< Yeremia 48 >

1 Juu ya Moabu, Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, “Ole kwa Nebo, kwani umekuwa ukiwa. Kiriathaimu umetekwa na kuaibishwa. Ngome zake zimeangushwa na kuaibishwa.
Hina Gode Bagadedafa da Moua: be soge amoma misunu hou amane olelei, “Nibou fi dunu ilima asigima! Bai ilia moilai da wadela: lesi dagoi. Ha lai dunu da Giliada: ime moilai bai bagade lale, ea gasa bagade gagili sali diasu mugululi, ea fi dunu gogosiama: ne ilima hasalasi.
2 Heshima ya Moabu haipo tena. Adui zake katika Heshboni walipanga njama za kumwangamiza. Walisema, 'Njoni tumwangamize kama taifa. Madmena pia itaangamizwa - upanga utakutangulia.'
Moua: be ea gasa bagade hou da wadela: lesi dagoi. Ha lai dunu da Hesiabone moilai bai bagade lale, Moua: be fi huluane wadela: lesimusa: ilegelala. Ha lai dadi gagui dunu da Doulasi Dunu moilaiga doagala: musa: ahoasea, hasalasimu.
3 Sikilizeni! Sauti ya mvumo inakuja kutoka Horonaimu.
Holona: ime moilai bai bagade dunu da bagade wele sia: sa, ‘Gugunufinisisu! Gegesu manebe!’
4 Moabu ameangamizwa. Vilio vya watoto wake vinasikika.
Moua: be da wadela: lesi dagoi. Mano ilia dinanebe nabima!
5 Wanapanda kilima cha Luhithi wakilia, njia yote kuelekea Horonaimu, vilio vinasikika kutokana na maangamizi.
Ilia dinanebe nabima! Logo amo da Liuhidi moilaiga heda: sa, amola Holona: ime amoga doaga: sa, amoga ilia da digini ahoa.
6 Kimbieni! okeeni maisha yenu kama kichaka cha mreteni katika nyika.
Ilia da amane sia: sa, ‘Hedolo! Dilia esalusu gaga: ma: ne, hehenama! Hafoga: i sogega sigua dougi defele hobeama!’
7 Maana kwa sababu ya tumaini lenu katika matendo na utajiri wenu, ninyi pia mtatekwa. Kisha Kemoshi atachukuliwa matekani, pamoja na makuhani na viongozi wake.
Moua: be fi dunu! Dilia da dilia gasa dafawaneyale dawa: i. Be wali dilia da enoga hasalasi dagoi ba: mu. Dilia ogogosu ‘gode’ Gimosie amola ea ouligisu dunu amola gobele salasu dunu da mugululi asi dagoi ba: mu.
8 Maana mwaribu atafika kila mji; hakuna mji utakaookoka. Hivyo bonde litaangamia na tambarare itateketezwa, kama alivyosema Yahwe.
Moilai huluanedafa da wadela: lesi dagoi ba: mu. Afae da hame dialumu. Fago amola umi amola soge huluane da wadela: lesi dagoi ba: mu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.
9 Mpeni Moabu mabawa, maana ni lazima aruke mbali bila shaka. Miji yake itakuwa magofu, pasipo na mtu wa kuishi humo.
Moua: be ea bogoi dawa: digima: ne, uli dogoi da: iya igi wanonesima. E da hedolowane wadela: lesi dagoi ba: mu. Ea moilai huluane da mugului dagoi ba: mu amola amo ganodini, dunu da bu hame esalumu.”
10 Na alaaniwe kila aliye mvivu katika kufanya kazi ya Yahwe! Na alaaniwe kila auzuiaye upanga wake usimwage damu!
(Nowa da Hina Gode Ea hawa: hamosu higale hamobe, ema gagabusu aligima: ne ilegemu da defea. Nowa da ea gegesu gobiheiga dunu eno hame hedofasa, ema gagabusu aligima: ne ilegemu da defea.)
11 Moabu amekuwa akijisikia salama tangu alipokuwa kijana. Yeye ni kama mvinyo wake ambao haujamiminwa kutoka mtungi kwenda mtungi mwingine. Hajaenda matekani. Hivyo radha yake ni njema kama mwanzo; radha yake haibadiliki.
Hina Gode da amane sia: i, “Moua: be da eso huluane gaga: iwane esalu. Ea fi da hamedafa mugululi asi ba: i. E da waini hano amo da ganagu eno enoga hame soga: sali agoane. Ea gawini ba: su da hame wadela: lesi, noga: i gala.
12 Hivyo tazama, siku zinakuja - asema Yahwe - nitakapompelekea watakao mchovya na kumwaga mitungi yake yote na kupasua mitungi yake.
Amaiba: le, wali, eso da misunu amoga Na da dunu amo Moua: be waini hano agoane sogadigima: ne, asunasimu. Ilia da Moua: be waini faigelei amo hagia: le goudane fifili wadela: lesimu.
13 Kisha Moabu atamwaibikia Kemoshi kama ambavyo nyumba ya Israeli ilivyoiabikia Betheli, tumaini lao.
Amasea, Isala: ili dunu da musa: ilia ogogosu ‘gode’ Bedele ema dafawaneyale dawa: i be ema dafawaneyale dawa: su hou yolesi, amo defele Moua: be dunu da ilia ogogosu ‘gode’ Gimosie ema dafawaneyale dawa: su hou yolesimu.
14 Utawezaje kusema, 'Tu askari, wapiganaji wenye nguvu'?
Moua: be dunu! Dilia abuliba: le hidale, dilia da gasa bagade gegesu dunu gegesu ganodini adoba: i dagoi, amo udigili sia: sala: ?
15 Moabu itaangamizwa na miji yake kushambuliwa. Kwa maana vijana wake wazuri wameshuka katika eneo la machinjo. Hili ni tamko la mfalme! Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
Moua: be soge amola ea moilai huluane da wadela: lesi dagoi. Ea ayeligi dunu noga: idafa huluane da medole legei dagoi ba: sa. Na da Hina Bagade, Hina Gode Bagadedafa, amola Na da sia: i dagoi.
16 Maangazizo ya Moabu yanakaribia; maafa yanaharakisha.
Moua: be ea wadela: mu eso amola ea mugulumu eso da gagadenena mana.
17 Ninyi nyote mlio karibu na Moabu, ombolezeni. Nanyi mjuao fahari yake, pigeni kelele hivi, 'Ole, fimbo yenye nguvu, fimbo yenye heshima, imevunjwa.'
Dilia dunu amo gadenene esala amola dunu huluane amo da ea musa: gasa bagade hou dawa: dunu! Ema asigiba: le, da: i dioma! Amane sia: ma, ‘Ea gasa bagade ouligisu hou da wadela: lesi dagoi. Ea gasa amola ea hadigi da bu hamedafa ba: mu.’
18 Shukeni kutoka mahali penu pa heshima na kuketi katika nchi kavu, ewe binti uishie Diboni. Maana aiangamizaye Moabu anakushambulia, atakayeziharibu ngome zako.
Dilia dunu amo da Daibone moilai bai bagade ganodini esala! Eno dunu da dilima nodosu. Be wali amo hadigi sogebi yolesili, osobo dou amoga fima. Moua: be e wadela: lesimu dunu da doaga: i dagoi. E da Moua: be ea gasa bagade gagili sali diasu amo mugului dagoi.
19 Simameni njiani na kuangalia, enyi mwishio katika Aroeri. Waulizeni wanaokimbia na kutoroka. Sema, 'Nini kimetokea?'
Dilia Aloua moilai amo ganodini esalebe dunu! Logo bega: ouleloma! Dunu amo da hobeale ahoanebe ba: sa, ilima adi hou da Moua: bema doaga: i dagoi, amo adole ba: ma.
20 Moabu ameaibika, maana amevujwa. Lieni kwa sauti na uchungu; pigeni yowe kuomba msaada. Wambieni watu waliokando ya Mto Arinoni kwamba Moabu ameangamizwa.
Ilia da bu adole imunu, ‘Moua: be da dafai dagoi. Ema asigiba: le, dima! Bai e da gogosiasu lai dagoi. Anone Hano bega: amo Moua: be da wadela: lesi dagoi ha: giwane sia: ma.’
21 Basi maangamizi yamefika katika nchi ya kilima, huko Holoni, Yakza, na Mefathi,
Na da agolo da: iya umi soge moilai amoma fofada: i dagoi. Amo da Houlone amola Yasa, Mefa: ia: de, Daibone, Nibou, Bede Dibalada: ime, Giliada: ime, Bedega: imuli, Bedemioune, Giliode amola Bosela. Moilai huluane, gadenene amola sedaga, amo da Na fofada: su ba: i dagoi.
22 huko Diboni, Nebo, na Bethi Diblathaimu,
23 huko Kiriatahaimu, Beth Gamul, na Bethi Meoni,
24 huko Keriothi na Bozra, na katika miji yote iliyomo katika nchi ya Moabu - miji iliyoko mbali na karibu.
25 Nguvu za Moabu zimekwisha; mkono wake umevunjwa - asema Yahwe.
Moua: be ea gasa fi hou da goudanesi dagoi. Ea gasa huluane da wadela: lesi dagoi. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
26 Mnywesheni, maana alitenda kwa kiburi kinyume changu, Yahwe. Basi Moabu anapiga makofi kwa machukizo kwa matapiko yake mwenyewe, hivyo amekuwa pia kitu cha kuchekesha.
Hina Gode da amane sia: i, “Moua: be amo feloama: ne hamoma! E da Nama odoga: i dagoi. Moua: be da hi isoi amo da: iya bebesomu. Amola eno dunu amo ba: beba: le, oufesega: mu.
27 Maana Israeli hakuwa kitu cha kuchekesha kwako? Alionekana miongoni mwa wezi, kwamba ulitikisa kichwa chako kwake mara ulipoongea juu yake?
Moua: be fi! Dawa: ma! Dilia da Isala: ili dunu ilima oufesega: su. Abuliba: le? Ilia da wamolasu dunuma gilisibala: ?
28 Jitengeni na miji na kuweka kambi katika minuko, enyi watu wa Moabu. Kuwa kama njiwa anayeatamia juu ya mlango wa tundu katika miamba.
Dilia Moua: be sogega esalebe dunu! Dilia moilai yolesima! Agolo gafulu amoga esalomusa: masa! Dafe sio da gafulu la: idi ea bibibi amo defele bibila masa. Dilia amo defele hamoma!
29 Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu - majivuno yake, maringo, kiburi, utukufu binafsi na kujiinua moyoni.
Moua: be fi da gasa fi hamosa. Na da nabi dagoi. Ilia hidale gasa fili, ilia hou da eno dunu huluane ilia hou baligisa amo hidale dawa: sa.
30 Hili ni tamko la Yahwe - mimi mwenyewe najua maneno yake ya ukaidi, yasiyosaidia chochote, kama matendo yake.
Na, Hina Gode, da ilia gasa fi hou dawa: Ilia hidasu hou da hamedei liligi agoane ba: mu, amola ilia hawa: hamobe liligi da hame dialumu.
31 Hivyo nitavumisha maombolezo kwa ajili ya Moabu, na nitapiga kelele katika uzuni kwa ajili ya Moabu. Nitaomboleza kwa ajili ya watu wa Kir Hereshi.
Amaiba: le, Na da Moua: be esalebe dunu huluane dawa: sea, dimu. Amola Ge Helese dunu amo dawa: sea, dimu.
32 Nitalia zaidi kwa ajili yenu kuliko nilivyofanya kwa Yazeri, mzabibu wa Sibma! Matawi yako yalipita katika Bahari ya Chumvi na kufika hata Yazeri. Mwaribu ameshambulia matunda yenu ya kiangazi na mzabibu wenu.
Na da Ya: isa dunuma dawa: iba: le disu. Be Na da Sibima dawa: sea, baligili dimu. Sibima moilai bai bagade! Di da fedege agoane waini efe amo ea amoda da Bogoi Hano Wayabo amo baligili, Ya: isa moilai bai bagadega doaga: sa. Be wali dia mugi oubiga fage ligi amola dia waini fage da wadela: lesi dagoi.
33 Hivyo sherehe na furaha vimeondolewa kutoka miti ya matunda na nchi ya Moabu. Nimekomesha mvinyo kutoka mashinikizo yao. Hawatakanyaga kwa kelele za furaha. Kelele yoyote haitakuwa kelele ya furaha.
Moua: be nasegagi soge da hahawane hou fisi dagoi. Na da waini hano waini fage banenesisu amoga mae masa: ne logo ga: i. Waini hano hamosu dunu da hahawane wele sia: su be wali hame ba: sa.
34 Kutoka kelele huko Heshiboni hata kufika Eleale, sauti yao inasikika hata Yahazi, kutoka Soari hata Horonaimu na Eglathi Shelishiya, hata maji ya Nimrimu yamekauka.
Hesiabone amola Ilia: ile dunu fi da bagade wele sia: be. Dunu huluane asili Ya: iha: se moilai bai bagadega doaga: sea da amo wele sia: su naba. Soue, Holona: ime amola Egela: de Sielisiaia, amo fi huluane da ilia wele sia: su naba. Amola Nimilimi Hano fonobahadi da hafoga: i dagoi.
35 Maana nitamkomesha kila mtu katika Moabu atoaye sadaka mahali pa juu na kuteketeza uvumba kwa miungu yake - asema Yahwe.
Moua: be fi dunu da ilia ogogosu ‘gode’ ilima ilia nodone sia: ne gadosu sogebi amoga gobele salasu hou hamonana. Be Na da ilia logo hedofamu. Na, Hina Gode da sia: i dagoi.
36 Hivyo moyo wangu unamwombolezea Moabu kama zomari. Moyo wangu unaomboleza kama zomari kwa ajili ya watu wa Kir Heresi. Utajiri walioupata umekwisha.
Amaiba: le, Na da Moua: be fi dunu amola Ge Helese dunu ilima asigiba: le, dunu amo da bogoi idigisa amoga baidama dusa, amo defele heawini da: i diosa. Bai ilia musa: gagui liligi huluane da fisi dagoi.
37 Maana kila kichwa kina upaa na kila kidevu kimenyolewa. Chale zipo katika kila mkono, na nguo za magunia katika viuno vyao.
Ilia huluane da ilia dialuma hinabo amola ilia mayabo waga: i dagoi. Ilia da ilila: lobo fa: ginisisi amola ilia da wadela: i abula eboboi gasisasali dagoi.
38 Maombolezo yapo kila mahali, juu ya kila paa la nyumba ya Moabu na katika masoko ya Moabu. Kwa maana nimeivunja Moabu kama chungu kisichotakiwa tena - asema Yahwe.
Diasu gadodili amola moilai mogoa sogebi amo ganodini, didigia: lalebe fawane naba. Bai dunu da ganagu amo dunu huluane higabeba: le goudasa, amo defele Na da Moua: be fi goudanesi.
39 Jinsi gani imeharibiwa! Jinsi wanavyopiga kelele katika maombolezo yao! Moabu ameigeuza kwa aibu! Hivyo Moabu atakuwa kitu cha kuchekwa na kitisho kwa wote wanaomzunguka.”
Moua: be da goudai dagoi. Wele sia: ma! Moua: be da gogosiasu lai dagoi. E da mugului dagoi. Amola, fifi asi gala da ilia soge sisiga: le fi diala da ilima oufesega: sa. Na Hina Gode da sia: i dagoi.”
40 Maana Yahwe asema hivi, “Tazama, adui atakuja akiruka kama tai, akieneza mabawa yake juu ya Moabu.
Hina Gode da ilegei dagoi. Dunu fi eno da buhiba amo ea ougia ilua: lebe defele, Moua: be ilima doagala: mu.
41 Keriothi umetekwa, na ngome zake zimekamatwa. Maana siku hiyo myoyo ya askari wa Moabu itakuwa kama mioyo ya wanawake katika uchungu wa kujifungua.
Amasea, Moua: be ea moilai amola gagili sali diasu huluane lai dagoi ba: mu. Amo esoga, Moua: be dadi gagui dunu da uda ea mano lamu gadenebeba: le beda: sa, amo defele bagade beda: mu.
42 Hivyo Moabu utaharibiwa kama watu, kwa kuwa walijivuna kinyume changu, Yahwe.
Moua: be da wadela: lesi dagoi ba: mu. E da fidafa agoane bu hame ba: mu. Bai amo fi da Nama odoga: i dagoi.
43 Hofu na shimo, na mtego vinakujia, watu wa Moabu - asema Yahwe.
Moua: be fi dunu dafawane gugunufinisima: ne, beda: su hou, uli dogoi amola sani fawane da momagele diala. Hina Gode da amo ilegei dagoi.
44 Kila akimbiaye kwa sababu ya hofu ataanguka shimoni, na kila atokaye shimoni atanaswa na mtego, maana nitayaleta haya juu yao katika mwaka wa kisasi changu dhidi yao - asema Yahwe.
Nowa da beda: su hou amoga hobeamusa: dawa: sea da uli dogoi ganodini dafamu amola nowa da uli dogoi amo si dasea amola bu heda: le hobeasa, e da eno sani amo ganodini sa: imu. Bai Hina Gode da Moua: be ea wadela: su eso ilegei dagoi.
45 Wakimbiao watasimama katika kivuli cha Heshboni bila nguvu, maana moto utatoka Heshboni, miale kutoka katikati ya Sihoni. Utateketeza paji la uso wa Moabu na juu ya vichwa vya watu wenye majivuno.
Gasa hamedei mugululi asi dunu da Hesiabone (musa: hina bagade Saihone da ouligisu) amo ganodini gaga: ma: ne wamoaligimusa: dawa: lala. Be amoga lalu sawa: da heda: lalebe. Moua: be fi dunu da gegesu hahawane ba: su. Be wali ilia alalo amola goumi da laluga nei dagoi ba: sa.
46 Ole wako, Moabu! watu wa Kemoshi wameangamizwa, Kwa maana wana wako wamechukuliwa kama mateka na binti zako matekani.
Moua: be dunuma asigima! Ilia da ogogosu ‘gode’ Gimosie ema nodone sia: ne gadosu. Be ilia huluane da wadela: lesi dagoi, amola ilia egefe amola idiwi da ga udigili hawa: hamomusa: hiouginana asi dagoi ba: sa.
47 Lakini nitazirejesha siku njema za Moabu katika siku zijazo - asema Yahwe.” Hukumu ya Moabu inaishia hapa.
Be hobea Hina Gode da Moua: be soge amoma bu hahawane hou imunu. Amo hou huluane, Hina Gode da Moua: be amoma hamoma: ne sia: i dagoi.

< Yeremia 48 >