byl i sloup druhý s zrnatými jablky.
23 Hivyo kulikuwa na makomamanga tisini na sita ubavuni mwa kila kichwa, na makomamanga mia moja juu ya nyaya zilizokingamana kukizunguka.
A bylo jablek zrnatých devadesát a šest po každé straně; všudy jablek zrnatých bylo po stu na mřežování vůkol.
24 Jemedari wa mlinzi akamchukua Seraya mfungwa, kuhani mkuu, pamoja na Sefania, kuhani wa pili, na wale mabawaba watatu.
Vzal také hejtman nad žoldnéři Saraiáše kněze předního, a Sofoniáše kněze nižšího, a tři strážné prahu.
25 Kutoka mjini akamchukua mfungwa afsa aliyekuwa juu ya askari, na watu saba wa wale waliomshauri mfalme, waliokuwa wamesalia mjini. Akamchukua mfungwa afsa wa jeshi la mfalme aliyekuwa na wajibu wa kuwaingiza watu katika jeshi, pamoja na watu mashuhuri sitini kutoka katika nchi waliokuwamo mjini.
A z města vzal komorníka jednoho, kterýž byl hejtmanem nad muži bojovnými, a sedm mužů, jenž bývali při králi, kteříž nalezeni byli v městě, a předního spisovatele vojska, kterýž popisoval vojsko z lidu země, a šedesáte mužů z lidu země, kteříž nalezeni byli v městě.
26 Kisha Nebuzaradani, jemedari wa mlinzi, akawachukuwa na kuwaleta kwa mfalme wa Babeli huko Ribla.
Zjímav tedy je Nebuzardan, hejtman nad žoldnéři, přivedl je k králi Babylonskému do Ribla.
27 Mfalme wa Babeli akawaua huko Ribla katika nchi ya Hamathi. Kwa njia hii, Yuda akaondoka katika nchi yake na kwenda uhamishoni.
I pobil je král Babylonský, a zmordoval je v Ribla v zemi Emat, a tak zaveden jest Juda z země své.
28 Hawa walikuwa watu Nebukadneza aliwaamisha: katika mwaka wa saba, Wayudea 3, 023.
Tenť jest lid, kterýž zavedl Nabuchodonozor léta sedmého, Judských tři tisíce a třimecítma.
29 Katika mwaka wa kumi na nane wa Nebukadneza alichukuwa 832 kutoka Yerusalemu.
Léta osmnáctého Nabuchodonozora zavedl z Jeruzaléma duší osm set třidceti a dvě.
30 Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Nebukadneza, Nebuzaradani, jemedari wa walinzi wa mfalme, aliwahamisha Wayudea 745. Jumla ya watu walioamishwa walikuwa 4, 600.
Léta třimecítmého Nabuchodonozora zavedl Nebuzardan, hejtman nad žoldnéři, Judské, duší sedm set čtyřidceti a pět, všech duší čtyry tisíce a šest set.
31 Ikawa baadaye katika mwaka wa thelathini na saba wa kufungwa kwake Yohoyakini, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na tano ya mwezi, Evili Merodaki, mfalme wa Babeli akamfungua Yehoyakini mfalme wa Yuda kutoka kifungoni. Ilikuwa mwaka ambao Evili Merodaki alianza kutawala.
Stalo se také třidcátého sedmého léta po zajetí Joachina krále Judského, dvanáctého měsíce, dvadcátého pátého dne téhož měsíce, povýšil Evilmerodach král Babylonský toho léta, když počal kralovati, Joachina krále Judského, pustiv ho z žaláře.
32 Akaongea naye kwa upole na akampa kiti cha heshima kuliko cha wafalme wengine aliokuwa pamoja nao huko Babeli.
A mluvil s ním dobrotivě, i stolici jeho postavil nad stolice králů, kteříž s ním byli v Babyloně.
33 Evili Merodaki akaondoa mavazi ya gerezani ya Yehoyakini, na Yehoyakini akala chakula cha daima katika meza ya mfalme siku zote zilizosalia za maisha yake.
Změnil též roucho jeho, kteréž měl v žaláři, a jídal chléb před ním vždycky, po všecky dny života svého.
34 Na alipewa posho ya chakula cha kila siku kwa maisha yake yote yaliyosalia mpaka siku ya kufa kwake.
Nebo vyměřený pokrm ustavičně dáván byl jemu od krále Babylonského, a to na každý den, až do dne smrti jeho, po všecky dny života jeho.