< Yeremia 37 >
1 Sasa Sedekia mwana wa Yosia alitawala kama mfalme badala ya Yehoyachin mwana wa Yehoyakimu. Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa amemfanya Sedekia mfalme juu ya nchi ya Yuda.
Et le roi Sédécias, fils de Josias, régna en la place de Jéchonias, fils de Joakim, Nabuchodonosor, roi de Babylone, l’ayant établi roi dans la terre de Juda.
2 Lakini Sedekia, wajakazi wake, na watu wa nchi hawakusikiliza maneno ya Yahwe ambayo alitangaza kwa mkono wa Yeremia nabii.
Et il n’obéit pas, lui, ni ses serviteurs, ni tout le peuple de la terre aux paroles du Seigneur qu’il avait dites par l’entremise de Jérémie, le prophète.
3 Kwa hiyo Mfalme Sedekia, Yehukali mwana wa Shelemia, na Zefania mwana wa Maaseia kuhani alituma ujumbe kwa Yeremia nabii. Walisema, “Omba kwa niaba kwa Yahwe Mungu wetu.”
Et le roi Sédécias envoya Juchal, fils de Sélémias, et Sophonias, le prêtre, fils de Maasias, vers Jérémie, le prophète, disant: Priez pour nous le Seigneur notre Dieu.
4 Sasa Yeremia alikuwa anakuja na kwenda miongoni mwa watu, kwa kuwa alikuwa bado hajawekwa ndani ya gereza.
Or, Jérémie se promenait librement au milieu du peuple; car on ne l’avait pas encore mis dans la garde de la prison. Enfin l’armée de Pharaon sortit de l’Egypte; et les Chaldéens qui assiégeaient Jérusalem, entendant cette nouvelle, s’éloignèrent de Jérusalem.
5 Jeshi la Farao lilitoka Misri, na Wakaldayo waliozingira Yerusalem walisikia habari kuhusu wao na kuondoka Yerusalem.
Et la parole du Seigneur fut adressée à Jérémie, le prophète, disant:
6 Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia nabii na kusema,
Voici ce que dit le Seigneur, Dieu d’Israël: Ainsi vous direz au roi de Juda, qui vous a envoyés pour me consulter: Voilà que l’armée de Pharaon, qui est sortie à votre secours, retournera dans sa terre en Egypte;
7 “Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi: Hiki ndivyo utakavyosema kwa mfalme wa Yuda, kwa sababu amekutuma wewe kutafuta ushauri toka kwangu, 'Ona, jeshi la Farao, ambalo lilikuja kukusaidia, liko tayari kurudi Misri, kwenye nchi yao.
Et les Chaldéens reviendront, et ils combattront contre cette cité; et ils la prendront et ils y mettront le feu.
8 Wakaldayo watarudi. Watapigana dhidi ya mji huu, kuuteka, na kuuchoma.'
Voici ce que dit le Seigneur: Ne trompez pas vos âmes, disant: Les Chaldéens s’en iront et se retireront de nous; parce qu’ils ne s’en iront pas.
9 Yahwe asema hivi: Msidaganyane kwa kusema, “Hakika Wakaldayo wanatuacha sisi,' kwa kuwa hawatatuacha.
Mais quand même vous auriez battu toute l’armée des Chaldéens qui combattent contre vous, et qu’il en serait resté seulement quelques blessés, ils sortiraient chacun de leur tente, et mettraient à feu cette cité.
10 Hata kama mmelishinda jeshi la Wakaldayo lote ambalo linapigana nanyi ili kwamba wanaume waliojeruhiwa walibakizwa katika mahema yao, wangeweza kunyanyuka na kuchoma mji huu.”
Ainsi lorsque l’armée des Chaldéens se fut retirée de Jérusalem, à cause de l’armée de Pharaon,
11 Basi ilikuwa wakati jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalem wakati jeshi la Farao lilikuwa linakuja,
Jérémie sortit de Jérusalem, afin d’aller dans la terre de Benjamin, et d’y partager son bien en présence des citoyens.
12 kisha Yeremia alienda toka Yerusalem kwenda nchi ya Benjamini. Alitaka kumiliki njia ya nchi huko miongoni mwa watu wake.
Et lorsqu’il fut parvenu à la porte de Benjamin, il y avait là un garde qui veillait à la porte à son tour, du nom de Jérias, fils de Sélémias, fils d’Hananias; et il arrêta Jérémie, le prophète, disant: Tu fuis vers les Chaldéens.
13 Kama alivyokuwa katika mlango wa Benjamini, mlinzi mkuu aliyekuwa hapo. Jina lake lilikuwa Yeria mwana wa Shelemia mwana wa Hanania. Alimshika kwa kumnyakua Yeremia nabii na kusema, “Mnatoka jangwani kwa Wakaldayo.”
Et Jérémie répondit: Cela est faux, je ne fuis point vers les Chaldéens. Et Jérias ne l’écouta pas; mais il saisit Jérémie, et l’amena devant les princes.
14 Lakini Yeremia alisema, “Hiyo si kweli. Siendi jangwani kwa Wakaldayo.” Lakini Yeria hakumsikiliza. Alimchukua Yeremia na kumleta kwa maafisa.
À cause de cela les princes, irrités contre Jérémie, le firent battre et l’envoyèrent en la prison qui était dans la maison de Jonathan, le scribe; car c’est lui qui était préposé sur la prison.
15 Maafisa walikuwa wamemkasirikia Yeremia. Walimpiga na kumweka gerezani, ambayo ilikuwa nyumba ya Yonathani mwandishi, kwa kuwa waligeuza kuwa gereza.
C’est pourquoi Jérémie entra dans la maison de la fosse et dans le cachot des esclaves; et Jérémie y demeura bien des jours.
16 Kwa hiyo Yeremia alikuwa amewekwa kwenye kifungo cha chini, ambako alikuwa huko kwa siku nyingi.
Or le roi Sédécias l’envoya retirer, et il l’interrogea en secret dans sa maison, et dit: Crois-tu qu’il y a quelque parole venant du Seigneur? Et Jérémie: Il y en a; et il ajouta: Vous serez livré aux mains du roi de Babylone.
17 Kisha mfalme Sedekia alimtuma mtu mmoja aliyemleta kwenye ikulu. Kwenye nyumba yake, mfalme alimuuliza binafsi, “Kuna neno: Utatiwa kwenye mkono wa mfalme wa Babeli.”
Et Jérémie dit au roi Sédécias: En quoi ai-je péché contre vous, contre vos serviteurs et contre votre peuple, pour que vous m’ayez envoyé dans la maison de la prison?
18 Kisha Yeremia alisema kwa mfalme Sedekia, “Kwa namna gani nimekutenda dhambi, mjakazi wako, au watu hawa kwamba umeniweke mimi kwenye gereza?
Où sont vos prophètes qui vous prophétisaient, et qui disaient: Le roi de Babylone ne viendra pas contre vous et contre cette terre?
19 Wako wapi nabii wako, wale waliotabiri kwa ajili yako na kusema mfalme wa Babeli hatakuja dhidi yako au dhidi ya nchi hii?
Maintenant donc, écoutez, je vous conjure, mon seigneur roi; que ma prière instante soit puissante en votre présence; et ne me renvoyez pas dans la maison de Jonathan, le scribe, de peur que je n’y meure.
20 Lakini sasa sikiliza, bwana wangu mfalme! Acha ombi langu liwe mbele yako. Usinirudie mimi kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, au nitakufa huko.”
Le roi Sédécias ordonna donc que Jérémie fût mis dans le vestibule de la prison, et qu’on lui donnât tous les jours une miche de pain, outre les mets ordinaires, jusqu’à ce que tout le pain de la cité fût consumé; et Jérémie demeura dans le vestibule de la prison.
21 Kwa hiyo mfalme Sedekia alitoa amri. Wajakazi wake walimwekea mipaka Yeremia katika uwanja wa walinzi. Alipewa mkate kila siku kutoka mtaa wa waokaji mkate, mpaka mkate wote mjini uliisha. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja walinzi.