< Yeremia 42 >
1 Kisha amri wote wa jeshi na Yonathan mwana wa Karea, Jezania mwana wa Hoshaia, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa walimkaribia Yeremia nabii.
И приидоша вси воеводы силы, и Иоанан сын Кариев и Азариа сын Маасеев, и вси людие от мала и до велика
2 Walisema naye, “Acha maombi yetu yaje mbele yako. Omba kwa ajili yetu kwa Yahwe Mungu wako kwa ajili ya watu hawa ambao wanabaki kwani tuko wachache katika idadi, kama unavyoona.
ко Иеремии пророку и рекоша ему: да падет молитва наша пред лицем твоим, и помолися о нас ко Господеви Богу твоему о оставшихся сих: яко остася мало нас от многих, якоже очи твои видят:
3 Muulize Yahwe Mungu wako atuambia sisi njia yakuendea na nini tufanye.”
и да возвестит нам Господь Бог твой путь, по немуже пойдем, и слово, еже сотворим.
4 Basi Yeremia nabii alisema nao, “Nimewasikia, Tazama, Nitaomba kwa Yahwe Mungu wenu kama mlivyoomba. Vyovyote Yahwe ananijibu, Nitawambia. Sitawaficha chochote ninyi.”
И рече им Иеремиа пророк: слышах: се, аз помолюся о вас Господеви Богу нашему по словесем вашым: и будет, слово, еже отвещает Господь, повем вам и не потаю от вас словесе.
5 Walisema na Yeremia, “Na Yawhe awe shahidi mkweli na mwaminifu dhidi yenu, kama hatutafanya kila kitu ambacho Yahwe Mungu wenu anatuambia kufanya.
Тии же рекоша Иеремии: буди Господь в нас послух правдив и верен, яко по всему слову, еже аще послет Господь к нам, тако сотворим:
6 Hata kama ni vizuri au vibaya, tutatii sauti ya Yahwe Mungu wetu, ambaye tunawatuma ninyi, ili kwamba iwe vizuri pamoja nasi wakati tunatii sauti ya Yahwe Mungu wetu.”
аще добро и аще зло, гласа Господа нашего, к Немуже мы посылаем тя, послушаем, да лучше нам будет, яко послушаем гласа Господа Бога нашего.
7 Basi ilitokea kwamba baada ya siku kumi, neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia.
И егда скончашася десять дний, бысть слово Господне ко Иеремии.
8 Kwa hiyo Yeremia alimwita Yonathan mwana wa Karea na amri wote jeshi pamoja naye, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa.
И призва Иоанана сына Кариева и воеводы силы, иже с ним быша, и вся люди от мала и до велика,
9 Na alisema nao, “Yahwe, Mungu wa Israel, ambaye umenituma mimi ili niweze kuweka maombi yako mbele zake. Yahwe asema hivi,
и рече им: тако рече Господь Бог Израилев, к Немуже посыласте мя, да простру молитвы вашя пред Ним:
10 Kama mtarudi na kuishi katika nchi hii, basi nitawajenga na sitawararua chini; Nitapanda na sitawangoa, kwa kuwa nitageuza maafa ambayo nimeleta juu yako.
аще седяще сядете на земли сей, то созижду вас, а не разорю, и насажду вас, а не исторгну, яко престах от зол, яже сотворих вам.
11 Msimugope mfalme wa Babeli, ambaye mnamuogopa. Msimuogope-hili ni tamko la Yahwe kwani niko pamoja nanyi kuwahifadhi na kuwaokoa toka mkono wake.
Не убойтеся от лица царя Вавилонска, егоже вы боитеся: от лица его не убойтеся, рече Господь: яко Аз с вами есмь, еже избавляти вас и спасати вас от руки его:
12 Kwa kuwa nitawapa rehema. Nitakuwa na huruma juu yenu, na nitawarudisha kwenye nchi yenu.
и дам вам милость и помилую вас и возвращу вас на землю вашу.
13 Lakini tudhani kusema kwamba, “Hatutakaa katika nchi hii”- kama hamtasikiliza sauti yangu, sauti ya Yahwe Mungu wenu.
Аще же речете вы: не сядем на земли сей, еже не слышати гласа Господа Бога нашего,
14 Tudhani kwamba mnasema, “Hapana! Tutaenda kwenye nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita yoyote, ambayo hatutasikia sauti ya tarumbeta, na hatutaona njaa ya chakula. Tutaishi huko.”
глаголюще: никако, но в землю Египетску внидем, и не узрим рати, и гласа трубнаго не услышим, и о хлебех не взалчем, и тамо вселимся:
15 Sasa sikiliza neno hili la Yahwe, wewe mabaki ya Yuda. Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Kama kweli mtatoka kwenda Misri, kwenda na kuishi huko,
того ради слышите слово Господне, оставшии Иудины, тако рече Господь Вседержитель, Бог Израилев: аще вы дадите лице ваше во Египет и внидете тамо жити,
16 basi upanga ambao mnauogopa utawapita huko kwenye nchi ya Misri. Njaa ambayo mnawasiwasi nayo itawafatilia huko Misri. Na mtakufa huko.
и будет, мечь, егоже вы боитеся от лица его, обрящет вы во Египте, и глад, от негоже вы опасение имате от лица его, постигнет вы вслед вас во Египте, и тамо измрете вы.
17 Basi itatokea kwamba wanaume wote waliondoka kwenda Misri kuishi huko watakufa kwa upanga, njaa, au pigo. Hapatakuwa na mwathirika wao, hakuna atakayetoroka maafa ambayo nitaleta juu yao.
И будут вси мужие и вси иноплеменницы положившии лице свое на землю Египетску жити тамо, оскудеют гладом и мечем, и будет от них ни един спасаемь от зол, яже Аз наведу на ня.
18 Kwa kuwa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Kama gadhabu yangu na hasira yangu imemwanga juu ya wakazi wa Yerusalem, kwa njia hiyo hasira yangu itamwangwa juu yenu kama mtaenda Misri. Mtakuwa sababu ya hasira na hofu, sababu la kuzungumza laana, na kitu kisichokuwa na heshima. Na hamtaona eneo hili tena.”
Яко тако рече Господь Сил, Бог Израилев: якоже вскапа ярость Моя на живущыя во Иерусалиме, тако вскаплет ярость Моя на вас, вшедшым вам во Египет: и будете в непроходимая и подручни, и в клятву и во укоризну, и не узрите ктому места сего.
19 Basi Yeremia alisema, “Yahwe amezungumza kuhusu ninyi - mabaki ya Yuda. Msiende Misri! Unajua kwa hakika kwamba nimekuwa shahidi dhidi yenu leo.
Сия глагола Господь на вас оставшихся от Иуды: не входите во Египет. И ныне ведяще уведаете, яко засвидетелствовах вам днесь:
20 Kwa kuwa mmejidanganya vibaya wenyewe wakati mliponituma mimi kwenda kwa Yahwe Mungu wenu na kusema, 'Omba kwa Yahwe Mungu wetu kwa ajili yetu. Kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema, tuambie, na tutaibeba.'
яко слукавновасте в душах ваших, пославше мя ко Господу Богу вашему, глаголюще: помолися о нас Господеви: и по всему, елико возглаголет тебе Господь Бог наш, тако возвести нам, и сотворим.
21 Kwa kuwa nimekwisha toa taarifa kwako leo, lakini hajusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu au kwa chochote kuhusu ambacho alinituma mimi kwako.
И возвестих вам днесь, и не послушасте гласа Господа Бога вашего во всем, егоже посла к вам:
22 Basi sasa, utajua kwa hakika kwamba utakufa kwa upanga, njaa, na pigo katika eneo ambalo ulitamani kwenda kuishi.”
и ныне ведуще ведайте, яко мечем и гладом и мором изчезнете на месте, на неже хощете ити жити тамо.