< Yeremia 47 >

1 Hili ni neno la Yahwe lililokuja kwa Yeremia nabi juu ya Wafilisiti. Neno hili lilimjia kabla Farao hajaishambulia Gaza.
Meet liki tokosra lun Egypt el mweuni siti Gaza, LEUM GOD El kaskas nu sik ke acn Philistia.
2 “Yahwe asema hivi: Tazama, mafuriko ya maji yanainuka huko kaskazini. Yatakuwa kama mto uliofurika! Kisha yataigharikisha nchi na kila kitu ndani yake, miji yake na watu wakaao ndani yake! Kila mtu atapiga kelele ya kuomba msaada, na wakaaji wote wa nchi wataomboleza.
El fahk: “Liye! Kof ac fah lapak layen epang Ac asrla oana soko infacl sronoti. Ac fah afunla acn uh ac ma nukewa fac — Siti uh ac elos su muta we. Mwet uh ac fah wowoyak in sukok kasru; Mwet nukewa fin faclu fah arulana tung.
3 Kwa sauti ya kukanyaga kwa kwato za farasi wao wenye nguvu, kwa mwungurumo wa vibandawazi vyao na kelele za magurudumu yao, wazazi hawatawasaidia watoto wao kwa sababu ya udhaifu wao.
Elos fah lohng kusen kihmkim lun falken horse uh, Ac pusren kasrusr lun chariot, Ac erarrar lun wheel uh. Papa uh ac fah tia folokla in srukak tulik natulos, Mweyen paolos munasla ac atla siskalos.
4 Kwa maana siku inakuja itakayowaacha ukiwa Wafilisiti wote, kumwondoa kila mtu aliyesalia anayetaka kuwasaidia. Kwa maana Yahwe anawaangamiza Wafilisiti, waliosalia katika kisiwa cha Kaftori.
Pacl in kunausla acn Philistia summa, Kain in kasru nukewa Ac fah wotla liki acn Tyre ac Sidon. Nga, LEUM GOD, fah kunausla mwet Philistia, Elos nukewa su tuku liki weacn Crete.
5 Maombolezo yatakuja juu ya Gaza. Hata kwa Ashikeloni, watu waliosalia bondeni watakuwa kimya. Ni kwa muda gani mtajiondoa katika maombolezo?
Asor lulap sun tari mwet Gaza, Ac mwet Ashkelon elos misla tia kas. Mwet lula Philistia elos ac mwemelil nwe ngac?
6 Ole, upanga wa Yahwe! itachukua muda gani hata unyamaze? Rudini alani mwenu! Acha na unyamaze.
Kowos wowoyak ac fahk, “Cutlass nutin LEUM GOD! Kom ac uni mwet uh nwe ngac? Isongkomyang nu in mwe nuk lom an Ac mongla loac!’
7 Wawezaje kuwa kimya, maana Yahwe amekuagiza. Amekuamuru kumpiga Ashikeloni na dhidi ya nchi ya pwani ya bahari.
Tusruktu el ac mongla fuka Ke nga sang tari orekma se kunal? Nga sapkin nu sel elan mweuni Ashkelon Ac mwet su muta weacn uh.”

< Yeremia 47 >