< Yeremia 43 >

1 Ilitokea kwamba Yeremia alimaliza kuhubiri kwa watu wote maneno yote ya Yahwe Mungu wao kwamba Yahwe Mungu wao alimwambia kusema.
and to be like/as to end: finish Jeremiah to/for to speak: speak to(wards) all [the] people [obj] all word LORD God their which to send: depart him LORD God their to(wards) them [obj] all [the] word [the] these
2 Azaria mwana wa Hoshaia, Yonathani mwana wa Karea, na watu wenye kiburi walisema kwa Yeremia, “Unasema uongo. Yahwe Mungu wetu hajakutuma wewe kusema, 'Usiende Misri kuishi huko.'
and to say Azariah son: child Hoshaiah and Johanan son: child Kareah and all [the] human [the] arrogant to say to(wards) Jeremiah deception you(m. s.) to speak: speak not to send: depart you LORD God our to/for to say not to come (in): come Egypt to/for to sojourn there
3 Kwa kuwa Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu kututoa sisi kwenye mkono wa Wakaldayo, kwa kuwa wewe umesababisha kifo chetu na kutufanya sisi mateka huko Babeli.”
for Baruch son: child Neriah to incite [obj] you in/on/with us because to give: give [obj] us in/on/with hand: power [the] Chaldea to/for to die [obj] us and to/for to reveal: remove [obj] us Babylon
4 Basi Yonathani mwana wa Karea, wakuu wa jeshi, na watu wote walikataa kusikiliza sauti ya Yahwe kuishi kwenye nchi ya Yuda.
and not to hear: obey Johanan son: child Kareah and all ruler [the] strength: soldiers and all [the] people in/on/with voice LORD to/for to dwell in/on/with land: country/planet Judah
5 Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi wote waliwachukua mabaki wa Yuda ambao walikuwa wamerudi kutoka mataifa yote ambapo walikuwa wametawanyika kuishi katika nchi ya Yuda.
and to take: take Johanan son: child Kareah and all ruler [the] strength: soldiers [obj] all remnant Judah which to return: return from all [the] nation which to banish there to/for to sojourn in/on/with land: country/planet Judah
6 Waliwachukua wanaume na wanawake, watoto na mabinti wa mfalme, na kila mtu ambaye Nebuzaradani, nahodha wa walinzi wa mfalme, waliruhusu kubaki pamoja na Gedali mwana wa Ahikam mwana wa Shafan. Pia walimchukua Yeremia nabii na Baruku mwana wa Neria.
[obj] [the] great man and [obj] [the] woman and [obj] [the] child and [obj] daughter [the] king and [obj] all [the] soul: person which to rest Nebuzaradan chief guard with Gedaliah son: child Ahikam son: child Shaphan and [obj] Jeremiah [the] prophet and [obj] Baruch son: child Neriah
7 Walienda nchi ya Misri, kwa Tahpanhesi, kwa sababu hawakusikiliza sauti ya Yahwe.
and to come (in): come land: country/planet Egypt for not to hear: obey in/on/with voice LORD and to come (in): come till Tahpanhes
8 Basi neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia huko Tahpanhesi na kusema,
and to be word LORD to(wards) Jeremiah in/on/with Tahpanhes to/for to say
9 “Chukua mawe makubwa mkononi mwako, na, kwenye macho ya watu wa Yuda, yafiche kwenye chokaa kwenye njia ya kuingia katika nyumba ya Farao huko Tahpanhesi.
to take: take in/on/with hand your stone great: large and to hide them in/on/with mortar in/on/with brick which in/on/with entrance house: palace Pharaoh in/on/with Tahpanhes to/for eye: seeing human Jew
10 Kisha wakasema nao, “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Ona, nimekaribia kutuma wajumbe kumchukua Nebukadreza mfalme wa Babeli kama mtumwa wangu. Nitaweka kiti cha enzi juu ya mawe haya ambayo wewe, Yeremia, umeyazika. Nebukadreza ataweka banda lake juu yao.
and to say to(wards) them thus to say LORD Hosts God Israel look! I to send: depart and to take: take [obj] Nebuchadnezzar king Babylon servant/slave my and to set: make throne his from above to/for stone [the] these which to hide and to stretch [obj] (pavilion his *Q(K)*) upon them
11 Kwa kuwa atakuja na kuvamia nchi ya Misri. Yeyote aliyeandikiwa kufa atakufa. Yeyote aliyeandikiwa mateka atachukuliwa mateka. Na yeyote aliyeandikiwa kwa upanga atakufa kwa upanga.
(and to come (in): come *Q(K)*) and to smite [obj] land: country/planet Egypt which to/for death to/for death and which to/for captivity to/for captivity and which to/for sword to/for sword
12 Kisha nitawasha moto katika mahekalu ya miungu ya Misri. Nebukadreza atawachoma na kuwashika. Atasafisha nchi ya Misri kama wachungaji wanavyosafisha wanyama waharibio nguo zao. Ataenda nje kutoka eneo hilo kwa ushindi.
and to kindle fire in/on/with house: temple God Egypt and to burn them and to take captive them and to enwrap [obj] land: country/planet Egypt like/as as which to enwrap [the] to pasture [obj] garment his and to come out: come from there in/on/with peace
13 Atavunja nguzo za mawe huko Heliopolisi kwenye nchi ya Misri. Atachoma mahekalu ya miungu ya Misri.”
and to break [obj] pillar Heliopolis Heliopolis which in/on/with land: country/planet Egypt and [obj] house: temple God Egypt to burn in/on/with fire

< Yeremia 43 >