< Yeremia 45 >

1 Hili ni neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku mwana wa Neria. Hii ilitokea wakati alipoandika kwenye kitabu maneno haya kwa imla ya Yeremia - hii ilikuwa katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na alisema,
در سال چهارم سلطنت یهویاقیم پادشاه (پسر یوشیا، پادشاه یهودا)، باروک تمام سخنان خدا را که به او گفته بودم، بر طوماری نوشت. پس از آن، این پیغام را از جانب خداوند، خدای بنی‌اسرائیل به او دادم:
2 “Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi kwako, Baruku:
3 Umesema, Ole mimi, kwa kuwa Yahwe ameongeza uchungu wa maumivu. Kuugua kwangu kumenichosha; sipati pumziko.'
«ای باروک تو گفته‌ای:”وای بر من! خداوند غمها و دردهای مرا افزوده است. از آه و ناله خسته شده‌ام و یک دم آرام ندارم.“
4 Hivi ndivyo unapaswa kusema kwake: “Yahwe asema hivi: Ona, nilichojenga, sasa ninararua chini. Nilichopanda, sasa ninangoa. Hii ni kweli juu ya dunia.
ولی ای باروک، خداوند می‌گوید: بدان که من هر چه ساخته‌ام، منهدم خواهم نمود، و هر چه کاشته‌ام، ریشه‌کن خواهم کرد. بله، این کار را با این سرزمین خواهم نمود!
5 Lakini unategema mambo makubwa kwa ajili yako? Usitegemee hayo. Uone, maafa yanakuja kwa binadamu wote - hii ni tamko la Yahwe - lakini ninakupa maisha yangu kama nyara popote utakakoenda.”
پس آیا تو در چنین وضعی، برای خودت چیزهای بزرگ آرزو می‌کنی؟ این کار را نکن! با این حال، اگرچه بر سر این مردم بلاهای بسیار بیاورم، ولی به پاس زحماتت، هر جا بروی جانت را حفظ خواهم کرد!»

< Yeremia 45 >