< Yeremia 42 >

1 Kisha amri wote wa jeshi na Yonathan mwana wa Karea, Jezania mwana wa Hoshaia, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa walimkaribia Yeremia nabii.
Potom doðoše sve vojvode i Joanan sin Karijin i Jezanija sin Osajin, i sav narod, malo i veliko,
2 Walisema naye, “Acha maombi yetu yaje mbele yako. Omba kwa ajili yetu kwa Yahwe Mungu wako kwa ajili ya watu hawa ambao wanabaki kwani tuko wachache katika idadi, kama unavyoona.
I rekoše Jeremiji proroku: pusti preda se našu molbu, i pomoli se za nas Gospodu Bogu svojemu, za sav ovaj ostatak, jer nas je ostalo malo od mnogih, kao što nas oèi tvoje vide,
3 Muulize Yahwe Mungu wako atuambia sisi njia yakuendea na nini tufanye.”
Da bi nam pokazao Gospod Bog tvoj put kojim æemo iæi i šta æemo raditi.
4 Basi Yeremia nabii alisema nao, “Nimewasikia, Tazama, Nitaomba kwa Yahwe Mungu wenu kama mlivyoomba. Vyovyote Yahwe ananijibu, Nitawambia. Sitawaficha chochote ninyi.”
A Jeremija prorok reèe im: poslušaæu; evo, pomoliæu se Gospodu Bogu vašemu po vašim rijeèima, i što vam odgovori Gospod kazaæu vam, neæu vam zatajiti ni rijeèi.
5 Walisema na Yeremia, “Na Yawhe awe shahidi mkweli na mwaminifu dhidi yenu, kama hatutafanya kila kitu ambacho Yahwe Mungu wenu anatuambia kufanya.
A oni rekoše Jeremiji: Gospod neka nam je svjedok istinit i vjeran da æemo èiniti sve što ti Gospod Bog tvoj zapovjedi za nas.
6 Hata kama ni vizuri au vibaya, tutatii sauti ya Yahwe Mungu wetu, ambaye tunawatuma ninyi, ili kwamba iwe vizuri pamoja nasi wakati tunatii sauti ya Yahwe Mungu wetu.”
Bilo dobro ili zlo, poslušaæemo rijeè Gospoda Boga svojega ka kojemu te šaljemo, da bi nam dobro bilo kad poslušamo glas Gospoda Boga svojega.
7 Basi ilitokea kwamba baada ya siku kumi, neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia.
A poslije deset dana doðe rijeè Gospodnja Jeremiji;
8 Kwa hiyo Yeremia alimwita Yonathan mwana wa Karea na amri wote jeshi pamoja naye, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa.
Te sazva Joanana sina Karijina i sve vojvode što bijahu s njim, i sav narod, malo i veliko,
9 Na alisema nao, “Yahwe, Mungu wa Israel, ambaye umenituma mimi ili niweze kuweka maombi yako mbele zake. Yahwe asema hivi,
I reèe im: ovako veli Gospod Bog Izrailjev, ka kojemu me poslaste da iznesem preda nj molbu vašu:
10 Kama mtarudi na kuishi katika nchi hii, basi nitawajenga na sitawararua chini; Nitapanda na sitawangoa, kwa kuwa nitageuza maafa ambayo nimeleta juu yako.
Ako ostanete u ovoj zemlji, sazidaæu vas, i neæu vas razoriti, i nasadiæu vas i neæu vas istrijebiti; jer mi je žao sa zla koje sam vam uèinio.
11 Msimugope mfalme wa Babeli, ambaye mnamuogopa. Msimuogope-hili ni tamko la Yahwe kwani niko pamoja nanyi kuwahifadhi na kuwaokoa toka mkono wake.
Ne bojte se cara Vavilonskoga, kojega se bojite; ne bojte ga se, govori Gospod, jer sam ja s vama da vas saèuvam i da vas izbavim iz njegove ruke.
12 Kwa kuwa nitawapa rehema. Nitakuwa na huruma juu yenu, na nitawarudisha kwenye nchi yenu.
I uèiniæu vam milost da se smiluje na vas, i vrati vas u zemlju vašu.
13 Lakini tudhani kusema kwamba, “Hatutakaa katika nchi hii”- kama hamtasikiliza sauti yangu, sauti ya Yahwe Mungu wenu.
Ako li reèete: neæemo da ostanemo u toj zemlji, ne slušajuæi glasa Gospoda Boga svojega
14 Tudhani kwamba mnasema, “Hapana! Tutaenda kwenye nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita yoyote, ambayo hatutasikia sauti ya tarumbeta, na hatutaona njaa ya chakula. Tutaishi huko.”
Govoreæi: ne, nego idemo u zemlju Misirsku, da ne vidimo rata i glasa trubnoga ne èujemo i ne budemo gladni hljeba, i ondje æemo se naseliti,
15 Sasa sikiliza neno hili la Yahwe, wewe mabaki ya Yuda. Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Kama kweli mtatoka kwenda Misri, kwenda na kuishi huko,
Onda èujte rijeè Gospodnju, koji ste ostali od Jude; ovako veli Gospod nad vojskama Bog Izrailjev: ako vi okrenete lice svoje da idete u Misir i otidete da se naselite ondje,
16 basi upanga ambao mnauogopa utawapita huko kwenye nchi ya Misri. Njaa ambayo mnawasiwasi nayo itawafatilia huko Misri. Na mtakufa huko.
Ondje æe vas u zemlji Misirskoj stignuti maè kojega se bojite, i glad, radi koje se brinete, goniæe vas ondje u Misiru i ondje æete pomrijeti.
17 Basi itatokea kwamba wanaume wote waliondoka kwenda Misri kuishi huko watakufa kwa upanga, njaa, au pigo. Hapatakuwa na mwathirika wao, hakuna atakayetoroka maafa ambayo nitaleta juu yao.
I svi ljudi koji su okrenuli lice svoje da idu u Misir da se ondje nasele, izginuæe od maèa i od gladi i od pomora, i nijedan ih neæe ostati niti æe koji uteæi od zla koje æu pustiti na njih.
18 Kwa kuwa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Kama gadhabu yangu na hasira yangu imemwanga juu ya wakazi wa Yerusalem, kwa njia hiyo hasira yangu itamwangwa juu yenu kama mtaenda Misri. Mtakuwa sababu ya hasira na hofu, sababu la kuzungumza laana, na kitu kisichokuwa na heshima. Na hamtaona eneo hili tena.”
Jer ovako veli Gospod nad vojskama Bog Izrailjev: kao što se gnjev moj i jarost moja izli na stanovnike Jerusalimske, tako æe se izliti gnjev moj na vas, ako otidete u Misir, i biæete uklin i èudo i kletva i rug, i neæete više vidjeti ovoga mjesta.
19 Basi Yeremia alisema, “Yahwe amezungumza kuhusu ninyi - mabaki ya Yuda. Msiende Misri! Unajua kwa hakika kwamba nimekuwa shahidi dhidi yenu leo.
Gospod vam govori, ostanci Judini! ne idite u Misir. Znajte da vam ja svjedoèim danas.
20 Kwa kuwa mmejidanganya vibaya wenyewe wakati mliponituma mimi kwenda kwa Yahwe Mungu wenu na kusema, 'Omba kwa Yahwe Mungu wetu kwa ajili yetu. Kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema, tuambie, na tutaibeba.'
Jer varaste duše svoje kad me poslaste ka Gospodu Bogu svojemu rekavši: pomoli se za nas Gospodu Bogu našemu, i kako reèe Gospod Bog naš, javi nam i uèiniæemo.
21 Kwa kuwa nimekwisha toa taarifa kwako leo, lakini hajusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu au kwa chochote kuhusu ambacho alinituma mimi kwako.
A kad vam javih danas, neæete da poslušate glasa Gospoda Boga svojega niti išta što mi zapovjedi za vas.
22 Basi sasa, utajua kwa hakika kwamba utakufa kwa upanga, njaa, na pigo katika eneo ambalo ulitamani kwenda kuishi.”
Znajte dakle da æete izginuti od maèa i od gladi i od pomora na mjestu kuda ste radi otiæi da se stanite.

< Yeremia 42 >