< Yeremia 40 >
1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia toka kwa Yahwe baada ya Nebuzaradni, amri wa walinzi wa mfalme, amemtuma mbali kutoka Ramah. Huko ndiko Yeremia alikuwa amechukuliwa, na huko alikuwa amefungwa kwa minyororo. Alikuwa miongoni mwa mateka wote ya Yerusalem na Yuda ambayo walipaswa kuwa matekani Babeli.
Muhafız birliği komutanı Nebuzaradan Yeremya'yı Rama'da salıverdikten sonra RAB Yeremya'ya seslendi. Nebuzaradan onu Babil'e sürülen Yeruşalim ve Yahuda halkıyla birlikte zincire vurulmuş olarak Rama'ya götürmüştü.
2 Mlinzi mkuu alimchukua Yeremia na kusema kwake, “Yahwe Mungu wako aliamrisha maafa haya dhidi ya eneo hili.
Muhafız birliği komutanı Yeremya'yı yanına çağırtıp, “Tanrın RAB buraya karşı bu felaketi belirledi” dedi,
3 Basi Yahwe alileta. Alifanya kama alivyoamrisha, kwani ninyi watu mmefanya dhambi dhidi yake na hamkutii sauti yake. Hii ni sababu ya jambo hili limetokea kwenu. Lakini sasa tazama!
“Şimdi dediğini yaptı, yapacağını söylediği her şeyi yerine getirdi. Çünkü RAB'be karşı günah işlediniz, O'nun sözünü dinlemediniz. Bütün bunlar bu yüzden başınıza geldi.
4 Nimekuacha huru leo toka kwenye minyororo iliyokuwa kwenye mikono yako. Kama ni vizuri katika macho yako kuja nami Babeli, njoo, na nitakujali. Lakini kama si vizuri katika macho yako kuja pamoja nami, basi usifanye hivyo. Tazama nchi yote mbele yako. Nenda ambapo ni pazuri na sawa katika macho yako kwenda.”
İşte ellerindeki zincirleri çözüyorum. Benimle Babil'e gelmeyi yeğlersen gel, sana iyi bakarım; eğer benimle Babil'e gelmek istemezsen de sorun yok. Bak, bütün ülke önünde! İyi ve doğru bildiğin yere git.
5 Wakati Yeremia hakujibu, Nebuzaradani alisema, “Nenda kwa Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani, ambaye mfalme wa Babeli amemweka msimamizi wa miji ya Yuda. Baki pamoja naye miongoni mwa watu au nenda popote ni pazuri katika macho yako kwenda.” Amri wa walinzi wa mfalme alimpa chakula na zawadi, na kisha akamtuma mbali.
Ama burada kalırsan Babil Kralı'nın Yahuda kentlerine vali atadığı Şafan oğlu Ahikam oğlu Gedalya'nın yanına dönüp onunla birlikte halkın arasında yaşa ya da istediğin yere git.” Muhafız birliği komutanı Yeremya'ya yiyecek ve armağan verip yoluna gönderdi.
6 Basi Yeremia alienda kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpah. Alibaki pamoja naye miongoni mwa watu ambao walibaki nyuma katika nchi.
Yeremya Mispa'ya, Ahikam oğlu Gedalya'nın yanına gitti. Onunla ve ülkede kalan halkla birlikte orada yaşamaya başladı.
7 Sasa baadhi ya amri wa wanawajeshi wa Yuda ambao walikuwa bado katika uwanja- wao na watu wao - walisikia kuwa mfalme wa Babeli alimfanya Gedalia mwana wa Ahikam, liwali juu ya nchi. Pia walisikia kuwa amemweka kusimamia wanaume, wanawake, na watoto ambao walikuwa watu maskini katika nchi, wale ambao hawakuwa wamechukuliwa mateka Babeli.
Kırdaki ordu komutanlarıyla adamları, Babil Kralı'nın Ahikam oğlu Gedalya'yı ülkeye vali atadığını, Babil'e sürülmemiş yoksul kadın, erkek ve çocukları ona emanet ettiğini duyunca,
8 Basi walienda kwa Gedalia huko Mizpa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana Nethania; Yonathan na Yonathani, wana wa Kareaa; Seraya mwana wa Tanhumethi; wana wa Efai Netophathite; na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
Mispa'ya, Gedalya'nın yanına geldiler. Gelenler Netanya oğlu İsmail, Kareah'ın oğulları Yohanan ve Yonatan, Tanhumet oğlu Seraya, Netofalı Efay'ın oğulları, Maakalı oğlu Yaazanya ve adamlarıydı.
9 Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, alichukua kiapo kwao na kwa watu wao, na kusema kwao, “Usiogope kuwatumikia maafisa wa Wakaldayo. Ishi katika nchi na kumtumkia mfalme wa Babeli, na itakuwa vizuri kwenu.
Şafan oğlu Ahikam oğlu Gedalya onlara ve adamlarına ant içerek, “Kildaniler'e kulluk etmekten korkmayın” dedi, “Ülkeye yerleşip Babil Kralı'na hizmet edin. Böylesi sizin için daha iyi olur.
10 Na tazama, Ninaishi Mizpa kukutana pamoja na Wakaldayo waliokuja kwetu. Basi vuna mvinyo, matunda ya kiangazi, na mafuta na viweke kwenye vyombo vyako. Uishi katika miji ambayo umechukua.”
Bana gelince, Mispa'da kalacağım, gelecek Kildaniler'in önünde sizi temsil edeceğim. Siz şarap, yaz meyveleri, zeytinyağı toplayıp kaplarınızda depolayın ve aldığınız kentlerde yaşayın.”
11 Kisha Wayahudi wote katika Moabu, miongoni mwa watu wa Ammoni, na katika Edomu, na katika kila nchi ilisikiwa kwamba mfalme wa Babalei ameruhusu mabaki ya Yuda kubaki, kwamba alimteua Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani juu yao.
Moav, Ammon, Edom ve öbür ülkelerde yaşayan Yahudiler'in hepsi, Babil Kralı'nın Yahuda'da bir kesim halkı sağ bıraktığını ve Şafan oğlu Ahikam oğlu Gedalya'yı onlara vali atadığını duyunca,
12 Basi Wayahudi wote walirudi toka kila eneo ambako walikuwa wametawanyika. Walirudi kwenye nchi ya Yuda, kwa Gedalia huko Mizpa. Walivuna mvinyo na matunda ya kiangazi kwa wingi.
sürülmüş oldukları ülkelerden geri dönüp Yahuda'ya, Mispa'da bulunan Gedalya'nın yanına geldiler. Sonra bol bol şarap ve yaz meyvesi topladılar.
13 Yonathan mwana wa Karea na amri wote wa jeshi katika uwanja walikuja kwa Gedalia huko Mizpa.
Kareah oğlu Yohanan'la kırdaki bütün ordu komutanları da Mispa'da bulunan Gedalya'nın yanına geldiler.
14 Walisema kwake, “Haujui kuwa Baalis mfalme wa watu wa Ammoni amemtuma Ishmael mwana wa Nethania kukuua?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikim hakuwaamini.
Ona, “Ammon Kralı Baalis'in seni öldürmek için Netanya oğlu İsmail'i gönderdiğini bilmiyor musun?” dediler. Gelgelelim Ahikam oğlu Gedalya onlara inanmadı.
15 Basi Yonathan mwana wa Karea alizungumza kwa siri kwa Gedalia huko Mizpa na kusema, “Niruhusu niende kumuua Ishmael mwana wa Nethania. Hakuna atakaye nituhumu. Kwanini asikuue wewe? Kwanini kuruhusu Yuda yote ambayo imekusanywa kwako kutawanyishwa na mabaki ya Yuda kuharibiwa?”
Kareah oğlu Yohanan Mispa'da Gedalya'ya gizlice, “İzin ver de gidip Netanya oğlu İsmail'i öldüreyim” dedi, “Kimse bilmeyecek! Neden seni öldürsün de çevrende toplanan bütün Yahudiler dağılsın, Yahuda'da sağ kalmış olanlar yok olsun?”
16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikam alisema kwa Yonathan mwana wa Karea, “Usifanye jambo hili, kwa kuwa unasema uongo kuhusu Ishmael.”
Ama Ahikam oğlu Gedalya, “Böyle bir şey yapma! İsmail'le ilgili söylediklerin yalan” dedi.