< Yeremia 42 >
1 Kisha amri wote wa jeshi na Yonathan mwana wa Karea, Jezania mwana wa Hoshaia, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa walimkaribia Yeremia nabii.
Kahrawikungnaw hoi Koreah capa Johanan hoi Hoshaiah capa Jezaniah hoi taminaw pueng, kathoengca koehoi kalenpoung totouh a kamkhueng awh.
2 Walisema naye, “Acha maombi yetu yaje mbele yako. Omba kwa ajili yetu kwa Yahwe Mungu wako kwa ajili ya watu hawa ambao wanabaki kwani tuko wachache katika idadi, kama unavyoona.
Profet Jeremiah koevah, na hmalah pahrennae ka kâhei e naw he na dâw pouh haw. Kacawirae taminaw hanelah na Cathut koe pahrennae lahoi na ratoum pouh haw, kacawirae taminaw hanelah na Cathut koe pahren lahoi na ratoum pouh haw. Bangkongtetpawiteh, na hmu awh e patetlah tami moikapap thung hoi tami youn touh doeh ka o awh toe.
3 Muulize Yahwe Mungu wako atuambia sisi njia yakuendea na nini tufanye.”
BAWIPA na Cathut ni ka cei awh nahane hoi ka tawksak awh hane na hmusak nahanelah, telah ati awh.
4 Basi Yeremia nabii alisema nao, “Nimewasikia, Tazama, Nitaomba kwa Yahwe Mungu wenu kama mlivyoomba. Vyovyote Yahwe ananijibu, Nitawambia. Sitawaficha chochote ninyi.”
Profet Jeremiah ni nangmae lawk ka thai, khenhaw! mamae lawk patetlah BAWIPA na Cathut koe ka hei han. Hahoi BAWIPA ni bout na dei pouh e naw pueng, nangmouh koe he ka dei han, nangmouh koe banghai ka pâphat mahoeh telah ati.
5 Walisema na Yeremia, “Na Yawhe awe shahidi mkweli na mwaminifu dhidi yenu, kama hatutafanya kila kitu ambacho Yahwe Mungu wenu anatuambia kufanya.
Ahnimouh ni Jeremiah koevah, BAWIPA na Cathut ni nang hno lahoi kaimouh koe a tha e lawk patetlah ka sak awh hoehpawiteh, kaimouh rahak vah BAWIPA teh kapanuekkhaikung hoi yuemkamcu e lah awm lawiseh.
6 Hata kama ni vizuri au vibaya, tutatii sauti ya Yahwe Mungu wetu, ambaye tunawatuma ninyi, ili kwamba iwe vizuri pamoja nasi wakati tunatii sauti ya Yahwe Mungu wetu.”
BAWIPA Cathut e pahni dawk hoi ka tâcawt e ka tarawi awh toteh, kaimouh hanlah hawinae lah ao thai nahan thoseh, ahawi thoseh, na ka patoun e Cathut BAWIPA ni a dei e teh, ka tarawi awh roeroe han, telah ati awh.
7 Basi ilitokea kwamba baada ya siku kumi, neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia.
Hahoi, hnin hra hnukkhu, BAWIPA e lawk Jeremiah koe a pha.
8 Kwa hiyo Yeremia alimwita Yonathan mwana wa Karea na amri wote jeshi pamoja naye, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa.
Hahoi Koreah capa Johanan hoi ahni koe e ransahu kahrawikungnaw pueng hoi ransanaw pueng kathoengca koehoi kalenpoung totouh a kaw teh,
9 Na alisema nao, “Yahwe, Mungu wa Israel, ambaye umenituma mimi ili niweze kuweka maombi yako mbele zake. Yahwe asema hivi,
ahnimouh koe, a hmalah pahrennae na kâheinae phasak hanelah na patounnae BAWIPA Isarel cathut ni hettelah a dei.
10 Kama mtarudi na kuishi katika nchi hii, basi nitawajenga na sitawararua chini; Nitapanda na sitawangoa, kwa kuwa nitageuza maafa ambayo nimeleta juu yako.
Hete ram dawk pou na awm awh pawiteh, bout na kamlang sin vaiteh, na raphoe mahoeh, bout na ung awh vaiteh, na phawng mahoeh. Bangkongtetpawiteh, nangmouh lathueng hawihoehnae ka pha sak e pankângai toe.
11 Msimugope mfalme wa Babeli, ambaye mnamuogopa. Msimuogope-hili ni tamko la Yahwe kwani niko pamoja nanyi kuwahifadhi na kuwaokoa toka mkono wake.
Babilon siangpahrang ouk na taki awh e hah taket awh hanh awh, telah BAWIPA ni a dei. Bangkongtetpawiteh, a kut thung hoi rungngang hane hoi rasa hanelah nangmouh koe ka o.
12 Kwa kuwa nitawapa rehema. Nitakuwa na huruma juu yenu, na nitawarudisha kwenye nchi yenu.
Lungangnae tawn thai awh nahanlah nangmae lathueng lungmanae ka kamnue sak vaiteh, namamae ram dawk roeroe na bankhai awh han.
13 Lakini tudhani kusema kwamba, “Hatutakaa katika nchi hii”- kama hamtasikiliza sauti yangu, sauti ya Yahwe Mungu wenu.
Hatei, hete ram dawk kaawm awh mahoeh telah BAWIPA na Cathut e lawk na ngai awh hoeh teh,
14 Tudhani kwamba mnasema, “Hapana! Tutaenda kwenye nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita yoyote, ambayo hatutasikia sauti ya tarumbeta, na hatutaona njaa ya chakula. Tutaishi huko.”
Izip ram lah ka cei awh vaiteh, hawvah tarantuknae roeroe ka kâhmo awh mahoeh, mongka lawk hai ka thai awh mahoeh, vonhlam, tui kahrannae hai awm mahoeh, hote hmuen koe kho ka sak han na tet awh pawiteh,
15 Sasa sikiliza neno hili la Yahwe, wewe mabaki ya Yuda. Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Kama kweli mtatoka kwenda Misri, kwenda na kuishi huko,
Oe kacawirae Judah taminaw, BAWIPA e lawk thai awh haw, ransahu BAWIPA Isarel Cathut ni hettelah a dei. Izip ram dawk kâen hane hoi khosak hanlah thama lah na ban awh pawiteh,
16 basi upanga ambao mnauogopa utawapita huko kwenye nchi ya Misri. Njaa ambayo mnawasiwasi nayo itawafatilia huko Misri. Na mtakufa huko.
na taki awh e tahloi ni Izip ram vah a pha vaiteh, hawvah na due awh han.
17 Basi itatokea kwamba wanaume wote waliondoka kwenda Misri kuishi huko watakufa kwa upanga, njaa, au pigo. Hapatakuwa na mwathirika wao, hakuna atakayetoroka maafa ambayo nitaleta juu yao.
Izip ram dawk khosak hanelah thama lah ka cet e taminaw pueng hottelah ao awh han. Tahloi, takang, lacik hoi a due awh han, hawihoehnae ahnimouh lathueng ka pha sak hane thung hoi apihai hlout mahoeh.
18 Kwa kuwa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Kama gadhabu yangu na hasira yangu imemwanga juu ya wakazi wa Yerusalem, kwa njia hiyo hasira yangu itamwangwa juu yenu kama mtaenda Misri. Mtakuwa sababu ya hasira na hofu, sababu la kuzungumza laana, na kitu kisichokuwa na heshima. Na hamtaona eneo hili tena.”
Ransahu BAWIPA Isarel Cathut ni hettelah a dei, Jerusalem kho ka sak e taminaw koe ka lungkhueknae ka rabawk e patetlah Izip ram na kâen awh toteh, nangmouh lathueng lungkhueknae ka rabawk han. Pathoe e, kângai ka ru e, thoebo e, hnephnap e lah na o awh vaiteh hete hmuen bout na hmawt awh mahoeh toe.
19 Basi Yeremia alisema, “Yahwe amezungumza kuhusu ninyi - mabaki ya Yuda. Msiende Misri! Unajua kwa hakika kwamba nimekuwa shahidi dhidi yenu leo.
Oe kacawirae Judah taminaw, BAWIPA ni nangmouh kong dawk a dei toe. Izip ram dawk kâen hanh awh, Sahnin vah na thaisak awh tie hah pahnim roeroe hanh awh.
20 Kwa kuwa mmejidanganya vibaya wenyewe wakati mliponituma mimi kwenda kwa Yahwe Mungu wenu na kusema, 'Omba kwa Yahwe Mungu wetu kwa ajili yetu. Kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema, tuambie, na tutaibeba.'
BAWIPA na Cathut koevah kai na patoun awh navah, Namamae hringnae sung hanelah namahoima na kâdum awh e doeh. Mamae BAWIPA ka Cathut kaimouh yueng ratoum haw, maimae BAWIPA Cathut ni a dei e naw pueng kaimouh koe na dei pouh haw ka sak awh han telah na ti awh.
21 Kwa kuwa nimekwisha toa taarifa kwako leo, lakini hajusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu au kwa chochote kuhusu ambacho alinituma mimi kwako.
Sahnin vah nangmouh koe ka pâpho, hatei nangmouh koe na ka patoun e BAWIPA na Cathut lawk hah bout na tarawi ngai awh hoeh.
22 Basi sasa, utajua kwa hakika kwamba utakufa kwa upanga, njaa, na pigo katika eneo ambalo ulitamani kwenda kuishi.”
Hatdawkvah, atu panuek awh, khosak hanlah na ngai awh e hmuen koe roeroe vah, tahloi, takang, lacik hoi na due awh roeroe han telah ati.