< Yeremia 40 >

1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia toka kwa Yahwe baada ya Nebuzaradni, amri wa walinzi wa mfalme, amemtuma mbali kutoka Ramah. Huko ndiko Yeremia alikuwa amechukuliwa, na huko alikuwa amefungwa kwa minyororo. Alikuwa miongoni mwa mateka wote ya Yerusalem na Yuda ambayo walipaswa kuwa matekani Babeli.
Слово бывшее ко Иеремии от Господа, повнегда отпусти его Навузардан архимагир из Рамы, егда взя его связанаго путы от среды, от Иерусалима и от Иуды преселения, ведомых в Вавилон.
2 Mlinzi mkuu alimchukua Yeremia na kusema kwake, “Yahwe Mungu wako aliamrisha maafa haya dhidi ya eneo hili.
И взя его архимагир и рече ему: Господь Бог твой соглаголал есть злая сия на место сие:
3 Basi Yahwe alileta. Alifanya kama alivyoamrisha, kwani ninyi watu mmefanya dhambi dhidi yake na hamkutii sauti yake. Hii ni sababu ya jambo hili limetokea kwenu. Lakini sasa tazama!
и приведе, и сотвори Господь, якоже рече, зане согрешисте Ему и не послушасте гласа Его, и бысть вам глагол сей.
4 Nimekuacha huru leo toka kwenye minyororo iliyokuwa kwenye mikono yako. Kama ni vizuri katika macho yako kuja nami Babeli, njoo, na nitakujali. Lakini kama si vizuri katika macho yako kuja pamoja nami, basi usifanye hivyo. Tazama nchi yote mbele yako. Nenda ambapo ni pazuri na sawa katika macho yako kwenda.”
И се, ныне разреших тя от уз, яже на руку твоею: аще ти есть добро ити со мною в Вавилон, поиди, и положу очи мои на тя: аще же ни, остани зде: се, вся земля пред лицем твоим есть: что изволиши, и аможе восхощеши ити, тамо иди:
5 Wakati Yeremia hakujibu, Nebuzaradani alisema, “Nenda kwa Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani, ambaye mfalme wa Babeli amemweka msimamizi wa miji ya Yuda. Baki pamoja naye miongoni mwa watu au nenda popote ni pazuri katika macho yako kwenda.” Amri wa walinzi wa mfalme alimpa chakula na zawadi, na kisha akamtuma mbali.
и возвратися ко Годолии, сыну Ахикамову, сыну Сафаню, егоже постави царь Вавилонский в земли Иудине, и живи с ним среде людий, во всех благих пред очима твоима, еже ходити, и ходи. И даде ему архимагир пищу и дары и отпусти его.
6 Basi Yeremia alienda kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpah. Alibaki pamoja naye miongoni mwa watu ambao walibaki nyuma katika nchi.
И прииде Иеремиа ко Годолии сыну Ахмикамову в Массифаф и седе среде людий своих оставшихся на земли.
7 Sasa baadhi ya amri wa wanawajeshi wa Yuda ambao walikuwa bado katika uwanja- wao na watu wao - walisikia kuwa mfalme wa Babeli alimfanya Gedalia mwana wa Ahikam, liwali juu ya nchi. Pia walisikia kuwa amemweka kusimamia wanaume, wanawake, na watoto ambao walikuwa watu maskini katika nchi, wale ambao hawakuwa wamechukuliwa mateka Babeli.
И егда услышаша вси воеводы силы яже на селе, тии и силы их, яко поставил есть царь Вавилонский Годолию сына Ахикамова (властелина) над землею, и яко предаде ему мужы и жены и дети, и от убогих земли, иже не преведени быша в Вавилон:
8 Basi walienda kwa Gedalia huko Mizpa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana Nethania; Yonathan na Yonathani, wana wa Kareaa; Seraya mwana wa Tanhumethi; wana wa Efai Netophathite; na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
приидоша ко Годолии в Массифаф Исмаил сын Нафаниин и Иоанан, и Ионафан сын Кариев и Сареа сын Фанаемефов, и сынове Офи, иже беша из Нетофафы, и Иезониа сын Махафы, тии и мужие их.
9 Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, alichukua kiapo kwao na kwa watu wao, na kusema kwao, “Usiogope kuwatumikia maafisa wa Wakaldayo. Ishi katika nchi na kumtumkia mfalme wa Babeli, na itakuwa vizuri kwenu.
И клятся им Годолиа и мужем их, глаголя: не убойтеся от лица отрок Халдейских: вселитеся на земли и служите царю Вавилонску, и лучше вам будет:
10 Na tazama, Ninaishi Mizpa kukutana pamoja na Wakaldayo waliokuja kwetu. Basi vuna mvinyo, matunda ya kiangazi, na mafuta na viweke kwenye vyombo vyako. Uishi katika miji ambayo umechukua.”
и се, аз сежу в Массифафе, стати противу лицу Халдейску, иже аще приидут на вас: вы же соберите вино и овощь, и соберите масло, и влийте в сосуды своя, и вселитеся во грады, яже удержасте.
11 Kisha Wayahudi wote katika Moabu, miongoni mwa watu wa Ammoni, na katika Edomu, na katika kila nchi ilisikiwa kwamba mfalme wa Babalei ameruhusu mabaki ya Yuda kubaki, kwamba alimteua Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani juu yao.
И вси Иудее, иже в земли Моавли и в сынех Аммоних, и иже во Идумеи и иже во всей земли, услышаша, яко дал есть царь Вавилонский останок во Иуде и яко поставил есть над ними Годолию сына Ахикамова, сына Сафанова.
12 Basi Wayahudi wote walirudi toka kila eneo ambako walikuwa wametawanyika. Walirudi kwenye nchi ya Yuda, kwa Gedalia huko Mizpa. Walivuna mvinyo na matunda ya kiangazi kwa wingi.
И приидоша вси Иудее от всех мест, в няже бяху убегли, и приидоша ко Годолии в землю Иудину в Массифаф, и собраша вино и овощь и масло много зело.
13 Yonathan mwana wa Karea na amri wote wa jeshi katika uwanja walikuja kwa Gedalia huko Mizpa.
Иоанан же сын Кариев и вси воеводы силы, иже на селех, приидоша ко Годолии в Массифаф
14 Walisema kwake, “Haujui kuwa Baalis mfalme wa watu wa Ammoni amemtuma Ishmael mwana wa Nethania kukuua?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikim hakuwaamini.
и рекоша ему: веси ли, яко Велиса царь сынов Аммоних посла к тебе Исмаила сына Нафаниева поразити душу твою? И не верова им Годолиа сын Ахикамль.
15 Basi Yonathan mwana wa Karea alizungumza kwa siri kwa Gedalia huko Mizpa na kusema, “Niruhusu niende kumuua Ishmael mwana wa Nethania. Hakuna atakaye nituhumu. Kwanini asikuue wewe? Kwanini kuruhusu Yuda yote ambayo imekusanywa kwako kutawanyishwa na mabaki ya Yuda kuharibiwa?”
Иоанан же сын Кариев рече ко Годолии отай в Массифафе, глаголя: да иду убо и побию Исмаила, сына Нафаниина: и никтоже да увесть, да не како поразит душу твою, и разсыплется весь Иуда собраный к тебе, и погибнет останок Иудин.
16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikam alisema kwa Yonathan mwana wa Karea, “Usifanye jambo hili, kwa kuwa unasema uongo kuhusu Ishmael.”
И рече Годолиа ко Иоанану сыну Кариеву: не сотвори дела сего, яко лжу ты глаголеши на Исмаила.

< Yeremia 40 >