< Yeremia 43 >

1 Ilitokea kwamba Yeremia alimaliza kuhubiri kwa watu wote maneno yote ya Yahwe Mungu wao kwamba Yahwe Mungu wao alimwambia kusema.
Pripetilo se je, da ko je Jeremija končal govorjenje vsemu ljudstvu vse besede Gospoda, njihovega Boga, za katere ga je Gospod, njihov Bog, poslal k njim, celó vse te besede,
2 Azaria mwana wa Hoshaia, Yonathani mwana wa Karea, na watu wenye kiburi walisema kwa Yeremia, “Unasema uongo. Yahwe Mungu wetu hajakutuma wewe kusema, 'Usiende Misri kuishi huko.'
so potem spregovorili Hošajájev sin Azarjá, Karéahov sin Johanán in vsi ponosni možje, rekoč Jeremiju: »Napačno govoriš. Gospod, naš Bog, te ni poslal, da rečeš: ›Ne pojdite v Egipt, da začasno prebivate tam, ‹
3 Kwa kuwa Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu kututoa sisi kwenye mkono wa Wakaldayo, kwa kuwa wewe umesababisha kifo chetu na kutufanya sisi mateka huko Babeli.”
temveč te je Nerijájev sin Baruh naravnal zoper nas, da nas izročiš v roko Kaldejcev, da bi nas oni lahko usmrtili in nas odvedli ujetnike v Babilon.«
4 Basi Yonathani mwana wa Karea, wakuu wa jeshi, na watu wote walikataa kusikiliza sauti ya Yahwe kuishi kwenye nchi ya Yuda.
Tako Karéahov sin Johanán, vsi poveljniki sil in vse ljudstvo niso ubogali glasu Gospoda, da prebivajo v Judovi deželi,
5 Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi wote waliwachukua mabaki wa Yuda ambao walikuwa wamerudi kutoka mataifa yote ambapo walikuwa wametawanyika kuishi katika nchi ya Yuda.
temveč so Karéahov sin Johanán in vsi poveljniki sil vzeli ves Judov preostanek, ki se je vrnil iz vseh narodov, kamor so bili pognani, da prebivajo v Judovi deželi;
6 Waliwachukua wanaume na wanawake, watoto na mabinti wa mfalme, na kila mtu ambaye Nebuzaradani, nahodha wa walinzi wa mfalme, waliruhusu kubaki pamoja na Gedali mwana wa Ahikam mwana wa Shafan. Pia walimchukua Yeremia nabii na Baruku mwana wa Neria.
celó može, ženske, otroke, kraljeve hčere in vsako osebo, ki jih je Nebuzaradán, poveljnik straže, pustil z Gedaljájem, sinom Ahikáma, sinom Šafána in prerokom Jeremijem in Nerijájevim sinom Baruhom.
7 Walienda nchi ya Misri, kwa Tahpanhesi, kwa sababu hawakusikiliza sauti ya Yahwe.
Tako so prišli v egiptovsko deželo, kajti niso ubogali glasu Gospoda. Tako so prišli celó v Tahpanhés.
8 Basi neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia huko Tahpanhesi na kusema,
Potem je prišla beseda od Gospoda Jeremiju v Tahpanhésu, rekoč:
9 “Chukua mawe makubwa mkononi mwako, na, kwenye macho ya watu wa Yuda, yafiche kwenye chokaa kwenye njia ya kuingia katika nyumba ya Farao huko Tahpanhesi.
»V svojo roko vzemi velike kamne in jih skrij v ilo v opekarsko peč, ki je pri vhodu faraonove hiše v Tahpanhésu, pred očmi Judovih mož
10 Kisha wakasema nao, “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Ona, nimekaribia kutuma wajumbe kumchukua Nebukadreza mfalme wa Babeli kama mtumwa wangu. Nitaweka kiti cha enzi juu ya mawe haya ambayo wewe, Yeremia, umeyazika. Nebukadreza ataweka banda lake juu yao.
in jim reci: ›Tako govori Gospod nad bojevniki, Izraelov Bog: ›Glejte, poslal bom in vzel babilonskega kralja Nebukadnezarja, svojega služabnika in njegov prestol bom postavil na teh kamnih, ki sem jih skril; in on bo nad njimi razpel svoj kraljevi paviljon.
11 Kwa kuwa atakuja na kuvamia nchi ya Misri. Yeyote aliyeandikiwa kufa atakufa. Yeyote aliyeandikiwa mateka atachukuliwa mateka. Na yeyote aliyeandikiwa kwa upanga atakufa kwa upanga.
In ko pride, bo udaril egiptovsko deželo in izročil tiste, ki so za smrt, k smrti; in tiste, ki so za ujetništvo, k ujetništvu; in tiste, ki so za meč, k meču.
12 Kisha nitawasha moto katika mahekalu ya miungu ya Misri. Nebukadreza atawachoma na kuwashika. Atasafisha nchi ya Misri kama wachungaji wanavyosafisha wanyama waharibio nguo zao. Ataenda nje kutoka eneo hilo kwa ushindi.
In jaz bom prižgal ogenj v hišah egiptovskih bogov in on jih bo sežgal in jih odvedel proč ujetnike; in odel se bo z egiptovsko deželo, kakor si pastir nadene svojo obleko; in od tod bo šel naprej v miru.
13 Atavunja nguzo za mawe huko Heliopolisi kwenye nchi ya Misri. Atachoma mahekalu ya miungu ya Misri.”
Zlomil bo tudi podobe Bet Šemeša, ki je v egiptovski deželi; in hiše egipčanskih bogov bo sežgal z ognjem.«

< Yeremia 43 >