< Yeremia 40 >
1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia toka kwa Yahwe baada ya Nebuzaradni, amri wa walinzi wa mfalme, amemtuma mbali kutoka Ramah. Huko ndiko Yeremia alikuwa amechukuliwa, na huko alikuwa amefungwa kwa minyororo. Alikuwa miongoni mwa mateka wote ya Yerusalem na Yuda ambayo walipaswa kuwa matekani Babeli.
Słowo, które doszło od PANA do Jeremiasza, po uwolnieniu go z Rama przez Nebuzaradana, dowódcę gwardii, gdy go zabrał związanego łańcuchami spośród wszystkich więźniów Jerozolimy i Judy, których uprowadzono do Babilonu.
2 Mlinzi mkuu alimchukua Yeremia na kusema kwake, “Yahwe Mungu wako aliamrisha maafa haya dhidi ya eneo hili.
Dowódca gwardii wziął Jeremiasza i powiedział do niego: PAN, twój Bóg, zapowiedział to nieszczęście przeciwko temu miejscu.
3 Basi Yahwe alileta. Alifanya kama alivyoamrisha, kwani ninyi watu mmefanya dhambi dhidi yake na hamkutii sauti yake. Hii ni sababu ya jambo hili limetokea kwenu. Lakini sasa tazama!
PAN więc sprowadził je i spełnił, jak powiedział. Zgrzeszyliście bowiem przeciwko PANU i nie słuchaliście jego głosu, dlatego was to spotkało.
4 Nimekuacha huru leo toka kwenye minyororo iliyokuwa kwenye mikono yako. Kama ni vizuri katika macho yako kuja nami Babeli, njoo, na nitakujali. Lakini kama si vizuri katika macho yako kuja pamoja nami, basi usifanye hivyo. Tazama nchi yote mbele yako. Nenda ambapo ni pazuri na sawa katika macho yako kwenda.”
Teraz oto uwalniam cię dziś z tych łańcuchów, które [są] na twoich rękach. Jeśli uważasz za słuszne pójść ze mną do Babilonu, chodź; ja zatroszczę się o ciebie. A jeśli uważasz za niesłuszne pójść ze mną do Babilonu, zaniechaj tego. Oto cała ziemia [jest] przed tobą. Gdzie uważasz, że dobrze i słusznie byłoby pójść, tam idź.
5 Wakati Yeremia hakujibu, Nebuzaradani alisema, “Nenda kwa Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani, ambaye mfalme wa Babeli amemweka msimamizi wa miji ya Yuda. Baki pamoja naye miongoni mwa watu au nenda popote ni pazuri katika macho yako kwenda.” Amri wa walinzi wa mfalme alimpa chakula na zawadi, na kisha akamtuma mbali.
A gdy on jeszcze nie odchodził, [powiedział]: Udaj się do Gedaliasza, syna Achikama, syna Szafana, którego król Babilonu ustanowił namiestnikiem nad miastami Judy, i zamieszkaj z nim pośród ludu albo idź, gdziekolwiek uważasz za słuszne. I dowódca gwardii dał mu żywność i podarunek i odprawił go.
6 Basi Yeremia alienda kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpah. Alibaki pamoja naye miongoni mwa watu ambao walibaki nyuma katika nchi.
Wtedy Jeremiasz udał się do Gedaliasza, syna Achikama, do Mispy, i mieszkał z nim wśród ludu, który pozostał w ziemi.
7 Sasa baadhi ya amri wa wanawajeshi wa Yuda ambao walikuwa bado katika uwanja- wao na watu wao - walisikia kuwa mfalme wa Babeli alimfanya Gedalia mwana wa Ahikam, liwali juu ya nchi. Pia walisikia kuwa amemweka kusimamia wanaume, wanawake, na watoto ambao walikuwa watu maskini katika nchi, wale ambao hawakuwa wamechukuliwa mateka Babeli.
A [gdy] wszyscy dowódcy wojsk, którzy przebywali na polach, oni i ich ludzie, usłyszeli, że król Babilonu ustanowił Gedaliasza, syna Achikama, namiestnikiem w ziemi i że powierzył mu mężczyzn, kobiety, dzieci i ubogich tej ziemi, których nie uprowadzono do Babilonu;
8 Basi walienda kwa Gedalia huko Mizpa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana Nethania; Yonathan na Yonathani, wana wa Kareaa; Seraya mwana wa Tanhumethi; wana wa Efai Netophathite; na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
Do Gedaliasza do Mispy przyszli: Izmael, syn Netaniasza, Jochanan i Jonatan, synowie Kareacha, Serajasz, syn Tanchumeta, synowie Efaja Netofatyty, oraz Jezaniasz, syn Maachatyty, oni i ich ludzie.
9 Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, alichukua kiapo kwao na kwa watu wao, na kusema kwao, “Usiogope kuwatumikia maafisa wa Wakaldayo. Ishi katika nchi na kumtumkia mfalme wa Babeli, na itakuwa vizuri kwenu.
Wtedy Gedaliasz, syn Achikama, syna Szafana, przysiągł im i ich ludziom: Nie bójcie się służyć Chaldejczykom. Pozostańcie w ziemi i służcie królowi Babilonu, a będzie wam dobrze.
10 Na tazama, Ninaishi Mizpa kukutana pamoja na Wakaldayo waliokuja kwetu. Basi vuna mvinyo, matunda ya kiangazi, na mafuta na viweke kwenye vyombo vyako. Uishi katika miji ambayo umechukua.”
Oto bowiem mieszkam w Mispie, aby służyć Chaldejczykom, którzy przyjdą do nas; a wy zbierajcie wino, letnie owoce i oliwę, gromadźcie w swoich naczyniach i mieszkajcie w swoich miastach, które zajmujecie.
11 Kisha Wayahudi wote katika Moabu, miongoni mwa watu wa Ammoni, na katika Edomu, na katika kila nchi ilisikiwa kwamba mfalme wa Babalei ameruhusu mabaki ya Yuda kubaki, kwamba alimteua Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani juu yao.
Także i wszyscy Żydzi, którzy byli w Moabie, pośród synów Ammona, w Edomie i we wszystkich [innych] ziemiach, gdy usłyszeli, że król Babilonu pozostawił resztkę z Judy i że ustanowił nad nimi Gedaliasza, syna Achikama, syna Szafana;
12 Basi Wayahudi wote walirudi toka kila eneo ambako walikuwa wametawanyika. Walirudi kwenye nchi ya Yuda, kwa Gedalia huko Mizpa. Walivuna mvinyo na matunda ya kiangazi kwa wingi.
Wrócili wszyscy ci Żydzi ze wszystkich miejsc, do których zostali wygnani, i przyszli do ziemi Judy, do Gedaliasza do Mispy, i nazbierali bardzo obficie wina i letnich owoców.
13 Yonathan mwana wa Karea na amri wote wa jeshi katika uwanja walikuja kwa Gedalia huko Mizpa.
Ale Jochanan, syn Kareacha, i wszyscy dowódcy wojsk, którzy przebywali na polach, przyszli do Gedaliasza do Mispy;
14 Walisema kwake, “Haujui kuwa Baalis mfalme wa watu wa Ammoni amemtuma Ishmael mwana wa Nethania kukuua?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikim hakuwaamini.
I powiedzieli do niego: Czy wiesz o tym, że Baalis, król synów Ammona, posłał Izmaela, syna Netaniasza, aby cię zabić? Ale Gedaliasz, syn Achikama, nie uwierzył im.
15 Basi Yonathan mwana wa Karea alizungumza kwa siri kwa Gedalia huko Mizpa na kusema, “Niruhusu niende kumuua Ishmael mwana wa Nethania. Hakuna atakaye nituhumu. Kwanini asikuue wewe? Kwanini kuruhusu Yuda yote ambayo imekusanywa kwako kutawanyishwa na mabaki ya Yuda kuharibiwa?”
Wtedy Jochanan, syn Kareacha, powiedział potajemnie do Gedaliasza w Mispie: Pozwól mi pójść, proszę, i zabiję Izmaela, syna Netaniasza, a nikt się o tym nie dowie. Dlaczego ma cię zabić, aby zostali rozproszeni wszyscy Żydzi, którzy się zebrali u ciebie, i aby zginęła resztka Judy?
16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikam alisema kwa Yonathan mwana wa Karea, “Usifanye jambo hili, kwa kuwa unasema uongo kuhusu Ishmael.”
Ale Gedaliasz, syn Achikama, odpowiedział Jochananowi, synowi Kareacha: Nie czyń tego, bo to, co mówisz o Izmaelu, jest nieprawdą.