< Yeremia 34 >

1 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yahwe, wakati Nebukadreza mfalme wa Babeli, majeshi yake yote, pamoja na falme zote za dunia, maeneo yote yaliyo chini ya mamlaka yake, na watu wake wote walikuwa wanapigana vita dhidi ya Yerusalemu na miji yake yote, kusema:
Słowo, które doszło do Jeremiasza od PANA, gdy Nabuchodonozor, król Babilonu, całe jego wojsko, wszystkie królestwa ziemi [podległe] jego władzy oraz wszystkie ludy walczyli przeciwko Jerozolimie i przeciwko wszystkim jej miastom, mówiące:
2 'Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nenda na uzungumze kwa Sedekia mfalme wa Yuda na useme kwake, 'Yahwe asema hivi: Angalia, niko karibu kuutia mji huu mkononi mwa mfalme wa Babeli. Atauchoma moto.
Tak mówi PAN, Bóg Izraela: Idź i przemów do Sedekiasza, króla Judy, i powiedz mu: Tak mówi PAN: Oto wydam to miasto w ręce króla Babilonu, a on spali je ogniem;
3 Hautapona kutoka mkono wake, kwa maana kwa hakika utakamatwa na kutiwa mkononi mwake. Macho yako yatayaangalia macho ya mfalme wa Babeli; atazungumza kwako moja kwa moja ukiwa unaenda Babeli.'
Ty też nie ujdziesz jego ręki, lecz na pewno zostaniesz pojmany i wydany w jego ręce; twoje oczy zobaczą oczy króla Babilonu i on będzie z tobą rozmawiał z ust do ust, a ty pójdziesz do Babilonu.
4 Sedekia mfalme wa Yuda, sikiliza neno la Yahwe! Yahwe anasema hivi kuhusu wewe, 'Hautakufa kwa upanga.
Posłuchaj jednak słowa PANA, Sedekiaszu, królu Judy: Tak mówi PAN o tobie: Nie umrzesz od miecza.
5 Utakufa katika amani. Kama kwenye mafukizo ya babu zako, wafalme waliokuwepo kabla yako, watauchoma mwili wako. Watasema, 'Ole, bwana!” Watakuomboleza. Sasa nimesema—hili ni tangazo la Yahwe.”
Umrzesz w pokoju i podobnie jak palono [wonności] dla twoich ojców, dawniejszych królów, którzy byli przed tobą, tak będą palić dla ciebie; i będą cię opłakiwać, [mówiąc]: Ach, panie! Ja bowiem wyrzekłem [to] słowo, mówi PAN.
6 Kwa hiyo Yeremia nabii akatangaza kwa Sedekia mfalme wa Yuda maneno haya yote katika Yerusalemu.
Wtedy prorok Jeremiasz powiedział wszystkie te słowa do Sedekiasza, króla Judy, w Jerozolimie;
7 Jeshi la mfalme wa Babeli likafanya dhidi ya Yerusalemu na miji yote ya Yuda iliyobaki: Lakishi, na Azeka. Miji hii ya yuda ilisalia kama miji yenye maboma.
Gdy wojsko króla Babilonu walczyło przeciwko Jerozolimie i przeciwko wszystkim pozostałym miastom Judy: przeciwko Lakisz i przeciw Azece. [Tylko] bowiem te warowne miasta pozostały z miast Judy.
8 Neno lilomjia Yeremia kutoka kwa Yahwe baada ya mfalme Sedekia kufanya agano na watu wote katika Yurusalemu, ili kuwatanagazia uhuru
Słowo, które doszło do Jeremiasza od PANA, gdy król Sedekiasz zawarł przymierze z całym ludem, który był w Jerozolimie, dla ogłoszenia mu wolności;
9 ya kwamba kila mtu lazima amwachie huru mtumwa wake wa Kiebrania, wote wa kiume na wa kike, kwa hiyo mtu alipaswa kutomtumikisha Myahudi, ambaye alikuwa ndugu yake.
Że każdy puści wolno swego niewolnika Hebrajczyka i niewolnicę Hebrajkę, aby nikt nie trzymał w niewoli Żyda, swego brata.
10 Kwa hiyo watu wote na viongozi wakaingia katika agano kwamba kila mtu amwachie huru mtumwa wake wa kiume na waikke ili asiwe mtumwa tena. Walitii na kuwaweka huru.
Wszyscy książęta i cały lud, którzy zawarli przymierze o tym, aby każdy wypuścił wolno swego niewolnika i swą niewolnicę, by ich już nie trzymano w niewoli, usłuchali i puścili [ich] wolno.
11 Lakini baada ya hapo walibadili akili zao. Wakawarudisha watumwa ambao walikuwa wamewaachia huru. Wakawalazimisha kuwa wataumwa tena.
Lecz potem rozmyślili się i z powrotem ściągnęli niewolników i niewolnice, których puścili wolno, i zmusili ich do służby jako niewolników i niewolnice.
12 Kwa hiyo neno la Yahwe likaja kwa Yeremia, likisema,
Dlatego od PANA doszło do Jeremiasza słowo PANA mówiące:
13 “Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi, 'Mimi mwenyewe nilifanya agano na babu zenu katika siku ambayo niliwatoa nje ya nchi ya Misiri, nje ya nyumba ya utumwa. Hapo ndipo niliposema,
Tak mówi PAN, Bóg Izraela: Ja zawarłem przymierze z waszymi ojcami w dniu, w którym wyprowadziłem ich z ziemi Egiptu, z domu niewoli, mówiąc:
14 Katika mwisho wa mwaka wa saba, kila mtu lazima amwachie ndugu yake, Mwebrania mwenzake aliyejiuza mwenyewe kwako ili kukutumikia kwa miaka sita. Mwagize aende kwa uhuru.” Lakini babu zenu hawakunisikiliza wala kutega masikio yao kwangu.
Po upływie siedmiu lat niech każdy puści wolno swego brata Hebrajczyka, który się tobie zaprzedał; będzie ci służył przez sześć lat, [po czym] puścisz go wolno od siebie. Ale wasi ojcowie nie słuchali mnie ani nie nakłonili swego ucha.
15 Sasa ninyi wenyewe mlitubu na kuanza yaliyomema katika macho yangu. Mlitangaza uhuru, kila mtu kwa jirani yake, na mlifanya agano mbele zangu kwenye nyumba iitwayo kwa jina langu.
Wy zaś nawróciliście się dziś i uczyniliście to, co jest dobre w moich oczach, ogłaszając wolność – każdy swemu bliźniemu, i zawarliście przymierze przede mną w domu nazywanym moim imieniem.
16 Lakini tena mmegeuka na kulichafua jina langu; mmemsababisha kila mtu kumleta tena mtumwa wake wa kiume na wa kike, wale mliowachie kwenda walikotaka. Mmewalazimisha kuwa watumwa tena.'
Lecz cofnęliście się i splugawiliście moje imię, bo każdy z powrotem ściągnął swego niewolnika i swą niewolnicę, których poprzednio puścił wolno według życzenia, i zmusił ich do służby jako niewolników i niewolnice.
17 Kwa hiyo Yahwe asema hivi, 'Ninyi wenyewe hamkunisikiliza. Mlipaswa kuwa mmetangaza uhuru, kila mmoja wenu, kwa ndugu zenu na Waisraeli wenzenu. Kwa hiyo angalia! Niko karibu kutangaza uhuru kwenu—hili ni tangazo la Yahwe—uhuru wa upanga, tauni, na njaa, kwa maana naenda kuwafanya kitu cha ajabu katika macho aya kila ufalme juu ya dunia.
Dlatego tak mówi PAN: Nie posłuchaliście mnie, aby każdy ogłosił wolność swemu bratu i bliźniemu. Oto ogłaszam wam, mówi PAN, wolność pod miecz, na zarazę i głód, i wydam was na wysiedlenie do wszystkich królestw ziemi.
18 Kisha nitashughulika na watu waliolivuja agano langu, ambao hawakuyashika maneno ya agano ambalo walilithibitisha mbele zangu walipomkata ng'ombe dume katika vipande viwili na kutembea katika vipande vyake,
Wydam tych ludzi, którzy przekroczyli moje przymierze i nie dotrzymali słów tego przymierza, jakie wypowiedzieli przede mną, gdy rozcięli cielca na dwoje i przeszli pomiędzy jego częściami;
19 na kisha viongozi wa Yuda na Yerusalemu, matowashi na makuhani, na watu wote wa nchi wakatembea katika vipande vya yule ng'ombe dume.
[To jest] książąt Judy i książąt Jerozolimy, dworzan i kapłanów oraz cały lud tej ziemi, tych, którzy przeszli pomiędzy częściami tego cielca;
20 Nitawatia katika mikono ya adui zao na katika mikono ya hao wanaoutafuta uhai wao. Miili yao itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama juu ya dunia.
Właśnie ich wydam w ręce ich wrogów i w ręce czyhających na ich życie, i ich trupy będą żerem dla ptactwa nieba i zwierząt ziemi.
21 Kwa hiyo nitawatia Sedekia mfalme wa Yuda na viongozi wake kwenye mikono ya adui zao na kwenye miko ya wale wanaoutafuta uhai wao na katika mikono ya majeshi ya mfalme wa Babeli ambayo yameinuka dhidi yenu.
Również Sedekiasza, króla Judy, i jego książąt wydam w ręce ich wrogów i w ręce czyhających na ich życie, w ręce wojska króla Babilonu, które odstąpiło od was.
22 Angalia, niko karibu kutoa amari—hili ni tangazo la Yahwe—na nitawaleta tena kwenye mji huu ili wapigane dhidi yake, na kuunguza kwa moto. Kwa maana nitaigeuza miji ya Yuda kuwa sehemu za ukiwa ambamo hapatakuwa na wakaaji.”
Oto wydam rozkaz, mówi PAN, i sprowadzę ich z powrotem do tego miasta, i będą walczyć przeciwko niemu, zdobędą je i spalą ogniem. Miasta Judy zamienię w pustkowie, bez mieszkańców.

< Yeremia 34 >