< Yeremia 43 >

1 Ilitokea kwamba Yeremia alimaliza kuhubiri kwa watu wote maneno yote ya Yahwe Mungu wao kwamba Yahwe Mungu wao alimwambia kusema.
Ket napasamak a naiwaragawag ni Jeremias kadagiti amin a tattao dagiti amin a sasao ni Yahweh a Diosda nga imbaga kenkuana ni Yahweh a Diosda nga ibagana.
2 Azaria mwana wa Hoshaia, Yonathani mwana wa Karea, na watu wenye kiburi walisema kwa Yeremia, “Unasema uongo. Yahwe Mungu wetu hajakutuma wewe kusema, 'Usiende Misri kuishi huko.'
Ni Azarias a putot ni Hosaias, ni Johanan a putot ni Karea, ken amin dagiti natangsit a lallaki, kinunada kenni Jeremias, “Agul-ulbodka. Saannaka nga imbaon ni Yahweh a Diostayo tapno ibagam, “Saankayo a mapan agnaed idiay Egipto.'
3 Kwa kuwa Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu kututoa sisi kwenye mkono wa Wakaldayo, kwa kuwa wewe umesababisha kifo chetu na kutufanya sisi mateka huko Babeli.”
Ta durdurogannaka ni Baruc nga anak ni Nerias maibusor kadakami tapno ipaimanakami kadagiti Caldeo, tapno papatayennakami ken pagbalinennakami a balud idiay Babilonia.”
4 Basi Yonathani mwana wa Karea, wakuu wa jeshi, na watu wote walikataa kusikiliza sauti ya Yahwe kuishi kwenye nchi ya Yuda.
Isu a ni Johanan a putot ni Karea, dagiti amin a prinsipe ti armada, ken dagiti amin a tattao, saanda a dimngeg iti timek ni Yahweh nga agnaedda iti daga ti Juda.
5 Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi wote waliwachukua mabaki wa Yuda ambao walikuwa wamerudi kutoka mataifa yote ambapo walikuwa wametawanyika kuishi katika nchi ya Yuda.
Innala amin ni Johanan a putot ni Karea ken dagiti amin a mangidadaulo ti armada dagiti amin a nabatbati iti Juda a nagsubli manipud kadagiti amin a nasion a nakaiwarawaraanda tapno agnaedda iti daga ti Juda.
6 Waliwachukua wanaume na wanawake, watoto na mabinti wa mfalme, na kila mtu ambaye Nebuzaradani, nahodha wa walinzi wa mfalme, waliruhusu kubaki pamoja na Gedali mwana wa Ahikam mwana wa Shafan. Pia walimchukua Yeremia nabii na Baruku mwana wa Neria.
Innalada dagiti lallaki ken babbai, dagiti ubbing ken dagiti putot a babbai ti ari, ken tunggal tao a pinaaywanan ni Nebuzaradan a kapitan dagiti guardia ti ari kenni Gedalias a putot ni Ahikam a putot ni Safan. Innalada met ni Jeremias a profeta ken ni Baruc a putot ni Nerias.
7 Walienda nchi ya Misri, kwa Tahpanhesi, kwa sababu hawakusikiliza sauti ya Yahwe.
Napanda iti daga ti Egipto` idiay Tapanes, gapu ta saanda a dimngeg iti timek ni Yahweh.
8 Basi neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia huko Tahpanhesi na kusema,
Immay ngarud kenni Jeremias ti sao ni Yahweh idiay Tapanes a kunana,
9 “Chukua mawe makubwa mkononi mwako, na, kwenye macho ya watu wa Yuda, yafiche kwenye chokaa kwenye njia ya kuingia katika nyumba ya Farao huko Tahpanhesi.
“Mangalaka iti sumagmamano a dadakkel a batbato, kalpasanna, iti imatang dagiti tattao ti Juda, ikalim dagitoy iti nasemento a paset iti pagserkan ti balay ni Faraon idiay Tapanes.”
10 Kisha wakasema nao, “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Ona, nimekaribia kutuma wajumbe kumchukua Nebukadreza mfalme wa Babeli kama mtumwa wangu. Nitaweka kiti cha enzi juu ya mawe haya ambayo wewe, Yeremia, umeyazika. Nebukadreza ataweka banda lake juu yao.
Ket ibagam kadakuada, “Ni Yahweh a Mannakabalin-amin a Dios ti Israel, kastoy ti kunana, 'Dumngegkayo, dandanin ti tiempo a mangibaonak kadagiti mensahero a mangala kenni Nebucadnesar nga ari ti Babilonia kas adipenko. Isaadkonto ti tronona iti rabaw dagitoy a batbato nga inkalim, Jeremias. Ipasdekto ni Nebucadnesar ti dakkel a toldana iti rabaw dagitoy.
11 Kwa kuwa atakuja na kuvamia nchi ya Misri. Yeyote aliyeandikiwa kufa atakufa. Yeyote aliyeandikiwa mateka atachukuliwa mateka. Na yeyote aliyeandikiwa kwa upanga atakufa kwa upanga.
Ta umayto isuna ket rautenna ti daga ti Egipto. Siasinoman a naituding a matay ket maiyawatto iti patay. Siasinoman a naituding a maipanaw a kas balud ket maipanawto a kas balud. Ken siasinoman a naituding iti kampilan ket maiyawatto iti kampilan.
12 Kisha nitawasha moto katika mahekalu ya miungu ya Misri. Nebukadreza atawachoma na kuwashika. Atasafisha nchi ya Misri kama wachungaji wanavyosafisha wanyama waharibio nguo zao. Ataenda nje kutoka eneo hilo kwa ushindi.
Ket mangpasgedakto iti apuy kadagiti templo dagiti didiosen ti Egipto. Puoran wenno samsamento dagitoy ni Nebucadnezar. Dalusannanto a naan-anay ti daga ti Egipto a kas iti panangdalus dagiti agpaspastor kadagiti tuma iti kawesda. Rummuarto isuna iti dayta a lugar a sibaballigi.
13 Atavunja nguzo za mawe huko Heliopolisi kwenye nchi ya Misri. Atachoma mahekalu ya miungu ya Misri.”
Rebbaennanto dagiti adigi a batbato idiay Heliopolis iti daga ti Egipto. Puorannanto dagiti templo dagiti didiosen ti Egipto.”'

< Yeremia 43 >