< Yeremia 51 >

1 Yahwe asema hivi: Tazama, ninakwenda kuleta upepo wa maangamizi dhidi ya Babeli na dhidi yao waishio ndani ya Leb Kamei.
Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Ba: bilone soge amola ea fi dunu ilima wadela: su fo iasimu.
2 Nitawatuma Babeli wageni. Watamtawanya na wataifanya ukiwa nchi yake, maana watakuja kinyume chake kutoka pote siku ya madhara.
Na da ga fi amo Ba: bilonema doagala: musa: asunasimu. Ilia da fo da bioi gisi amo fulabole gaguli ahoabe defele, Ba: bilone wadela: lesimu. Amo wadela: su eso da doaga: sea, ilia da la: ididili, la: ididili doagala: sea, soge da liligi hamedafa ba: mu.
3 Msiwaache wapiga mishale wakapinda pinde zao; msiwache wakavaa silaha zao. Msiwahifadhi vijana wake wa kiume; litengeni jeshi lake lote kwa maangamizi.
Hedolo doagala: ma! Ba: bilone dunu da ilia ga: su gasisa: lasa: besa: le amola dadiga gala: sa: besa: le, hedolo doagala: ma! Ayeligi dunuma mae asigima! Dadi gagui wa: i huluane gugunufinisima!
4 Maana watu waliojeruhiwa wataanguka katika nchi ya Wakaldayo; waliouawa wataanguka katika mitaa yake.
Ilia da gala: le gagai, moilai bai bagade ilia logo ganodini bogogia: mu.
5 Maana Israeli na Yuda hawajaachwa na Mungu wao, na Yahwe wa majeshi, japokuwa nchi yao imejaa na maasi yaliyotendwa kinyume cha Mmoja aliye Mtakatifu wa Israeli.
Isala: ili fi dunu amola Yuda fi dunu da Na, Isala: ili Hadigi Godedafa, amoma wadela: le hamoi dagoi. Be Na, Hina Gode Bagadedafa, da ela hame yolesi.
6 Kimbieni kutoka Babeli; kila mtu na ajiokoe mwenyewe. Msiangamie katika maasi yake. Maana ni wakati wa kisasi cha Yahwe. Atamlipa kwa yote.
Isala: ili dunu amola Yuda dunu! Ba: bilone soge yolesili, dilia esalusu gaga: ma: ne, hobeama! Ba: bilone da wadela: le hamobeba: le, dilia bogosu ba: mu da defea hame galebe. Na da wali Ba: bilone fi ilima dabe iaha amola ea wadela: i houba: le, se iasu iaha.
7 Babeli alikuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yahwe kilichoinywesha nchi yote; mataifa walikunywa mvinyo wake wakawa wendawazimu.
Ba: bilone da Na lobo ganodini gouliga hamoi faigelei agoane ba: i. Osobo bagade fifi asi gala da amoga nabeba: le, feloale agoane hamoi. Ilia da amo ea waini hano nabeba: le, dadousu hamoi dagoi.
8 Babeli utaanguka ghafla na kuangamizwa. Mwombolezeeni! mpeni dawa kwa maumivu yake; pengine aweza kupona.
Be wali Ba: bilone da hedolowane dafai dagoi amola wadela: lesi dagoi ba: sa. Ea dafabeba: le, didigia: ma! Ea fa: ginisi uhima: ne, manoma lamu.
9 Tulinuia kumponya Babeli, lakini hajaponywa, haya na tumwache twende, katika nchi yetu. Maana hatia yake imefika juu mbinguni; imerundikwa kufika mawinguni.
Ga fi dunu amogawi esalu da amane sia: i, ‘Ninia da Ba: bilone fidimusa: dawa: i galu. Be fidimu eso da baligi dagoiba: le hamedei. Ninia wali e yolesili, ninia sogega buhagimu. Gode da Ea gasa defele, amoga Ba: bilonema se i dagoi. E da amo gugunifinisidafa.’”
10 Yahwe ametamka kwamba sisi hatuna hatia. Njooni, teseme katika Sayuni matendo ya Yahwe Mungu wetu.'
Hina Gode da amane sia: sa, “Na fi dunu da ha: giwane amane wele sia: sa, ‘Hina Gode da ninia hou da moloi, amo olelei dagoi. Hadiga! Ninia asili, Yelusaleme fi dunu ilima ninia Hina Gode Ea hamobe, amo ilima olelela: di.’”
11 Noweni mishale na kuchukua ngao. Yahwe anaiimiza roho ya mfalme wa Umedi katika mpango wa kuiangamiza Babeli. Hii ni kwa kisasi cha Yahwe, kisasi kwa maangamizi ya hekalu lake.
Hina Gode da Ba: bilone amo wadela: musa: ilegei dagoiba: le, E da Midia dunu ilima sia: i. Ba: bilone fi da Ea Debolo wadela: lesi dagoi. Amaiba: le, E da Midia fi amo Ba: bilone fi dunuma dabe imunusa: asunasimu. Doagala: su ouligisu dunu da amane sia: sa, ‘Dilia dadi debema! Dilia ga: su liligi momagema!
12 Inueni bendela juu ya kuta za Babeli; wekeni walinzi. Wekeni waangalizi; wekeni askari waviziao ili kumkamata kila akimbiliaye mjini, maana Yahwe atafanya kile alichokipanga. Atafanya alichokisema juu ya wakaao Babeli.
Ba: bilone gagoi dobea amo doagala: su, dawa: ma: ne hahamosu hou olelema! Sosodo aligisu dunu ilima gasa ima! Sosodo ouligisu dunu ilia hawa: hamosu sogebi amoga masa: ne sia: ma! Dunu eno da wamoaligili desegaligimusa: asunasima!” Hina Gode da Ea sia: i defele, Ba: bilone dunu ilima hamoi dagoi.
13 Enyi mwishio kati ya chemchemi nyingi za maji, ninyi mlio na wingi wa hazina, mwisho wenu umefika. upindo wa maisha yenu umepunguzwa.
Ba: bilone soge da hano bagohame gala, amola liligi noga: i bagade gagui gala. Be ea wadela: mu eso da doaga: i dagoi, amola ea esalusu da fedege agoane efe amo da damunisi dagoi ba: sa.
14 Yahwe wa majeshi ameapa kwa maisha yake, 'nitakujaza na adui zako, kama pigo la nzige; watainua kelele za vita juu yako.'
Hina Gode Bagadedafa da Hi Esalusuba: le ilegei dagoi. E da dunu bagohame, danuba: wa: i defele, Ba: bilone amoga doagala: musa: oule misunu. Amola ilia da hasalabeba: le, ha: giwane wele sia: mu.
15 Ameifanya dunia kwa nguvu zake; akaiweka dunia mahali kwa hekima yake. Kwa ufahamu wake alizitanda mbingu.
Hina Gode da Ea gasaga osobo bagade hamoi; Ea asigi dawa: su noga: i amoga E da osobo bagade hahamoi amola mu amola ilua: i.
16 Anapovuma, kunakuwa na mvumo wa maji mbinguni, maana huleta umande kutoka miisho ya dunia. Hufanya radi kwa ajili ya mvua na kuituma na kuutuma upepo kutoka katika maghala ya nyumba zake.
Ea sia: beba: le, hano muagado dialebe da gobe nabi. E da mu mobi amo osobo bagade bega: diala amo gaguli maha. E da ha: ha: na nene gala: musa: hamosa. Amola Ea fo diasu sesei amoga fo asunasisa.
17 Kila mtu anakuwa kama mnyama asiye na akili; kila mfua chuma ameaibishwa na sanamu zake. Maana mwonekano wake unadanganya; maana hakuna uzima ndani yake.
Amo hou ba: beba: le, dunu da gasa hame amola gagaoui agoane ba: sa. Dunu amo da ilia loboga ogogosu ‘gode’ hamosu, da amo ‘gode’ ilima dafawaneyale dawa: su hou yolesisa. Bai ‘gode’ ilia loboga hamoi liligi da hame esala, hamedei liligi fawane.
18 Hazifai, kazi ya wafanya mzaa; wataangamizwa wakati wa kuadhibiwa kwao.
Ilia da hamedei liligi, amola dunu da ili higamu da defea. Hina Gode da ilima dabe ima: ne masea, ilia da wadela: lesi dagoi ba: mu.
19 Lakini Mungu, urithi wa Yakobo, siyo kama hawa, maana yeye ndiye afanyaye vitu vyote. Israeli ni kabila ya urithi wake; Yahwe wa majeshi ni jina lake.
Be Ya: igobe ea Gode da ili defele hame. Amo Gode Hi da liligi huluanedafa hahamoi. E da Isala: ili fi, Ea Fidafa hamoma: ne ilegei dagoi. Ea Dio da Hina Gode Bagadedafa.
20 Wewe ni nyundo ya vita yao, silaha ya vita yangu. Kwa wewe nitawaponda mataifa na kuharibu falme.
Hina Gode da amane sia: sa, “Ba: bilone! Di da Na ‘ha: ma’ (hammer) gala. Di da Na gegesu liligi. Na da di amoga fifi asi gala amola hina bagade fi amo goudanesi.
21 Kwa wewe nitaponda farasi na wawapandao; kwa wewe nitaponda vibandawazi na madereva wake.
Na da dia lobo amoga hosi, amoga fila heda: i dunu, sa: liode amola ilia genonesisu dunu goudai dagoi.
22 Kwa wewe nitawafutilia mbali mme na mke; kwa wewe nitafutilia mbali mzee na kijana. Kwa wewe nitafutilia mbali kijana wa kiume na wasichana bikra.
23 Kwa wewe nitafutilia mbali wachungaji na makundi yao; kwa wewe nitawafutilia mbali wakulima na jozi zao za kulimia. kwa wewe nitawafutilia mbali watawala na maafsa.
Na da dia loboga dunu, uda da: i hamoi, ayeligi, dunu mano, uda mano, laigebo ouligisu dunu, ilia laigebo wa: i, osobo gidinasu dunu amola ilia hosi, hina bagade dunu amola ilia eagene ouligisu dunu, amo medole lelegei dagoi.
24 Maana mbele yako nitamlipa Babeli na wote wakaao Ukaldayo kwa maovu yote waliyoyafanya huko Sayuni - hili ni tamko la Yahwe.
Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Ba: bilone amola ea fi dunu ilima dabe imunu. Bai ilia da Yelusaleme fi ilima wadela: le bagade hamoi.
25 Tazama, mimi ni kinyume chako, ewe mlima, wewe unayewaharibu watu wengine - hili ni tamko la Yahwe - kuiharibu dunia yote. Nitakupiga na mikono yangu na kuvingirisha chini kutoka ukingo wa kilima. Kisha nitakufanya mlima ulioteketezwa kabisa kwa moto.
Ba: bilone! Di da osobo bagade wadela: su goumi agoane ba: sa. Be Na, Hina Gode, da dia ha lai esala. Na da di gagulaligili, mugululi, di osoboga umi agoane hamone, laluga ulagili, di da nasubu fawane dialebe ba: mu.
26 Hivyo hawatachukua kwako jiwe lolote ili kujengea pembe ya nyumba au msingi; kwani utakuwa ukiwa wa milele - hili ni tamko la Yahwe.
Igi huluane dia mugului ganodini dialebe ba: sea, amo dunu da diasu eno gagumusa: hamedafa lamu. Di da eso huluanedafa wadela: i hafoga: i soge agoane dialebe ba: mu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.
27 Inua bendela ya vita juu ya nchi. Piga tarumbeta katika mataifa. Yaite mataifa yamshambuliye: Ararati, Mini na Ashkenazi. Teua majemedari wa kumshambulia; leta farasi kama nzige warukao.
Ba: bilone amoma doagala: musa: dawa: digisu hahamoma! Fifi asi gala huluane nabima: ne, dalabede fulabole duma. Fifi asi gala da Ba: bilonema doagala: musa: , momagema! Elala: de amola Minai amola A: siegena: se amo hina bagade fi Ba: bilonema doagala: ma: ne sia: ma! Doagala: su ouligima: ne, bisilua dunu ilegema! Hosi wa: i amo danuba: wa: i bagade agoane, oule heda: ma!
28 Waandae mataifa kumshambulia: wafalme wa Umedi na magavana wao, maafsa wake wote na nchi yake yete.
Fifi asi gala da Ba: bilonema doagala: musa: momagema! Midia hina bagade huluane amola ilia ouligisu dunu amola eagene ouligisu dunu amola soge ilia ouligisa amo ilia dadi gagui wa: i huluane, amo misa: ne sia: ma!
29 Maana nchi itatikisika na kudhoofika, kwa kuwa mipango ya Yahwe inaendelea juu ya Babeli, kuifanya nchi ya Babeli kuwa nchi isiyofaa mahali pasipo na mtu.
Osobo bagade da fofogolala! Bai Hina Gode da Ba: bilone soge wadela: lesili, bu hafoga: i dunu hame esalebe soge hamomusa: ilegei dagoi, amola E da amo ilegesu hamonana.
30 Maaskari wameacha kupigana huko Babeli; wamekaa katika ngome zao. Nguvu zao zimeshindwa; wamekuwa wanawake - nyumba zake zipo motoni, makomeo ya malango yake yamevunjika.
Ba: bilone dadi gagui ilia da bu gegenanu yolesili, ilia gagili sali diasu ganodini beda: iwane esala. Ilia da ilia nimi bagade hou fisili, bu gasa hame uda agoane ba: sa. Moilai holei ga: su da mugului dagoi, amola diasu da laluga nenana.
31 Mjumbe hukimbia ili amwambie mjumbe mwingine, na mtoa habari humwambia mtoa habari mwingine ili amwambie mfalme wa Babeli kwamba mji wake umetwaliwa kutoka mwisho hata mwisho.
Sia: adole iasu dunu, eno amola eno bagohame, da Ba: bilone hina bagade ema, ha lai dunu da la: ididili amola la: ididili ea moilai bai bagade amoma doagala: lala, amo adole imunusa: ema doaga: lala.
32 Hivyo vivuko katika mito vimekamatwa; adui anaunguza mafunjo ya bwawa, na wapiganaji wa Babeli wamechanganyikiwa.
Ha lai dunu da hano degesu lai dagoi, amola gagili sali diasu huluane laluga ulagisa. Ba: bilone dadi gagui dunu da beda: i bagadeba: le, hobeamusa: dawa: lala.
33 Maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi: Binti Babeli ni kama sakafu ya kupuria. Ni muda wa kumkanyaga. Ni kitambo kidogo wakati wa mavuno utakuja juu yake.
Ilia ha lai dunu da ili hedofale, ilia da gagoma ha: i manu lamu diasuga osa: gisa amo defele ili ososa: gimu. Na, Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, da sia: i dagoi.”
34 Yerusalemu husema, 'Nebukadneza mfalme wa Babeli amenirarua. Amenikausha na amenifanya kuwa mtungi mtupu. Amenimeza kama joka. Alijishibisha kwa chakula changu chema. Amenitupa mbali.'
Ba: bilone hina bagade da Yelusaleme dadega: le, mai dagoi. E da amo moilai bai bagade faigelei defele, hagia: i dagoi. E da hanome defele, Yelusaleme da: gi dagoi. E da ea hanaiga ea liligi gesowale lale, eno hame lai udigili ha: digi.
35 Wenyeji wa Sayuni watasema, 'Gasia nilizofanyiwa na mwili wangu na ziwe kwa Babeli.' Yerusalem atasema, Damu yangu na iwe juu ya wakaao Ukaldayo.'
Saione fi dunu da amane sia: mu da defea, “Ba: bilone fi da ninima se bagade iabeba: le, Hina Gode da ilima fofada: nanu, ilima se imunu da defea.” Amola Yelusaleme fi dunu da amane sia: mu da defea, “Ba: bilone fi da nini se nabima: ne hamoiba: le, ilisu da dabe lamu da defea.”
36 Kwa hiyo Yahwe asema hivi: Tazama, nikotayari kulitetea shitaka lako na kuleta kisasi kwa ajili yako. Maana nitayakausha maji ya Babeli na kufanya vyanzo vyake kukauka.
Amaiba: le, Hina Gode da Yelusaleme fi dunu ilima amane sia: i, “Na da dilimagale fofada: mu. Na da dilia ha lai ilima dabe imunu. Bai ilia da dilima wadela: le hamoi. Na da ilia hano huluane hafoga: ma: ne hamomu.
37 Babeli utakuwa rundo la magofu, pango la mbwea, sehemu itishayo, kitu cha kutoa sauti ya nyoka, pasipo na watu.
Ba: bilone soge da mugului liligi lelegela heda: i agoane ba: mu. Amo ganodini, sigua ohe fawane esalebe ba: mu. Amo soge da wadela: idafa agoane ba: mu. Dunu da amo ganodini hame esalumu amola nowa da amo soge ba: sea da bagadewane beda: mu.
38 Wababeli wataunguruma kwa pamoja kama wanasimba. Watanguruma kama watoto wa simba.
Ba: bilone dunu da laione wa: me agoane husa amola laione wa: me mano agoane halahalasa.
39 wanapopashwa moto kwa hasira, nitawafanyia sherehe; nitawalewesha hata wafurahi, na kisha kulala usingizi usio na mwisho hata wasiamke - hili ni tamko la Yahwe -
Ilia da uasu dunu! Na da ili feloama: ne amola hahawane ba: ma: ne, ilima lolo nabe hahamomu. Ilia da golale, hamedafa nedigimu.
40 nitawapeleka chini kama wanakondoo kwa mchinjaji, kama kondoo dume pamoja na mbuzi majike.
Dunu da sibi mano amola goudi amola sibi gawali amo medole legemusa: oule ahoa, amo defele Na da Ba: bilone dunu medole legemusa: oule masunu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
41 Jinsi Babeli ulivyotekwa! Hivyo fahari ya dunia yote imekamatwa. Jinsi Babeli ulivyofanyika sehemu yenye magofu kati ya mataifa.
Hina Gode da amane sia: sa, “Ba: bilone (moilai bai bagade Ba: bilone soge ganodini) amoma osobo bagade fifi asi gala huluane da nodosu. Be wali amo da ea ha lai amoga gagulaligi dagoi. Wali fifi asi gala da Ba: bilone wadela: idafa hamoi ba: sa.
42 Bahari imekuja juu ya Babeli! Amefunikwa na mawimbi yavumayo.
Fedege agoane, hano wayabo bagade da Ba: bilone dedeboi dagoi. Ea gafului da fugala: le, ema dedeboma: ne asi dagoi.
43 Miji yake imekuwa ukiwa, sehemu kame na nyika, nchi isiyo na watu, na hakuna mtu apitaye hapo.
Moilai huluane da beda: ma: ne wadela: idafa ba: sa. Ilia da hano hamedene hafoga: i soge agoane ba: sa. Amo ganodini, dunu da hame esala amola amogawi hame ahoa.
44 Hivyo nitamwadhibu Beli huko Babeli; nitakitoa kinywani mwake alichokimeza, na mataifa hawatamminikia tena pamoja na wazao wao. Kuta za Babeli zitaanguka.
Na da Ba: bilone ogogosu ‘gode’ Bele, ema se imunu. Amola ea wamolai liligi bu samogemu. Fifi asi gala da ema bu hame nodone sia: ne gadomu. Ba: bilone gagoi ea dobea da mugului dagoi.
45 Tokeni kati yake, enyi watu wangu. Kila mmoja wenu aokowe maisha yake kutoka katika hasira ya gadhabu yangu.
Isala: ili dunu! Amo soge fisili, hobeama! Na ougi bagadedafa mae ba: ma: ne, dilia esalusu gaga: ma: ne, hobeama!
46 Msiache mioyo yenu ikaogopa au kuhofu habari iliyosikiwa nchini, maana habari itakuja siku moja. Baada yake mwaka unaofuata kutakuwa na habari, na ghasia zitakuwa nchini. Mtawala atakuwa kinyume cha mtawala.
Dilia da udigili sia: dabe nababeba: le, mae beda: ma! Ode huluane amoga dilia da udigili sia: daha naba. Amo da udigili gegesu sia: dalebe, amola hina bagade eno da eno hina bagade amoma gegemusa: sia: dala.
47 Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja nitakapoadhibu sanamu za Babeli. Nchi yake yote itaaibika, na wote waliochinjwa wataanguka ndani yake.
Amaiba: le, eso da misunu, amoga Na da Ba: bilone ogogosu ‘gode’ ilima se imunu. Soge fi huluane da gogosiasu ba: mu amola dunu huluane da medole legei dagoi ba: mu.
48 Kisha mbingu na nchi, na vyote vilivyomo ndani yake vitafurahi juu ya Babeli. Maana mwalibifu atamwijia kutoka kaskazini - hili ni tamko la Yahwe.
Gagoe (north) fi amo da Ba: bilone wadela: musa: misini, amola Ba: bilone gugunufinisi dagoi ba: sea, liligi huluane osobo bagadega amola muagado amoga diabe, da hahawaneba: le, wele sia: mu.
49 “Kama Babeli alivyowafanya waliouawa wa Israeli kuanguka, hivyo waliouawa katika nchi yake wataanguka katika Babeli.
Ba: bilone fi da hamobeba: le, fifi asi gala huluane ilia fi dunu bagohame da bogogia: i dagoi. Amola wali, Ba: bilone fi dunu da Isala: ili dunu bagohame medole legeiba: le, Ba: bilone da dafamu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
50 Ondokeni!, manusura wa vita, Msikawiye. Mkumbukeni Yahwe tokea mbali; Yerusalemu na ikumbukwe.
Hina Gode da Ea fi dunu Ba: bilone soge ganodini esala, ilima amane sia: sa, “Dilia da bogosu giadofai - hame ba: i. Amaiba: le, wali masa! Mae ouligima! Dilia da dilia soge amoga ga sedagawane esala. Be Na, dilia Hina Gode, amo dilia bu dawa: ma! Amola Yelusaleme mae gogolema!
51 Tumeaibika, maana tumesikia matusi; dhihaka imefunika nyuso zetu, maana wageni wameingia mahali patakatifu pa nyumba ya Yahwe.
Dilia da amane sia: sa, ‘Ninia da gogosiasu lai dagoi. Ninia da gasa hame amola hamedei ba: sa. Bai ga fi da hadigi sogebi Debolo ganodini diala, amo huluane lale ouligi dagoi.
52 Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja - hivi ndivyo asemavyo Yahwe - nitakapoziadhibu sanamu zake, na waliojeruhiwa watanung'unika kwa maumivu katika nchi yake yote.
Amaiba: le, Na da amane sia: sa. Eso da misunu, amoga Na da Ba: bilone loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima se imunu. Amola soge huluane amo ganodini fa: ginisi dunu da se nababeba: le, gogonomamu.
53 Maana hata kama Babeli angepanda mbinguni au kujenga ngome zake ndefu, aharibuye kutoka kwangu angemwendea - hili ni tamko la Yahwe.
Ba: bilone da muagado amoga heda: le, gasa bagade gagili sali diasu gagumu, amo defele esalaloba, Na da dunu ili amo wadela: lesima: ne asunasila: loba. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
54 Kelele ya maangamizi ilitoka Babeli, anguko kubwa kutoka nchi ya Wakaldayo.
Hina Gode da amane sia: sa, “Ba: bilone soge amoga digini wele sia: su, amola soge wadela: lesi dagoiba: le, da: i dione didigia: su amo nabima!
55 Maana Yahwe anaiharibu Babeli. Anaifanya kelele ya sauti yake kuisha. Adui zake wanaunguruma kama mawimbi ya maji mengi; kelele yao imekuwa na nguvu.
Na da Ba: bilone wadela: lesilala. Amo soge da ouiya: le dialumu. Dadi gagui dunu wa: i ilia da hano gafului agoane, ganodini hehenasa. Ilia da ha: giwane halale, Ba: bilonema doagala: sa.
56 Maana aharibuye amekuja kinyume chake - kinyume cha Babeli! - na shujaa wake wametekwa. Pinde zao zimevunjwa, maana Yahwe ni Mungu wa kisasi; atatekeleza kisasi hiki.
Ilia da Ba: bilone gugunufinisimusa: misi dagoi. Ba: bilone dadi gagui dunu da ilia ha lai amoga gagulaligi dagoi ba: sa. Ilia dadi da fi dagoi. Na, Gode, da wadela: i hou amoma se iaha. Na da Ba: bilone amoma ilia hamoi defele dabe imunu.
57 Maana nitawafanya wana wafalme wake, wenye hekima wake, maofsa wake, na maaskari wake kulewa, nao watalala usingizi kwa usingizi usioisha na bila kuamka - hili ni tamko la mfalme: Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
Na da Ba: bilone ouligisu dunu (ilia bagade dawa: su dunu, ouligisu dunu amola dadi gagui dunu) amo feloama: ne hamomu. Ilia da golale, hamedafa nedigimu. Na, Hina Bagadedafa, da sia: i dagoi. Na da Hina Gode Bagadedafa.
58 Yahwe wa majeshi asema hivi: Ukuta mnene wa Babeli utaangushwa kabisa, na malango marefu yataunguzwa. Kisha watu wanaokuja kumsaidia watafanya kazi isiyofaa; kila mataifa wanachojaribu kikifanya kwa ajili yake kitateketezwa kwa moto.”
Ba: bilone ea gagoi dobea da osoboga gisalugala: i dagoi ba: mu. Ea gadodili heda: i logo holei ga: su da laluga nei dagoi ba: mu. Fifi asi gala huluane da amo moilai bai bagade gagui be ilia udigili hawa: hamoi. Ilia hamoi liligi da lalu sawa: amoga nei dagoi ba: sa. Na, Hina Gode Bagadedafa, da sia: i dagoi.”
59 Hili ndilo neno Yeremia nabii alilomwamru Seraya mwana wa Neria mwana wa Makseya alipokwenda na Sedekia mfalme wa Yuda huko Babeli katika mwaka wa nne wa kutawala kwake. Basi Seraya alikuwa afsa mwandamizi.
Hina bagade Sedegaia ea hawa: hamosu dunu da Sila: ia (Nilaia egefe amola Masaia ea aowa). Yuda hina bagade Sedegaia ea ode biyadu ouligibiga, Sila: ia da e amola gilisili Ba: bilone sogega masusa: dawa: i. Na da ema meloa dedene i.
60 Maana Yeremia alikuwa ameandika katika gombo kuhusu madhara yote yeliyokuwa yakienda kutendeka juu ya Babeli - maneno haya yote yaliyokuwa yameandikwa juu ya Babeli
Na da Ba: bilone fi ilima gugunufinisila misunu hou, amola Ba: bilone liligi huluane amo meloa ganodini dedei.
61 Yeremia akamwambia Seraya, “Unapokwenda Babeli, hakikisha unayasoma maneno haya yote.
Na da Sila: iama amane sia: i, “Di da Ba: bilone sogega doaga: sea, sia: huluane amo meloa ganodini dedei, amo dunu huluane nabima: ne idima.
62 Nawe utasema, 'Yahwe, wewe! - wewe mwenyewe umesema kwamba utapaharibu mahali hapa. Hapatakuwa na wa kukaa, kwamba ni watu au wanyama. Patakuwa nchi isiyofaa daima.'
Amasea, di amane sia: ne gadoma, ‘Hina Gode! Di da amo soge wadela: ma: ne sia: i. Amola amo ganodini esalebe liligi, dunu o ohe esalebe hame ba: mu amola amo soge eso huluanedafa hafoga: i soge agoane dialoma: ne, Di da sia: i dagoi.’
63 Kisha mtakapomaliza kusoma gombo hili, funga jiwe kubwa juu yake na ulitupe katikati ya Frati.
Sila: ia! Di da amo buga dunu nabima: ne idi dagosea, amoga igi la: gili, Iufala: idisi Hano amoga gelasa: ima: ne ha: digima.
64 Sema, 'Babeli utazama kama hivi. Hautainuka kwa sababu ya mabaya ninayoyapeleka juu yake, nao wataanguka.” Maneno ya Yeremia yanaishia hapa.
Amola amane sia: ma ‘Amo hou defele da Ba: bilone amoma doaga: mu. Ba: bilone da magufale, bu hamedafa heda: mu. Bai Hina Gode da gugunufinisisudafa amoga iasimu.’” Yelemaia ea sia: da amogawi dagosa.

< Yeremia 51 >