< Yeremia 50 >
1 Hili ni neno alilolisema Yahwe juu ya Babeli, nchi ya Wakalidayo, kwa mkono wa Yeremia nabii,
The word which the Lord spak of Babiloyne, and of the lond of Caldeis, in the hond of Jeremye, the profete.
2 “Wajulishe mataifa ili wasikie. Toa ishara ili wasikie. Usiiache. Sema, 'Babeli imetwaliwa. Beli ameaibika. Merodaki amefadhaika. Sanamu zake zimeaibishwa; vinyago vyake vimefadhaika
Telle ye among hethene men, and make ye herd; reise ye a signe; preche ye, and nyle ye holde stille; seie ye, Babiloyne is takun, Bel is schent, Maradach is ouer comun; the grauun ymagis therof ben schent, the idols of hem ben ouer comun.
3 Taifa kutoka kaskazini litainuka kinyume chake, ili kuifanya nchi yake ukiwa. Hakuna hata mmoja, awe mtu au mnyama, atakayeishi ndani yake. Wataondoka.
For a folk schal stie fro the north ayenus it, which folk schal sette the lond therof in to wildirnesse; and noon schal be that schal dwelle therynne, fro man `til to beeste; and thei ben moued, and yeden a wei.
4 Katika siku hizo na wakati huo - hili ni tamko ya Yahwe - watu wa Israeli na watu wa Yuda watakusanyika ili kwenda kwa kulia na kumtafuta Yahwe Mungu wao.
In tho daies, and in that tyme, seith the Lord, the sones of Israel schulen come, thei and the sones of Juda togidere, goynge and wepynge; thei schulen haaste, and seke her Lord God in Sion,
5 Watauliza njia ya kwenda Sayuni nao watakwenda huko, wakisema, tutakwenda wenyewe ili kuungana na Yahwe katika agano la milele lisilosahaulikal
and thei schulen axe the weie. Hidur the faces of hem schulen come, and thei schulen be set to the Lord with boond of pees euerlastynge, which schal not be don awei by ony foryetyng.
6 Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea. Wachungaji wao wamewapoteza milimani; wamewageuza kutoka mlima hata mlima. Walikwenda, wakasahau mahali walipokuwa wanaishi.
My puple is maad a lost floc, the scheepherdis of hem disseyueden hem, and maden to go vnstabli in hillis; thei passiden fro mounteyn in to a litil hil, thei foryaten her bed.
7 Kila awaendeaye anawararua. Washitaki wao walisema, 'Hatuna hatia, kwa sababu walimtenda dhambi Yahwe, nyumbani kwao halisi - Yahwe, tumaini la mababu zao.'
Alle men that founden, eeten hem, and the enemyes of hem seiden, We synneden not, for that thei synneden to the Lord, the fairnesse of riytfulnesse, and to the Lord, the abidyng of her fadris.
8 Tokeni kati ya Babeli; tokeni katika nchi ya Wakalidayo; iweni kama wafanyavyo mabeberu mbele ya kundi lote.
Go ye awei fro the myddis of Babiloyne, and go ye out of the lond of Caldeis, and be ye as kydis bifore the floc.
9 Maana tazama, ninaelekea kupeleka na kuinua kinyume cha Babeli kundi la mataifa makubwa kutoka kaskazini. Yatajipanga yenyewe kinyume chake. Kutoka hapo Babeli utatekwa. Mishale yao ni kama shujaa mzoefu asiyerudi mikono tupu.
For lo! Y schal reise, and brynge in to Babiloyne the gaderyng togidere of grete folkis, fro the lond of the north; and thei schulen be maad redi ayens it, and it schal be takun in the dai; the arowe therof as of a strong man a sleere, schal not turne ayen voide.
10 Ukaldayo itakuwa mateka. Wate waitekao wataridhika - asema Yahwe.
And Caldee schal be in to prey, alle that distrien it, schulen be fillid, seith the Lord.
11 Mnafurahi, mnasherehekea kuteka urithi wangu; mnarukaruka kama ndama anayekanyaga katika malisho yake; mnalia kama farasi mwenye nguvu.
For ye maken ful out ioye, and speken grete thingis, and rauyschen myn eritage; for ye ben sched out as caluys on erbe, and lowiden as bolis.
12 Hivyo mama yenu ataaibika sana; aliyewazaa atafadhaika. Tazama, atakuwa wa mwisho katika mataifa, nyika, nchi kame, na jangwa.
Youre modir is schent greetli, and sche that gendride you, is maad euene to dust; lo! sche schal be the last among folkis, and forsakun, with out weie, and drie.
13 Kwa sababu ya hasira ya Yahwe, Babeli haitakaliwa, lakini itakuwa ukiwa mtupu. Kila apitaye kando ataogopa kwa sababu ya Babeli na atatoa sauti kwa sababu ya majeraha yake.
For the wraththe of the Lord it schal not be enhabitid, but it schal be dryuun al in to wildirnesse; ech that schal passe bi Babiloyne, schal wondre, and schal hisse on alle the woundis therof.
14 Jipangeni wenyewe kumzunguka Babeli kinyume chake. Kila apindaye upinde na ampige. Msizuie mshale wenu wowote, maana amemtenda dhambi Yahwe.
Alle ye that beenden bowe, be maad redi ayens Babiloyne bi cumpas; ouercome ye it, spare ye not arowis, for it synnede to the Lord.
15 Pigeni kelele za ushindi kinyume chake ninyi nyote mmzungukao. Amesalimu mamlaka yake; minara yake imeanguka. Kuta zake zimebomolewa, maana hiki ni kisasi cha Yahwe. Jilipizeni kisasi juu yake! Mtendeeni kama alivyoyatenda mataifa mengine.
Crye ye ayens it, euery where it yaf hond; the foundementis therof fellen doun, and the wallis therof ben distried; for it is the veniaunce of the Lord. Take ye veniaunce of it; as it dide, do ye to it.
16 Waaribuni wote mkulima apandaye mbegu naye atumiaye mundu wakati wa mavuno katika Babeli. Haya kila mtu na arudi kwa watu wake kutoka upanga wa mtesaji; na wakimbilie katika nchi yao wenyewe.
Leese ye a sowere of Babiloyne, and hym that holdith a sikil in the tyme of heruest, fro the face of swerd of the culuer; ech man schal be turned to his puple, and ech man schal flee to his lond.
17 Israeli ni kondoo aliyetawanywa na kupelekwa na simba mbali. Kwanza mfalme wa Ashuru alimrarua; kisha baadaye, Nebukadneza mfalme wa Babeli akavunja mifupa yake.
Israel is a scaterid flok, liouns castiden out it; first kyng Assur eete it, this laste Nabugodonosor, kyng of Babiloyne, dide awei the bonys therof.
18 Kwa hiyo Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi: Tazama, nitamwadhibu mfalme wa Babeli na nchi yake, kama nilivyomwadhibu mfalme wa Ashuru.
Therfor the Lord of oostis, God of Israel, seith these thingis, Lo! Y schal visite the kyng of Babiloyne, and his lond, as Y visitide the kyng of Assur;
19 Nitamrudisha Israeli katika nchi yake; atajilisha katika Karmeli na Bashani. Kisha atajishibisha katika nchi ya kilima ya Efraimu na Gileadi.
and Y schal brynge ayen Israel to his dwellyng place. Carmele and Baasan schal be fed, and his soule schal be fillid in the hil of Effraym, and of Galaad.
20 Siku hizo na wakati huo, asema Yahwe, uovu utatafutwa katika Israeli, lakini hautaonekana. Nitauliza kuhusu dhambi za Yuda, lakini hazitaonekana, maana nitawasamehe mabaki niliowaacha.”
In tho daies, and in that tyme, seith the Lord, the wickidnesse of Israel schal be souyt, and it schal not be; and the synne of Juda schal be souyt, and it schal not be foundun; for Y schal be merciful to hem, whiche Y schal forsake.
21 Inuka dhidi ya nchi ya Merathaimu, kinyume chake nao waishio Pekodi. Wapigeni kwa makali ya upanga na mwatenge kwa ajili ya maangamizo - asema Yahwe - fanyeni kila ninachowaamru.
Stie thou on the lond of lordis, and visite thou on the dwelleris therof; scatere thou, and sle tho thingis, that ben aftir hem, seith the Lord; and do thou bi alle thingis which Y comaundide to thee.
22 Sauti ya vita na maangamizi ya kustaajabisha yamo katika nchi.
The vois of batel and greet sorewe in the lond.
23 Jinsi gani nyundo ya mataifa yote imekatiliwa mbali na kuharibiwa. Jinsi Babeli amekuwa kitu cha kushangaza kati ya mataifa.
Hou is the hamer of al erthe brokun and al defoulid? hou is Babiloyne turned in to desert, among hethene men?
24 Nimetega mtego dhidi yako. Umenaswa, Babeli, nawe haukutambua! Ulionekana na kukamatwa, tangu uliponidhihaki, Yahwe.
Babiloyne, Y haue snarid thee, and thou art takun, and thou wistist not; thou art foundun, and takun, for thou terridist the Lord to wraththe.
25 Yahwe amefungua ghala lake la silaha na anachukua silaha kwa ajili ya kutekekeleza hasira yake. Kuna kazi kwa ajili ya Yahwe wa majeshi katika nchi ya Wakaldayo.
The Lord openide his tresour, and brouyte forth the vessels of his wraththe; for whi a werk is to the Lord God of oostis in the lond of Caldeis.
26 Mshambulie kutokea mbali. Fungua maghala yake ya chakula na kumrundika kama marundo ya nafaka. Mtenge mbali na maangamizi. Usimbakizie masalia.
Come ye to it fro the fertheste endis, opene ye, that thei go out, that schulen defoule it; take ye awei stoonys fro the weie, and dryue ye in to heepis, and sle ye it, and nothing be residue.
27 Ua madume wake wote wa ng'ombe. Washushe sehemu ya machinjio. Ole wao, maana siku yao imefika - wakati wa kuadhibiwa kwao.
Distrie ye alle the stronge men therof, go thei doun in to sleynge; wo to hem, for the dai of hem cometh, the tyme of visityng of hem.
28 Kuna sauti ya wale wanaokimbia, walionusurika, katika nchi ya Babeli. Hawa watatoa taarifa ya kisasi cha Yahwe Mungu wetu kwa Sayuni, kisasi kwa hekalu lake.”
The vois of fleeris, and of hem that ascapiden fro the lond of Babiloyne, that thei telle in Sion the veniaunce of oure Lord God, the veniaunce of his temple.
29 Ita wapiga pinde dhidi ya Babeli - wale wote wapindao pinde zao. Piga kambi kinyume chake, na msimwache yeyote kutoroka. Mlipeni kwa kile alichofanya. Mfanyieni kwa kipimo alichotumia. Maana amemdharau Yahwe, Mtakatifu wa Israeli.
Telle ye ayens Babiloyne to ful many men, to alle that beenden bowe. Stonde ye togidere ayens it bi cumpas, and noon ascape; yelde ye to it aftir his werk, aftir alle thingis whiche it dide, do ye to it; for it was reisid ayens the Lord, ayens the hooli of Israel.
30 Hivyo vijana wake wataanguka katika viwanja vya mji, na wapiganaji wake wote wataangamizwa siku hiyo - hili ni tamko la Yahwe.”
Therfor yonge men therof schulen falle doun in the stretis therof, and alle men werriours therof schulen be stille in that dai, seith the Lord.
31 Tazama, mimi ni kunyume chako, mwenye majivuno - hili ni tamko la Bwana Yahwe wa majeshi - maana siku yako imefika, mwenye kiburi, wakati nitakapokuadhibu.
Lo! thou proude, Y to thee, seith the Lord God of oostis, for thi dai is comun, the tyme of thi visitacioun.
32 Hivyo wenye kiburi watajikwaa na kuanguka. Hakuna atakaye wainua. Nitawasha moto katika miji yao; utateketeza kila kitu kati yake.
And the proude schal falle, and schal falle doun togidere, and noon schal be, that schal reise hym; and Y schal kyndle fier in the citees of hym, and it schal deuoure alle thingis in cumpas of it.
33 Yahwe wa majeshi asema hivi: watu wa Israeli wamenyanyaswa, pamoja na watu wa Yuda. Wate waliowateka bado wanawashikilia; wanakataa kuwaacha waondoke.
The Lord of oostis seith these thingis, The sones of Israel and the sones of Juda togidere suffren fals caleng; alle that token hem, holden, thei nylen delyuere hem.
34 Yeye awaokoaye ni mwenye nguvu. Yahwe wa majeshi ni jina lake. Kwa hakika atalitetea shitaka lao, ili kuleta pumziko katika nchi, na kuwapiga wakaao Babeli.
The ayenbyere of hem is strong, the Lord of oostis is his name; bi dom he schal defende the cause of hem, that he make the lond aferd, and stire togidere the dwelleris of Babiloyne.
35 Upanga u juu ya Wakalidayo - asema Yahwe - na juu ya wakaao Babeli, viongozi wake, na wenye hekima wake.
A swerd to Caldeis, seith the Lord, and to the dwelleris of Babiloyne, and to the princes, and to the wise men therof.
36 Upanga unakuja juu ya waganga, ili wajione kuwa wajinga. Upanga utakuwa juu ya askari wake, hivyo watajaa hofu.
A swerd to the false dyuynours therof, that schulen be foolis; a swerd to the stronge men therof, that schulen drede.
37 Upanga utakuwa juu ya farasi wake, vibandawazi vyao na na watu wote waliomo Babeli, hivyo watakuwa kama wanawake. Upanga utakuwa juu ya ghala zake, nazo zitatekwa.
Swerd to the horsis therof, and to the charis therof, and to al the comyn puple whiche is in the myddis therof, and thei schulen be as wymmen; a swerd to the tresours therof, that schulen be rauyschid.
38 Ukame unakuja juu ya maji yake, hivyo yatakauka. Maana ni nchi ya miungu wasiofaa, na wanafanya kama watu waliofanywa punguani kwa miungu yao isiyosaidia.
Drynesse schal be on the watris therof, and tho schulen be drye; for it is the lond of grauun ymagis, and hath glorie in false feynyngis.
39 Hivyo wanyama wa jangwani wakaishi na mbwea wataishi huko, na watoto wa mbuni wataishi ndani yake. Kwa muda wote, hatakaliwa tena. Kutoka kizazi hata kizazi, hatakaliwa tena na watu.
Therfor dragouns schulen dwelle with fonned wielde men, and ostrigis schulen dwelle therynne; and it schal no more be enhabitid `til in to with outen ende, and it schal not be bildid `til to generacioun and generacioun;
40 Kama vile Mungu alivyoziangamiza Sodoma na Gomora na majirani zake - asema Yahwe - hakuna atakayeishi huko; hakuna mtu atakayekaa ndani yake.”
as the Lord distriede Sodom and Gomorre, and the niy citees therof, seith the Lord. A man schal not dwelle there, and the sone of man schal not dwelle in it.
41 “Tazama, watu wanakuja kutoka kaskazini, maana taifa kubwa na wafalme wengi wamemtikisa kutokea mbali.
Lo! a puple cometh fro the north, and a greet folc, and many kyngis schulen rise togidere fro the endis of erthe.
42 Watachukua pinde na mishale. Ni wakatili na hawana huruma. Sauti yao ni kama mngurumo wa bahari, na wamepanda farasi katika mpangilio kama watu wapiganao, dhidi yako, bindi Babeli.
Thei schulen take bowe and swerd, thei ben cruel and vnmerciful; the vois of hem schal sowne as the see, and thei schulen stie on horsis as a man maad redi to batel, ayens thee, thou douyter of Babiloyne.
43 Mfalme wa Babeli amesikia habari yao na mikono yake imelegea kwa huzuni. Mashaka yamemshika kama mwanamke katika utungu.
The kyng of Babiloyne herde the fame of hem, and hise hondis ben aclumsid; angwisch took hym, sorewe took hym, as a womman trauelynge of child.
44 Tazama! Anakwenda juu kama simba atokaye katika miinuko ya Yordani kuelekea katika eneo la malisho ya uvumilivu. Maana kwa haraka nitawafanya wakimbie kutoka humo, nami nitamweka mtu aliyechaguliwa kwa uangalizi wake. Maana ni nani aliye kama mimi, na ni nani atakayeniagiza? Mchungaji gani awezaye kunizuia?
Lo! as a lioun he schal stie fro the pride of Jordan to the stronge fairnesse, for Y schal make hym to renne sudenli to it; and who schal be the chosun man, whom Y schal sette bifore him? For who is lijk me? and who schal suffre me? and who is this scheepherde, that schal ayenstonde my cheer?
45 Sikilizeni mipango ambayo Yahwe ameamua juu ya Babeli, mipango aliyonayo dhidi ya nchi ya Wakaldayo. Kwa hakika wataondolewa, hata kundi dogo zaidi. Eneo lao la malisho litageuzwa kuwa sehemu zenye magofu.
Therfore here ye the councel of the Lord, which he conseyuede in mynde ayens Babiloyne, and hise thouytis, whiche he thouyte on the lond of Caldeis, no but the litle of the flockis drawen hem doun, no but the dwellyng place of hem be destried with hem, ellis no man yyue credence to me.
46 Kwa sauti ya kuangushwa kwa Babeli nchi inatikisika, na sauti ya mateso yao inasikiwa kati ya mataifa.”
The erthe is mouyd of the vois of caitiftee of Babiloyne, and cry is herd among hethene men.