< Yeremia 45 >

1 Hili ni neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku mwana wa Neria. Hii ilitokea wakati alipoandika kwenye kitabu maneno haya kwa imla ya Yeremia - hii ilikuwa katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na alisema,
Beseda, ki jo je prerok Jeremija spregovoril Nerijájevemu sinu Baruhu, ko je zapisal te besede v knjigo pri Jeremijevih ustih, v četrtem letu Jojakíma, Jošíjevega sina, Judovega kralja, rekoč:
2 “Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi kwako, Baruku:
»Tako govori Gospod, Izraelov Bog, tebi, oh Baruh.
3 Umesema, Ole mimi, kwa kuwa Yahwe ameongeza uchungu wa maumivu. Kuugua kwangu kumenichosha; sipati pumziko.'
Rekel si: ›Gorje mi sedaj! Kajti Gospod je dodal žalost k moji bridkosti; oslabel sem v svojem vzdihovanju in ne najdem počitka.‹
4 Hivi ndivyo unapaswa kusema kwake: “Yahwe asema hivi: Ona, nilichojenga, sasa ninararua chini. Nilichopanda, sasa ninangoa. Hii ni kweli juu ya dunia.
Tako mu boš rekel: › Gospod tako govori: ›Glej, to, kar sem zgradil, bom porušil in to, kar sem zasadil, bom izruval, celo to celotno deželo.
5 Lakini unategema mambo makubwa kwa ajili yako? Usitegemee hayo. Uone, maafa yanakuja kwa binadamu wote - hii ni tamko la Yahwe - lakini ninakupa maisha yangu kama nyara popote utakakoenda.”
In ti zase iščeš velike stvari? Ne išči jih, kajti glej, privedel bom zlo nad vse meso, ‹ govori Gospod, ›toda tvoje življenje ti bom dal za plen v vseh krajih, kamor greš.«

< Yeremia 45 >