< Yeremia 41 >
1 Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmael mwana wa Nethania mwana wa Elishama, toka familia ya kifalme, na maafisa baadhi wa mfalme, walikuja - wanaume kumi walikuwa pamoja naye - kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpa. Walikula chakula pamoja hukp Mizpa.
And it happened that, in the seventh month, Ishmael, the son of Nethaniah, the son of Elishama of royal descent, with the nobles of the king, and accompanied by ten men, went to Gedaliah, the son of Ahikam, at Mizpah. And they ate bread together there, in Mizpah.
2 Lakini Ishmael mwana wa Nethania, na wanaume kumi ambao walikuwa pamoja naye waliinuka na kumvamia Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, kwa upanga. Ishmael alimuua Gedalia, ambaye mfalme wa Babeli alimweka kuwa msimamizi wa nchi.
Then Ishmael, the son of Nethaniah, rose up, and the ten men who were with him, and they struck down Gedaliah, the son of Ahikam, the son of Shaphan, with the sword, and they killed him whom the king of Babylon had made governor over the land.
3 Kisha Ishmael aliwauwa Wayahudi wote ambao walikuwa pamoja na Gedalia huko Mizpa na Wakaldayo wanaume wa kupigana kukutwa huko.
Likewise, Ishmael struck down all the Jews who were with Gedaliah at Mizpah, with the Chaldeans who were found there, and the men of war.
4 Kisha ilikuwa siku ya pili baada ya kumuua Gedila, lakini hakuna moja aliyejua.
Then, on the second day after he had killed Gedaliah, while no one yet knew of it,
5 Wanaume baadhi walikuja toka Shechem, toka Shiloh, na toka Samaria-wanaume semanini ambayo walikuwa wamenyoa ndevu zao, walirarua nguo zao, na kujikata wenyewe- pamoja na chakula cha sadaka na ubani katika mikono yao kwenda kwa nyumba ya Yahwe.
men arrived from Shechem, and from Shiloh, and from Samaria, eighty men, with their beards shaved, and their garments rent, and unbathed. And they had gifts and frankincense in hand, so that they might make an offering in the house of the Lord.
6 Basi Ishmael mwana wa Nethania alienda toka Mizpa kukutana nao kama walivyoenda, wakitembea na kulia. Kisha ilitokea kwamba kama alivyokutana nao, alisema nao, “Njoo kwa Gedalia mwana wa Ahikam!”
Therefore, Ishmael, the son of Nethaniah, departing from Mizpah to meet them, went forth weeping as he was walking. And when he had met them, he said to them, “Come to Gedaliah, the son of Ahikam.”
7 Ilikuja kuwa kwamba wakati walipokuja katika mji, Ishmaeil mwana wa Nethania aliwauwa na kuwatupa kwenye shimo, yeye na wanaume ambao walikuwa pamoja naye.
And when they had arrived at the center of the city, Ishmael, the son of Nethaniah, put them to death around the public cistern, he and the men who were with him.
8 Lakini palikuwa na wanaume kumi miongoni mwao ambao walisema kwa Ishmael, “Usituue, kwa kuwa kuna riziki zetu kwenye shamba: ngano na shayiri, mafuta na asili” Kwa hiyo hakuwauwa pamoja na rafiki zao wengine.
But ten men were found among them, who said to Ishmael: “Do not kill us! For in the field we have storehouses of grain and barley and oil and honey.” And so he ceased, and he did not put them to death with their brothers.
9 Kisima ambacho Ishmael alitupa miili yote ya waliokufa ambaye yeye na Gedalia waliwapiga, kilikuwa ni kilekile ambacho mfalme Asa alichimba wakati alipokuwa akivamiwa na mfalme Baasha wa Israel. Ishmael mwana wa Nethania alilijaza wale ambao walikuwa wameuawa.
Now the cistern, into which Ishmael cast all the dead bodies of the men whom he had struck down because of Gedaliah, is the same one that king Asa made out of fear of Baasha, the king of Israel. This same cistern Ishmael, the son of Nethaniah, filled with those who were slain.
10 Badae Ishmael aliwashika watu wengine wote ambao walikuwa huko Mizpa, mabinti wa mfalme na watu wote ambao walikuwa wameachwa huko Mizpa ambayo Nebuzaradani mlinzi mkuu alikuwa amewakabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikam. Basi Ishmael mwana wa Nethania aliwashika na kuvuka kwa watu wa Ammon.
Then Ishmael led away captive all the remnant of the people who were at Mizpah, the king’s daughters as well as all the people who remained at Mizpah, whom Nebuzaradan, the leader of the military, had committed to Gedaliah, the son of Ahikam. And Ishmael, the son of Nethaniah, seized them and went away, so that he might go over to the sons of Ammon.
11 Lakini Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi pamoja naye walisikia madhara yote ambayo Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amefanya.
But Johanan, the son of Kareah, and all the leaders of the fighters who were with him, heard about all the evil that Ishmael, the son of Nethaniah, had done.
12 Basi waliwachukua wanaume wao na kwenda kupigana dhidi ya Ishmanel mwana wa Nethania. Walipigana naye huko kwenye kisima kuu cha Gibeoni.
And taking all the men, they set out to make war against Ishmael, the son of Nethaniah. And they found him at the great waters that are in Gibeon.
13 Kisha ilitokea kwamba wakati watu wote ambao walikuwa na Ishmael kuona Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi ambao walikuwa pamoja naye, walikuwa na furaha.
And when all the people who were with Ishmael had seen Johanan, the son of Kareah, and all the leaders of the fighters who were with him, they rejoiced.
14 Basi watu wote ambao Ishmael alikuwa amewashika huko Mizpa waligeuka na kwenda kwa Yonathani mwana wa Karea.
And all the people whom Ishmael had seized turned back to Mizpah. And they returned and went over to Johanan, the son of Kareah.
15 Lakini Ishmael mwana wa Nethania alitoroka na wanaume wanane toka kwa Yonathani. Alienda kwa watu wa Ammon.
But Ishmael, the son of Nethaniah, fled with eight men from the face of Johanan, and they went over to the sons of Ammon.
16 Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi pamoja naye walichukua toka Mizpa watu wote ambao walikuwa wameokolewa kutoka kwa Ishmael mwana wa Nethania. Hii ilikuwa baada ya Ishmael kuwa amemuuwa Gedalia mwana wa Ahikam. Yonathan na rafiki zake walichukua wanaume shujaa, wanaume wapiganaji, wanawake na watoto, na mtoashi ambaye alikuwa ameokolewa huko Gibeoni.
Therefore, Johanan, the son of Kareah, and all the leaders of the fighters who were with him, took from Mizpah the entire remnant of the common people, whom they had led away from Ishmael, the son of Nethaniah, after he had struck down Gedaliah, the son of Ahikam. These were strong men of battle, and women, and children, and eunuchs: those whom he had led away from Gibeon.
17 Kisha walienda na kubaki kwa muda huko Geruthi Chimham, ambayo iko karibu Bethelemu. Walikuwa wakienda Misri
And they went away and settled as sojourners at Chimham, which is near Bethlehem, so that they might continue on and enter into Egypt,
18 kwa sababu ya Wakaldayo. Walikuwa wakiwaogopa kwani Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amemua Gedalia mwana wa Ahikam, ambaye mfamle wa Babeli amewekwa kwenye usimamizi wa nchi.
away from the face of the Chaldeans. For they were afraid of them, because Ishmael, the son of Nethaniah, had struck down Gedaliah, the son of Ahikam, whom the king of Babylon had made governor in the land of Judah.