< Yeremia 43 >
1 Ilitokea kwamba Yeremia alimaliza kuhubiri kwa watu wote maneno yote ya Yahwe Mungu wao kwamba Yahwe Mungu wao alimwambia kusema.
Pakai a-Pathen uvin amaho ding’a ahinsei thuho jouse chu, Jeremiah in mipite heng’a abonchan aseipeh tai.
2 Azaria mwana wa Hoshaia, Yonathani mwana wa Karea, na watu wenye kiburi walisema kwa Yeremia, “Unasema uongo. Yahwe Mungu wetu hajakutuma wewe kusema, 'Usiende Misri kuishi huko.'
Hichun Hoshaiah chapa Azariah leh Kareah chapa Johanan chule mihoitho phabep chu, Jeremiah heng’a ahung un, ajah’a, “Pakai ka-Pathen uvin keiho Egypt gam’a kache diu jahda ponte. Nangman jou nasei ahibouve.
3 Kwa kuwa Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu kututoa sisi kwenye mkono wa Wakaldayo, kwa kuwa wewe umesababisha kifo chetu na kutufanya sisi mateka huko Babeli.”
Nangma Neriah chapa Baruch toh nakihoutoh a, keiho hi Babylon te khut’a eikipedoh uva, chule amahon eithauva ahiloule sohchang’a Babylon gam’a eikai mang nadiuva, hitobang thuh naseidoh ahi,” atiuve.
4 Basi Yonathani mwana wa Karea, wakuu wa jeshi, na watu wote walikataa kusikiliza sauti ya Yahwe kuishi kwenye nchi ya Yuda.
Hijeh chun, Johanan leh gal lamkai ho chuleh mipite jouse chun, Pakaiyin Judah gamsung’a nachenden diu ahi, tia aseichu angai tapouve.
5 Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi wote waliwachukua mabaki wa Yuda ambao walikuwa wamerudi kutoka mataifa yote ambapo walikuwa wametawanyika kuishi katika nchi ya Yuda.
Hichun Johanan leh gal lamkai ho thusah chun, gam chom chom’a ajamcheh nauva kon’a hung kilekit’a, Judah gamsung’a chengding kigo ho chule akidalha amoh chengse chu, apuijun ache tauve.
6 Waliwachukua wanaume na wanawake, watoto na mabinti wa mfalme, na kila mtu ambaye Nebuzaradani, nahodha wa walinzi wa mfalme, waliruhusu kubaki pamoja na Gedali mwana wa Ahikam mwana wa Shafan. Pia walimchukua Yeremia nabii na Baruku mwana wa Neria.
Mipi ho lah’a chun, pasal ho, numei ho, chapang ho chule leng chanu te hojong ahiuve. Amaho chu, in-ngah lamkaipa Nebuzaradan in Gedaliah khut’a adalhah ho ahiuve. Alah uva chun, Jeremiah themgaopa leh Baruch jong apuitha tauvin ahi.
7 Walienda nchi ya Misri, kwa Tahpanhesi, kwa sababu hawakusikiliza sauti ya Yahwe.
Hitichun, Pakai thusei ngailouvin, mipiho chu Egypt gamsung’a alut un, achepeh uvin Tahpanhes khopi alhung tauve.
8 Basi neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia huko Tahpanhesi na kusema,
Tahpanhes mun’a, Pakaiyin Jeremiah heng’a thu ahinsei kit in, ajah’a,
9 “Chukua mawe makubwa mkononi mwako, na, kwenye macho ya watu wa Yuda, yafiche kwenye chokaa kwenye njia ya kuingia katika nyumba ya Farao huko Tahpanhesi.
“Judahte mitmu tah in, nangman songchang alenthim phabep lanlang, Pharaoh lengpa inpi lutna lampi’a kipha songpheng noiya khun vuijin.
10 Kisha wakasema nao, “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Ona, nimekaribia kutuma wajumbe kumchukua Nebukadreza mfalme wa Babeli kama mtumwa wangu. Nitaweka kiti cha enzi juu ya mawe haya ambayo wewe, Yeremia, umeyazika. Nebukadreza ataweka banda lake juu yao.
Chuteng Judah miho kom’a seiyin: Thaneipen Pakai, Israel Pathen in hitin aseiye; Keiman kasohpa Babylon lengpa Nebuchadnezzar chu hilai mun’a kahin puilut ding ahi. Keiman hiche songchang kiselho chung’a hi, alaltouna kaki dosah’a chule aman hilai mun’a hi aleng ponbuh ason khumding ahi.
11 Kwa kuwa atakuja na kuvamia nchi ya Misri. Yeyote aliyeandikiwa kufa atakufa. Yeyote aliyeandikiwa mateka atachukuliwa mateka. Na yeyote aliyeandikiwa kwa upanga atakufa kwa upanga.
Ama hung kon intin, Egypt gamsung asuhgam ding. Chuteng athiding ho thiuvin tin, sohchang dingho sohchang uvintin, chule gal’a thiding ho thisoh diu ahi.
12 Kisha nitawasha moto katika mahekalu ya miungu ya Misri. Nebukadreza atawachoma na kuwashika. Atasafisha nchi ya Misri kama wachungaji wanavyosafisha wanyama waharibio nguo zao. Ataenda nje kutoka eneo hilo kwa ushindi.
Aman Egypt te Pathen chom chom houna in jouse asuhset ding, meiya ahalvam ding, chule asung’a kitung milimdoi ho jouse akipoh mang ding ahi. Aman Egypt gamsung chu, kelngoi chingpan asangkholchol a um hit hi alhentheng bang’a alhentheng sel ding ahi. Ahin ama tahchu, imacha tilouva chemang ding ahi.
13 Atavunja nguzo za mawe huko Heliopolisi kwenye nchi ya Misri. Atachoma mahekalu ya miungu ya Misri.”
Aman Egypt gamsung’a nisa houna inchu asuhchim ding, chule Egypt Pathen chom chom houna in jouse meiya ahalvam ding ahi.