< Yeremia 40 >

1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia toka kwa Yahwe baada ya Nebuzaradni, amri wa walinzi wa mfalme, amemtuma mbali kutoka Ramah. Huko ndiko Yeremia alikuwa amechukuliwa, na huko alikuwa amefungwa kwa minyororo. Alikuwa miongoni mwa mateka wote ya Yerusalem na Yuda ambayo walipaswa kuwa matekani Babeli.
Paroles qui furent adressées à Jérémie par le Seigneur après qu’il fut mis en liberté à Rama par Nabuzardan, chef de la milice, quand il le prit lié de chaînes au milieu de ceux qui émigraient de Jérusalem et de Juda et étaient conduits à Babylone.
2 Mlinzi mkuu alimchukua Yeremia na kusema kwake, “Yahwe Mungu wako aliamrisha maafa haya dhidi ya eneo hili.
Prenant donc Jérémie, le prince de la milice lui dit: Le Seigneur ton Dieu a prononcé ce mal sur ce lieu,
3 Basi Yahwe alileta. Alifanya kama alivyoamrisha, kwani ninyi watu mmefanya dhambi dhidi yake na hamkutii sauti yake. Hii ni sababu ya jambo hili limetokea kwenu. Lakini sasa tazama!
Et il l’a amené; ainsi le Seigneur a fait comme il a dit, parce que vous avez péché contre le Seigneur, et que vous n’avez pas écouté sa voix; c’est ainsi que cela vous est arrivé.
4 Nimekuacha huru leo toka kwenye minyororo iliyokuwa kwenye mikono yako. Kama ni vizuri katika macho yako kuja nami Babeli, njoo, na nitakujali. Lakini kama si vizuri katika macho yako kuja pamoja nami, basi usifanye hivyo. Tazama nchi yote mbele yako. Nenda ambapo ni pazuri na sawa katika macho yako kwenda.”
Maintenant donc, voilà que je t’ai délivré des chaînes que tu avais aux mains; s’il te plaît de venir avec moi à Babylone, viens, et je tiendrai mes yeux sur toi; mais s’il te déplaît de venir avec moi à Babylone, demeure ici; voilà toute cette terre en ta présence; ce que tu choisiras, tu l’auras, et où il te plaira d’aller, vas-y.
5 Wakati Yeremia hakujibu, Nebuzaradani alisema, “Nenda kwa Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani, ambaye mfalme wa Babeli amemweka msimamizi wa miji ya Yuda. Baki pamoja naye miongoni mwa watu au nenda popote ni pazuri katika macho yako kwenda.” Amri wa walinzi wa mfalme alimpa chakula na zawadi, na kisha akamtuma mbali.
Et ne viens pas avec moi, tu le peux; mais habite chez Godolias, fils d’Ahicam, fils de Saphan, que le roi de Babylone a préposé sur les villes de Juda; habite donc avec lui au milieu du peuple; ou bien va partout où il te plaira d’aller. Le chef de la milice lui donna aussi des vivres et des présents, et le renvoya.
6 Basi Yeremia alienda kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpah. Alibaki pamoja naye miongoni mwa watu ambao walibaki nyuma katika nchi.
Or Jérémie vint vers Godolias, fils d’Ahicam, à Masphath, et il habita avec lui au milieu du peuple qui avait été laissé dans le pays.
7 Sasa baadhi ya amri wa wanawajeshi wa Yuda ambao walikuwa bado katika uwanja- wao na watu wao - walisikia kuwa mfalme wa Babeli alimfanya Gedalia mwana wa Ahikam, liwali juu ya nchi. Pia walisikia kuwa amemweka kusimamia wanaume, wanawake, na watoto ambao walikuwa watu maskini katika nchi, wale ambao hawakuwa wamechukuliwa mateka Babeli.
Et lorsque tous les princes de l’armée des Juifs, qui avaient été dispersés en diverses contrées, eux et leurs compagnons, eurent appris que le roi de Babylone avait préposé Godolias, fils d’Ahicam, sur la terre de Juda, et qu’il lui avait recommandé les hommes, les femmes et les petits enfants, et ceux d’entre les pauvres de la terre qui n’avaient pas été transférés à Babylone,
8 Basi walienda kwa Gedalia huko Mizpa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana Nethania; Yonathan na Yonathani, wana wa Kareaa; Seraya mwana wa Tanhumethi; wana wa Efai Netophathite; na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
Ils vinrent vers Godolias à Masphath, savoir: Ismahel, fils de Nathanias, et Johanan, et Jonathan, fils de Carée, et Saréas, fils de Thanéhumeth, et les enfants d’Ophi, qui étaient de Nétophati, et Jézonias, fils de Maachati, eux et les leurs.
9 Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, alichukua kiapo kwao na kwa watu wao, na kusema kwao, “Usiogope kuwatumikia maafisa wa Wakaldayo. Ishi katika nchi na kumtumkia mfalme wa Babeli, na itakuwa vizuri kwenu.
Et Godolias, fils d’Ahicam, fils de Saphan, jura à eux et à leurs compagnons, disant: Ne craignez point de servir les Chaldéens; demeurez dans cette terre, et servez le roi de Babylone, et bien vous sera.
10 Na tazama, Ninaishi Mizpa kukutana pamoja na Wakaldayo waliokuja kwetu. Basi vuna mvinyo, matunda ya kiangazi, na mafuta na viweke kwenye vyombo vyako. Uishi katika miji ambayo umechukua.”
Voilà que moi, j’habite à Masphath pour répondre à l’ordre des Chaldéens qui sont envoyés vers nous; mais vous, recueillez la vendange, et la moisson, et l’huile; et renfermez-les dans des vases; et demeurez dans vos villes que vous occupez.
11 Kisha Wayahudi wote katika Moabu, miongoni mwa watu wa Ammoni, na katika Edomu, na katika kila nchi ilisikiwa kwamba mfalme wa Babalei ameruhusu mabaki ya Yuda kubaki, kwamba alimteua Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani juu yao.
Mais aussi tous les Juifs qui étaient en Moab, et parmi les enfants d’Ammon, et dans l’Idumée, et dans toutes les contrées, ayant appris que le roi de Babylone avait laissé des restes du peuple dans Juda, et qu’il avait préposé sur eux Godolias, fils d’Ahicam. fils de Saphan,
12 Basi Wayahudi wote walirudi toka kila eneo ambako walikuwa wametawanyika. Walirudi kwenye nchi ya Yuda, kwa Gedalia huko Mizpa. Walivuna mvinyo na matunda ya kiangazi kwa wingi.
Tous ces Juifs, dis-je, retournèrent de tous les lieux où ils s’étaient enfuis, et vinrent dans la terre de Juda vers Godolias, à Masphath; et ils recueillirent du vin, et une moisson très abondante.
13 Yonathan mwana wa Karea na amri wote wa jeshi katika uwanja walikuja kwa Gedalia huko Mizpa.
Mais Johanan, fils de Carée, et tous les princes de l’armée, qui étaient dispersés en diverses contrées, vinrent vers Godolias à Masphath,
14 Walisema kwake, “Haujui kuwa Baalis mfalme wa watu wa Ammoni amemtuma Ishmael mwana wa Nethania kukuua?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikim hakuwaamini.
Et lui dirent: Sachez que Baalis, roi des enfants d’Ammon, a envoyé Ismahel, fils de Nathanias, pour vous ôter la vie. Et Godolias, fils d’Ahicam, ne les crut pas.
15 Basi Yonathan mwana wa Karea alizungumza kwa siri kwa Gedalia huko Mizpa na kusema, “Niruhusu niende kumuua Ishmael mwana wa Nethania. Hakuna atakaye nituhumu. Kwanini asikuue wewe? Kwanini kuruhusu Yuda yote ambayo imekusanywa kwako kutawanyishwa na mabaki ya Yuda kuharibiwa?”
Mais Johanan, fils de Carée, dit en particulier à Godolias, à Masphath, disant: J’irai et je frapperai Ismahel, fils de Nathanias, personne ne le sachant, de peur qu’il ne tue votre âme, et que ne soient dispersés tous les Juifs qui sont rassemblés auprès de vous; et les restes de Juda périront.
16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikam alisema kwa Yonathan mwana wa Karea, “Usifanye jambo hili, kwa kuwa unasema uongo kuhusu Ishmael.”
Et Godolias, fils d’Ahicam, dit à Johanan, fils de Carée: Ne fais pas cela; car tu parles faussement d’Ismahel.

< Yeremia 40 >