< Yeremia 45 >
1 Hili ni neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku mwana wa Neria. Hii ilitokea wakati alipoandika kwenye kitabu maneno haya kwa imla ya Yeremia - hii ilikuwa katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na alisema,
La parole qu'adressa Jérémie, le prophète, à Baruch, fils de Nérija, quand celui-ci écrivit toutes ces paroles dans un livre, sous la dictée de Jérémie, la quatrième année de Jéhojakim, fils de Josias, roi de Juda; il dit:
2 “Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi kwako, Baruku:
Ainsi parle l'Éternel, Dieu d'Israël, à toi, Baruch:
3 Umesema, Ole mimi, kwa kuwa Yahwe ameongeza uchungu wa maumivu. Kuugua kwangu kumenichosha; sipati pumziko.'
Tu dis: Que je suis malheureux! car l'Éternel a ajouté pour moi le chagrin à la douleur; je suis fatigué par mes soupirs, et je ne trouve aucun repos.
4 Hivi ndivyo unapaswa kusema kwake: “Yahwe asema hivi: Ona, nilichojenga, sasa ninararua chini. Nilichopanda, sasa ninangoa. Hii ni kweli juu ya dunia.
Parle-lui ainsi: Ainsi parle l'Éternel: Voici, ce que j'ai bâti, je le démolirai, et ce que j'ai planté, je l'arracherai, c'est-à-dire, tout ce pays.
5 Lakini unategema mambo makubwa kwa ajili yako? Usitegemee hayo. Uone, maafa yanakuja kwa binadamu wote - hii ni tamko la Yahwe - lakini ninakupa maisha yangu kama nyara popote utakakoenda.”
Et toi, tu demanderais pour toi de grandes choses! Ne les demande pas! car voici, je fais fondre le malheur sur toute chair, dit l'Éternel, mais je te donnerai ta vie pour butin dans tous les lieux où tu iras.