< Yeremia 40 >

1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia toka kwa Yahwe baada ya Nebuzaradni, amri wa walinzi wa mfalme, amemtuma mbali kutoka Ramah. Huko ndiko Yeremia alikuwa amechukuliwa, na huko alikuwa amefungwa kwa minyororo. Alikuwa miongoni mwa mateka wote ya Yerusalem na Yuda ambayo walipaswa kuwa matekani Babeli.
Ba: bilone dunu da na amola Yelusaleme dunu amola Yuda fi dunu huluane (amo ilia da Ba: bilone sogega udigili hawa: hamomusa: oule ahoasu) nini huluane sia: inega la: gili, La: ima moilaiga oule asi. Amogawi, Ba: bilone dadi gagui ouligisudafa amo Nebiusala: ida: ne, e da na sia: ine fadegale, na hahawane masa: ne sia: i. Amalalu, Hina Gode da nama sia: i.
2 Mlinzi mkuu alimchukua Yeremia na kusema kwake, “Yahwe Mungu wako aliamrisha maafa haya dhidi ya eneo hili.
Ba: bilone dadi gagui ouligisudafa da na la: idili oule asili, nama amane sia: i “Dia Hina Gode da amo soge wadela: lesima: ne sia: i.
3 Basi Yahwe alileta. Alifanya kama alivyoamrisha, kwani ninyi watu mmefanya dhambi dhidi yake na hamkutii sauti yake. Hii ni sababu ya jambo hili limetokea kwenu. Lakini sasa tazama!
Amola wali amo hou E da magagili ilegei, E da hamoi dagoi. Dia fi dunu da Hina Godema wadela: le hamobeba: le amola Ea sia: hame nababeba: le, amo hou da doaga: i dagoi.
4 Nimekuacha huru leo toka kwenye minyororo iliyokuwa kwenye mikono yako. Kama ni vizuri katika macho yako kuja nami Babeli, njoo, na nitakujali. Lakini kama si vizuri katika macho yako kuja pamoja nami, basi usifanye hivyo. Tazama nchi yote mbele yako. Nenda ambapo ni pazuri na sawa katika macho yako kwenda.”
Wali di udigili masa: ne amo sia: ine dia fesua la: gi amo na da fadegala. Di da Ba: bilone sogega na sigi masusa: dawa: sea, defea, misa. Amasea, na da di ouligimu. Be dia amoga masunu higasea, guiguda: esaloma. Difa! Dia hanaiga hamoma!”
5 Wakati Yeremia hakujibu, Nebuzaradani alisema, “Nenda kwa Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani, ambaye mfalme wa Babeli amemweka msimamizi wa miji ya Yuda. Baki pamoja naye miongoni mwa watu au nenda popote ni pazuri katika macho yako kwenda.” Amri wa walinzi wa mfalme alimpa chakula na zawadi, na kisha akamtuma mbali.
Na da bu hame adole iabeba: le, Nebiusala: ida: ne da amane sia: i, “Ba: bilone hina bagade da Gedalaia (Ahaiga: me egefe amola Sia: ifa: ne ea aowa) amo Yuda moilai ouligima: ne ilegei dagoi. Di Gedalaiama buhagima. Di da ea diasuga esalumu da defea. O dia hanaiga fawane ahoanoma.” Amalalu, e da nama hahawane iasu i. Amola ha: i manu ianu, na masa: ne logo doasi.
6 Basi Yeremia alienda kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpah. Alibaki pamoja naye miongoni mwa watu ambao walibaki nyuma katika nchi.
Na da Misiba moilai, Gedalaia ea diasuga esalomusa: asi. Amola na da dunu fi hame mugululi asi soge ganodini esala, ilima gilisili esalu.
7 Sasa baadhi ya amri wa wanawajeshi wa Yuda ambao walikuwa bado katika uwanja- wao na watu wao - walisikia kuwa mfalme wa Babeli alimfanya Gedalia mwana wa Ahikam, liwali juu ya nchi. Pia walisikia kuwa amemweka kusimamia wanaume, wanawake, na watoto ambao walikuwa watu maskini katika nchi, wale ambao hawakuwa wamechukuliwa mateka Babeli.
Yuda dadi gagui ouligisu mogili, amola dadi gagui dunu mogili, da Ba: bilone dunu ili gagulaligimusa: hame asi. Ilia da nabi amo Ba: bilone hina bagade da Gedalaia, Yuda soge amola hame gagui dunu huluane amo da Ba: bilone sogega hame mugululi asi, ilima ouligima: ne ilegei dagoi.
8 Basi walienda kwa Gedalia huko Mizpa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana Nethania; Yonathan na Yonathani, wana wa Kareaa; Seraya mwana wa Tanhumethi; wana wa Efai Netophathite; na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
Amaiba: le, Isama: iele (Nedanaia egefe) amola Youha: ina: ne (Galia egefe) amola Sila: ia (Da: nahiumede egefe) amola Ifai (Nidoufa dunu) egefelali, amola Ya: ia: sanaia (Ma: iaga soge dunu) amola ilima fa: no bobogesu dunu da Misiba moilaiga Gedalaia ba: musa: asi.
9 Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, alichukua kiapo kwao na kwa watu wao, na kusema kwao, “Usiogope kuwatumikia maafisa wa Wakaldayo. Ishi katika nchi na kumtumkia mfalme wa Babeli, na itakuwa vizuri kwenu.
Gedalaia da ilima amane sia: i, “Na dilima dafawane sia: sa. Mae beda: ma! Ba: bilone dunu dili gagulaligisa: besa: le, amoga mae masa. Be guiguda: amo moi dogole noga: le fili, Ba: bilone hina bagade ea hawa: hamosa esaloma. Amasea, dilia da hahawane esalumu.
10 Na tazama, Ninaishi Mizpa kukutana pamoja na Wakaldayo waliokuja kwetu. Basi vuna mvinyo, matunda ya kiangazi, na mafuta na viweke kwenye vyombo vyako. Uishi katika miji ambayo umechukua.”
Na nisu da Misiba guiguda: esalumu. Amola Ba: bilone dunu da guiguda: masea, na da dilia alofele iasu dunu agoane ba: mu. Be dilia ha: i manu bugili, waini hano, ifa fage amola olife susuligi noga: le lama. Amola hahawane dilia diasudafa amo ganodini esaloma.”
11 Kisha Wayahudi wote katika Moabu, miongoni mwa watu wa Ammoni, na katika Edomu, na katika kila nchi ilisikiwa kwamba mfalme wa Babalei ameruhusu mabaki ya Yuda kubaki, kwamba alimteua Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani juu yao.
Isala: ili fi dunu amo da Moua: be soge amola A: mone soge amola Idome soge amo ganodini esaloba, da Ba: bilone hina bagade da Isala: ili dunu mogili Yuda soge ganodini esaloma: ne amola Gedalaia ouligima: ne, logo doasi dagoi amo nabi.
12 Basi Wayahudi wote walirudi toka kila eneo ambako walikuwa wametawanyika. Walirudi kwenye nchi ya Yuda, kwa Gedalia huko Mizpa. Walivuna mvinyo na matunda ya kiangazi kwa wingi.
Amaiba: le, ilia da soge amoga ilia da afagogoi ba: i, amo yolesili, Yuda sogega buhagi. Ilia da Gedalaia, Misiba moilaiga esalu, ema buhagi. Amogawi, ilia da waini amola ifa fage bagohame faili gagadoi.
13 Yonathan mwana wa Karea na amri wote wa jeshi katika uwanja walikuja kwa Gedalia huko Mizpa.
Amo fa: no, Youha: ina: ne amola dadi gagui amo da Ba: bilonega hame asi, ilia ouligisu dunu da Gedalaia, Misiba moilaiga esalu, ema misi.
14 Walisema kwake, “Haujui kuwa Baalis mfalme wa watu wa Ammoni amemtuma Ishmael mwana wa Nethania kukuua?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikim hakuwaamini.
Ilia da ema amane sia: i, “A: mone hina bagade Ba: ialaise da Isama: iele di medole legemusa: asunasi dagoi.” Be Gedalaia da ilia sia: dafawaneyale hame dawa: i.
15 Basi Yonathan mwana wa Karea alizungumza kwa siri kwa Gedalia huko Mizpa na kusema, “Niruhusu niende kumuua Ishmael mwana wa Nethania. Hakuna atakaye nituhumu. Kwanini asikuue wewe? Kwanini kuruhusu Yuda yote ambayo imekusanywa kwako kutawanyishwa na mabaki ya Yuda kuharibiwa?”
Amalalu, Youha: ina: ne da ema wamowane sia: i, “Na da Isama: iele ema asili medole legemusa: , dia na logo doasima. Dunu huluane e fasu dunu hame dawa: mu. E da di medole legemu da defea hame. Amai hamoi ganiaba, Yu dunu amo dima gilisi da bu afagogoi dagoi ba: mu. Amola se nabasu amola wadela: su da dunu huluane Yuda soge ganodini esalebe ilima doaga: mu.”
16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikam alisema kwa Yonathan mwana wa Karea, “Usifanye jambo hili, kwa kuwa unasema uongo kuhusu Ishmael.”
Be Gedalaia da bu adole i, “Amo hou mae hamoma! Dia Isama: iele ea hou nama olelebe da ogogosa.”

< Yeremia 40 >