< Yeremia 38 >

1 Shefatia mwana wa Matani, Gedalia mwana wa Pashuri, na Pashuri mwana wa Malkiya alisikia maneno ambayo Yeremia alikuwa akitanganza kwa wato wote. Alikuwa akisema,
Slyšel pak Sefatiáš syn Matanův, a Gedaliáš syn Paschurův, a Juchal syn Selemiášův, a Paschur syn Malkiášův slova, kteráž Jeremiáš mluvil ke všemu lidu, řka:
2 “Yahwe asema hivi: Yeyote anayeishi kwenye mji huu atauwawa kwa upanga, njaa, na pigo. Lakini yeyote ambaye aendae kwa Wakaldayo ataishi. Atatoroka pamoja na maisha yake mwenyewe, na kuishi.
Takto praví Hospodin: Kdo by zůstal v městě tomto, zahyne mečem, hladem aneb morem, ale kdož by vyšel k Kaldejským, že bude živ, a že bude míti život svůj místo kořisti, a živ zůstane.
3 Yahwe asema hivi: Huu mji huu utapewa kwa mkono wa jeshi la mfalme wa Babeli, na ataukamata.”
Takto praví Hospodin: Jistotně vydáno bude město toto v ruku vojska krále Babylonského, a vezme je.
4 Kwa hiyo maafisa walisema kwa mfalme, “Acha mtu huu afe, kwa kuwa kwa njia hii anadhofisha mikono ya wanaume wapiganaji waliobaki kwenye mji huu, na mikono ya watu wote. Anatanganza maneno haya, kwa kuwa huyu mtu hafanyi kwa usalama wa watu hawa, lakini kwa majanga.”
Protož řekla ta knížata králi: Nechť jest usmrcen muž ten, poněvadž zemdlívá ruce mužů bojovných, pozůstalých v městě tomto, i ruce všeho lidu, mluvě jim slova taková; nebo muž ten nikoli neobmýšlí pokoje lidu tomuto, ale zlé.
5 Basi mfalme Sedekia alisema, “Tazama, yuko mkononi mwako kwa kuwa hakuna mfalme awezae kumpinga.”
Tedy řekl král Sedechiáš: Aj, v ruce vaší jest, neboť král zhola nic nemůže proti vám.
6 Kisha walimchukua Yeremia na kumtupa kwenye kisima cha Malkiya, mwana wa mfalme. Kisima kilikuwa kwenye uwanja wa mlinzi. Walimshusha Yeremia chini kwa kamba. Hapakuwa na maji kwenye kisima, lakini kulikuwa na matope, na alizama chini ya matope.
I vzali Jeremiáše, kterýž byl v síni stráže, a uvrhli jej do jámy Malkiášovy, syna králova, a spustili Jeremiáše po provazích. V té pak jámě nebylo nic vody, ale bláto, tak že Jeremiáš tonul v tom blátě.
7 Sasa Ebed Meleki Mkushi alikuwa mmoja wa watowashi katika nyumba ya mfalme. Alisikia kwamba walikuwa wamemuweka Yeremia kwenye kisima. Sasa mfalme alikuwa ameketi kwa mlango wa Benjamini.
Ale jakž uslyšel Ebedmelech Mouřenín, dvořan, kterýž byl v domě královském, že dali Jeremiáše do té jámy, (král pak seděl v bráně Beniaminské),
8 Basi Ebed Meleki alienda toka nyumba ya mfalme na kuzungumza na mfalme.
Hned vyšel Ebedmelech z domu královského, a mluvil s králem, řka:
9 Alisema, “Bwana wangu mfalme, hawa wanaume wamefanya uovu kwa namna walivyomtendea Yeremia nabii. Walimtupa kwenye kisima kwa ajili ya kufa kutokana na njaa, tangu hakuna chakula zaidi katika mji.”
Pane můj, králi, zle učinili muži tito všecko, což učinili Jeremiášovi proroku, že jej uvrhli do té jámy; neboť by byl umřel i na prvním místě hladem, poněvadž již není žádného chleba v městě.
10 Kisha mfalme alitoa amri kwa Ebed Meleki Mkushi. Alisema, “Chukua amri ya watu thelasini kutoka hapa na mtoe Yeremia nabii nje ya kisima kabla hajafa.”
Protož poručil král Ebedmelechovi Mouřenínu, řka: Vezmi s sebou odsud třidceti mužů, a vytáhni Jeremiáše proroka z té jámy, prvé než by umřel.
11 Basi Ebed Meleki alichukua amri ya watu hao na akaenda nyumba ya mfalme, kwenye ghala la nguo chini ya nyumba. Toka hapo alichukua vitambaa na nguo zilizochanika na kuyashusha chini kwa kamba kwa Yeremia ndani ya kisima.
Tedy vzal Ebedmelech ty muže s sebou, a všel do domu královského pod pokladnici, a nabral starých hadrů strhaných, hadrů, pravím, zkažených, kteréž spustil k Jeremiášovi do té jámy po provazích.
12 Ebed Meleki Mkushi alisema kwa Yeremia, “Weka matambara na nguo zilizoraruka chini ya mikono yako na juu ya kamba.” Basi Yeremia alifanya hivyo.
A řekl Ebedmelech Mouřenín Jeremiášovi: Nu, podlož ty staré, strhané hadry a zkažené pod paže rukou svých s provazy. I učinil tak Jeremiáš.
13 Kisha walimvuta Yeremia kwa kamba. Kwa njia hii walimtoa kutoka kisimani. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja wa mlinzi.
Takž vytáhli Jeremiáše po provazích, a dobyli jej z té jámy. I seděl Jeremiáš v síni stráže.
14 Kisha Mfalme Sedekia alituma neno na kumleta Yeremia nabii kwake, kwenye lango la tatu la nyumba ya Yahwe. Mfalme alisema kwa Yeremia, “Nataka nikuulize kitu. Usinizuilie jibu mimi.”
Potom poslav král Sedechiáš, vzal Jeremiáše proroka k sobě do třetího průchodu, kterýž byl při domu Hospodinovu, a řekl král Jeremiášovi: Zeptám se tebe na něco, netaj přede mnou ničehož.
15 Yeremia alisema kwa Sedekia, “Kama nakujibu, hautaniuawa kwa hakika? Na kama nakupa ushauri, hautanisikiliza mimi.”
I řekl Jeremiáš Sedechiášovi: Oznámím-liť, zdaliž mne konečně neusmrtíš? A poradím-liť, neuposlechneš mne.
16 Lakini Mfalme Sedekia aliapa kwa Yeremia kwa siri na kusema, “Kama Yahwe aishivyo, yeye aliyetufanya sisi, Sitakuuwa au kukuweka kwenye mkono wa watu wale wanaotafuta maisha yako.”
Tedy přisáhl král Sedechiáš Jeremiášovi tajně, řka: Živť jest Hospodin, kterýž učinil nám život tento, že tě neusmrtím, aniž tě vydám v ruku mužů těch, kteříž hledají bezživotí tvého.
17 Kwa hiyo Yeremia alisema kwa Sedekia, “Yahwe, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Kama kwa kweli utatoka kwenda kwa maafisa wa mfalme wa Babeli basi utaishi, and mji huu hautachomwa. Wewe na familia yako mtaishi.
I řekl Jeremiáš Sedechiášovi: Takto praví Hospodin Bůh zástupů, Bůh Izraelský: Jestliže dobrovolně vyjdeš k knížatům krále Babylonského, i duše tvá živa bude, i město toto nebude vypáleno ohněm, a tak živ zůstaneš ty i dům tvůj.
18 Lakini kama hautaenda kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, basi mji huu utachukuliwa kwa mkono wa Wakaldayo. Watauchoma, na hautakwepa kutoka mkono wao.”
Jestliže pak nevyjdeš k knížatům krále Babylonského, jistě že vydáno bude město toto v ruku Kaldejských, a vypálí je ohněm, ano i ty neznikneš ruky jejich.
19 Mfalme Sedekia alisema kwa Yeremia, “Lakini ninaogopa watu wa Yuda waliotoka jangwani kwenda kwa Wakaldayo, kwa sababu nitapewa katika mkono wao, kwa kunifanyia vibaya.”
Tedy řekl král Sedechiáš Jeremiášovi: Velmi se bojím Židů, kteříž ustoupili k Kaldejským, aby mne snad nevydali v ruku jejich, i učinili by sobě ze mne posměch.
20 Yeremia alisema, “Hawatakutoa kwao. Tii ujumbe toka kwa Yahwe ambao ninakuambia, ili kusudi mambo yataenda vizuri kwako, na ili kusudi utaishi.
Ale Jeremiáš řekl: Nevydadí. Uposlechni, prosím, hlasu Hospodinova, o kterémž já mluvím tobě, a bude dobře tobě, i duše tvá živa bude.
21 Lakini kama unakataa kutoka, hivi ndivyo Yahwe amenionesha mimi.
Jestliže pak nebudeš chtíti vyjíti, toto jest slovo to, kteréž mi ukázal Hospodin,
22 Tazama! Wanawake wote walioachwa kwenye nyumba yako, mfalme wa Yuda, ataletwa kwa maafisa wa mfalme wa Babeli. Hawa wanawake watasema kwako, “Umedaganywa na rafiki zako; wamekuharibu. Miguu yako sasa imezama kwenye matope, na rafiki zako watakimbia.'
Že aj, všecky ženy, kteréž pozůstaly v domě krále Judského, přivedeny budou knížatům krále Babylonského, a samyť říkati budou: Nabádaliť jsou tě, a obdrželi na tobě ti, kteříž tě troštovali pokojem; uvázlyť v bahně nohy tvé, a nazpět obráceny.
23 Kwa kuwa wake zenu wote na watoto wataletwa kwa Wakaldayo, na wewe mwenyewe hautatoroka nchi yao. Utashikwa na mkono wa mfalme wa Babeli, na mji huu utachomwa.”
Všecky také manželky tvé i syny tvé dovedou k Kaldejským, i ty sám neznikneš ruky jejich, ale rukou krále Babylonského jat budeš, a město toto vypálíš ohněm,
24 Kisha Sedekia alisema kwa Yeremia, “Usimjulishe yeyote kuhusu maneno haya, ili kwamba usije kufa.
Tedy řekl Sedechiáš Jeremiášovi: Žádný ať neví o věcech těchto, abys neumřel.
25 Kama maafisa wanasikia kwamba nimeongea na wewe- kama wanakuja na kusema kwako, 'Tuambia umezungumza nini pamoja na mfalme. Usitufiche, au tutakuuwa. Na tuambie nini mfalme amesema kwako'-
Pakli uslyšíce knížata, že jsem mluvil s tebou, přišli by k tobě, a řekliť by: Oznam medle nám, cos mluvil s králem, netaj před námi, a neusmrtíme tě, a co mluvil s tebou král?
26 kisha unapaswa kusema nao, “Nilishawishiana pamoja na mfalme asirudi kwangu kwa nyumba ya Yonathan nitakufa humo.”
Tedy rci jim: Předkládal jsem poníženou a pokornou prosbu svou před krále, aby mne nedal zase voditi do domu Jonatanova, abych tam neumřel.
27 Kisha maafisa wote walikuja kwa Yeremia na kumuuliza, basi aliwajibu kama mfalme alivyomuelekeza. Basi waliacha kuongea pamoja naye, kwa sababu hawakusikia mazungumzo kati ya Yeremia na mfalme.
I sešla se všecka knížata k Jeremiášovi, aby se ho tázali. Kterýžto oznámil jim podlé toho všeho, jakž přikázal král. Takž mlčkem odešli od něho, když nebylo slyšeti o té věci.
28 Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja wa mlinzi mpaka siku ile Yerusalem ilipotekwa.
Jeremiáš pak seděl v síni stráže až do toho dne, v němž dobyt jest Jeruzalém, kdežto byl, když dobýván byl Jeruzalém.

< Yeremia 38 >