< Yeremia 47 >
1 Hili ni neno la Yahwe lililokuja kwa Yeremia nabi juu ya Wafilisiti. Neno hili lilimjia kabla Farao hajaishambulia Gaza.
法老攻击迦萨之先,有耶和华论非利士人的话临到先知耶利米。
2 “Yahwe asema hivi: Tazama, mafuriko ya maji yanainuka huko kaskazini. Yatakuwa kama mto uliofurika! Kisha yataigharikisha nchi na kila kitu ndani yake, miji yake na watu wakaao ndani yake! Kila mtu atapiga kelele ya kuomba msaada, na wakaaji wote wa nchi wataomboleza.
耶和华如此说: 有水从北方发起,成为涨溢的河, 要涨过遍地和其中所有的, 并城和其中所住的。 人必呼喊; 境内的居民都必哀号。
3 Kwa sauti ya kukanyaga kwa kwato za farasi wao wenye nguvu, kwa mwungurumo wa vibandawazi vyao na kelele za magurudumu yao, wazazi hawatawasaidia watoto wao kwa sababu ya udhaifu wao.
听见敌人壮马蹄跳的响声 和战车隆隆、车轮轰轰; 为父的手就发软, 不回头看顾儿女。
4 Kwa maana siku inakuja itakayowaacha ukiwa Wafilisiti wote, kumwondoa kila mtu aliyesalia anayetaka kuwasaidia. Kwa maana Yahwe anawaangamiza Wafilisiti, waliosalia katika kisiwa cha Kaftori.
因为日子将到, 要毁灭一切非利士人, 剪除帮助泰尔、西顿所剩下的人。 原来耶和华必毁灭非利士人, 就是迦斐托海岛余剩的人。
5 Maombolezo yatakuja juu ya Gaza. Hata kwa Ashikeloni, watu waliosalia bondeni watakuwa kimya. Ni kwa muda gani mtajiondoa katika maombolezo?
迦萨成了光秃; 平原中所剩的亚实基伦归于无有。 你用刀划身,要到几时呢?
6 Ole, upanga wa Yahwe! itachukua muda gani hata unyamaze? Rudini alani mwenu! Acha na unyamaze.
耶和华的刀剑哪,你到几时才止息呢? 你要入鞘,安靖不动。
7 Wawezaje kuwa kimya, maana Yahwe amekuagiza. Amekuamuru kumpiga Ashikeloni na dhidi ya nchi ya pwani ya bahari.
耶和华既吩咐你攻击亚实基伦和海边之地, 他已经派定你,焉能止息呢?