< Yeremia 34 >

1 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yahwe, wakati Nebukadreza mfalme wa Babeli, majeshi yake yote, pamoja na falme zote za dunia, maeneo yote yaliyo chini ya mamlaka yake, na watu wake wote walikuwa wanapigana vita dhidi ya Yerusalemu na miji yake yote, kusema:
[the] word which to be to(wards) Jeremiah from with LORD and Nebuchadnezzar king Babylon and all strength: soldiers his and all kingdom land: country/planet dominion hand: power his and all [the] people to fight upon Jerusalem and upon all city her to/for to say
2 'Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nenda na uzungumze kwa Sedekia mfalme wa Yuda na useme kwake, 'Yahwe asema hivi: Angalia, niko karibu kuutia mji huu mkononi mwa mfalme wa Babeli. Atauchoma moto.
thus to say LORD God Israel to go: went and to say to(wards) Zedekiah king Judah and to say to(wards) him thus to say LORD look! I to give: give [obj] [the] city [the] this in/on/with hand: power king Babylon and to burn her in/on/with fire
3 Hautapona kutoka mkono wake, kwa maana kwa hakika utakamatwa na kutiwa mkononi mwake. Macho yako yatayaangalia macho ya mfalme wa Babeli; atazungumza kwako moja kwa moja ukiwa unaenda Babeli.'
and you(m. s.) not to escape from hand: power his for to capture to capture and in/on/with hand: power his to give: give and eye your [obj] eye king Babylon to see: see and lip his with lip your to speak: speak and Babylon to come (in): come
4 Sedekia mfalme wa Yuda, sikiliza neno la Yahwe! Yahwe anasema hivi kuhusu wewe, 'Hautakufa kwa upanga.
surely to hear: hear word LORD Zedekiah king Judah thus to say LORD upon you not to die in/on/with sword
5 Utakufa katika amani. Kama kwenye mafukizo ya babu zako, wafalme waliokuwepo kabla yako, watauchoma mwili wako. Watasema, 'Ole, bwana!” Watakuomboleza. Sasa nimesema—hili ni tangazo la Yahwe.”
in/on/with peace to die and like/as burning father your [the] king [the] first: previous which to be to/for face: before your so to burn to/for you and woe! lord to mourn to/for you for word I to speak: speak utterance LORD
6 Kwa hiyo Yeremia nabii akatangaza kwa Sedekia mfalme wa Yuda maneno haya yote katika Yerusalemu.
and to speak: speak Jeremiah [the] prophet to(wards) Zedekiah king Judah [obj] all [the] word [the] these in/on/with Jerusalem
7 Jeshi la mfalme wa Babeli likafanya dhidi ya Yerusalemu na miji yote ya Yuda iliyobaki: Lakishi, na Azeka. Miji hii ya yuda ilisalia kama miji yenye maboma.
and strength: soldiers king Babylon to fight upon Jerusalem and upon all city Judah [the] to remain to(wards) Lachish and to(wards) Azekah for they(fem.) to remain in/on/with city Judah city fortification
8 Neno lilomjia Yeremia kutoka kwa Yahwe baada ya mfalme Sedekia kufanya agano na watu wote katika Yurusalemu, ili kuwatanagazia uhuru
[the] word which to be to(wards) Jeremiah from with LORD after to cut: make(covenant) [the] king Zedekiah covenant with all [the] people which in/on/with Jerusalem to/for to call: call out to/for them liberty
9 ya kwamba kila mtu lazima amwachie huru mtumwa wake wa Kiebrania, wote wa kiume na wa kike, kwa hiyo mtu alipaswa kutomtumikisha Myahudi, ambaye alikuwa ndugu yake.
to/for to send: let go man: anyone [obj] servant/slave his and man: anyone [obj] maidservant his [the] Hebrew and [the] Hebrew free to/for lest to serve in/on/with them in/on/with Jew brother: compatriot his man: anyone
10 Kwa hiyo watu wote na viongozi wakaingia katika agano kwamba kila mtu amwachie huru mtumwa wake wa kiume na waikke ili asiwe mtumwa tena. Walitii na kuwaweka huru.
and to hear: obey all [the] ruler and all [the] people which to come (in): come in/on/with covenant to/for to send: let go man: anyone [obj] servant/slave his and man: anyone [obj] maidservant his free to/for lest to serve in/on/with them still and to hear: obey and to send: let go
11 Lakini baada ya hapo walibadili akili zao. Wakawarudisha watumwa ambao walikuwa wamewaachia huru. Wakawalazimisha kuwa wataumwa tena.
and to return: turn back after so and to return: return [obj] [the] servant/slave and [obj] [the] maidservant which to send: let go free (and to subdue them *Q(K)*) to/for servant/slave and to/for maidservant
12 Kwa hiyo neno la Yahwe likaja kwa Yeremia, likisema,
and to be word LORD to(wards) Jeremiah from with LORD to/for to say
13 “Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi, 'Mimi mwenyewe nilifanya agano na babu zenu katika siku ambayo niliwatoa nje ya nchi ya Misiri, nje ya nyumba ya utumwa. Hapo ndipo niliposema,
thus to say LORD God Israel I to cut: make(covenant) covenant with father your in/on/with day to come out: send I [obj] them from land: country/planet Egypt from house: household servant/slave to/for to say
14 Katika mwisho wa mwaka wa saba, kila mtu lazima amwachie ndugu yake, Mwebrania mwenzake aliyejiuza mwenyewe kwako ili kukutumikia kwa miaka sita. Mwagize aende kwa uhuru.” Lakini babu zenu hawakunisikiliza wala kutega masikio yao kwangu.
from end seven year to send: let go man: anyone [obj] brother: compatriot his [the] Hebrew which to sell to/for you and to serve you six year and to send: let go him free from from with you and not to hear: hear father your to(wards) me and not to stretch [obj] ear their
15 Sasa ninyi wenyewe mlitubu na kuanza yaliyomema katika macho yangu. Mlitangaza uhuru, kila mtu kwa jirani yake, na mlifanya agano mbele zangu kwenye nyumba iitwayo kwa jina langu.
and to return: repent you(m. p.) [the] day: today and to make: do [obj] [the] upright in/on/with eye my to/for to call: call out liberty man: anyone to/for neighbor his and to cut: make(covenant) covenant to/for face: before my in/on/with house: temple which to call: call by name my upon him
16 Lakini tena mmegeuka na kulichafua jina langu; mmemsababisha kila mtu kumleta tena mtumwa wake wa kiume na wa kike, wale mliowachie kwenda walikotaka. Mmewalazimisha kuwa watumwa tena.'
and to return: turn back and to profane/begin: profane [obj] name my and to return: rescue man: anyone [obj] servant/slave his and man: anyone [obj] maidservant his which to send: let go free to/for soul: appetite their and to subdue [obj] them to/for to be to/for you to/for servant/slave and to/for maidservant
17 Kwa hiyo Yahwe asema hivi, 'Ninyi wenyewe hamkunisikiliza. Mlipaswa kuwa mmetangaza uhuru, kila mmoja wenu, kwa ndugu zenu na Waisraeli wenzenu. Kwa hiyo angalia! Niko karibu kutangaza uhuru kwenu—hili ni tangazo la Yahwe—uhuru wa upanga, tauni, na njaa, kwa maana naenda kuwafanya kitu cha ajabu katika macho aya kila ufalme juu ya dunia.
to/for so thus to say LORD you(m. p.) not to hear: obey to(wards) me to/for to call: call out liberty man: anyone to/for brother: male-sibling his and man: anyone to/for neighbor his look! I to call: call out to/for you liberty utterance LORD to(wards) [the] sword to(wards) [the] pestilence and to(wards) [the] famine and to give: make [obj] you (to/for horror *Q(K)*) to/for all kingdom [the] land: country/planet
18 Kisha nitashughulika na watu waliolivuja agano langu, ambao hawakuyashika maneno ya agano ambalo walilithibitisha mbele zangu walipomkata ng'ombe dume katika vipande viwili na kutembea katika vipande vyake,
and to give: make [obj] [the] human [the] to pass: trespass [obj] covenant my which not to arise: establish [obj] word: promised [the] covenant which to cut: make(covenant) to/for face: before my [the] calf which to cut: cut to/for two and to pass between part his
19 na kisha viongozi wa Yuda na Yerusalemu, matowashi na makuhani, na watu wote wa nchi wakatembea katika vipande vya yule ng'ombe dume.
ruler Judah and ruler Jerusalem [the] eunuch and [the] priest and all people [the] land: country/planet [the] to pass between part [the] calf
20 Nitawatia katika mikono ya adui zao na katika mikono ya hao wanaoutafuta uhai wao. Miili yao itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama juu ya dunia.
and to give: give [obj] them in/on/with hand: power enemy their and in/on/with hand: power to seek soul: life their and to be carcass their to/for food to/for bird [the] heaven and to/for animal [the] land: country/planet
21 Kwa hiyo nitawatia Sedekia mfalme wa Yuda na viongozi wake kwenye mikono ya adui zao na kwenye miko ya wale wanaoutafuta uhai wao na katika mikono ya majeshi ya mfalme wa Babeli ambayo yameinuka dhidi yenu.
and [obj] Zedekiah king Judah and [obj] ruler his to give: give in/on/with hand: power enemy their and in/on/with hand: power to seek soul: life their and in/on/with hand: power strength: soldiers king Babylon [the] to ascend: rise from upon you
22 Angalia, niko karibu kutoa amari—hili ni tangazo la Yahwe—na nitawaleta tena kwenye mji huu ili wapigane dhidi yake, na kuunguza kwa moto. Kwa maana nitaigeuza miji ya Yuda kuwa sehemu za ukiwa ambamo hapatakuwa na wakaaji.”
look! I to command utterance LORD and to return: return them to(wards) [the] city [the] this and to fight upon her and to capture her and to burn her in/on/with fire and [obj] city Judah to give: make devastation from nothing to dwell

< Yeremia 34 >