< Yeremia 47 >
1 Hili ni neno la Yahwe lililokuja kwa Yeremia nabi juu ya Wafilisiti. Neno hili lilimjia kabla Farao hajaishambulia Gaza.
Слово Господнє, що було пророкові Єремії на филисти́млян, перше як фараон побив Аззу.
2 “Yahwe asema hivi: Tazama, mafuriko ya maji yanainuka huko kaskazini. Yatakuwa kama mto uliofurika! Kisha yataigharikisha nchi na kila kitu ndani yake, miji yake na watu wakaao ndani yake! Kila mtu atapiga kelele ya kuomba msaada, na wakaaji wote wa nchi wataomboleza.
„Так говорить Госпо́дь: Ось підіймаються во́ди із пі́вночі, і стануть вони за поті́к заливни́й, і заллю́ть вони землю та все, що на ній, місто й заме́шкалих в ньому, — і буде кричати люди́на, і кожен мешка́нець землі заголо́сить.
3 Kwa sauti ya kukanyaga kwa kwato za farasi wao wenye nguvu, kwa mwungurumo wa vibandawazi vyao na kelele za magurudumu yao, wazazi hawatawasaidia watoto wao kwa sababu ya udhaifu wao.
Через гук тупоті́ння копи́т баских ко́ней його, через гу́ркіт його колесниць, через скрип його кіл не зверну́лись батьки́ до синів, бо зомлі́ли їм руки,
4 Kwa maana siku inakuja itakayowaacha ukiwa Wafilisiti wote, kumwondoa kila mtu aliyesalia anayetaka kuwasaidia. Kwa maana Yahwe anawaangamiza Wafilisiti, waliosalia katika kisiwa cha Kaftori.
бо настав це той день, щоб понищити всіх филисти́млян, щоб Ти́ру й Сидо́нові ви́губити помічну́ всяку рештку. Бо понищить Господь филисти́млян, рештку о́строва Кафтора,
5 Maombolezo yatakuja juu ya Gaza. Hata kwa Ashikeloni, watu waliosalia bondeni watakuwa kimya. Ni kwa muda gani mtajiondoa katika maombolezo?
шолуди́вою стане Азза́, згине Ашкело́н, решта долини їхньої. Як довго ти будеш нарі́зи робити собі у жало́бі?
6 Ole, upanga wa Yahwe! itachukua muda gani hata unyamaze? Rudini alani mwenu! Acha na unyamaze.
О ме́чу Господній, аж доки ти не заспоко́їшся? Вернися до пі́хви своєї, заспоко́йся й замо́вкни!
7 Wawezaje kuwa kimya, maana Yahwe amekuagiza. Amekuamuru kumpiga Ashikeloni na dhidi ya nchi ya pwani ya bahari.
Але як заспоко́їться він, коли наказав йому це Сам Господь? До Ашкелону й до берегу моря, — туди Він призна́чив його!“