< Yeremia 36 >
1 Ilikuja tokea katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosiah mfalme wa Yuda, kwamba neno hili lilikuja kwa Yeremiah kutoka kwa Yahwe, na alisema,
Ie amy faha-efa-tao’ Iehoiakime ana’ Iosia, mpanjaka’ Iehodày, le niheo am’ Iirmeà ty tsara’ Iehovà nanao ty hoe:
2 “Chukua kitabu kwa ajili yako na uandike juu yake maneno yote ambayo nimekwisha kukuambia kuhusiana na Israel na Yuda, na kila taifa. Fanya hivi kwa kila kitu nilichokuambia tokea siku za Yosia mpaka siku ile.
Mangalà boke-peleke le sokiro ao ze hene tsara nivolañako ty am’ Israele naho Iehodà vaho o hene fifeheañeo sikal’ amy andro nivolañeko ama’o faha’ Iosiay pake henanekeo.
3 Huenda watu wa Yuda watasikiliza majanga yote ambayo ninakusudia kuleta juu yao. Huenda kila mmoja ataacha njia zake mbaya, ili kwamba niweze kuwasamehe maovu yao na dhambi zao.”
Kera ho janjiñe’ ty anjomba’ Iehodà ze hene hankàñe nisafirieko hanoañe; ke sindre hibalintoa amo sata’ rati’eo ondatio, vaho hapoko ty hakeo’ iareo naho o tahi’ iareoo.
4 Kisha Yeremia alimwita Baruku mwana wa Neria, na Baruku aliandika kwenye kitabu, kwa imla ya Yeremia, maneno yote ya Yahwe yalizunguzwa kwake.
Aa le kinoi’ Iirmeà t’i Baroke ana’ i Nerià; vaho sinoki’ i Baroke am-boke-pelek’ ao boak’ am-palie’ Iirmeà ze hene tsara nitsara’ Iehovà ama’e.
5 Kisha Yeremia alitoa amri kwa Baruku. Alisema, “Niko gerezani na siwezi kwenda kwenye nyumba ya Yahwe.
Le hoe t’Iirmeà amy Baroke: sinebañe iraho tsy himoak’ añ’anjomba’ Iehovà ao;
6 Kwa hiyo unapaswa uende na kusoma kutoka kwenye kitabu ulichoandika kwa imla yangu. Kwa siku ya kufunga, unapaswa usome maneno ya Yahwe kwenye masikio ya watu katika nyumba yake, na pia kwenye masikio ya Yuda yote waliokuja kutoka katika miji yao. Tangaza maneno haya kwao.
akia arè, mamakia amy boke-peleke nanokira’o o tsara’ Iehovà boak’am-bavakooy, an-dravembia’ ondaty añ’anjomba’ Iehovà ao ami’ty androm-pililirañe; mbore vakio an-dravembia’ Iehoda miakatse o rova’eo iaby.
7 Huenda maombi yao ya rehema yatakuja mbele ya Yahwe. Huenda kila mtu ataacha njia mbaya, kwani gathabu na hasira ya Yahwe imetangazwa dhidi ya watu kwa ukali.”
Hera hibanabana soloho am’ Iehovà, naho songa hibalik’ amo sata-rati’eo; amy te miforoforo ty haviñera’ Iehovà naho ty fifomboa’e nitaroñeñe am’ ondaty retoa.
8 Kwa hiyo Baruku mwana wa Neria alifanya kila kitu ambacho Yeremia nabii alimwamuru yeye kufanya. Alisoma kwa sauti maneno ya Yahwe ndani mwa nyumba ya Yahwe.
Aa le nanoe’ i Baroke ana’ i Neria i hene nandilia’ Iirmeà mpitoky ama’ey, le vinaki’e amy bokey ty tsara’ Iehovà añ’anjomba’ Iehovà ao.
9 Ilikuja tokea katika mwaka wa tano na mwezi wa tisa kwa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, kwamba watu wote Yerusalemu na watu waliotoka Yerusalemu toka miji ya Yuda walitangaza kufunga kwa kumheshimu Yahwe.
Aa ie ami’ty volam-paha-sive’ i taom-paha-lime’ Iehoiakime ana’ Iosia mpanjaka’ Iehoday, le nambarañe fililirañe añatrefa’ Iehovà: naho nimb’ e Ierosalaime mb’eo ondati’ Ierosalaimeo naho ze hene boak’ amo rova’ Iehodao.
10 Baruku alisoma kwa sauti maneno ya Yeremia katika nyumba ya Yahwe, kutoka kwenye chumba cha Gamaria mwana wa Shafani mwandishi, katika ua wa juu, kwa mlango wa kuingilia wa nyumba ya Yahwe. Alifanya hivi kwa masikio ya watu wote.
Le vinaki’ i Baroke amy bokey o saontsi’ Iirmeào, añ’anjomba’ Iehovà, añ’efe’ i Gemaria ana’ i Safane mpanokitse, an-kiririsa ambone, amy fimoahan-Dalam-bey Vao’ i anjomba’ Iehovàiy, an-dravembia’ ze fonga ondaty.
11 Basi Mikaya mwana wa Gemaria alisikia maneno yote ya Yahwe kwenye kitabu.
Aa ie jinanji’ i Mikaieho ana’ i Gemaria, ana’ i Safane ze hene tsara’ Iehovà boak’ amy bokey,
12 Alienda chini kwenye nyumba ya mfalme, kwenye chumba cha katibu. Tazama, maafisa wote walikuwa wamekaa hapo: Elishama mwandishi, Delaiah mwana wa Shemaiah, Elnathan mwana wa Achbor, Gemaria mwana wa Shefani, na Sedekia mwana wa Hananiah, na maafisa wote.
le nizotso mb’ añ’ anjomba’ i mpanjakay mb’eo, añ’ efe’ o mpanokitseo; le heheke te hene niambesatse ao o roandriañeo— i Elisama, mpanokitse, naho Delaia ana’ i Semaià, naho i Elnatane ana i Akbore, naho i Gemaria, ana’ i Safane, naho i Tsidkia ana’ i Kananià, naho o roandriañe iabio.
13 Kisha Mikaya alitoa taarifa ya maneno yote kwao ambayo alikuwa amesikia ambayo Baruku alisoma kwa sauti kwenye masikio ya watu.
Le tinaro’ i Mikaieho ze hene tsara jinanji’e amy Baroke, ie namaky i bokey an-dravembia’ ondatio.
14 Kwa hiyo maafisa wote walimtuma Jehudi mwana wa Nethania mwana wa Shelemiah mwana wa Kushi, kwa Baruku. Jehudi alisema kwa Baruku, “Chukua kitabu katika mkono wako, kitabu ambacho ulikuwa unakisoma kwa masikio ya watu and kuja.” Kwa hiyo Baruku mwana wa Neria alichukua kitabu katika mkono wake na alienda kwa maafisa.
Aa le nampihitrife’ o roandriañe iabio t’Iehodý ana’ i Netanià ana’ i Selemia, ana’ i Kosy, mb’ amy Baroke hanoa’e ty hoe: Endeso am-pità’o i peleke vinaki’o an-dravembia’ ondatioy, vaho mb’etoy. Aa le rinambe’ i Baroke ana’ i Neria am-pità’e amy zao i pelekey vaho nimb’ am’ iereo ao.
15 Kisha walisema naye,”Kaa chini na usome haya katika masikio yetu.” Kwa hiyo Baruku akasoma kitabu.
Le hoe iereo ama’e: Miambesara vaho ivakio an-dravembia’ay. Aa le vinaki’ i Baroke an-dravembia’ iareo.
16 Ilitokea wakati waliposikia haya maneno yote, kila mtu alipatwa na hofu kwa mtu aliye karibu naye na kusema kwa Baruku, “Kwa hakika tunapaswa kutoa taarifa ya maneno haya yote kwa mfalme.”
Ie amy zao, naho hene jinanji’ iereo i tsaray, le nifampitolik’ an-kahembañañe vaho nanao ty hoe amy Baroke: Tsy mete tsy hene taroñe’ay amy mpanjakay o tsara zao.
17 Kisha walimuuliza Baruku, “Tuambie, ulipataje kuandika maneno yote haya kwa imla ya Yeremia?”
Le nañontane i Baroke iereo, ty hoe, Ehe, isaontsio, akore ty nanokira’o o tsara iaby zao? boak’am-palie’e hao?
18 Baruku aliwaambia, “Alitoa imla ya maneno haya yote kwangu, na nikayaandika kwa wino kwenye kitabu hiki.”
Le hoe ty natoi’ i Baroke: Hene sinaontsi’e amako am-palie o tsara retoañe, vaho sinokiko an-drano-mainte amo bokeo.
19 Kisha maafisa walisema kwa Baruku, “Nenda, jifiche mwenyewe, na Yeremiah, pia. Usipatikane mtu yeyote kujua uko wapi.”
Le hoe o roandriañeo amy Baroke, Akia, mietaha, ihe naho Iirmeà, vaho ko apo’o ho fohi’ ondaty te aia.
20 Kisha walienda kwa uwanja wa mfalme na wakatoa taarifa ya maneno haya kwake. Lakini kwanza walikihifadhi kitabu kwenye chumba cha katibu Elishama.
Aa le nimoak’ amy mpanjakay an-kiririsa’e ao iereo; fa nado’ iareo añ’efe’ i Elisama mpanokitse ao i pelekey; vaho tinaro’ iareo an-dravembia’ i mpanjakay i tsara iabiy.
21 Basi mfalme alimtuma Yehudi kuchukua kitabu. Yehudi alikichukua toka chumba cha Elishama katibu. Kisha alikisoma kwa sauti kwa mfalme na wote maafisa walikuwa wamesimama karibu naye.
Aa le nampihitrife’ i mpanjakay t’Iehody hangalake i pelekey; le nalae’e añ’efe’ i Elisame mpanokitse ao naho vinaki’ Iehody an-dravembia’ i mpanjakay vaho an-dravembia’ o roandriañe iaby nijohañe marine i mpanjakaio.
22 Sasa mfalme alikuwa amesimama kwenye nyumba ya majira ya baridi katika mwezi wa tisa, na mkaa ulikuwa unawaka mbele yake.
Niambesatse añ’anjomban’ asotry ao i mpanjakay amy volam-pahasivey, ie nisodotse añ’atrefa’e eo ty toko-pamindroañe.
23 Ilitokea wakati Yehudi aliposoma kurusa tatu au nne, mfalme angeweza kuikata kwa kisu na kuitupa kwenye moto katika mkaa mpaka kitabu chote kiliteketea.
Aa naho nivakia’ Iehody ty fange’e efatse ndra telo, le tinori’e amy kelelahi’ey vaho nahifi’e amy afo amy tokoiy, ampara’ te fonga niforototoe’ ty afo amy toko-pamindroañey i pelekey.
24 Lakini wala mfalme wala yeyote wa mjakazi wake aliyesikia haya maneno yote aliogopa, wala hawakuchana nguo zao.
F’ie tsy nahahembañe iareo, leo raike tsy nandriatse sikiñe, ndra i mpanjakay ndra o mpitoro’e nahajanjiñe i tsaraio.
25 Elnathani, Delaya, na Gemaria walikuwa wamemuomba mfalme asikichome kitabu, lakini hakuwasikiliza.
Mbore nihalaly amy mpanjakay t’i Elnatane naho i Delaia vaho i Gemaria tsy hampiforehete’e i pelekey; fe tsy hinao’e;
26 Basi mfalme alimwamuru Yerameeli, ndugu, Seraya mwana wa Azrieli, na Shelemia mwana wa Abdeeli kumfunga Baruku mwandishi na Yeremia nabii, lakini Yahwe alikuwa amewaficha.
vaho linili’ i mpanjakay t’Ierakmeele, ana’ i mpanjakay, naho i Seraià, ana’ i Azriele, naho i Selemià, ana’ i Abdile ty hitsepake i Baroke mpanokitse naho Iirmeà mpitoky; f’ie naeta’ Iehovà.
27 Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia baada ya mfalme kuwa amechoma kitabu na maneno ya Baruku yaliyokuwa yameandikwa kwa imla ya Yeremia, na alisema,
Ie finorototo’ i mpanjakay i pelekey, naho o tsara’ sinoki’ i Baroke am-palie’ Iirmeào le niheo am’ Iirmeà ty tsara’ Iehovà nanao ty hoe:
28 “Rudi, chukua kitabu kingine kwa ajili yako, na uandike maneno haya yote ambayo yalikuwa kwenye kitabu cha kwanza, ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikichoma.
Mangalà peleke indraike, le hene isokiro i tsara tamy peleke valoha’e nisodore’ i mpanjaka’ Iehodaiiy.
29 Kisha unapaswa kusema hivi kwa mfalme Yehoyakimu mfalme wa Yuda: 'Ulichoma hicho kitabu! Na ulisema: Kwanini umeandika juu yake, “Mfalme wa Babeli hakika atakuja na kuharibu nchi hii, kwa kuwa atawaangamiza wanaume wote na wanyama ndani yake?”
Le hoe ty ho saontsie’o am’ Iehoiakime mpanjaka’ Iehodà: Hoe t’Iehovà: Fa noroa’o i pelekey, amy ty hoe, Ino ty nanokira’o ao ty hoe te tsy mete tsy hivotrak’ atoy ty mpanjaka’ i Bavele handrotsake o tane atoio, vaho ho mongore’e ze fonga ondaty naho hare ama’e?
30 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi kuhusu wewe, Yehoyakimu mfalme wa Yuda: “Hakuna mzao wako atawahi kukaa kwenye kiti cha Daudi. Kama wewe, maiti yako itatupwa kwenye siku ya joto na usiku wa baridi.
Aa le hoe t’Iehovà ty am’ Iehoiakime mpanjaka’ Iehodà, t’ie tsy hanan-kiambesatse amy fiambesa’ i Davidey; vaho havokovoko an-tariñandroke ey ty lolo’e te handro, vaho amy fanalay te haleñe.
31 Kwa kuwa nitakuadhibu, wazao wako, na wajakazi wako kwa maovu yenu yote. Nitaleta kwenu, kwa wakazi wote wa Yerusalemu, na kwa kila mtu Yuda majanga ambayo nimewatishia ninyi, lakini kwa hamkuwa makini.”
Le ho liloveko, ie naho o tiri’eo naho o mpitoro’eo ty amo hakeo’ iareoo, vaho hafetsako am’ iereo naho amo mpimone’ Ierosalaimeo, naho am’ondati’ Iehodao, ze hene hankàñe nivolañako; o tsy hinao’ iereoo.
32 Kwa hiyo Yeremia alichukua kitabu kingine na akampa Baruku mwana wa Neria mwandishi. Baruku aliandika juu yake kwa imla ya Yeremia maneno yote ambayo yalikuwa katika kitabu kilichochomwa moto na mfalme Yehoyakimu mfalme wa Yuda. Zaidi, maneno mengi ya kufanana yaliongezwa kwenye kitabu hiki.
Aa le nandrambe peleke ila’e t’Iirmeà, le natolo’e amy Baroke, mpanokitse, ana’ i Nerià; vaho hene sinoki’e ao boak’am-palie’ Iirmeà o tsara’ i peleke noroa’ Iehoiakime mpanjaka’ Iehodaio; mbore tinovo’e tsara maro manahak’ izay.