< Yeremia 33 >

1 Kisha neno la Yahwe likaja kwa Yeremia mara ya pili, alipokuwa bado amefungwa ndani ya uwanja wa walinzi, likisema,
Ketika aku masih ditahan di pelataran, aku mendapat pesan lain dari TUHAN
2 Yahwe muumbaji, anasema hivi—Yahwe, aumbaye ili athibitishishe—Yahwe ndilo jina lake,
yang menjadikan bumi dan membentuk serta meletakkannya di tempatnya. Ia berkata,
3 'Niite, na nitakuitika, nitakuelezea mambo makuu, siri ambazo huzielewi.'
"Berserulah kepada-Ku, maka Aku akan menyahut; akan Kuberitahukan kepadamu hal-hal yang indah dan mengagumkan yang belum kauketahui.
4 Kwa maana Yahwe, Mungu wa Israel, anasema hivi kuhusu nyumba zilizo katika mji huu na nyumba za wafalme wa Yuda zilizobomolewa kwa sababu ya maboma na upanga,
Istana raja Yehuda dan rumah-rumah di kota Yerusalem telah dibongkar untuk memperkuat pertahanan terhadap kepungan dan serangan musuh. Tapi Aku, TUHAN, Allah Israel, berkata bahwa,
5 Wakaldayao wanakuja kupigana na kuzijaza nyumba kwa hizi kwa majeshi ya watu ambao wataua katika hasira yangu na ghadhabu yangu, nitakapouficha mji huu uso wangu kwa sababu ya uovu wao wote.
percuma saja melawan orang Babel, karena hal itu hanya akan membuat kota ini penuh dengan mayat orang-orang yang Kutewaskan dalam kemarahan dan geram-Ku kepada mereka. Aku tak sudi lagi melihat kota ini, karena orang-orangnya telah melakukan yang jahat.
6 Lakini ona, niko karibu kuleta uponyaji na tiba, kwa maana nitawaponya na nitawapa wingi wa, amani na uamainifu.
Tapi kelak Aku akan memulihkan keadaan kota ini dan penduduknya; mereka akan kuat lagi. Aku akan memberikan kepada mereka kesejahteraan dan keamanan yang berlimpah.
7 Kwa maana nitawarudhisha wafungwa wao wa Yuda na Israeli; nitawajenga tena kama ilivyokuw mwanzo.
Yehuda dan Israel akan Kujadikan jaya seperti dahulu dan mereka akan berdiri lagi sebagai umat-Ku.
8 Kisha nitawatakasa uovu wote walioufanya dhidi yangu. Nitasamehe makosa yote waliyonitenda, na na njia zote walizo asi dhidi yangu.
Aku akan membersihkan mereka dari dosa-dosa yang telah mereka lakukan terhadap-Ku; dosa-dosa dan kedurhakaan mereka akan Kuampuni.
9 Kwa maana mji huu kwa ajili yangu utakuwa chombo cha furaha, nyimbo, sifa na heshima kwa mataiafa yote ya dunia ambao watasikia mambo yote mema ninayokwenda kufanya kwa ajili ya huu mji. Kisha wataogopa na kutetemeka kwa sababu ya mambo yote mema na amani nitayoupa mji huu.'
Yerusalem akan menjadi kegembiraan dan kebanggaan-Ku. Segala bangsa di dunia akan menjadi takut dan gentar serta menghormati Aku, apabila mendengar tentang segala kebaikan yang Kulakukan untuk penduduk Yerusalem, dan tentang kemakmuran yang Kuberikan kepada kota itu."
10 Yahwe anasema hivi, 'Katika sehemu hii ambayo sasa mnaisema, “Imetengwa, sehemu isiyo na mwanadamu wala mnyama,” katika mji huu wa Yuda, na katika mitaa ya Yerusalemu ambayo imetengwa bila mwanadamu wala mnyama, zitasikika tena
TUHAN berkata, "Orang mengatakan bahwa tempat ini seperti padang gurun, tidak ada orang atau binatang yang tinggal di situ. Perkataan mereka memang benar, sebab kota-kota Yehuda dan jalan-jalan di Yerusalem sudah kosong semua; tidak ada orang atau binatang yang tinggal di situ.
11 sauti za furaha na sauti za shangwe, sauti ya bwana arusi na sauti ya bibi arusi, sauti za wale wasemao, wanapoleta shukrani katika nyumba ya Yahwe, “Mshukuruni Yahwe wa majeshi, kwa maana Yahwe ni mwema, na upendo wake usioshindwa wadumu milele!” Kwa maana nitawafanaya tena wafungwa wa nchi kuwa walivyokuwa mwanzo,' asema Yahwe.
Tapi di tempat-tempat itu akan terdengar lagi suara kesukaan dan kegembiraan serta suara pesta kawin. Akan terdengar juga nyanyian orang-orang yang membawa kurban syukur ke rumah-Ku. Mereka akan berkata, 'Bersyukurlah kepada TUHAN Yang Mahakuasa, karena Ia baik dan kasih-Nya kekal abadi.' Negeri ini akan Kujadikan makmur seperti semula. Aku, TUHAN, telah berbicara."
12 Yahwe wa majeshi asema hivi: Katika sehemu hii ya ukiwa, ambamo sasa hakuna mwanadamu wala mnyama—katika miji yake yote kutakuwepo tena malisho ambapo wachungaji wataweza kupumzisha makundi yao.
TUHAN Yang Mahakuasa berkata, "Negeri dan kota-kotanya yang seperti padang gurun ini tidak didiami oleh manusia atau binatang. Namun demikian, di kemudian hari akan ada lagi padang-padang rumput tempat orang menggembalakan domba-dombanya.
13 Katika miji hii katika nchi ya vilima, nchi tambarare, na Negevu katika nchi ya Benyamini na kuzunguka Yerusalemu yote, na katika miji ya Yuda, makundi yatapata njia chini ya mkono wa yule anayewahesabu,' asema Yahwe.
Di kota-kota di daerah pegunungan, kaki pegunungan, daerah Yehuda selatan, dan di wilayah Benyamin serta di desa-desa sekitar Yerusalem, dan di kota-kota Yehuda, para gembala akan menghitung lagi domba-domba mereka. Aku, TUHAN, telah berbicara."
14 Angalia! Siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—ambapo nitafanya niliyoahidi kwa nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.
TUHAN berkata, "Akan tiba saatnya Aku menepati janji yang telah Kubuat dengan Israel dan Yehuda.
15 Katika siku hizo na katika wakati huo nitachipua shina la haki kwa ajili ya Daudi, na litafanaya hukumu na haki katika nchi.
Pada waktu itu seorang yang adil dari keturunan Daud akan Kupilih menjadi raja. Raja itu akan melakukan apa yang adil dan benar di seluruh negeri.
16 Katika siku hizo Yuda wataokolewa, na Yurusalemu utaishi katika usalama, kwa maana hivi ndivyo atakavyoitwa, “Yahwe ni haki ni haki yetu.”
Orang Yehuda dan penduduk Yerusalem akan diselamatkan dan hidup aman. Kota Yerusalem akan dinamakan 'TUHAN Penyelamat Kita'.
17 Kwa maana Yahwe anasema hivi: 'Mwana kutoka ukoo wa Daudi hatakosa kuketi katika kiti cha nyumba ya Israeli,
Aku, TUHAN, berjanji bahwa selalu akan ada seorang dari keturunan Daud yang menjadi raja Israel;
18 wala mtu kutoka ukuhani wa Kilawi hatakosa kutoa sadaka za kuteketezwa mbele zangu, kutoa sadaka za chakula, na kutoa sadaka za nafaka wakati wote.”'
selalu akan ada imam-imam dari suku Lewi yang melayani Aku dan mempersembahkan kurban binatang, gandum dan persembahan yang dibakar."
19 Neno la Yahwe likaja kwa Yeremia, likisema,
TUHAN berkata kepadaku,
20 “Yahwe anasema hivi: 'Kama mkiweza kulivunja agano langu la mchana na usiku ili kwamba siku isikawie wala usiku usikawie kuja kwa wakati wake,
"Aku sudah mengikat perjanjian dengan siang dan malam, supaya siang dan malam selalu datang pada waktunya; perjanjian itu tak bisa ditiadakan.
21 basi mtaweza u kulivunja agano langu na Daudi mtumishi wangu, ili kwamba aspate mwana wa kuketi juu ya kiti chake cha enzi, na gano langu na makuhuni wa Kilawi, watumishsi wangu.
Begitu juga Aku telah mengikat perjanjian dengan hamba-Ku Daud, bahwa dari keturunannya selalu akan ada seorang yang menjadi raja; dan Aku telah mengikat perjanjian dengan imam-imam keturunan Lewi bahwa mereka selalu akan melayani Aku. Perjanjian-perjanjian itu tidak dapat dihapuskan.
22 Kama vile majeshsi ya mbinguni yasivyoweza kuhesabika, na kama vile mchanga wa ufukwe wa bahari usivyoweza kupimwa, ndivyo nitakavyouongeza uzao wa Daudi mtumishi wangu na Walawi watumikao mbele zangu.”
Aku akan menambah keturunan hamba-Ku Daud dan imam-imam suku Lewi, sehingga jumlahnya menjadi sebanyak pasir di pantai dan bintang di langit yang tak dapat dihitung."
23 Neno la Mungu likaja kwa Yeremia, likisema,
TUHAN berkata kepadaku,
24 Hamkuzingatia walichotangaza watu hawa waliposema, 'Zile Familia mbili ambazo Yahwe alizichagua, sasa amezikataa'? Kwa jinsi hii hii waliwapuuza watu wangu, wakisema kwamba si taifa tena katika macho yao.
"Sudahkah kauperhatikan apa yang dikatakan orang terhadap Israel dan Yehuda? Mereka berkata bahwa Aku telah membuang kedua bangsa yang telah Kupilih itu. Itu sebabnya mereka memandang rendah umat-Ku, dan tidak lagi menganggap mereka sebagai suatu bangsa.
25 Mimi, Yahwe, nasema hivi, 'Kama sijalithibitisha agano la mchana na usiku, na kama sijaziweka sheria za mbingu na dunia,
Tapi sebagaimana Aku, TUHAN, telah membuat suatu ikatan perjanjian dengan siang dan malam, dan membuat hukum yang mengatur langit dan bumi,
26 basi nitawakataa uzao wa Yakobo na Daudi mtumishi wangu, na nisilete mtu kutoka kati yao wa kutawala juu ya uzao wa Abrahamu, Isaka, na Yakobo. Kwa maana nitawarudisha wafubgwa wao na kuonesha huruma kwao.”'
begitu juga Aku akan tetap memegang perjanjian-Ku dengan keturunan Yakub dan dengan hamba-Ku Daud. Seorang dari keturunan Daud akan Kupilih untuk memerintah keturunan Abraham, Ishak, dan Yakub. Aku akan berbelaskasihan kepada umat-Ku, dan membuat mereka makmur lagi."

< Yeremia 33 >