< Yeremia 41 >

1 Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmael mwana wa Nethania mwana wa Elishama, toka familia ya kifalme, na maafisa baadhi wa mfalme, walikuja - wanaume kumi walikuwa pamoja naye - kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpa. Walikula chakula pamoja hukp Mizpa.
And it comes to pass, in the seventh month, Ishmael son of Nethaniah, son of Elishama, of the royal seed, and of the chiefs of the king, and ten men with him, have come to Gedaliah son of Ahikam, to Mizpah, and there they eat bread together in Mizpah.
2 Lakini Ishmael mwana wa Nethania, na wanaume kumi ambao walikuwa pamoja naye waliinuka na kumvamia Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, kwa upanga. Ishmael alimuua Gedalia, ambaye mfalme wa Babeli alimweka kuwa msimamizi wa nchi.
And Ishmael son of Nethaniah rises, and the ten men who have been with him, and they strike Gedaliah son of Ahikam, son of Shaphan, with the sword, and he puts him to death whom the king of Babylon has appointed over the land.
3 Kisha Ishmael aliwauwa Wayahudi wote ambao walikuwa pamoja na Gedalia huko Mizpa na Wakaldayo wanaume wa kupigana kukutwa huko.
And all the Jews who have been with him, with Gedaliah, in Mizpah, and the Chaldeans who have been found there—the men of war—Ishmael has struck.
4 Kisha ilikuwa siku ya pili baada ya kumuua Gedila, lakini hakuna moja aliyejua.
And it comes to pass, on the second day of the putting of Gedaliah to death (and no one has known),
5 Wanaume baadhi walikuja toka Shechem, toka Shiloh, na toka Samaria-wanaume semanini ambayo walikuwa wamenyoa ndevu zao, walirarua nguo zao, na kujikata wenyewe- pamoja na chakula cha sadaka na ubani katika mikono yao kwenda kwa nyumba ya Yahwe.
that men come in from Shechem, from Shiloh, and from Samaria—eighty men—with shaven beards, and torn garments, and cutting themselves, and [with] an offering and frankincense in their hand, to bring [them] to the house of YHWH.
6 Basi Ishmael mwana wa Nethania alienda toka Mizpa kukutana nao kama walivyoenda, wakitembea na kulia. Kisha ilitokea kwamba kama alivyokutana nao, alisema nao, “Njoo kwa Gedalia mwana wa Ahikam!”
And Ishmael son of Nethaniah goes forth to meet them, from Mizpah, going on and weeping, and it comes to pass, at meeting them, that he says to them, “Come to Gedaliah son of Ahikam.”
7 Ilikuja kuwa kwamba wakati walipokuja katika mji, Ishmaeil mwana wa Nethania aliwauwa na kuwatupa kwenye shimo, yeye na wanaume ambao walikuwa pamoja naye.
And it comes to pass, at their coming into the midst of the city, that Ishmael son of Nethaniah slaughters them, at the midst of the pit, he and the men who [are] with him.
8 Lakini palikuwa na wanaume kumi miongoni mwao ambao walisema kwa Ishmael, “Usituue, kwa kuwa kuna riziki zetu kwenye shamba: ngano na shayiri, mafuta na asili” Kwa hiyo hakuwauwa pamoja na rafiki zao wengine.
And ten men have been found among them, and they say to Ishmael, “Do not put us to death, for we have things hidden in the field—wheat, and barley, and oil, and honey.” And he refrains, and has not put them to death in the midst of their brothers.
9 Kisima ambacho Ishmael alitupa miili yote ya waliokufa ambaye yeye na Gedalia waliwapiga, kilikuwa ni kilekile ambacho mfalme Asa alichimba wakati alipokuwa akivamiwa na mfalme Baasha wa Israel. Ishmael mwana wa Nethania alilijaza wale ambao walikuwa wameuawa.
And the pit to where Ishmael has cast all the carcasses of the men whom he has struck along with Gedaliah, is that which King Asa made because of Baasha king of Israel—Ishmael son of Nethaniah has filled it with the pierced.
10 Badae Ishmael aliwashika watu wengine wote ambao walikuwa huko Mizpa, mabinti wa mfalme na watu wote ambao walikuwa wameachwa huko Mizpa ambayo Nebuzaradani mlinzi mkuu alikuwa amewakabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikam. Basi Ishmael mwana wa Nethania aliwashika na kuvuka kwa watu wa Ammon.
And Ishmael takes captive all the remnant of the people who [are] in Mizpah, the daughters of the king, and all the people who are left in Mizpah, whom Nebuzar-Adan, chief of the executioners, has committed [to] Gedaliah son of Ahikam, and Ishmael son of Nethaniah takes them captive, and goes to pass over to the sons of Ammon.
11 Lakini Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi pamoja naye walisikia madhara yote ambayo Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amefanya.
And Johanan son of Kareah, and all the heads of the forces that [are] with him, hear of all the evil that Ishmael son of Nethaniah has done,
12 Basi waliwachukua wanaume wao na kwenda kupigana dhidi ya Ishmanel mwana wa Nethania. Walipigana naye huko kwenye kisima kuu cha Gibeoni.
and they take all the men, and go to fight with Ishmael son of Nethaniah, and they find him at the great waters that [are] in Gibeon.
13 Kisha ilitokea kwamba wakati watu wote ambao walikuwa na Ishmael kuona Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi ambao walikuwa pamoja naye, walikuwa na furaha.
And it comes to pass, when all the people who [are] with Ishmael see Johanan son of Kareah, and all the heads of the forces who [are] with him, that they rejoice.
14 Basi watu wote ambao Ishmael alikuwa amewashika huko Mizpa waligeuka na kwenda kwa Yonathani mwana wa Karea.
And all the people whom Ishmael has taken captive from Mizpah turn around, indeed, they turn back, and go to Johanan son of Kareah.
15 Lakini Ishmael mwana wa Nethania alitoroka na wanaume wanane toka kwa Yonathani. Alienda kwa watu wa Ammon.
And Ishmael son of Nethaniah has escaped, with eight men, from the presence of Johanan, and he goes to the sons of Ammon.
16 Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi pamoja naye walichukua toka Mizpa watu wote ambao walikuwa wameokolewa kutoka kwa Ishmael mwana wa Nethania. Hii ilikuwa baada ya Ishmael kuwa amemuuwa Gedalia mwana wa Ahikam. Yonathan na rafiki zake walichukua wanaume shujaa, wanaume wapiganaji, wanawake na watoto, na mtoashi ambaye alikuwa ameokolewa huko Gibeoni.
And Johanan son of Kareah, and all the heads of the forces who [are] with him, take all the remnant of the people whom he has brought back from Ishmael son of Nethaniah, from Mizpah—after he had struck Gedaliah son of Ahikam—mighty ones, men of war, and women, and infants, and eunuchs, whom he had brought back from Gibeon,
17 Kisha walienda na kubaki kwa muda huko Geruthi Chimham, ambayo iko karibu Bethelemu. Walikuwa wakienda Misri
and they go and abide in the habitations of Chimham, that [are] near Beth-Lehem, to go to enter Egypt,
18 kwa sababu ya Wakaldayo. Walikuwa wakiwaogopa kwani Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amemua Gedalia mwana wa Ahikam, ambaye mfamle wa Babeli amewekwa kwenye usimamizi wa nchi.
from the presence of the Chaldeans, for they have been afraid of them, for Ishmael son of Nethaniah had struck Gedaliah son of Ahikam, whom the king of Babylon had appointed over the land.

< Yeremia 41 >