< Yeremia 44 >

1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia kuhusu Wayahudi wote walioishi katika nchi ya Misri, wale wanaoishi Migdoli, Tahpanhesi, Memphis, na katika nchi ya Patrosi.
Egypt khohmuen kah khosa rhoek, Migdol neh Tahpanhes kah khosa, Noph neh Parthros khohmuen kah Judah boeih ham Jeremiah taengah ol ha pawk.
2 “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Wewe mwenyewe umeyaona maafa yote niliyoleta juu ya Yerusalemu na miji yote ya Yuda. Ona, ni ukiwa leo. Hakuna yeyote anaishi mwao.
“Israel Pathen caempuei BOEIPA loh he ni a. thui. Jerusalem so neh Judah khopuei boeih ah boethae cungkuem ka thoeng sak te na hmuh uh coeng. Tahae khohnin ah imrhong te a khuiah khosa om mahpawh ne.
3 Hii ni kwa sababu ya mambo maovu waliyofanya kunikosea mimi kwa kwenda kuchoma ubani na kuabudu miungu mengine. Hawa walikuwa miungu ambao wala wao wenyewe, wala ninyi, wala mababu zenu walijua.
A boethae uh hman ah kai veet ham a saii uh pathen tloe taengah hmueih phum ham neh thothueng ham pongpa uh. Amih te amamih long khaw, nangmih long khaw, na pa rhoek long khaw a ming uh moenih.
4 Basi nirudie kuwatuma watumwa wangu wote manabii kwao. Niliwatuma wao kusema, 'Acha kufanya vitu hivi machukizo ambayo nachukia.
Ka sal boeih te nangmih taengah kan tueih coeng. Tonghma rhoek te a thoh neh ka tueih tih, ‘Tueilaehkoi hno te saii uh boel mai, te te ka hmuhuet,’ ka ti.
5 Lakini hawakunisikiliza. Walikataa kuwa makini au kuyaacha maovu kwa kuchoma ubani kwa miungu mingine.
Tedae hnatun uh pawt tih pathen tloe ham ka phum pawt ve a ti ah a boethae lamloh mael ham a hna te kaeng uh pawh.
6 Basi hasira yangu na gadhabu yangu zilimwanga na kuwasha moto kwenye miji ya Yuda na mitaa ya Yerusalemu. Basi waliharibiwa na kuteketezwa, kama katika siku ya leo.”
Te dongah ka kosi neh ka thintoek he bo coeng tih Judah khopuei neh Jerusalem tollong te a dom coeng. Te dongah ni tahae khohnin bangla imrhong neh khopong la a poeh uh.
7 Basi sasa Yahwe, Mungu wa majeshi na Mungu wa Israel, asema hivi, “Kwanini unafanya maovu makubwa dhidi yenu? Kwanini mnasababisha ninyi wenyewe kujitenga kutoka miongoni mwa Yuda - wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao? Hakuna mabaki yenu yatabaki.
Te dongah Israel Pathen caempuei Pathen BOEIPA loh he ni a. thui coeng. Balae tih, na hinglu te yoethae tanglue aka khuen tih Judah lakli kah huta tongpa neh camoe cahni te nangmih ham a meet kangna a paih pawt hil nangmih aka saii ham khaw namamih ni.
8 Kwa maovu yenu mmenikosea pamoja na matendo ya mikono yenu, kwa kuchoma ubani kwa miungu mingine kwenye nchi ya Misri, ambapo mmekwenda kuishi. Mmeenda huko ili kwamba mtaangamizwa, ili kwamba mtalaaniwa na mashutumu miongoni mwa mataifa yote ya duniani.
Nangmih aka saii ham ni na paan uh tih na bakuep thil Egypt diklai kah pathen tloe ham na phum pah na kut dongkah bibi neh kai nan veet uh. Tedae nangmih te diklai namtom boeih kah rhunkhuennah neh kokhahnah la aka om sak ham rhung ni.
9 Mmesahau maovu yaliyofanywa na mababu zenu na maouvu yaliyofanywa na wafalme wa Yuda na wake zao? Mmesahau uovu uliofanywa na ninyi na wake zenu katika nchi ya Yuda na mitaa ya Yerusalemu?
Judah khohmuen neh Jerusalem tollong ah a saii uh na pa rhoek kah boethae khaw, Judah manghai kah boethae neh a yuu rhoek kah boethae khaw, nangmih kah a boethae neh na yuu rhoek kah boethae te na hnilh uh nama?
10 Kwa siku hii, hawajanyenyekea bado. Hawashimu sheria yangu au maagizo niliyoweka mbele yao na mababu zao, wala hawatembei nazo.”
Tahae khohnin duela na ueih uh pawt tih narhih uh pawh. Nangmih mikhmuh neh na pa mikhmuh ah kam paek ka olkhueng neh ka khosing te na caeh puei uh pawh.
11 Kwa hiyo sasa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, “Ona, Nimekaribia kuweka uso wangu dhidi yenu kuleta maafa kwenu na kuiharibu Yuda yote.
“Te dongah Israel Pathen caempuei BOEIPA loh he ni a. thui. Judah pum te saii ham ka maelhmai nangmih taengah a thae la ka khueh coeng ne.
12 Kwa kuwa nitachukua mabaki wa Yuda ambaye ameanza safari kwenda nchi ya Misri kuishi huko. Nitafanya hivi ili kwamba wataangamia wote katika nchi ya Misri. Wataanguka kwa upanga na njaa. Kutoka wadogo kwa wakubwa wataangamia kwa upanga na njaa. Watakufa na watakuwa sababu ya kuaapa, kulaani, mashutumu, na kitu kibaya.
Egypt kho la caeh ham neh bakuep pahoi ham a maelhmai aka khueh Judah kah a meet te ka khuen vetih Egypt khohmuen ah boeih khawk uh bitni. Cunghang dongah cungku uh vetih khokha ah khawk bitni. Tanoe lamloh kangham duela cunghang neh khokha neh duek uh ni. Te vaengah te thaephoeinah la, imsuep la, rhunkhuennah la kokhahnah la om uh ni.
13 Kwa kuwa nitawaadhibu watu wakazi wa nchi ya Misri kama nilivyoadhibu Yerusalem kwa upanga, njaa, na pigo.
Jerusalem ka cawh bangla Egypt kho kah khosa rhoek te cunghang neh, khokha neh, duektahaw neh ka cawh ni.
14 Hakuna mkimbizi au mwathirika wa mabaki ya Yuda ambaye wataenda kuishi huko kwenye nchi ya Misri watarudi kwenye nchi ya Yuda, hata kama wanataka kurudi na kuishi huko. Hakuna kati yao atarudi, ijapokuwa wachache ambayo watatoroka kutoka huko.”
Egypt diklai ah bakuep ham aka cet tih Judah diklai la aka mael Judah kah a meet te hlangyong neh rhaengnaeng om mahpawh. Amih loh mael ham neh khosak ham a hinglu thak mai cakhaw hlangyong rhoek bueng pawt atah mael uh mahpawh,” a ti nah.
15 Kisha watu wote ambao walijua kwamba wake zao walikuwa wakichoma ubani kwa miungu mingine, na wanawake wote waliokuwa katika kusanyiko kuu, na watu wote ambao walikuwa wakiishi kwenye nchi ya Misri katika Pathrosi walimjibu Yeremia.
Te vaengah pathen tloe taengah a yuu aka phum te aka ming hlang boeih neh hlangping la muep aka pai huta boeih, Egypt khohmuen Parthros kah khosa pilnam boeih loh Jeremiah te a doo uh tih,
16 Walisema, “Kuhusu neno ambalo mmetuambia sisi kwa jina la Yahwe: Hatutakusikiliza.
Ol he kaimih taengah BOEIPA ming neh na thui dae nang taengkah te ka hnatun uh moenih.
17 Kwa hakika tutafanya mambo yote ambayo tulisema tungefanya: kuchoma ubani kwa malkia wa Mbingu na kumwaga kinywaji cha sadaka kwake kama sisi, mababu zetu, wafalme wetu, na viongozi wetu walivyofanya kwenye miji ya Yuda na mitaa ya Yerusalemu. Kisha tutajazwa pamoja na chakula na tutafanikiwa, pasipo kupata maafa yoyote.
Kaimih ka lamloh ol a thoeng bangla boeih ka saii rhoe ka saii uh ni. Vaan boeinu taengah phum ham neh a taengah tuisi doeng ham om. Te vanbangla Judah khopuei rhoek neh Jerusalem tollong ah kaimih neh a pa rhoek loh, ka manghai rhoek neh ka mangpa rhoek loh ka saii uh. Te vaengah buh ka kum uh dongah a then la ka om uh tih boethae ka hmuh uh pawh.
18 Wakati tunajiepusha kutofanya mambo haya, si kutoa sadaka ya ubani kwa Malkia wa Mbinguni na si kumwanga kinywaji cha sadaka kwake, tulikuwa wote tunaumwa umaskini na tulikuwa tunakufa kwa upanga na njaa.”
Vaan boeinu taengah phum ham neh anih taengah tuisi doeng ham ka toeng uh parhi te a cungkuem dongah ka vawt uh tih cunghang neh khokha dongah ka khawk uh.
19 Wanawake walisema, “Wakati tulipokuwa tunatengeneza ubani wa sadaka mbele ya Malkia wa Mbinguni na kumwaga kinywaji cha sadaka kwake, tulifanya hivi vitu pasipo waume wetu kujua.”
Te vaengah kaimih loh ka hlang mueh lam nim vaan boeinu ham ka phum uh tih anih taengah tuisi ka doeng uh. A noih ham a anih ham rhaibuh ka khueh tih amah taengah tuisi ka doeng uh?” a ti uh.
20 Kisha Yeremia alisema kwa watu wote - kwa wanaume na wanawake, na watu wote waliomjibu yeye - alihubiri na kusema,
Te vaengah Jeremiah loh pilnam pum taengkah tongpa rhoek te khaw, huta rhoek te khaw, ol neh anih aka doo pilnam boeih te khaw a thui pah.
21 “Je Yahwe hakukumbuka ubani ambao mliuchoma kwenye miji ya Yuda na mitaa ya Yerusalem - wewe na mababu zenu, wafalme wenu na viongozi, na watu wa nchi? Kwa kuwa Yahwe anakumbuka hili kwenye akili; inakuja kwenye mawazo yake.
“Judah khopuei khui neh Jerusalem tollong ah na phum uh te hmueih moenih a? Nangmih neh na pa rhoek, na manghai rhoek neh na mangpa rhoek, a khohmuen kah pilnam te BOEIPA loh a thoelh tih a lungbuei loh a dueh ta.
22 Basi hawakuweza tena kuvumilia kwa sababu ya matendo yenu maovu, kwa sababu machukizo ambayo mlifanya. Basi nchi yenu imekuwa ukiwa, kutisha, na laana basi hapakuwa na mkazi tena kwa siku hii.
Nangmih kah khoboe thaenah hman ah BOEIPA koep a duen uh ham a coeng moenih. Tueilaehkoi hman ah na saii uh dongah ni na khohmuen te imrhong la, imsuep la, rhunkhuennah la poeh tih tahae khohnin kah bangla khosa a om pawh.
23 Kwa sababu mlichoma ubani na kufanya dhambi dhidi ya Yahwe, na kwa sababu msingesikiliza sauti yake, sheria yake, amri zake, au maagizo ya agano lake, maafa haya dhidi yenu yemetokea kama kwa siku hii. “
Na phum uh hman ah khaw BOEIPA taengah na tholh bal pueng. BOEIPA ol te na hnatun uh pawt tih a olkhueng neh a khosing dongah khaw, a olphong dongah khaw na pongpa uh pawh. Te dongah tahae khohnin kah bangla yoethae loh nangmih n'doe,” a ti nah.
24 Kisha Yeremia alisema kwa watu wote na wanawake wote, “Sikia neno la Yahwe, Yuda yote ambao wamo katika nchi ya Misri.
Te phoeiah Jeremiah loh pilnam boeih neh huta boeih te, “Egypt khohmuen kah Judah boeih, BOEIPA ol te hnatun uh.
25 Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, Wewe na wake zako wote mmesema kwa vinywa vyenu na kubeba kwa mikono yenu kile mlichosema, “Hakika tutabeba viapo ambavyo tulifanya kumwabudu Malkia wa Mbinguni, kwanga kinywaji cha sadaka kwake.” Sasa timiza viapo vyenu, vibebe.”
Israel Pathen caempuei BOEIPA loh he ni a. thui. “Namamih neh na yuu rhoek khaw na ka neh na thui tih na kut neh na khah uh. 'Vaan boeinu taengah phum ham neh anih taengah tuisi doeng ham ka caeng vanbangla ka olcaeng te ka saii rhoe ka saii ni, ' na ti uh. Na olcaeng te na thoh rhoe na thoh uh coeng tih na olcaeng bangla na saii khaw na saii uh coeng,” a ti.
26 Basi, sikiliza neno la Yahwe, Yuda yote ambao mnaishi katika nchi ya Misri, 'Ona, Nimeapa kwa jina langu kuu-asema Yahwe. Jina langu halitaitwa kwa vinywa vya wanaume wowote wa Yuda kwenye nchi ya Misri, wewe ambaye sasa unasema, “Kama Bwana Yahwe aishivyo.”
Te dongah Egypt kho kah khosa Judah pum loh BOEIPA ol he hnatun uh. BOEIPA loh, “Ka ming tanglue neh ka toemngam coeng. Egypt khohmuen tom ah ka Boeipa, hingnah Yahovah aka ti Judah hlang boeih te a ka kak neh kai ming aka khue la koep om boel saeh.
27 Ona, Ninakutazama juu yako kwa ajili ya maafa na si kwa uzuri. Kila mtu wa Yuda katika nchi ya Misri ataangamia kwa upanga na njaa mpaka wote wameishia.
Amih then sak ham pawt tih thae sak ham ka hak thil coeng ne. Te dongah Egypt kho kah Judah hlang tah boeih khawk uh vetih cunghang loh, khokha loh amih a khah ni.
28 Kisha waathirika wa upanga watarudi kutoka nchi ya Misri kwa nchi ya Yuda, peke idadi ndogo yao. Basi mabaki yote ya Yuda walioenda kwenye nchi ya Misri kuishi huko watajua ambao neno litakuwa kweli: yangu au yao.
cunghang hlangyong te Egypt kho lamloh Judah kho kah hlang sii la mael uh ni. Te vaengah Egypt kho ah bakuep ham aka pawk Judah kah a meet boeih loh amih kah neh kai kah, u ol nim aka thoeng ti khaw a ming uh bitni.
29 Hii itakuwa ishara kwa ajili yako - hili ni tamko la Yahwe - kwamba ninaweka dhidi yenu katika eneo hili, ili kwamba mtajua kwamba maneno yangu hakika yatawavamia pamoja na maafa.
Nangmih ham miknoek he BOEIPA kah olphong ni. He hmuen ah nangmih te kan cawh coeng. Te daengah ni ka ol tite nangmih taengah boethae la a pai rhoe a pai ham khaw na ming uh eh,” a ti.
30 Yahwe asema hivi, 'Tazama, ninakaribia kumtoa Farao Hofra mfalme wa Misri kwenye mkono wa adui zake na kwenye mkono wa wale wanaotafuta kumuua. Itakuwa sawa kama wakati nilimpa Sedekia mfalme wa Yuda kwenye mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babeli, adui wake aliyetafuta maisha yake.
BOEIPA loh he ni a. thui. Judah manghai Zedekiah te a thunkha neh a hinglu aka toem Babylon manghai Nebukhanezar kut ah ka tloeng bangla, Egypt manghai Pharaoh Hophra te a thunkha kut neh a hinglu aka toem kut ah ka tloeng coeng ne.

< Yeremia 44 >