< Yeremia 44 >
1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia kuhusu Wayahudi wote walioishi katika nchi ya Misri, wale wanaoishi Migdoli, Tahpanhesi, Memphis, na katika nchi ya Patrosi.
[the] word which to be to(wards) Jeremiah to(wards) all [the] Jew [the] to dwell in/on/with land: country/planet Egypt [the] to dwell in/on/with Migdol and in/on/with Tahpanhes and in/on/with Memphis and in/on/with land: country/planet Pathros to/for to say
2 “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Wewe mwenyewe umeyaona maafa yote niliyoleta juu ya Yerusalemu na miji yote ya Yuda. Ona, ni ukiwa leo. Hakuna yeyote anaishi mwao.
thus to say LORD Hosts God Israel you(m. p.) to see: see [obj] all [the] distress: harm which to come (in): bring upon Jerusalem and upon all city Judah and look! they desolation [the] day: today [the] this and nothing in/on/with them to dwell
3 Hii ni kwa sababu ya mambo maovu waliyofanya kunikosea mimi kwa kwenda kuchoma ubani na kuabudu miungu mengine. Hawa walikuwa miungu ambao wala wao wenyewe, wala ninyi, wala mababu zenu walijua.
from face: because distress: evil their which to make to/for to provoke me to/for to go: went to/for to offer: offer to/for to serve: minister to/for God another which not to know them they(masc.) you(m. p.) and father your
4 Basi nirudie kuwatuma watumwa wangu wote manabii kwao. Niliwatuma wao kusema, 'Acha kufanya vitu hivi machukizo ambayo nachukia.
and to send: depart to(wards) you [obj] all servant/slave my [the] prophet to rise and to send: depart to/for to say not please to make: do [obj] word: because [the] abomination [the] this which to hate
5 Lakini hawakunisikiliza. Walikataa kuwa makini au kuyaacha maovu kwa kuchoma ubani kwa miungu mingine.
and not to hear: hear and not to stretch [obj] ear their to/for to return: repent from distress: evil their to/for lest to offer: offer to/for God another
6 Basi hasira yangu na gadhabu yangu zilimwanga na kuwasha moto kwenye miji ya Yuda na mitaa ya Yerusalemu. Basi waliharibiwa na kuteketezwa, kama katika siku ya leo.”
and to pour rage my and face: anger my and to burn: burn in/on/with city Judah and in/on/with outside Jerusalem and to be to/for desolation to/for devastation like/as day: today [the] this
7 Basi sasa Yahwe, Mungu wa majeshi na Mungu wa Israel, asema hivi, “Kwanini unafanya maovu makubwa dhidi yenu? Kwanini mnasababisha ninyi wenyewe kujitenga kutoka miongoni mwa Yuda - wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao? Hakuna mabaki yenu yatabaki.
and now thus to say LORD God Hosts God Israel to/for what? you(m. p.) to make distress: evil great: large to(wards) soul: myself your to/for to cut: eliminate to/for you man and woman infant and to suckle from midst Judah to/for lest to remain to/for you remnant
8 Kwa maovu yenu mmenikosea pamoja na matendo ya mikono yenu, kwa kuchoma ubani kwa miungu mingine kwenye nchi ya Misri, ambapo mmekwenda kuishi. Mmeenda huko ili kwamba mtaangamizwa, ili kwamba mtalaaniwa na mashutumu miongoni mwa mataifa yote ya duniani.
to/for to provoke me in/on/with deed hand your to/for to offer: offer to/for God another in/on/with land: country/planet Egypt which you(m. p.) to come (in): come to/for to sojourn there because to cut: eliminate to/for you and because to be you to/for curse and to/for reproach in/on/with all nation [the] land: country/planet
9 Mmesahau maovu yaliyofanywa na mababu zenu na maouvu yaliyofanywa na wafalme wa Yuda na wake zao? Mmesahau uovu uliofanywa na ninyi na wake zenu katika nchi ya Yuda na mitaa ya Yerusalemu?
to forget [obj] distress: evil father your and [obj] distress: evil king Judah and [obj] distress: evil woman: wife his and [obj] distress: evil your and [obj] distress: evil woman: wife your which to make in/on/with land: country/planet Judah and in/on/with outside Jerusalem
10 Kwa siku hii, hawajanyenyekea bado. Hawashimu sheria yangu au maagizo niliyoweka mbele yao na mababu zao, wala hawatembei nazo.”
not to crush till [the] day: today [the] this and not to fear: revere and not to go: walk in/on/with instruction my and in/on/with statute my which to give: put to/for face: before your and to/for face: before father your
11 Kwa hiyo sasa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, “Ona, Nimekaribia kuweka uso wangu dhidi yenu kuleta maafa kwenu na kuiharibu Yuda yote.
to/for so thus to say LORD Hosts God Israel look! I to set: make face my in/on/with you to/for distress: harm and to/for to cut: eliminate [obj] all Judah
12 Kwa kuwa nitachukua mabaki wa Yuda ambaye ameanza safari kwenda nchi ya Misri kuishi huko. Nitafanya hivi ili kwamba wataangamia wote katika nchi ya Misri. Wataanguka kwa upanga na njaa. Kutoka wadogo kwa wakubwa wataangamia kwa upanga na njaa. Watakufa na watakuwa sababu ya kuaapa, kulaani, mashutumu, na kitu kibaya.
and to take: take [obj] remnant Judah which to set: make face their to/for to come (in): come land: country/planet Egypt to/for to sojourn there and to finish all in/on/with land: country/planet Egypt to fall: kill in/on/with sword in/on/with famine to finish from small and till great: large in/on/with sword and in/on/with famine to die and to be to/for oath to/for horror: appalled and to/for curse and to/for reproach
13 Kwa kuwa nitawaadhibu watu wakazi wa nchi ya Misri kama nilivyoadhibu Yerusalem kwa upanga, njaa, na pigo.
and to reckon: punish upon [the] to dwell in/on/with land: country/planet Egypt like/as as which to reckon: punish upon Jerusalem in/on/with sword in/on/with famine and in/on/with pestilence
14 Hakuna mkimbizi au mwathirika wa mabaki ya Yuda ambaye wataenda kuishi huko kwenye nchi ya Misri watarudi kwenye nchi ya Yuda, hata kama wanataka kurudi na kuishi huko. Hakuna kati yao atarudi, ijapokuwa wachache ambayo watatoroka kutoka huko.”
and not to be survivor and survivor to/for remnant Judah [the] to come (in): come to/for to sojourn there in/on/with land: country/planet Egypt and to/for to return: return land: country/planet Judah which they(masc.) to lift: trust [obj] soul: appetite their to/for to return: return to/for to dwell there for not to return: return that if: except if: except survivor
15 Kisha watu wote ambao walijua kwamba wake zao walikuwa wakichoma ubani kwa miungu mingine, na wanawake wote waliokuwa katika kusanyiko kuu, na watu wote ambao walikuwa wakiishi kwenye nchi ya Misri katika Pathrosi walimjibu Yeremia.
and to answer [obj] Jeremiah all [the] human [the] to know for to offer: offer woman: wife their to/for God another and all [the] woman [the] to stand: stand assembly great: large and all [the] people [the] to dwell in/on/with land: country/planet Egypt in/on/with Pathros to/for to say
16 Walisema, “Kuhusu neno ambalo mmetuambia sisi kwa jina la Yahwe: Hatutakusikiliza.
[the] word which to speak: speak to(wards) us in/on/with name LORD nothing we to hear: hear to(wards) you
17 Kwa hakika tutafanya mambo yote ambayo tulisema tungefanya: kuchoma ubani kwa malkia wa Mbingu na kumwaga kinywaji cha sadaka kwake kama sisi, mababu zetu, wafalme wetu, na viongozi wetu walivyofanya kwenye miji ya Yuda na mitaa ya Yerusalemu. Kisha tutajazwa pamoja na chakula na tutafanikiwa, pasipo kupata maafa yoyote.
for to make: do to make: do [obj] all [the] word: thing which to come out: speak from lip our to/for to offer: offer to/for queen [the] heaven and to pour to/for her drink offering like/as as which to make: do we and father our king our and ruler our in/on/with city Judah and in/on/with outside Jerusalem and to satisfy food and to be pleasant and distress: harm not to see: see
18 Wakati tunajiepusha kutofanya mambo haya, si kutoa sadaka ya ubani kwa Malkia wa Mbinguni na si kumwanga kinywaji cha sadaka kwake, tulikuwa wote tunaumwa umaskini na tulikuwa tunakufa kwa upanga na njaa.”
and from the past to cease to/for to offer: offer to/for queen [the] heaven and to pour to/for her drink offering to lack all and in/on/with sword and in/on/with famine to finish
19 Wanawake walisema, “Wakati tulipokuwa tunatengeneza ubani wa sadaka mbele ya Malkia wa Mbinguni na kumwaga kinywaji cha sadaka kwake, tulifanya hivi vitu pasipo waume wetu kujua.”
and for we to offer: offer to/for queen [the] heaven and to/for to pour to/for her drink offering from beside human our to make to/for her bun to/for to shape her and to pour to/for her drink offering
20 Kisha Yeremia alisema kwa watu wote - kwa wanaume na wanawake, na watu wote waliomjibu yeye - alihubiri na kusema,
and to say Jeremiah to(wards) all [the] people upon [the] great man and upon [the] woman and upon all [the] people [the] to answer [obj] him word to/for to say
21 “Je Yahwe hakukumbuka ubani ambao mliuchoma kwenye miji ya Yuda na mitaa ya Yerusalem - wewe na mababu zenu, wafalme wenu na viongozi, na watu wa nchi? Kwa kuwa Yahwe anakumbuka hili kwenye akili; inakuja kwenye mawazo yake.
not [obj] [the] incense which to offer: offer in/on/with city Judah and in/on/with outside Jerusalem you(m. p.) and father your king your and ruler your and people [the] land: country/planet [obj] them to remember LORD and to ascend: rise upon heart his
22 Basi hawakuweza tena kuvumilia kwa sababu ya matendo yenu maovu, kwa sababu machukizo ambayo mlifanya. Basi nchi yenu imekuwa ukiwa, kutisha, na laana basi hapakuwa na mkazi tena kwa siku hii.
and not be able LORD still to/for to lift: bear from face: because evil deed your from face: because [the] abomination which to make and to be land: country/planet your to/for desolation and to/for horror: destroyed and to/for curse from nothing to dwell like/as [the] day: today [the] this
23 Kwa sababu mlichoma ubani na kufanya dhambi dhidi ya Yahwe, na kwa sababu msingesikiliza sauti yake, sheria yake, amri zake, au maagizo ya agano lake, maafa haya dhidi yenu yemetokea kama kwa siku hii. “
from face: because which to offer: offer and which to sin to/for LORD and not to hear: obey in/on/with voice LORD and in/on/with instruction his and in/on/with statute his and in/on/with testimony his not to go: walk upon so to encounter: chanced [obj] you [the] distress: harm [the] this like/as day: today [the] this
24 Kisha Yeremia alisema kwa watu wote na wanawake wote, “Sikia neno la Yahwe, Yuda yote ambao wamo katika nchi ya Misri.
and to say Jeremiah to(wards) all [the] people and to(wards) all [the] woman to hear: hear word LORD all Judah which in/on/with land: country/planet Egypt
25 Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, Wewe na wake zako wote mmesema kwa vinywa vyenu na kubeba kwa mikono yenu kile mlichosema, “Hakika tutabeba viapo ambavyo tulifanya kumwabudu Malkia wa Mbinguni, kwanga kinywaji cha sadaka kwake.” Sasa timiza viapo vyenu, vibebe.”
thus to say LORD Hosts God Israel to/for to say you(m. p.) and woman: wife your and to speak: promise in/on/with lip your and in/on/with hand your to fill to/for to say to make: do to make: do [obj] vow our which to vow to/for to offer: offer to/for queen [the] heaven and to/for to pour to/for her drink offering to arise: establish to arise: establish [obj] vow your and to make: do to make: do [obj] vow your
26 Basi, sikiliza neno la Yahwe, Yuda yote ambao mnaishi katika nchi ya Misri, 'Ona, Nimeapa kwa jina langu kuu-asema Yahwe. Jina langu halitaitwa kwa vinywa vya wanaume wowote wa Yuda kwenye nchi ya Misri, wewe ambaye sasa unasema, “Kama Bwana Yahwe aishivyo.”
to/for so to hear: hear word LORD all Judah [the] to dwell in/on/with land: country/planet Egypt look! I to swear in/on/with name my [the] great: large to say LORD if: surely no to be still name my to call: call to in/on/with lip all man Judah to say alive Lord YHWH/God in/on/with all land: country/planet Egypt
27 Ona, Ninakutazama juu yako kwa ajili ya maafa na si kwa uzuri. Kila mtu wa Yuda katika nchi ya Misri ataangamia kwa upanga na njaa mpaka wote wameishia.
look! I to watch upon them to/for distress: harm and not to/for welfare and to finish all man Judah which in/on/with land: country/planet Egypt in/on/with sword and in/on/with famine till to end: destroy they
28 Kisha waathirika wa upanga watarudi kutoka nchi ya Misri kwa nchi ya Yuda, peke idadi ndogo yao. Basi mabaki yote ya Yuda walioenda kwenye nchi ya Misri kuishi huko watajua ambao neno litakuwa kweli: yangu au yao.
and survivor sword to return: return [emph?] from land: country/planet Egypt land: country/planet Judah man number and to know all remnant Judah [the] to come (in): come to/for land: country/planet Egypt to/for to sojourn there word who? to arise: establish from me and from them
29 Hii itakuwa ishara kwa ajili yako - hili ni tamko la Yahwe - kwamba ninaweka dhidi yenu katika eneo hili, ili kwamba mtajua kwamba maneno yangu hakika yatawavamia pamoja na maafa.
and this to/for you [the] sign: miraculous utterance LORD for to reckon: punish I upon you in/on/with place [the] this because to know for to arise: establish to arise: establish word my upon you to/for distress: harm
30 Yahwe asema hivi, 'Tazama, ninakaribia kumtoa Farao Hofra mfalme wa Misri kwenye mkono wa adui zake na kwenye mkono wa wale wanaotafuta kumuua. Itakuwa sawa kama wakati nilimpa Sedekia mfalme wa Yuda kwenye mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babeli, adui wake aliyetafuta maisha yake.
thus to say LORD look! I to give: give [obj] Pharaoh (Hophra) (Pharaoh)-hophra king Egypt in/on/with hand: power enemy his and in/on/with hand: power to seek soul: life his like/as as which to give: give [obj] Zedekiah king Judah in/on/with hand: power Nebuchadnezzar king Babylon enemy his and to seek soul: life his