< Yeremia 40 >

1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia toka kwa Yahwe baada ya Nebuzaradni, amri wa walinzi wa mfalme, amemtuma mbali kutoka Ramah. Huko ndiko Yeremia alikuwa amechukuliwa, na huko alikuwa amefungwa kwa minyororo. Alikuwa miongoni mwa mateka wote ya Yerusalem na Yuda ambayo walipaswa kuwa matekani Babeli.
La parole qui vint à Jérémie de par l’Éternel, après que Nebuzaradan, chef des gardes, l’eut renvoyé de Rama, quand il l’eut pris, et qu’il était lié de chaînes au milieu de tous les captifs de Jérusalem et de Juda qu’on transportait à Babylone.
2 Mlinzi mkuu alimchukua Yeremia na kusema kwake, “Yahwe Mungu wako aliamrisha maafa haya dhidi ya eneo hili.
Et le chef des gardes prit Jérémie, et lui dit: L’Éternel, ton Dieu, avait prononcé ce mal sur ce lieu-ci.
3 Basi Yahwe alileta. Alifanya kama alivyoamrisha, kwani ninyi watu mmefanya dhambi dhidi yake na hamkutii sauti yake. Hii ni sababu ya jambo hili limetokea kwenu. Lakini sasa tazama!
Et l’Éternel l’a fait venir, et a fait comme il avait dit, car vous avez péché contre l’Éternel, et vous n’avez pas écouté sa voix; et cette chose vous est arrivée.
4 Nimekuacha huru leo toka kwenye minyororo iliyokuwa kwenye mikono yako. Kama ni vizuri katika macho yako kuja nami Babeli, njoo, na nitakujali. Lakini kama si vizuri katika macho yako kuja pamoja nami, basi usifanye hivyo. Tazama nchi yote mbele yako. Nenda ambapo ni pazuri na sawa katika macho yako kwenda.”
Et maintenant, voici, aujourd’hui je te délivre des chaînes qui sont à tes mains. S’il est bon à tes yeux de venir avec moi à Babylone, viens, et j’aurai les yeux sur toi; mais, s’il est mauvais à tes yeux de venir avec moi à Babylone, ne viens pas. Regarde, toute la terre est devant toi: va où il est bon et droit à tes yeux d’aller.
5 Wakati Yeremia hakujibu, Nebuzaradani alisema, “Nenda kwa Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani, ambaye mfalme wa Babeli amemweka msimamizi wa miji ya Yuda. Baki pamoja naye miongoni mwa watu au nenda popote ni pazuri katika macho yako kwenda.” Amri wa walinzi wa mfalme alimpa chakula na zawadi, na kisha akamtuma mbali.
Et comme encore il ne répondait pas, [Nebuzaradan lui dit]: Retourne-t’en vers Guedalia, fils d’Akhikam, fils de Shaphan, que le roi de Babylone a établi sur les villes de Juda, et demeure avec lui au milieu du peuple, ou va partout où il sera bon à tes yeux d’aller. Et le chef des gardes lui donna des provisions et un présent, et le renvoya.
6 Basi Yeremia alienda kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpah. Alibaki pamoja naye miongoni mwa watu ambao walibaki nyuma katika nchi.
Et Jérémie vint vers Guedalia, fils d’Akhikam, à Mitspa, et habita avec lui parmi le peuple qui était de reste dans le pays.
7 Sasa baadhi ya amri wa wanawajeshi wa Yuda ambao walikuwa bado katika uwanja- wao na watu wao - walisikia kuwa mfalme wa Babeli alimfanya Gedalia mwana wa Ahikam, liwali juu ya nchi. Pia walisikia kuwa amemweka kusimamia wanaume, wanawake, na watoto ambao walikuwa watu maskini katika nchi, wale ambao hawakuwa wamechukuliwa mateka Babeli.
Et tous les chefs des forces qui étaient dans la campagne, eux et leurs hommes, apprirent que le roi de Babylone avait établi Guedalia, fils d’Akhikam, sur le pays, et qu’il lui avait confié les hommes, et les femmes, et les enfants, et des pauvres du pays d’entre ceux qui n’avaient pas été transportés à Babylone;
8 Basi walienda kwa Gedalia huko Mizpa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana Nethania; Yonathan na Yonathani, wana wa Kareaa; Seraya mwana wa Tanhumethi; wana wa Efai Netophathite; na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
et ils vinrent vers Guedalia à Mitspa, savoir Ismaël, fils de Nethania, et Jokhanan et Jonathan, les fils de Karéakh, et Seraïa, fils de Thanhumeth, et les fils d’Éphaï, le Netophathite, et Jezania, fils d’un Maacathien, eux et leurs hommes.
9 Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, alichukua kiapo kwao na kwa watu wao, na kusema kwao, “Usiogope kuwatumikia maafisa wa Wakaldayo. Ishi katika nchi na kumtumkia mfalme wa Babeli, na itakuwa vizuri kwenu.
Et Guedalia, fils d’Akhikam, fils de Shaphan, leur jura, à eux et à leurs hommes, disant: Ne craignez pas de servir les Chaldéens; habitez dans le pays et servez le roi de Babylone, et vous vous en trouverez bien.
10 Na tazama, Ninaishi Mizpa kukutana pamoja na Wakaldayo waliokuja kwetu. Basi vuna mvinyo, matunda ya kiangazi, na mafuta na viweke kwenye vyombo vyako. Uishi katika miji ambayo umechukua.”
Et pour moi, voici, j’habite à Mitspa, pour me tenir là devant les Chaldéens qui viendront vers nous; et vous, récoltez du vin, et des fruits d’été, et de l’huile, et mettez-les dans vos vases, et habitez dans vos villes dont vous avez pris possession.
11 Kisha Wayahudi wote katika Moabu, miongoni mwa watu wa Ammoni, na katika Edomu, na katika kila nchi ilisikiwa kwamba mfalme wa Babalei ameruhusu mabaki ya Yuda kubaki, kwamba alimteua Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani juu yao.
Et aussi tous les Juifs qui étaient en Moab, et parmi les fils d’Ammon, et en Édom, ou qui étaient dans tous les pays, entendirent que le roi de Babylone avait accordé un reste à Juda, et qu’il avait établi sur eux Guedalia, fils d’Akhikam, fils de Shaphan;
12 Basi Wayahudi wote walirudi toka kila eneo ambako walikuwa wametawanyika. Walirudi kwenye nchi ya Yuda, kwa Gedalia huko Mizpa. Walivuna mvinyo na matunda ya kiangazi kwa wingi.
alors tous les Juifs retournèrent de tous les lieux où ils avaient été chassés, et vinrent dans le pays de Juda, vers Guedalia, à Mitspa, et récoltèrent du vin et des fruits d’été en grande abondance.
13 Yonathan mwana wa Karea na amri wote wa jeshi katika uwanja walikuja kwa Gedalia huko Mizpa.
Mais Jokhanan, fils de Karéakh, et tous les chefs des forces qui étaient dans la campagne, vinrent vers Guedalia, à Mitspa,
14 Walisema kwake, “Haujui kuwa Baalis mfalme wa watu wa Ammoni amemtuma Ishmael mwana wa Nethania kukuua?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikim hakuwaamini.
et lui dirent: Sais-tu bien que Baalis, roi des fils d’Ammon, a envoyé Ismaël, fils de Nethania, pour te frapper à mort? Mais Guedalia, fils d’Akhikam, ne les crut point.
15 Basi Yonathan mwana wa Karea alizungumza kwa siri kwa Gedalia huko Mizpa na kusema, “Niruhusu niende kumuua Ishmael mwana wa Nethania. Hakuna atakaye nituhumu. Kwanini asikuue wewe? Kwanini kuruhusu Yuda yote ambayo imekusanywa kwako kutawanyishwa na mabaki ya Yuda kuharibiwa?”
Et Jokhanan, fils de Karéakh, parla en secret à Guedalia, à Mitspa, disant: Que j’aille, je te prie, et je frapperai Ismaël, fils de Nethania, et personne ne le saura; pourquoi te frapperait-il à mort, et tous ceux de Juda qui se sont rassemblés vers toi seraient-ils dispersés, et le reste de Juda périrait-il?
16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikam alisema kwa Yonathan mwana wa Karea, “Usifanye jambo hili, kwa kuwa unasema uongo kuhusu Ishmael.”
Et Guedalia, fils d’Akhikam, dit à Jokhanan, fils de Karéakh: Ne fais pas cette chose-là, car c’est un mensonge que tu dis à l’égard d’Ismaël.

< Yeremia 40 >