< Yeremia 38 >

1 Shefatia mwana wa Matani, Gedalia mwana wa Pashuri, na Pashuri mwana wa Malkiya alisikia maneno ambayo Yeremia alikuwa akitanganza kwa wato wote. Alikuwa akisema,
Na da dunu huluane ilima Hina Gode ea sia: i amane olelei, “Nowa dunu da Yelusaleme ganodini ouesalea, e da gegesu o ha: bagade o olosu amoga bogomu. Be nowa da gadili ahoasea, Ba: bilone fi ilima e gagulaligima: ne olelesea, e da medole legei dagoi hame ba: mu. E da esalumu. Na da Hina Gode Ea sia: i eno ilima olelei, amane,” Na da moilai bai bagade amo Ba: bilone dadi gagui wa: i ilima imunu, amola ilia da huluane gesowale lale dagomu.” Siefadaia (Ma: da: ne egefe), Gedalaia (Ba: sie egefe), Yihuga: le (Sielemaia egefe) amola Ba: sie (Ma: legaia egefe) ilia da na sia: nabi dagoi.
2 “Yahwe asema hivi: Yeyote anayeishi kwenye mji huu atauwawa kwa upanga, njaa, na pigo. Lakini yeyote ambaye aendae kwa Wakaldayo ataishi. Atatoroka pamoja na maisha yake mwenyewe, na kuishi.
3 Yahwe asema hivi: Huu mji huu utapewa kwa mkono wa jeshi la mfalme wa Babeli, na ataukamata.”
4 Kwa hiyo maafisa walisema kwa mfalme, “Acha mtu huu afe, kwa kuwa kwa njia hii anadhofisha mikono ya wanaume wapiganaji waliobaki kwenye mji huu, na mikono ya watu wote. Anatanganza maneno haya, kwa kuwa huyu mtu hafanyi kwa usalama wa watu hawa, lakini kwa majanga.”
Amalalu, ilia da hina bagadema asili, amane sia: i, “Amo dunu medole legemu da defea. E da amane sia: dalebeba: le, dadi gagui dunu da beda: su laha. Amola e da dunu huluane moilai ganodini esalebe, ilima ili beda: ma: ne sia: sa. E da dunu hame fidisa. E da ili se nabima: ne fawane hanai galebe.”
5 Basi mfalme Sedekia alisema, “Tazama, yuko mkononi mwako kwa kuwa hakuna mfalme awezae kumpinga.”
Hina bagade Sedegaia da amane adole i, “Defea! Dilia hanaiga ema hamoma! Na da dilia logo ga: musa: hame dawa: !”
6 Kisha walimchukua Yeremia na kumtupa kwenye kisima cha Malkiya, mwana wa mfalme. Kisima kilikuwa kwenye uwanja wa mlinzi. Walimshusha Yeremia chini kwa kamba. Hapakuwa na maji kwenye kisima, lakini kulikuwa na matope, na alizama chini ya matope.
Amaiba: le, ilia da na gagulaligili, efega la: gili, hina bagade egefe Ma: legaia amo ea hano uli dogoi ganodini sanasi. Hano uli dogoi ganodini da hano hame dialu, fafu fawane dialebe ba: i. Amo ganodini na da bosona sa: i dagoi.
7 Sasa Ebed Meleki Mkushi alikuwa mmoja wa watowashi katika nyumba ya mfalme. Alisikia kwamba walikuwa wamemuweka Yeremia kwenye kisima. Sasa mfalme alikuwa ameketi kwa mlango wa Benjamini.
Be Ibedemilege (amo da Suda: ne soge gulusu danai dunu, e da hina bagade diasu ganodini hawa: hamonanu), ilia da na hano uli dogoi ganodini sanasi amo nabi. Amo esoga, hina bagade da Bediamini Logo Ga: su amoga fofada: su hamonanu.
8 Basi Ebed Meleki alienda toka nyumba ya mfalme na kuzungumza na mfalme.
Amaiba: le, Ibedemilege da amoga asili, hina bagadema amane sia: i,
9 Alisema, “Bwana wangu mfalme, hawa wanaume wamefanya uovu kwa namna walivyomtendea Yeremia nabii. Walimtupa kwenye kisima kwa ajili ya kufa kutokana na njaa, tangu hakuna chakula zaidi katika mji.”
“Hina bagade! Amo dunu ilia da wadela: le hamoi. Ilia da Yelemaia amo hano uli dogoi amo ganodini sanasi. Amogawi, e da dafawane bogomu. Bai moilai bai bagade amo ganodini da ha: i manu hame gala.”
10 Kisha mfalme alitoa amri kwa Ebed Meleki Mkushi. Alisema, “Chukua amri ya watu thelasini kutoka hapa na mtoe Yeremia nabii nje ya kisima kabla hajafa.”
Amalalu, hina bagade Sedegaia da Ibedemilege ema e da dunu udiana oule asili, na bogosa: besa: le, hano uli dogoi amoga hiougili gadoma: ne sia: i.
11 Basi Ebed Meleki alichukua amri ya watu hao na akaenda nyumba ya mfalme, kwenye ghala la nguo chini ya nyumba. Toka hapo alichukua vitambaa na nguo zilizochanika na kuyashusha chini kwa kamba kwa Yeremia ndani ya kisima.
Amaiba: le, Ibedemilege da amo dunu oule asili, hina bagade liligi ligisisu diasu amoga hea abula lale, efega la: gili nama sanasi.
12 Ebed Meleki Mkushi alisema kwa Yeremia, “Weka matambara na nguo zilizoraruka chini ya mikono yako na juu ya kamba.” Basi Yeremia alifanya hivyo.
E da na efega se nabasa: besa: le, amo hea abula na lobo haguduga ligisima: ne sia: i. Na da amo hamoi dagoi.
13 Kisha walimvuta Yeremia kwa kamba. Kwa njia hii walimtoa kutoka kisimani. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja wa mlinzi.
Amalalu, ilia da efega na hano uli dogoi yolesima: ne, hiougili gadoi. Fa: no na da hina bagade diasu gagoi amo ganodini gagili ga: i agoane esalebe ba: i.
14 Kisha Mfalme Sedekia alituma neno na kumleta Yeremia nabii kwake, kwenye lango la tatu la nyumba ya Yahwe. Mfalme alisema kwa Yeremia, “Nataka nikuulize kitu. Usinizuilie jibu mimi.”
Eso enoga, hina bagade Sedegaia da, ilia na Debolo ea logo osoda amoga oule misa: ne sia: i. E da nama amane sia: i, “Na da dima adole ba: mu galebe. Di da dafawane sia: huluanedafa nama ima.”
15 Yeremia alisema kwa Sedekia, “Kama nakujibu, hautaniuawa kwa hakika? Na kama nakupa ushauri, hautanisikiliza mimi.”
Na da bu adole i, “Na da dafawane sia: huluanedafa dima sia: sea, di da na medole legemusa: sia: mu. Amola na da dima fada: i sia: adole iasea, di da amo sia: hame lalegagumu.”
16 Lakini Mfalme Sedekia aliapa kwa Yeremia kwa siri na kusema, “Kama Yahwe aishivyo, yeye aliyetufanya sisi, Sitakuuwa au kukuweka kwenye mkono wa watu wale wanaotafuta maisha yako.”
Amaiba: le, hina bagade Sedegaia da wamowane nama amane sia: ne ilegei, “Na da Fifi Ahoanusu Gode E (amo Gode da esalusu ninima iasu) amo Ea Dioba: le agoane ilegesa. Na da di hamedafa medole legemu. Amola na da dunu amo di medole legemusa: hanai, amo ilia lobo da: iya di hame iasimu.”
17 Kwa hiyo Yeremia alisema kwa Sedekia, “Yahwe, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Kama kwa kweli utatoka kwenda kwa maafisa wa mfalme wa Babeli basi utaishi, and mji huu hautachomwa. Wewe na familia yako mtaishi.
Amalalu, na da Sedegaiama, Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, amo Ea sia: alofele sia: i, “Di da Ba: bilone hina bagade ea ouligisu dunu amo di gagulaligima: ne ahoasea, di da hame bogomu amola amo moilai bai bagade laluga ulagi dagoi hame ba: mu. Di amola dia sosogo fi da mae bogole, esalebe ba: mu.
18 Lakini kama hautaenda kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, basi mji huu utachukuliwa kwa mkono wa Wakaldayo. Watauchoma, na hautakwepa kutoka mkono wao.”
Be di da ilima bu gegesea, Ba: bilone dunu da Yelusaleme moilai bai bagade huluane lale, laluga ulagimu. Amola di da hobeale masunu hamedei ba: mu.”
19 Mfalme Sedekia alisema kwa Yeremia, “Lakini ninaogopa watu wa Yuda waliotoka jangwani kwenda kwa Wakaldayo, kwa sababu nitapewa katika mkono wao, kwa kunifanyia vibaya.”
Be hina bagade da nama bu adole i, “Na da ninia fi dunu amo da hohonone, Ba: bilone dadi gagui fidimusa: asi, ilima beda: i galebe. Amabela: ? Ba: bilone dunu da na ilima ianu, ilia da nama se bagade imunu.”
20 Yeremia alisema, “Hawatakutoa kwao. Tii ujumbe toka kwa Yahwe ambao ninakuambia, ili kusudi mambo yataenda vizuri kwako, na ili kusudi utaishi.
Na da ema amane sia: i, “Ilia da di amo dunuma hame imunu. Dia Hina Gode Ea adole iasu nabima: ne, na da dima edegesa. Amasea, di da hahawane ba: mu, amola dia esalusu hame fisimu.
21 Lakini kama unakataa kutoka, hivi ndivyo Yahwe amenionesha mimi.
Be Hina Gode da na esala ba: su amo ganodini, di ilima gagulaligima: ne hame olesea, fa: no misunu hou nama olelei.
22 Tazama! Wanawake wote walioachwa kwenye nyumba yako, mfalme wa Yuda, ataletwa kwa maafisa wa mfalme wa Babeli. Hawa wanawake watasema kwako, “Umedaganywa na rafiki zako; wamekuharibu. Miguu yako sasa imezama kwenye matope, na rafiki zako watakimbia.'
Na esala ba: su ganodini, na da uda huluane Yuda hina bagade diasu ganodini hame bogoi esalebe amo huluane Ba: bilone hina bagade ea dadi gagui ouligisu dunu ilima doaga: ma: ne, oule ahoanebe ba: i. Ilia da ahoasea, sia: dalebe nabima, amane, ‘Hina bagade ea dogolegei dunu ilia da ema ogogoi. Ilia da ea sia: banenesi dagoi. Amola e da wali fafuga bosona sa: i dagoiba: le, ea dogolegei ilia da e yolesi dagoi.”
23 Kwa kuwa wake zenu wote na watoto wataletwa kwa Wakaldayo, na wewe mwenyewe hautatoroka nchi yao. Utashikwa na mkono wa mfalme wa Babeli, na mji huu utachomwa.”
Amasea, na da eno amane sia: i, “Dia uda amola mano huluane da Ba: bilone dunu ilima oule asi dagoi ba: mu. Amola ilia da di gagulaligimu. Ba: bilone hina bagade da di udigili hawa: hamosu hamoma: ne gagulaligimu, amola e da Yelusaleme laluga nene dagoma: ne ulagimu.”
24 Kisha Sedekia alisema kwa Yeremia, “Usimjulishe yeyote kuhusu maneno haya, ili kwamba usije kufa.
Sedegaia da bu adole i, “Di da nama sia: dalebe amo eno dunuma maedafa olelema. Amasea, di da mae bogole, esalumu.
25 Kama maafisa wanasikia kwamba nimeongea na wewe- kama wanakuja na kusema kwako, 'Tuambia umezungumza nini pamoja na mfalme. Usitufiche, au tutakuuwa. Na tuambie nini mfalme amesema kwako'-
Eagene ouligisu dunu da na da dima sia: dalu nabasea, ilia da misini amola adi sia: dalula: adole ba: mu. Ilia da di da sia: huluane ilima adosea, di mae medole legema: ne ilegele sia: mu.
26 kisha unapaswa kusema nao, “Nilishawishiana pamoja na mfalme asirudi kwangu kwa nyumba ya Yonathan nitakufa humo.”
Be di amane sia: ma, ‘Na da Sedegaiama e da na bogoma: ne, bu gagili ga: i diasuga mae asunasima: ne edegenanoma: ne fawane sia: i.’”
27 Kisha maafisa wote walikuja kwa Yeremia na kumuuliza, basi aliwajibu kama mfalme alivyomuelekeza. Basi waliacha kuongea pamoja naye, kwa sababu hawakusikia mazungumzo kati ya Yeremia na mfalme.
Amalalu, ouligisu dunu huluane da nama misini, nama adole ba: i. Na da hina bagade Sedegaia ea nama sia: i liligi defele, ilima bu adole i. Ilia da eno hou hamoma: ne hame ba: i. Bai dunu eno da ania sia: dasu hame nabi.
28 Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja wa mlinzi mpaka siku ile Yerusalem ilipotekwa.
Amola na da hina bagade diasu gagoi ganodini udigili hawa: hamosu dunu agoane hamonanebe ba: i. Ba: bilone dunu da Yelusaleme lai dagoiba: le fawane yolesi.

< Yeremia 38 >