< Yeremia 46 >
1 Hili ni neno la Yahwe lililomjia Yeremia nabii juu ya mataifa.
Namtin vaipi chung changa Pakai thusei ho, Jeremiah themgao heng ahung lhung in;
2 Juu ya Misri; “Hili ni juu ya jeshi la Farao Neko, mfalme wa Misri aliyekuwako Karkemishi kando ya mto Frati. Hili ni jeshi alilolishinda Nebukadneza mfalme wa Babeli likishindwa katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda:
Egypt chung chang thudol asei chu, Judah gam’a Josiah chapa Jehoiakim lengvaipoh kal kumli na-ah, Ephrates vadung pang’a, Carchemish galmun’a, Babylon lengpa Nebuchadnezzar in Egypt lengpa Pharaoh Neco leh asepaite chunga agaljona chu, hitin aseiye.
3 Wekeni tayari ngao ndogo na kubwa, na msonge vitani.
Nangma cheh in lum kisemtup unlang, galmun chu manotauvin,
4 Watieni farasi lijamu na hatamu, na mpande juu yao, ninyi wapanda farasi. Jiwekeni mahali penu, mkiwa mmevaa helmeti vichwani mwenu. Inoweni mishale yenu na kuvaa silaha zenu.
Sakol ho chunga pho sepdoh unlang, sakol chunga toudoh uvin. Na thih-lukhuh kikhuh unlang, nagalvon hou kisemtup uvin.
5 Ninaona nini hapa? Wana woga na wanakimbia, maana askari wao wameshindwa. Wanakimbia kwa usalama na hawaangalii nyuma. Kitisho kipo mahali pote - hili ni tamko la Yahwe -
Amavang, keiman ipi kamum? Egypt sepaite kichatah in anungjam tauve. Alah uva gal hangpen hojong, tijalih leuvin hung kinunghei louhel in, ajammang tauve, tin Pakaiyin aseiye.
6 wepesi hawawezi kukimbia, na askari hawezi kukwepa. Wana jikwaa kaskazini na kuanguaka kando ya mto Frati.
Alhai jangkhaipen ho jong ajamdoh aumpon, Gal hangpen hojong atoldoh aumpouve. Amaho chu sahlamgam’a Ephrates vadunbg panga, akipallhu gam uvin, abonchauvin akijam chap gamtauve.
7 Ni nani hawa wainukao kama Nile, ambao maji yao yanaruka juu na chini kama mito?
Koi ho ham, Nile vadung twisoh khang teltul banga khang a, gamtin hinchup soh chu?
8 Misri huinuka kama mto Nile, na maji yake yanaumuka juu na chini kama mito. Anasema, 'nitapanda juu; nitaifunika nchi. Nitaiharibu miji na watu wake.
Egypt mite ahiuve. Twisoh bangin amahon gamjouse achupsoh uvin, khopi holeh asunga cheng ho jouse asumang gamtauve.
9 Inukeni, farasi. Mwe na hasira, ninyi vibandawazi. Askari na waende, Kushi na Putu, watu walio na ujuzi wa ngao, na Ludimu, watu wenye ujuzi wa kupiga pinde zao.
Manouvin, nangho sakol ho leh kangtalai ho, Galhang sepaite hung uvin hung delkhom un! Nangho Ethiopia leh Libya chule Lydia miho, thalpi kap themho leh lumdal themho hung uvin, atiuve.
10 Siku hiyo itakuwa siku ya kisasi kwa Bwana Yahwe wa majeshi, naye atajilipizia kisasa juu ya adui zake. Upanga utararua na kujirishisha. Utakula na kujishibisha kwa damu yao. Kwa maana kutakuwa na sadaka kwa Bwana Yahwe wa majeshi katika nchi ya kaskazini kando ya mto Frati.
Ajeh chu hiche hi Pakai nikho ahin, amelmate chunga hatching nung Pakai phulah nikho ahi. Chemjam in aban satchap diu, athisan u adonkham leuva chimset ding; Tunia hi, sahlam gam’a Euphrates vadung panga Hatchungnung Pakaiyin, kilhaina gantha khat anei ahi.
11 Panda Gileadi ujipatie dawa, binti wa Misri uliyebikra. Haifai kwamba unaweka dawa nyingi juu yako. Hakuna uponyaji kwako.
Vo nungah theng, Egypt chanu! Gilead a kaltouvin lang, kijen nading lou gahol in; Amavang nakijenna lou le ai hochun nadamsah joulou ding ahi.
12 Mataifa wamesikia kuaibika kwako. Nchi imejawa na maombolezo yako, maana askari anajikwaa juu ya askari; na wote wawili uanguka pamoja.”
Namtin in najumna thuho ajasoh tan, Leiset chung hi naka ogin adimsohtai. Na galhang penho jong amaho leh amaho akipalhhu gam un, abonchauvin alhuchap gamtauve, ati.
13 Hili ndilo neno Yahwe alilomwambia nabii Yeremia wakati Nebukadneza mfalme wa Babeli alipokuja na kushambulia nchi ya Misri:
Chuin Pakaiyin Jeremiah themgao henga, Egypt mite sat dinga Nebuchadnezzar lengpa kigotna chu aseipih in, hitin ati.
14 Toa taarifa kwa Misri na isikiwe katika Migdoli na Memfisi. Wamesema katika Tapenesi, wekeni kituo na mwe imara, kwa maana upanga unakula wote kati yenu.
Egypt gamsunga samphong uvin, Migdol leh Memphis chule Tahpanhes khopi ho’a, gaphongjal uvin. Galsat dingin kigosan um uvin, ajeh chu nakimvel uva miho chu chemjam in asatgam soh hel ding ahiuve.
15 Kwa nini Apisi mungu wenu amekimbia? Kwa nini ng'ombe dume mungu wenu hakuweza kusimama? Yahwe amemwangusha chini.
Nagal hangteu ibol a lhulham’u hitam? Ajeh chu amaho adinjou lou nadiuva, Pakaiyin ajeplhuh gam u ahitai.
16 Ameongeza idadi ya waliojikwaa. Kila askari anaanguka kinyume cha anayefuata. Wanasema, “Inuka. Haya twende nyumbani. Haya na turudi kwa watu wetu, katika nchi yetu ya asili. Na tuuache upanga huu unaotuuwa.”
Amaho khat leh khat akipallhu tou uvin, akiseplhu gam tauve. Chule amaho chu akihouvun,” Hung uvin ipennau gam’a imiteu koma kilekit tauhite. Chule melmapa chamjam’a kon’in jamdoh tauhite, akitiuve.
17 Walitangaza pale, “Farao mfalme wa Misri ni kelele tu, ameuacha wasaa wake mbali.”
Chutah le amahon, “Egypt lengpa Pharaoh, mi kamtam mi hoitho,” tia aminvo diu ahi.
18 Kama niishivyo - hili ni tamko la mfalme - Yahwe wa majeshi kwa jina, kuna mtu atakuja aliye kama Mlima Tabori na Mlima Karmeli kando ya bahari.
Lengpa, Hatchungnung Pakai chun aseiye, “Keima hingjing kahi! Egypt doudin Tabor molsang tobang leh twikhanglen panga Carmel molsang tobang, mikhat ahunge;
19 Wekeni masanduku yenu kuyachukua uhamishoni, binti mwishio Misri. Kwani Memfisi haitafaa, magofu. Hakuna atakayeishi huko.
Vo Egypt mite, nathil kigottup unlang, sohchanga chemang dingin gotsan um uvin! Ajeh chu Memphis khopi kisumang a, asunga acheng beihel a khogem’a umding ahitai.
20 Misri ni mtamba mzuri sana, lakini mdudu aumaye anakuja kutoka kaskazini. Anakuja.
Egypt khu bongla hoitah tobang ahin; Ahinlah sahlam gamkaiya kon in sel-lhip ahung leng in achunga achutai.
21 Askari wake wakukodiwa ni kama dume la ng'ombe lililonona kati yake. lakini wao pia watageuka na kukimbia. Hawatasimama pamoja, kwani siku yao ya madhara inakuja kunyume chao, wakatik wa kuadhibiwa kwao.
Egypt ten athalah u sepaite jong, pannabei bongnou thaochet abangun; Amaho galsat din apang ngamtapouve, akileheiyun ajamtauve. Ajeh chu Egypt chunga gotna nasatah ahung lhung in, amanthah nikhou ahunglhungtai.
22 Misri anatoa sauti kama ya nyoka na kuondoka kwa kutambaa. maana adui yake anajiandaa kinyume chake. Wanamkabili kama mkata miti aliye na shoka.
Egypt mite chu gul kitholo bangin ajammangtauve. Melma sepaite chu, amanu doudin hiche pan in ahung kitol lut uvin, thingphung kiphuhlhu bangin atuchap jengtauve.
23 Wataangusha misitu - japokuwa ni mingi sana - hili ni tamko la Yahwe. Kwa maana adui watakuwa wengi kuliko nzige, wasiohesabika.
Pakaiyin aseiye, “Amanu leh amite chu, melmaten thingphung kiphuhchap banga aphuh chap diu; Ajeh chu amaho chu khaokote sanga tamjo hungkon ahiuve.
24 Binti Misri ataaibishwa. Atawekwa mkononi mwa watu kutoka kaskazini.”
Egypt mite kijumso ahitauve. Amaho chu sahlam’a hung kipan miho khutna pehdoh ahitauve.
25 Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema, “Tazama, niko karibu kumwadhibu Amoni wa Thebesi, Farao, Misri na miungu yake, Farao mfalme wake, na wote wanaomtumaini.
Hatchungnung Pakai, Israel Pathen in aseiye, “Keiman Thebes mite Pathen Amon leh Egypt mite Pathen chom lengpa Pharaoh leh anung juite jouse talen kamatsah ding ahi.
26 Nitawaweka katika mkono wa wanaoyaona maisha yao, na katika mkono wa Nebukadneza mfalme wa Babeli na watumishi wake. Kisha baada ya haya Misri itakaliwa kama mwanzo - asema Yahwe.”
Keiman, amaho thading gojing, Babylon lengpa Nebuchadnezzar leh asepaite khut a kapehdoh ding ahi. Amavang, khonung tengle, masanga banga kiledoh kit dingu ahi, tin Pakaiyin aseiye, ati.
27 Lakini, wewe Yakobo mtumishi wangu, usihofu. Usifadhaike, Israeli, maana tazama, nitakurudisha kutoka mbali, na uzao wako kutoka nchi ya mateka. Kisha Yakobo atarudi, tafuta amani, na kuwa salama, na hapatakuwa na wa kumwogofya.
Hijongle kalhacha Jacob, nangma kichahih in; Lung jong lungthoi hih in Israel. Ajeh chu keiman gamla tah’a kon’a nangma kahin lepuikit ding, chule nachilhah’te jong asohchan nauva kon’a hung kile diu ahi. Chuteng koiman Israel chu asuh kichat tah louding, lungmong tah’a chengding ahiuve.
28 Wewe, mtumishi wangu Yakobo, usiogope - asema Yahwe - kwa maana nipo nawe, hivyo nitaleta maangamizi makamilifu dhidi ya mataifa yote nilikokupeleka. Lakini sitakuharibu kabisa. Hata hivyo nitakuadhibu kwa haki na hakika sitakuacha bila adhabu.”
Kicha hih in, vo kalhacha Jacob, keiman nangma kaumpinai, tin Pakaiyin aseiye. Keiman nangho sohchanga kathechah nau namtin vaipi chu kasuhmang hel ding; Amavang nangho kahoidoh ding nahiuve. Keiman nangho thudihtah a kasuh dih ding, ahinla talen manlouva kakoi louhel ding nahiuve, ati.