< Yeremia 35 >

1 Neno kutoka kwa Yahwe likamjia Yeremia katika siku za Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, kusema,
Et la quatrième année de Sédécias, roi de Juda, le cinquième mois, Ananie, fils d'Azor le faux prophète de Gabaon dans le temple du Seigneur, me parla devant les prêtres et devant tout le peuple, disant:
2 “Nenda kwenye familia ya Warekabi na zungumza nao. Kisha uwalete kwenye nyumba yangu, mle ndani ya moyawapo ya vyumba, na uwape divai wanywe.”
Voici ce que dit le Seigneur: J'ai brisé le joug du roi de Babylone;
3 Hivyo nilimchukua Yaazania mwana wa Yeremia mwana wa Habasinia na ndugu zake, wanawe wote, na familia yote ya Warekabi.
Encore deux ans, et je ramènerai dans ce lieu les vases du temple du Seigneur,
4 Nikawapeleka wote kwenye nyumba ya Yahwe, katika vyumba vya wana wa Hanani mwana wa Igdalia, mtu wa Mungu. Vyumba hivi vilikuwa karibu na chumba cha viongozi, ambacho kilikuwa juu ya chumba cha Maaseya mwana wa Shalumu, mtunza lango.
Et Jéchonias et les captifs de Juda; car je briserai le joug du roi de Babylone.
5 Kisha nikaleta mabakuli na vikombe vilivyojaa divai mbele ya Warekabi na kusema kwao, 'Kunyeni divai.”
Et Jérémie répondit à Ananie, devant tout le peuple et devant les prêtres qui se tenaient dans le temple du Seigneur.
6 Lakini walisema, “hatutakunywa divai yoyote, kwa maana babu yetu, Yonadabu mwana wa Rekabu, alituamuru, Msinywe divai yoyote, ninyi wala uzao wenu, milele.
Et Jérémie dit: Puisse réellement le Seigneur faire ainsi, confirmer ce que tu prophétises, ramener les vases du temple et tous les captifs de Babylone en ce lieu!
7 Pia, msijenge nyumba yoyote, kupanda mbegu zozote, wala kupanda shamba lolote la mizabibu; hivi siyo kwa ajili yenu. Kwa maana lazima muishi katika hema maisha yenu yote, ili kwamba muweze kuishsi siku nyingi katika nchi mnayoishi kama wageni.'
Mais écoutez la parole du Seigneur que je vals dire à vos oreilles, et aux oreilles de tout le peuple:
8 Tumeitii sauti ya Yonadabu mwana wa Rekabu, babu yetu, katika yote aliyotuamuru, kutokunywa divai maisha yetu yote, sisi, wake zetu, wana wetu, na binti zetu.
Les prophètes qui ont été avant moi et avant vous, dans tous les siècles, ont prophétisé la guerre à maintes contrées et à maints grands royaumes.
9 Hatutajenga nyumba kwa ajili ya kuishi ndani, na hatutakuwa na shamba la mizabu, konde, wala mbegu ya kumiliki sisi.
Quant au prophète qui a prophétisé la paix, lorsque sa parole sera accomplie, on reconnaîtra que c'est un prophète vraiment envoyé du Seigneur.
10 Tumeishi katika hema na tumetii na kufanya yote aliyotuamuru Yonadabu babu yetu.
Et Ananie, aux yeux de tout le peuple, retira du cou de Jérémie son collier et le brisa.
11 Lakini Nebukadreza mfalme wa Babeli alipoivamia nchi, tulisema, 'Njoo, lazima twende Yerusalemu ili tupone na mkono wa Wakaldayo na majeshi ya Waaramu. 'Kwa hiyo tunaishi Yerusalemu.”
Et Ananie parla devant tout le peuple, disant: Ainsi dit le Seigneur: Voilà comme je briserai le joug du roi de Babylone, en le retirant du cou d'un grand nombre de nations.
12 Kisha neno la Yahwe likaja kwa Yeremia, likisema,
Et Jérémie s'en alla dans sa voie; et la parole du Seigneur vint à Jérémie, après qu'Ananie eut brisé le collier de son cou, disant:
13 “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi, 'Nenda na useme kwa wanaume wa Yuda na wakaaji wa Yeruslemu, 'Hamtapokea maelekezo na kulisikiliza neno langu? —hili ni tangazo la Yahwe.
Va et parle à Ananie, disant: Ainsi parle le Seigneur: Tu as brisé un collier de bois, je le remplacerai par un collier de fer;
14 Maneno ya Yonadabu mwana wa Rekabu aliyowapa wanawe kama amri. wasinywe divai yoyote, yameheshimiwa hadi leo. Wameitii amri ya babu yao. Lakini mimi, nimekuwa nikifanya matangazo kwenu bila kukoma, lakini hamnisikilizi.
Car voici ce que dit le Seigneur: J'ai mis un joug de fer sur le cou de toutes les nations, afin qu'elles travaillent pour le roi de Babylone.
15 Niliwatuma kwenu watumishi wangu wote, manabii, nilikuwa nawatuma bila kukom ili waseme, 'Kila mtu auache uovu wake na kutenda matendo mema; asiwepo mtu wa kuifuata miungu mingine tena na kuiabudu. Bdala yake, rudini kwenye nchi niliyowapa ninyi na babu zenu,' bado hamtanisikiliza wala kutega maskio yenu kwangu.
Et Jérémie dit à Ananie: Le Seigneur ne t'a pas envoyé, et tu as fait croire à ce peuple ce qui n'est point vrai.
16 Kwa maana uzao wa Yonadabu mwana wa Rekabu wamezishika amri za babu yao alizowapa, lakini watu hawa hupuuza kunisikiliza.”
A cause de cela, ainsi dit le Seigneur: Voilà que je t'expulserai de la face de la terre, et cette année tu mourras.
17 Kwa hiyo Yahwe, Mungu wa majeshi na Mungu wa Israeli, asema hivi, 'Angalia, Ninaleta juu ya Yuda na juu ya kila mtu anayeishi Yerusalemu, majanga yote niyotamka dhidi yao kwa sababu niliwaambia, lakini hawakusikiliza; niliwaita, lakini hawakuitika.”
Et il mourut le septième mois.
18 Yeremia akasema kwa familia ya Warekabi, “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli asema hivi: mmezisikiliza amri za Yonadabu babu yenu na kuzishika zote—mmeyatii yote aliyowaamuru kufanya—
19 kwa hiyo Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, 'Siku zote kutakuwa na mtu kutoka uzao wa Yonadabu mwana wa Rekabu kwa ajili ya kunitumikia.”'

< Yeremia 35 >