< Yeremia 33 >
1 Kisha neno la Yahwe likaja kwa Yeremia mara ya pili, alipokuwa bado amefungwa ndani ya uwanja wa walinzi, likisema,
Entonces la palabra del Señor vino a Jeremías la segunda vez, mientras él todavía estaba encerrado en el lugar de los vigilantes armados, diciendo:
2 Yahwe muumbaji, anasema hivi—Yahwe, aumbaye ili athibitishishe—Yahwe ndilo jina lake,
Estas son las palabras del Señor, que hizo la tierra, el Señor que la afirmó en su sitio; el Señor es su nombre;
3 'Niite, na nitakuitika, nitakuelezea mambo makuu, siri ambazo huzielewi.'
Deja que tu clamor venga a mí, y te daré una respuesta, y te haré ver grandes cosas y cosas secretas de las que no tienes conocimiento.
4 Kwa maana Yahwe, Mungu wa Israel, anasema hivi kuhusu nyumba zilizo katika mji huu na nyumba za wafalme wa Yuda zilizobomolewa kwa sababu ya maboma na upanga,
Porque esto es lo que el Señor, el Dios de Israel, ha dicho acerca de las casas de este pueblo y las casas de los reyes de Judá, que se han destruido para hacer rampas y la espada.
5 Wakaldayao wanakuja kupigana na kuzijaza nyumba kwa hizi kwa majeshi ya watu ambao wataua katika hasira yangu na ghadhabu yangu, nitakapouficha mji huu uso wangu kwa sababu ya uovu wao wote.
Vinieron a pelear con los caldeos, pero solo servirán para llenar la ciudad con cadáveres de hombres a los que he condenado a muerte en mi ira y en mi furor, y debido a cuya maldad he mantenido el rostro cubierto de esta ciudad.
6 Lakini ona, niko karibu kuleta uponyaji na tiba, kwa maana nitawaponya na nitawapa wingi wa, amani na uamainifu.
Mira, los sanaré, les daré la salud nuevamente, los sanaré; y les dejaré ver la paz y la verdad en abundancia.
7 Kwa maana nitawarudhisha wafungwa wao wa Yuda na Israeli; nitawajenga tena kama ilivyokuw mwanzo.
Y dejaré que se cambie el destino de Judá y de Israel, y los reconstruiré como al principio.
8 Kisha nitawatakasa uovu wote walioufanya dhidi yangu. Nitasamehe makosa yote waliyonitenda, na na njia zote walizo asi dhidi yangu.
Y los limpiaré de todos sus pecados, con los cuales han estado pecando contra mí; Tendré perdón por todos sus pecados, con los cuales ellos han estado pecando contra mí, y con los cuales han hecho el mal contra mí.
9 Kwa maana mji huu kwa ajili yangu utakuwa chombo cha furaha, nyimbo, sifa na heshima kwa mataiafa yote ya dunia ambao watasikia mambo yote mema ninayokwenda kufanya kwa ajili ya huu mji. Kisha wataogopa na kutetemeka kwa sababu ya mambo yote mema na amani nitayoupa mji huu.'
Y este pueblo será para mí un nombre de alegría, una alabanza y una gloria ante todas las naciones de la tierra, quienes, al oír todo el bien que estoy haciendo por ellos, temblarán de miedo. Por todo el bien y la paz que estoy haciendo por ello.
10 Yahwe anasema hivi, 'Katika sehemu hii ambayo sasa mnaisema, “Imetengwa, sehemu isiyo na mwanadamu wala mnyama,” katika mji huu wa Yuda, na katika mitaa ya Yerusalemu ambayo imetengwa bila mwanadamu wala mnyama, zitasikika tena
Esto es lo que el Señor ha dicho: Se volverán a oír en este lugar, del cual dices: Es un desperdicio, sin hombres y sin animales; incluso en las ciudades de Judá y en las calles de Jerusalén, en ruinas y despobladas, sin hombre y sin animal,
11 sauti za furaha na sauti za shangwe, sauti ya bwana arusi na sauti ya bibi arusi, sauti za wale wasemao, wanapoleta shukrani katika nyumba ya Yahwe, “Mshukuruni Yahwe wa majeshi, kwa maana Yahwe ni mwema, na upendo wake usioshindwa wadumu milele!” Kwa maana nitawafanaya tena wafungwa wa nchi kuwa walivyokuwa mwanzo,' asema Yahwe.
Voces felices, la voz de alegría, la voz del hombre recién casado y la voz de la novia, las voces de los que dicen: Alaben al Señor de los ejércitos, porque el Señor es bueno y su misericordia para siempre; las voces de los que van con alabanza a la casa del Señor. Porque devolveré los cautivos de la tierra para que vuelvan a ser como él principio, dice el Señor.
12 Yahwe wa majeshi asema hivi: Katika sehemu hii ya ukiwa, ambamo sasa hakuna mwanadamu wala mnyama—katika miji yake yote kutakuwepo tena malisho ambapo wachungaji wataweza kupumzisha makundi yao.
Esto es lo que ha dicho el Señor de los ejércitos: Nuevamente habrá en este lugar, que es un desperdicio, sin hombre y sin animal, y en todos sus pueblos, volverá haber un lugar de descanso donde los criadores de ovejas harán sus rebaños descansar.
13 Katika miji hii katika nchi ya vilima, nchi tambarare, na Negevu katika nchi ya Benyamini na kuzunguka Yerusalemu yote, na katika miji ya Yuda, makundi yatapata njia chini ya mkono wa yule anayewahesabu,' asema Yahwe.
En los pueblos de la región montañosa, en los pueblos de las tierras bajas, en los pueblos del sur y en la tierra de Benjamín y en los alrededores de Jerusalén y en los pueblos de Judá, los rebaños volverán a pasar bajo la mano del que los cuenta, dice el Señor.
14 Angalia! Siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—ambapo nitafanya niliyoahidi kwa nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.
Mira, vienen días, dice el Señor, cuando cumpliré la buena palabra que he dicho acerca del pueblo de Israel y del pueblo de Judá.
15 Katika siku hizo na katika wakati huo nitachipua shina la haki kwa ajili ya Daudi, na litafanaya hukumu na haki katika nchi.
En aquellos días y en ese tiempo, permitiré que una Rama de justicia suba para David; y él será juez de justicia en la tierra.
16 Katika siku hizo Yuda wataokolewa, na Yurusalemu utaishi katika usalama, kwa maana hivi ndivyo atakavyoitwa, “Yahwe ni haki ni haki yetu.”
En aquellos días, Judá tendrá la salvación y Jerusalén estará segura: y este es el nombre que le será dado: El Señor es nuestra justicia.
17 Kwa maana Yahwe anasema hivi: 'Mwana kutoka ukoo wa Daudi hatakosa kuketi katika kiti cha nyumba ya Israeli,
Porque él Señor ha dicho: David nunca estará sin un descendiente que ocupe su lugar en el trono del reino de Israel;
18 wala mtu kutoka ukuhani wa Kilawi hatakosa kutoa sadaka za kuteketezwa mbele zangu, kutoa sadaka za chakula, na kutoa sadaka za nafaka wakati wote.”'
Y los sacerdotes y los levitas nunca estarán sin un descendiente que venga ante mí, ofreciendo ofrendas quemadas, incienso ofrendas de cereales y ofrendas de bestias en todo momento.
19 Neno la Yahwe likaja kwa Yeremia, likisema,
Y vino la palabra del Señor a Jeremías, diciendo:
20 “Yahwe anasema hivi: 'Kama mkiweza kulivunja agano langu la mchana na usiku ili kwamba siku isikawie wala usiku usikawie kuja kwa wakati wake,
El Señor ha dicho: Si es posible que se rompa mi pacto del día y la noche, que el día y la noche ya no lleguen a sus horas fijas,
21 basi mtaweza u kulivunja agano langu na Daudi mtumishi wangu, ili kwamba aspate mwana wa kuketi juu ya kiti chake cha enzi, na gano langu na makuhuni wa Kilawi, watumishsi wangu.
Entonces mi pacto con mi siervo David puede romperse, de modo que ya no tenga un hijo para ocupar su lugar en el asiento del reino; y mi pacto con los levitas, los sacerdotes, mis siervos.
22 Kama vile majeshsi ya mbinguni yasivyoweza kuhesabika, na kama vile mchanga wa ufukwe wa bahari usivyoweza kupimwa, ndivyo nitakavyouongeza uzao wa Daudi mtumishi wangu na Walawi watumikao mbele zangu.”
Como no es posible que el ejército del cielo esté contado, o la arena del mar medida, así haré la simiente de mi siervo David y los levitas mis siervos.
23 Neno la Mungu likaja kwa Yeremia, likisema,
Y vino la palabra del Señor a Jeremías, diciendo:
24 Hamkuzingatia walichotangaza watu hawa waliposema, 'Zile Familia mbili ambazo Yahwe alizichagua, sasa amezikataa'? Kwa jinsi hii hii waliwapuuza watu wangu, wakisema kwamba si taifa tena katika macho yao.
¿Has tomado nota de lo que estas personas han dicho, las dos familias, que el Señor escogió para sí mismo, los ha desechado? Esto lo dicen, mirando a mi gente con desprecio, en sus ojos, ya no es una nación.
25 Mimi, Yahwe, nasema hivi, 'Kama sijalithibitisha agano la mchana na usiku, na kama sijaziweka sheria za mbingu na dunia,
El Señor ha dicho: Si no he hecho el día y la noche, y si los límites del cielo y la tierra no han sido fijados por mí,
26 basi nitawakataa uzao wa Yakobo na Daudi mtumishi wangu, na nisilete mtu kutoka kati yao wa kutawala juu ya uzao wa Abrahamu, Isaka, na Yakobo. Kwa maana nitawarudisha wafubgwa wao na kuonesha huruma kwao.”'
Entonces, dejaré de cuidar de la simiente de Jacob y de David mi siervo, de modo que no tomaré de su descendencia para ser gobernantes sobre la simiente de Abraham, Isaac y Jacob; porque haré volver su cautividad y tendré misericordia de ellos.