< Yeremia 4 >
1 “Kama utarudi, Israeli- asema BWANA - ikawa kwangu kwamba umerudi. Kama utaondoa hayo mambo yachukizayo mbele yangu na ukaacha kunikimbia mimi tena,
Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili fi dunu! Dilia da sinidigimusa: dawa: sea, Nama sinidigima. Dilia da moloiwane Nama fa: no bobogesea amola loboga hamoi ogogosu ‘gode’ fadegasea,
2 na ukaapa hivi, 'kama BWANA aishivyo katika kweli, na haki, na katika hukumu.' mataifa yataniomba baraka, na yatanisifu mimi.
dilia da Na Dioba: le dafawane ilegemu da defea ba: mu. Amasea, fifi asi gala huluane da Nama Na da ili hahawane dogolegele sia: ma: ne adole ba: mu. Amola ilia da Nama nodone sia: ne gadomu.”
3 Kwa kuwa BWANA asema hivi kwa kila mmoja katika Yuda na Yerusalemu; 'Limeni shamba zenu na msipande katika miiba.
Hina Gode da Yuda soge amola Yelusaleme moilai bai bagade dunu ilima amane sia: sa, “Dilia soge hame gidinai amo gidinama. Dilia hawa: amo aya: gaga: nomei gisi ganodini mae bugima.
4 Mtahiriwe kwa BWANA na kuondoa govi za mioyo yenu, ninyi wanaume wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu, vinginevyo hasira yangu itawaka kama moto na kuteketeteza, na hakutakuwa na mtu wa kuizima. Hii itatokea kwa sababu ya uovu wa matendo yenu.
Dilia Gousa: su amo dilia da Na, Hina Gode, Nama hamoi, amo bu dawa: le, mae fima. Dilia Yuda amola Yelusaleme fi dunu! Nama sia: sima! Amane hame hamosea, Na ougi da lalu agoane nemu. Bai dilia wadela: le hamoi dagoi. Na ougi da dunu enoga ha: ba: domu hamedene nenanumu.”
5 Waambie Yuda na Yerusalemu isikie. Waambie, “pigeni baragumu katika nchi.” Tangazeni, “Kusanyeni pamoja. Twendeni kwenye miji ya Maboma.”
Soge huluane amo ganodini, dalabede fulaboma! Ha: giwane wele sia: ma! Yuda soge amola Yelusaleme fi dunu ilima ilia da gasa bagade gagole moilai bai bagadega hehenama: ne sia: ma!
6 Inueni ishara za bendera na zielekezeni Sayuni, na kimbilieni usalama! Msibaki, kwa kuwa ninaleta majanga kutokea kaskazini na anguko kubwa.
Saione amoma doaga: ma: ne, logo olelema! Dilia esalusu gaga: ma: ne hobeama! Mae aligima! Hina Gode da se nabasu amola soge wadela: su hou gagoe (north) amoga gaguli maha.
7 Simba anakuja kutokea kwenye kichaka chake na yeye atakayeyaharaibu mataifa ameanza kuja. Anaondoka kwenye eneo lake ili aache hofu katika nchi yenu, kuibadili miji yenu kuwa uharibifu, ambapo hakuna hata mmoja atakayeishi. Kwa sababu hii vaeni magunia, lieni na kuomboleza.
Laione wa: me da ea wamoaligisu amoga manebe, amo defele fifi asi gala wadela: su dunu da manebe goea. E da Yuda wadela: lesimusa: manebe. Yuda soge moilai huluane da mugului dagoi ba: mu. Amo ganodini, dunu afae esalebe da hame ba: mu.
8 Kwa kuwa nguvu ya hasira ya BWANA haijaondoka kwetu.
Amaiba: le, wadela: i eboboi abula salawane, dima amola didigia: ma. Bai Hina Gode da Yuda fi ilima ougi bagade amola Ea ougi da hame gumi.
9 Ndipo itakapotokea katika siku hiyo - asema BWANA - mioyo ya mfalme na wakuu itakufa. Makuhani watasitaajabu na manabii watashangaa.'”
Hina Gode da amane sia: i, “Amo esoha, hina bagade amola eagene ouligisu dunu da bagade beda: mu. Gobele salasu dunu amola balofede dunu da beda: ne, fofogadigimu.”
10 Kwa hiyo nikasema, “Ahaa! BWANA. Kwa hakika umewadanganya watu hawa na Yerusalemu kwa kuwaambia, 'Kutakuwa na amani kwenu.'Wakati upanga unawaangukia dhidi ya maisha yao.”
Amalalu, na da amane sia: i, “Ouligisudafa Hina Gode! Di da Yelusaleme fi dunu ilima dafawane ogogoi dagoi. Di da olofosu manebe sia: i dagoi, be ilia asogoa hedofama: ne, gegesu gobihei bagade galebe ba: sa.”
11 Wakati huo itasemwa juu ya mji huu na Yerusalemu kuwa, “Upepo uwakao kutoka katika nyanda za jangwani utachukua njia yake kuelekea kwa binti ya watu wangu. Hautapepetwa wala kuwatakasa.
Eso da manebe, amoga Yelusaleme da sia: nabimu. Amo sia: da hafoga: i sogega gia: i bagade fo agoane ilima doaga: ma: ne manebe. Asaboi fo da gisi fawane gaguli ahoa. Be amo fo da agoaiwane hame.
12 Upepo ulio na nguvu sana utakaokuja kwa amri yangu, na sasa nitapitisha hukumu dhidi yao.
Amo fo da Hina Gode da sia: beba: le misunu, amola fo eno ea gasa bagade baligimu. Bai amo fo da Hina Gode Hisu da Ea dunu fi ilima se ima: ne fofada: musa: manebe ba: mu.
13 Tazama anavamia kama wingu, na magari yake ni kama dhoruba. Farasi wake wana mbio kuliko tai. Ole wetu kwa kuwa tutaharibiwa!
Ba: ma: i! Ha lai dunu da mu mobi agoane manebe. Ea gegesu ‘sa: liode’ da fo ononoi defele ba: sa. Amola ea hosi ea hehenasu da buhiba ea hagili ahoasu baligisa. Ninia da fisi dagoi! Nini da wadela: lesi dagoi!
14 Itakaseni mioyo yenu kutoka uovu wenu, Yerusalemu, ili kwamba muokolewe. Mawazo yako mabaya yatafikiri juu ya kutenda dhambi mpaka lini?
Yelusaleme! Dia gaga: su ba: ma: ne, dia dogo nigima: amo dodofema! Di da habogala wadela: i asigi dawa: su yolesima: bela: ?
15 Kwa kuwa kuna sauti iletayo habari kutoka Dani, na janga lijalo linasikika kutoka vilele vya milima ya Efraimu.
Sia: adola ahoasu dunu da Da: ne moilai amola Ifala: ime agolo amoga misini, wadela: su sia: olelesa.
16 Yafanyeni mataifa kulifikiria hili: Tazama, na uwatangazie Yerusalemu kuwa wale watekaji wanakuja kutoka katika nchi ya mbali ili kupiga kelel za vita juu ya miji ya Yuda.
Ilia da fifi asi gala ilima sisa: ma: ne misi. Amola Yelusaleme fi ilima ha lai da soge sedaganini manebe amo ilima sisasu olelemusa: misi. Amo ha lai dunu da Yuda soge moilai amoma ha lamu.
17 Watakuwa kama walinzi wa shamba liliolimwa dhidi yake pande zote, kwa kuwa amekuwa mpinzani wangu - asema BWANA -
Ilia da dunu da soge sosodo aligisu defele, Yelusaleme sisiga: mu. Bai Yelusaleme fi da Hina Gode Ema odoga: su. Hina Gode da sia: i dagoi.
18 tabia na matendo yako yamesababisha haya yatokee kwako. Hii itakuwa adhabu yako. Jinsi itakavyokuwa vibaya kwako! itakupiga moyo wako.
Yuda! Disu dia hamobeba: le amola dia esalusu hou amoba: le, amo se iasu da dima doaga: i. Dia wadela: i hou hamobeba: le, amo se nabasu da dima misi. Dia wadela: i hou da gobihei agoane dia dogo soi dagoi.
19 Moyo wangu! Moyo wangu! Niko katika maumivu ya moyo. Moyo wangu umefadhaika ndani yangu. Siwezi kunyamaza kwa kuwa nasikia sauti za pembe, sauti za vita.
Na da se nabi dagoi. Amo se nabasu nabimu da nama hamedei! Na dogo! Na dogo da ilibu agoane hedolole dusa! Na da ouiya: mu gogolesa. Na da dalabede fulabosu naba, amola gegesu halasu naba.
20 Anguko baada ya anguko limetangazwa, kwa nchi yote imeharibika mara. Wanaharibu masikani yangu na hema yangu ghafula.
Wadela: su afae ba: lalu, wadela: su eno da hedolowane doaga: sa. Soge huluane da wadela: lesi dagoi. Hedolowane, ninia abula diasu da wadela: lesi dagoi ba: sa. Ilia abula da gadelale, fofonoboi dagoi ba: sa.
21 Vita hivi vitaendelea mpaka lini? Ni mpaka lini nitasikiliza sauti za pembe?
Gegesu da bagadewane heda: sa. Na da habowali seda amo gegesu ba: ma: bela: ? Dalabede ea fulabosu, na da naba. Amo na da habowali seda nabima: bela: ?
22 Kwa kuwa upumbavu wa watu wangu - hawanijui mimi. Ni watu wajinga wasio na ufahamu. Wanaufahamu wa mambo maovu, tena hawajui kutenda mema.
Hina Gode da amane sia: sa, “Na fi dunu da gagaoui dagoi. Ilia da Na hame dawa: Ilia da gagaoui mano defele, asigi dawa: su hame gala. Ilia da wadela: i hou hamomusa: bagade dawa: su dunu agoai ba: sa. Be hou ida: iwane didili hamomusa: hamedafa dawa:”
23 Niliiona nchi, na kuiona! ilikuwa ukiwa na utupu. Kwa kuwa hapakuwa na taa za mbinguni.
Na da osobo bagade ba: i. E da wadela: lesi dagoi ba: i. Na da mu ba: i. Be amoga da hadigi hame galu.
24 Nilitazama katka miliima. Tazama, ilikuwa inatetemeka, na vilima vyote vilikuwa vinatikisika.
Na da goumi ba: i. Ilia da fogoi amola agolo da la: ididili, la: ididili fogolalebe ba: i.
25 Nilitazama. Tazama, hapakuwa na mtu, na ndege wote wa angani walikuwa wamekimbia.
Na ba: loba, dunu fi huluane da hamedafa gala. Sio fi huluane amola da hagili asi dagoi ba: i.
26 Nikaangalia. Tazama, mashamba yalikuwa jangwa na miji imeangushwa mbele za BWANA, mbele ya hasira yake.”
Nasegagi soge huluane da hafoga: i soge agoane hamoi dagoi ba: i. Soge ea moilai bai bagade huluane da mugululi, wadela: lesi dagoi ba: i. Bai Hina Gode Ea ougi bagade da amo sogega dialebe ba: i.
27 Hiki ndicho BWANA asemacho, “Nchi yote itakuwa uharibifu, lakini sitawaharibu wote kabisa.
(Hina Gode da amane sia: i dagoi, “Osobo bagade huluane da wadela: lesi dagoi ba: mu. Be Na da dafawanedafa hame wadela: lesimu.”)
28 Kwa sababu hii nchi itaomboleza, na mbingu juu zitatiwa giza. Kwa kuwa nimesema haya na kuyakusudia; sitarudi nyuma; Sitaacha kuyatekeleza.
Osobo bagade da da: i diomu. Mu da gasimu. Hina Gode da sia: i dagoi, amola E da Ea asigi dawa: su amo hame afadenemu. E da amo hou hamomusa: dawa: i dagoi, amola E da Ea asigi dawa: su hame bu sinidigimu.
29 Kila mji utakimbia kutoka katka kelele za wapandafarasi na wenye pinde; Watakimbilia msituni, Kila mji utapanda hadi mahali pa miamba. Miji itatelekezwa, kwa kuwa hakutakuwa na mtu wa kuishi katika miji hiyo.
Dunu huluane da hosi amoga fila heda: i dunu amola dadi gagui dunu ilia halasu nabasea, hobeamu. Mogili da iwilaga hobeamu amola mogili da igi sogega hobeamu. Moilai huluane da dunu hamedafa esalebe ba: mu. Amola amo moilai ganodini, dunu da bu hamedafa fi dialumu.
30 Sasa umeharibiwa, utafanya nini? Japokuwa unavaa mavazi mekundu, unajipamba na mapambo ya dhahabu, na kuyafanya macho yako yaonekane makubwa na kupakwa wanja, wale wanaume waliokutamani sasa wanakukataa. Badala yake wanajaribu kukuua.
Yelusaleme! Di da wadela: lesi dagoi ba: mu! Di da abuliba: le yoi abula gasisalabala? Dia da abuliba: le nina: hamoma: ne, igi noga: iwane legesa amola dia si amoga soa: legesala: ? Di da udigili nina: hamosa. Bai dima gamu dunu ilia da wali di higasa amola di medole legemusa: dawa: lala.
31 Kwa hiyo nasikia sauti ya maumivu, yenye utungu kama ya mwanamke azaaye mtoto wake wa kwanza, sauti ya binti wa Sayuni. Atwetaye kupata pumzi. Ananyosha mikono yake na kusema, 'Ole wangu mimi! ninazimia kwa sababu ya wauaji hawa.'”
Na da se nabasu wele sia: su, amo uda da ea magobo mano lamu gadenesa wele sia: be agoane wesa, amo nabi dagoi. Amo da fedege agoane, Yelusaleme ea mifo lamu hamedeiba: le, habe ha: ha: iya wele sia: nebe agoai nabi. E da ea lobo ilua: le amane sia: su, “Na da wadela: lesi dagoi. Ilia da na medole legemusa: manebe!”