< Yeremia 43 >
1 Ilitokea kwamba Yeremia alimaliza kuhubiri kwa watu wote maneno yote ya Yahwe Mungu wao kwamba Yahwe Mungu wao alimwambia kusema.
Lorsque Jérémie eut achevé de dire à tout le peuple toutes les paroles de l’Éternel, leur Dieu, toutes ces paroles que l’Éternel, leur Dieu, l’avait chargé de leur dire,
2 Azaria mwana wa Hoshaia, Yonathani mwana wa Karea, na watu wenye kiburi walisema kwa Yeremia, “Unasema uongo. Yahwe Mungu wetu hajakutuma wewe kusema, 'Usiende Misri kuishi huko.'
Azaria, fils d’Hosée, Jochanan, fils de Karéach, et tous ces hommes orgueilleux, dirent à Jérémie: Tu dis un mensonge: l’Éternel, notre Dieu, ne t’a point chargé de nous dire: N’allez pas en Égypte pour y demeurer.
3 Kwa kuwa Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu kututoa sisi kwenye mkono wa Wakaldayo, kwa kuwa wewe umesababisha kifo chetu na kutufanya sisi mateka huko Babeli.”
Mais c’est Baruc, fils de Nérija, qui t’excite contre nous, afin de nous livrer entre les mains des Chaldéens, pour qu’ils nous fassent mourir ou nous emmènent captifs à Babylone.
4 Basi Yonathani mwana wa Karea, wakuu wa jeshi, na watu wote walikataa kusikiliza sauti ya Yahwe kuishi kwenye nchi ya Yuda.
Jochanan, fils de Karéach, tous les chefs des troupes, et tout le peuple, n’obéirent point à la voix de l’Éternel, qui leur ordonnait de rester dans le pays de Juda.
5 Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi wote waliwachukua mabaki wa Yuda ambao walikuwa wamerudi kutoka mataifa yote ambapo walikuwa wametawanyika kuishi katika nchi ya Yuda.
Et Jochanan, fils de Karéach, et tous les chefs des troupes, prirent tous les restes de Juda, qui, après avoir été dispersés parmi toutes les nations, étaient revenus pour habiter le pays de Juda,
6 Waliwachukua wanaume na wanawake, watoto na mabinti wa mfalme, na kila mtu ambaye Nebuzaradani, nahodha wa walinzi wa mfalme, waliruhusu kubaki pamoja na Gedali mwana wa Ahikam mwana wa Shafan. Pia walimchukua Yeremia nabii na Baruku mwana wa Neria.
les hommes, les femmes, les enfants, les filles du roi, et toutes les personnes que Nebuzaradan, chef des gardes, avait laissées avec Guedalia, fils d’Achikam, fils de Schaphan, et aussi Jérémie, le prophète, et Baruc, fils de Nérija.
7 Walienda nchi ya Misri, kwa Tahpanhesi, kwa sababu hawakusikiliza sauti ya Yahwe.
Ils allèrent au pays d’Égypte, car ils n’obéirent pas à la voix de l’Éternel, et ils arrivèrent à Tachpanès.
8 Basi neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia huko Tahpanhesi na kusema,
La parole de l’Éternel fut adressée à Jérémie, à Tachpanès, en ces mots:
9 “Chukua mawe makubwa mkononi mwako, na, kwenye macho ya watu wa Yuda, yafiche kwenye chokaa kwenye njia ya kuingia katika nyumba ya Farao huko Tahpanhesi.
Prends dans ta main de grandes pierres, et cache-les, en présence des Juifs, dans l’argile du four à briques qui est à l’entrée de la maison de Pharaon à Tachpanès.
10 Kisha wakasema nao, “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Ona, nimekaribia kutuma wajumbe kumchukua Nebukadreza mfalme wa Babeli kama mtumwa wangu. Nitaweka kiti cha enzi juu ya mawe haya ambayo wewe, Yeremia, umeyazika. Nebukadreza ataweka banda lake juu yao.
Et tu diras aux Juifs: Ainsi parle l’Éternel des armées, le Dieu d’Israël: Voici, j’enverrai chercher Nebucadnetsar, roi de Babylone, mon serviteur, et je placerai son trône sur ces pierres que j’ai cachées, et il étendra son tapis sur elles.
11 Kwa kuwa atakuja na kuvamia nchi ya Misri. Yeyote aliyeandikiwa kufa atakufa. Yeyote aliyeandikiwa mateka atachukuliwa mateka. Na yeyote aliyeandikiwa kwa upanga atakufa kwa upanga.
Il viendra, et il frappera le pays d’Égypte; à la mort ceux qui sont pour la mort, à la captivité ceux qui sont pour la captivité, à l’épée ceux qui sont pour l’épée!
12 Kisha nitawasha moto katika mahekalu ya miungu ya Misri. Nebukadreza atawachoma na kuwashika. Atasafisha nchi ya Misri kama wachungaji wanavyosafisha wanyama waharibio nguo zao. Ataenda nje kutoka eneo hilo kwa ushindi.
Je mettrai le feu aux maisons des dieux de l’Égypte; Nebucadnetsar les brûlera, il emmènera captives les idoles, il s’enveloppera du pays d’Égypte comme le berger s’enveloppe de son vêtement, et il sortira de là en paix.
13 Atavunja nguzo za mawe huko Heliopolisi kwenye nchi ya Misri. Atachoma mahekalu ya miungu ya Misri.”
Il brisera les statues de Beth-Schémesch au pays d’Égypte, et il brûlera par le feu les maisons des dieux de l’Égypte.