< Yeremia 5 >
1 Kimbieni mkapite katika mitaa ya Yerusalemu, Tafuteni katika viwanja vyake. Kama mtaweza kumpata hata mtu mmoja anayetenda kwa haki na kufanya kwa uaminifu, basi nitaisamehe Yerusalemu.
Parcourez les rues de Jérusalem, voyez et informez-vous, cherchez dans ses places si vous y trouverez un homme, s'il en est un seul qui fasse la justice et qui désire la foi; et je leur pardonnerai, dit le Seigneur.
2 Hata kama wanasema, 'Kama BWANA aishivyo,' wanaapa uongo.”
Ils disent: Vive le Seigneur! et en cela ne font-ils pas un faux serment?
3 BWANA, macho yako hayatazami uaminifu? Unawapiga watu, lakini hawasikii maumivu. Umewaangsmiza kabisa, lakini bado wanakataa kuwa waadilifu. Wanafanya nyuso zao kuwa ngumu kama mwamba. kwa kuwa wanakataa kutubu.
Seigneur, vos yeux considèrent la foi; vous les avez flagellés, et ils ne l'ont point senti; vous les avez consumés, et ils n'ont point profité de la correction. Ils se sont fait un front plus dur que le roc, et n'ont point voulu se convertir.
4 Kwa hiyo nilisema, “Hakika hawa ni watu masikini, Ni wapumbavu, Kwa kuwa hawazijui njia za BWANA, wala maagizo ya Mungu wao.
Et j'ai dit: Peut-être sont-ils pauvres, et est-ce pour cela qu'ils sont faibles, et n'ont connu ni la voie du Seigneur ni le jugement de Dieu.
5 Nitaenda kwa watu wa muhimu na kutangaza ujumbe wa Mungu kwao, kwa kuwa angalau wanazijua njia za BWANA, maagizo ya Mungu wao. Lakini wote wanavunja nira yao pamoja; wote wanaivunja ile minyororo inayowafunga kwa ajili ya Mungu.
J'irai donc vers les riches, et je leur parlerai; car ceux-là ont appris à connaître la voie du Seigneur et le jugement de Dieu; mais voilà qu'unanimement ils ont brisé le joug et mis en pièces les liens.
6 Kwa hiyo simba kutoka mwituni atawavamia. Mbweha kutoka Arabaha atawaangamiza. Chui ataivunja miji yao. Mtu yeyota anayeenda nje ya mji wake atavunjwavunjwa. Kwa kuwa maovu yao yameongezeka. Matendo yao ya uasi hayana ukomo.
C'est pourquoi, le lion sortant de la forêt les a blessés, et le loup les a détruits jusque dans leurs demeures, et la panthère s'est élevée contre leurs cités. Quiconque est issu d'eux sera poursuivi comme une proie, parce qu'ils ont multiplié leurs impiétés et se sont endurcis dans leurs rébellions.
7 Kwa nini niwasamehe hawa watu? Wana wenu wameniacha na wamefanya viapo na wale ambao si miungu. Niliwalisha vya kutosha, lakini wamefanya uasherati na kuchukua alama za nyumba ya uzinzi.
Comment puis-je leur être propice? Tes fils m'ont délaissé, et ils ont juré par ce qui n'est point Dieu; je les ai nourris en abondance, et ils ont commis des adultères, et ils ont logé dans les maisons des prostituées.
8 Walikuwa farasi wanaotafuta kupandwa. Walitembea huku na huku wakitafutwa kupandwa. Kila mwanamume alimkaribia mke wa jirani yake.
Ils sont devenus comme des chevaux courant après des cavales; chacun; s'est mis à hennir auprès de la femme de son prochain:
9 Kwa hiyo kwa nini nisiwaadhibu - asema BWANA - na kwa nini nisijilipizie kisasi juu ya taifa kama hili?
Est-ce que je ne les visiterai pas pour ces choses? dit le Seigneur; est- ce que mon âme ne tirera pas vengeance d'un tel peuple?
10 Nenda hadi kwenye kuta za shamba lake la mizabibu na zihariibuni. Lakini wao msiwaharibu kabisa. Ondoeni matawi kwa sababu hayatoki kwa BWANA.
Montez sur ses créneaux et renversez-les; mais ne la détruisez pas de fond en comble; laissez-en les fondations, parce qu'elles appartiennent au Seigneur.
11 Kwa sababu nyumba ya Yuda na Israeli wamenisaliti kabisa - asema BWANA -
Parce que la maison d'Israël et la maison de Juda ont gravement prévariqué contre moi, dit le Seigneur.
12 na wamenikataa. Wanasema, ''Yeye si halisi. Maovu hayawezi kutupata, wala hatutaona upanga wala njaa.
Elles ont menti au Seigneur, disant: Les choses ne sont pas ainsi, les maux ne viendront pas sur nous, et nous ne verrons ni le glaive ni la famine.
13 Kwa kuwa manabii wamekuwa si kitu kama upepo na hakuna mtu mwiingine wa kunena ujumbe wa BWANA kwetu. Vitisho vyao na viwjie wao wenyewe.”'
Nos prophètes ont parlé en l'air, et la parole du Seigneur n'était pas en eux.
14 Kwa hiyo BWANA, Mungu wa majeshi asema hivi, tazama nataka kuweka maneno yangu katika kinywa chako. Yatakuwa kama moto na watu hawa watakuwa kama kuni! Kwa kuwa utawaramba.
A cause de cela, voici ce que dit le Seigneur tout-puissant: En punition de ce que vous avez ainsi parlé, voilà que je fais de mes paroles un feu dans ta bouche, et le peuple sera le bois, et le feu consumera le peuple.
15 Tazama nataka kuleta taifa dhidi yenu kutoka mbali, enyi nyumba ya Israeli - asema BWANA - ni taifa linalodumu, taifa la kale! Ni taifa ambalo lugha yake hamuijui, wala hamtaelewa wasemacho.
Je vais amener de loin une nation sur vous, ô maison d'Israël, dit le Seigneur, une nation dont vous n'entendrez pas le langage.
16 Podo lao ni kaburi wazi. Wote ni wanajeshi.
Ce sont tous des hommes forts.
17 Kwa hiyo mavuno yako yataliwa, wana wako na binti zako pia, na chakula chako. Watakula kondoo wako na ng'ombe wako, watakula matunda ya zabibu zako na ya mitiini. Wataiangusha chini miji yenu na boma zake ambazo mnazitumainia.
Et ils mangeront votre moisson et votre pain; ils dévoreront vos fils et vos filles, ils dévoreront vos brebis et vos bœufs, ils dévoreront vos vignes, vos figuiers et vos oliviers, et ils détruiront de fond en comble, par le glaive, vos places fortes, en qui vous aviez mis votre confiance.
18 Lakini hata katika siku hizo - asema BWANA - sikusudii kuwaharibu kabisa.
En ces jours-là, dit le Seigneur votre Dieu, je ne vous exterminerai pas entièrement.
19 Itatokea kwenu, ninyi Yuda na Israeli, mkisema, 'Kwa nini BWANA, Mungu wetu ametufanyia haya yote?' kwamba wewe Yeremia, utawaambia, 'Kama vile mlivyomwacha BWANA na kuabudu miungu mingine katika nchi yenu, vivyo hivyo mtawatumikia wageni katika nchi ambayo si yenu.'
Et lorsque vous direz: Pourquoi le Seigneur, notre Dieu, nous a-t-il fait ces choses? tu leur diras; En punition de ce que vous avez servi, dans votre terre, des dieux étrangers, vous aussi vous servirez des étrangers en une terre qui ne sera pas la vôtre.
20 Waambia haya watu wa nyumba ya Yakobo na yasikike katika Yuda. Waambie,
Publiez ces choses dans la maison de Jacob, et qu'elles soient entendues dans la maison de Juda.
21 'Sikilizeni hili, eny watu wapumbavu! Sanamu hazina matakwa; zina masikio lakini haziwawezi kusikia.
Écoutez donc ces choses, peuplé insensé et sans cœur: qui avez des yeux, et ne voyez pas; qui avez des oreilles, et n'entendez pas.
22 Je, hamnihofu mimi - asema BWANA - au kutetemeka mbele ya uso wangu? Nimeweka mpaka wa mchanga kwenye bahari, ambao ni agizo la kudumu ambalo halibomoki - hata kama bahari ina kupwa na kujaa, bado hauwenzi kubomoka. Hata kama mawimbi yake yanaunguruma, hayawezi kuvuka.
Ne me craindrez-vous point? dit le Seigneur; n'aurez-vous point de respect pour moi qui ai donné à la mer les sables pour limites? C'est un commandement éternel; et elle ne l'enfreindra point; elle s'agitera, mais elle ne prévaudra point; et ses flots bruiront, mais ils ne me désobéiront pas.
23 Lakini hawa watu wana mioyo ya usumbufu. Hugeuka kuwa wapinzani na kuondoka.
Le cœur de ce peuple est indocile et incrédule; ils se sont détournés et éloignés de moi.
24 Kwa kuwa hawasemi mioyoni mwao, “basi na tumche BWANA, Mungu wetu, yeye aletaye mvua za awali na mvua za vuli - kwa wakati wake, ambaye hutuzna majuma ya mavuno kwa ajili yetu.”
Et ils n'ont point dit en leur âme: Craignons maintenant le Seigneur notre Dieu, qui nous a donné la pluie du printemps et cellede l'automne, comme il convient pour l'achèvement de la moisson au temps prescrit, et qui a veillé sur nous.
25 uovu wako umezuia haya yasitokee. Dhambi zako zimeyazuia mambo mema yasitokee.
Vos iniquités ont troublé ce cours des choses, et vos péchés ont éloigné de vous mes biens.
26 Kwa watu waovu wamo kati ya watu wangu. Wanatazama kama mtu anayenyatia ili kukamata ndege; wanaweka mitego na kukamata watu;
Parce que, parmi mon peuple, il s'est trouvé des impies, et ils ont placé des pièges pour perdre les hommes, et ils les ont surpris.
27 Kama tundu la mtego lijaavyo ndege, nyumba zao zimejaa uongo. Kwa hiyo wanakua na kutajirika.
Tel un filet tendu est plein d'oiseaux, telle leur maison est pleine de fraude. Et c'est ainsi qu'ils sont devenus grands et se sont enrichis.
28 Wamenenepa; wanang'aa na kupendeza. Wamepitiliza hata mipika ya maovu. Wala hawajali sababu ya kuwepo kwa watu na wala uwepo wa yatima. Wanafanikiwa hata kama hawatoi hukumu ya haki kwa yatima.
Et ils ont transgressé la justice, et ils n'ont point jugé la cause de l'orphelin ni jugé celle de la veuve.
29 Kwa nini nisiwadhibu kwa sababu ya haya - asema BWANA - sitajilipizia kisasi juu ya taifa la namna hii?
Et pour tout cela est-ce que je ne les visiterai pas? dit le Seigneur; est-ce que mon âme ne tirera pas vengeance d'un tel peuple?
30 Jambo la ajabu na la kuchukiza limetokea katika nchi hii.
La stupeur et l'horreur ont régné sur la terre.
31 Mananbii wanatabiri kwa uongo, na makuhani wanatwala kwa msaada wa wa hao. Watu wangu wanapenda mambo ya hivyo, lakini mwisho kitatokea nini?
Les prophètes prophétisent l'iniquité; les prêtres applaudissent des mains, et mon peuple les aime pour avoir fait ainsi. Que pouvez-vous faire de plus après cela?