< Yeremia 39 >

1 Katika mwaka wa tisa na mwezi wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda, Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuja pamoja na jeshi lake lote dhidi ya Yerusalem na kuizingira.
Roku dziewiątego Sedekijasza, króla Judzkiego, miesiąca dziesiątego, przyciągnął Nabuchodonozor, król Babiloński, ze wszystkiem wojskiem swojem do Jeruzalemu, i oblegli je.
2 Katika mwaka wa kumi na moja na mwezi wa nne wa Sekeia, siku ya tisa ya mwezi, mji uliharibiwa.
A jedenastego roku Sedekijasza, miesiąca czwartego, dziewiątego dnia tegoż miesiąca, dobyto miasta.
3 Kisha maafisa wote wa mfalme wa Babeli walikuja na kukaa kwenye lango la katikati: Nergali Sharezeri, Samgari Nebo, na Sarsechimu, afisa muhimu. Nerga Sharezeri alikuwa afisa mkuu na wote waliobaki maafisa wa mfalme wa Babeli.
I wpadli do niego wszyscy książęta króla Babilońskiego, i usiedli w bramie średniej: Nergalscharezer, Samgarnebu, Sarsechym, Rabsarys, Nergalscharezer, Rabmag, i wszyscy inni książęta króla Babilońskiego.
4 Ilitokea kwamba wakati Sedekia, mfalme wa Yuda, na wanaume wapiganaji wake wote walipowaona, walikimbia. Walitoka nje usiku toka kwenye mji kwa njia ya bustani ya mfalme, kupitia lango la kati la kuta mbili. Mfalme alitoka nje katika mwelekeo wa Arabah.
A gdy ich ujrzał Sedekijasz, król Judzki, i że wszyscy mężowie waleczni uciekli, i wyszli w nocy z miasta drogą ogrodu królewskiego, bramą między dwoma murami, uszedł też i król drogą ku puszczy.
5 Lakini jeshi la Wakaldayo walimfatilia na kumpata Sedekia kwenye tambarare za mto Yordani karibu na Yeriko. Kisha walimshika na kumleta kwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli, Riblah kwenye nchi ya Hamath, ambapo Nebukadreza alipitisha sentensi juu yake.
A wojsko Chaldejczyków goniło ich, i doścignęli Sedekijasza na równinach Jerycha, i wzięli go, i przywiedli go do Nabuchodonozora, króla Babilońskiegp, do Reble, do ziemi Emat, gdzie wydał przeciwko niemu dekret.
6 Mfalme wa Babeli alimchinja binti wa Sedekia mbele ya macho yake huko Ribla. Pia aliwachinja wanaume wote wa heshima wa Yuda.
Bo pomordował król Babiloński synów Sedekijaszowych w Rebli przed oczyma jego, i wszystkich najprzedniejszych z Judy pomordował król Babiloński.
7 Kisha alingoa macho ya Sedekia na kumfunga mnyororo wa shaba ili kusudi kumpeleka Babeli.
Ale oczy Sedekijaszowi wyłupił, a związawszy go łańcuchami miedzianemi prowadził go do Babilonu.
8 Kisha Wakaldayo walichoma nyumba ya mfalme na nyumba za watu. Pia walivunja kuta za Yerusalem.
Dom także królewski i dom onego ludu spalili Chaldejczycy ogniem, i mury Jeruzalemskie rozwalili.
9 Nebukadreza, nahodha wa walinzi wa mfalme, waliwachukua katika mateka watu wengine waliobaki katika mji. Hii ilijumuisha watu waliotoka jangwa kwenda Wakaldayo na watu wengine walioachwa katika mji.
Ale ostatek ludu, który był został w mieście, i zbiegi, którzy byli pouciekali do niego, i inny lud pozostały zawiódł Nabuzardan, hetman żołnierski, do Babilonu.
10 Lakini Nebukadreza nahodha wa walinzi wa mfalme aliwaruhusu watu maskini ambayo hawakuwa na chochote wao kubaki katika chi ya Yuda. Aliwapa mashamba ya mizabibu na maeneo katika siku ile.
Tylko najpodlejszych z ludu, którzy nic nie mieli, zastawił Nabuzardan, hetman żołnierski, w ziemi Judzkiej, którym rozdał winnice i role dnia onego.
11 Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa ametoa amri kuhusu Yeremia kwa Nebuzaradani nahodha wa walinzi wa mfalme. Alikuwa amesema,
A o Jeremijaszu przykazał Nabuchodonozor, król Babiloński, Nabuzardanowi, hetmanowi żołnierskiemu, mówiąc:
12 “Mchukue na umjali. Usimdhuru. Fanya kwa ajili yake chochote anachokuambia.”
Weźmij go, a pilnie go doglądaj, a nie czyń mu nic złego, ale jakoć rzekę, tak z nim postąp.
13 Basi Nebuzaradani nahodha wa walinzi wa mfalme, Nebushazbani mkuu wa matoashi, Nergali Sharezeri afisa mkuu, na wote maafisa wa muhimu wa mfalme wa Babeli walituma watu nje.
Przetoż posławszy Nabuzardan, hetman żołnierski, i Nebusasban, Rabsarys i Nergalscharezer, Rabmag, i wszyscy hetmani króla Babilońskiego;
14 Watu wao walimchukua Yeremia kutoka uwanja wa mlinzi na kumkabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikami mwana wa Shafani, kumchua nyumbani, basi Yeremia alibaki miongoni mwa watu.
Posławszy, mówię, wzięli Jeremijasza z sieni straży, i poruczyli go Godolijaszowi, synowi Ahikama, syna Safanowego, aby go dowiódł do domu. A tak mieszkał w pośród ludu.
15 Sasa neno la Yahwe lilikuwa limekuja kwa Yeremia wakati alipokuwa chini ya kifungo kwenye uwanja wa mlinzi, na alisema,
I stało się do Jeremijasza słowo Pańskie, gdy jeszcze był zamknięty w sieni straży, mówiąc:
16 “Zungumza kwa Ebedi Meleki Mkushi na sema, 'Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Ona, Nimekaribia kubeba maneno yangu dhidi ya mji huu kwa ajili ya janga na si kwa uzuri. Kwa kuwa yatakuwa kweli mbele yako katika siku hiyo.
Idź, a powiedz Ebedmelechowi Murzynowi, mówiąc: Tak mówi Pan zastępów, Bóg Izraelski: Oto Ja przywiodę słowa moje na to miasto ku złemu a nie ku dobremu, i wypełnią się przed obliczem twojem dnia onego;
17 Lakini nitakuokoa katika siku hiyo - hili ni tamko la Yahwe - na hautatiwa katika mkono wa wanaume ambayo unawaogopa.
Ale ciebie wybawię onegoż dnia, mówi Pan, i nie będziesz podany w rękę mężów, których się ty oblicza boisz.
18 Kwa kuwa nitakuokoa hakika. Hautaanguka kwa upanga. Utatoroka pamoja na maisha yako, kwani unanitumaini - hili lilikuwa tamko la Yahwe.”
Albowiem cię pewnie wyrwę, abyś od miecza nie upadł; ale będziesz miał duszę twoję za korzyść, przeto, żeś położył nadzieję we mnie, mówi Pan.

< Yeremia 39 >