< Yeremia 32 >

1 Neno likaja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe katika mwaka wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na nane wa Nebukadreza.
LEUM GOD El kaskas nu sik in yac se aksingoul ke Zedekiah el tokosra lun Judah, su pa yac aksingoul oalkosr ke Nebuchadnezzar el tokosra lun Babylonia.
2 Katika wakati huo, jeshsi la mfalme wa Babeli lilikuwa limeuzunguka Yerusalemu, na Nehemia nabii alikuwwa amefungwa katika uwanja wa walinzi katika nyumba ya mfalme wa Yuda.
In pacl sac, un mwet mweun lun tokosra lun Babylonia elos kuhlusya acn Jerusalem, ac nga kauli in kalkal lun mwet san inkul sin tokosra.
3 Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemfunga na kusema, “Kwa nini unatabiri na kusema, 'Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kuweka mji huu katika mikono ya mfalme wa Babeli, na atauteka.
Tokosra Zedekiah el kaliyuwi we ke sripen nga fahkak mu LEUM GOD El fahk, “Nga fah lela tokosra Babylonia in sruokya siti se inge,
4 Sedekia mfalme wa Yuda hatapona kutoka kwenye mikono ya Wakaldayo, kwa maana hakika atatiwa katika mkono wa mfalme wa Babeli. Mdomo wake utazumzia kwenye mdomo wa mfalme, na macho yake yatayaona macho ya mfalme.
ac Tokosra Zedekiah el fah tia ku in kaingla. Ac fah itukyang el nu inpoun tokosra Babylonia. Eltal fah ngetani sie sin sie, ac sramsram.
5 Atampeleka Sedekia Babeli, na atabaki huko hadi nimuadhibu—hili ni tangazo la Yahwe. Ingawa unapigana dhidi ya Wakaldayo, hautafanikiwa.”
Ac fah utukla Zedekiah nu Babylonia, ac el fah mutana we nwe ke nga sulela ma fal in orek nu sel. El finne mweuni mwet Babylonia, el ac fah tiana kutangla. Nga, LEUM GOD, pa fahk ma inge.”
6 Yeremia akasema, “Neno la Yahwe likaja kwangu, likisema, Angalia, Hanameli mwana wa Shalumu mjomba wako anakuja kwako na atasema,
LEUM GOD El fahk nu sik lah
7 “Linunue shamba langu ambalo liko katika Anathothi kwa ajili yako, kwa maana haki ya kununua ni yako.””
Hanamel, wen natul Shallum su matu lukel papa, el ac tuku nu yuruk ac siyuk nga in molela ima se lal in acn Anathoth in facl sin Benjamin, mweyen nga pa sou fototo oemeet nu sel, ac oasr suwohs luk in molela ima sac luk.
8 Kisha, kama Yahwe alivyotangaza, Hanameli, mwana wa mjomba wangu, akaja kwangu katika uwanja wa walinzi, na akasema kwangu, 'Linunue shamba langu kwa ajili yako ambalo liko Anathothi katika nchi ya Benyamini, kwa maana haki ya urithi ni ya kwako, na haki ya kulinunua ni yako. Linunue kwa ajili yako.' Kisha nilijua kuwa hili lilikuwa neno la Yahwe.
Na oana ke LEUM GOD El fahk ah, Hanamel el tuku nu yuruk ke inkul lun tokosra, ac siyuk ngan molela ima sac. Ke ma inge nga etu lah pwaye LEUM GOD El kaskas nu sik.
9 Kwa hiyo nililinua shamba katika Anathothi kutoka kwa Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na nilipima fedha kwa ajili yake, shekeli kumi na saba katika uzito.
Na nga molela ima sac sel Hanamel, ac pauniya molo ah, su oasr ke ipin silver singoul itkosr.
10 Kisha niliandika katika barua na kuitia muhuri, na kulikuwa na mashadi wakaishuhudia. Kisha nikampa fedha katika mizani.
Nga sainiya inek ke pwepu in kuka acn, ac siliya ye mutun mwet loh, na nga pauniya molo ah ke mwe paun.
11 Kisha nikaichukua hati ya manunuzi ambayo ilikuwa imepigwa muhuri, kwa kuifuata amri na taratibu, na kama ilivyo ada.
Nga eis pwepu luo ma simla oakwuk nukewa ke acn kukala sac — sie oasr sil kac, ac sie wangin sil kac —
12 Ile barua nikampa Baruku mwana wa Neria wa Maaseya mbele ya Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na mashahidi waliotia sahihi kwenye barua iliyopigwa muhuri, na mbele ya Wayahudi wote waliokaa katika uwanja wa walinzi.
ac nga sang pwepu inge nu sel Baruch, wen natul Neriah su ma natul Mahseiah. Nga oru ma inge nukewa ye mutal Hanamel ac ye mutun mwet loh su wi pac sain inelos ke pwepu in kuka sac, oayapa ye mutun mwet su wi muta inkul lun tokosra.
13 Kwa hiyo nikampa amri Baruku mbele yao. Nilisema,
Ye mutalos nukewa nga fahk nu sel Baruch,
14 Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Chukua nyaraka hizi, vyote hati hii ya manunuzi iliyopigwa muhuri na nakala zisizopigwa muhuri za manunuzi, na uziweke katika chungu cha udongo ili vidumu kwa muda mrefu.
“LEUM GOD Kulana, God lun Israel, El sap kom in eis pwepu inge, kewana ma siliyuki ac ma wangin sil kac, ac in filiya in sie sufa eot tuh in ku in oan kawil nu ke yac puspis fahsru.
15 Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nyumba, mashamba, na mashamba ya mizabibu vitanunuliwa tena katika nchi hii.
LEUM GOD Kulana, God lun Israel, El fahk mu lohm, ima, ac nien grape fah sifilpa kukakinyuk in facl se inge.”
16 Baada ya kumpa Baruki mwana wa Neria ile hati ya manunuzi, nikaomba kwa Yahwe nikasema,
Tukun nga sang pwepu in kuka sac nu sel Baruch, na nga pre,
17 Ole, Bwana Yahwe! Angalia! Wewe peke yako umezitengeneza mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulioinuka. Hakuna kitu ambacho ukisema kwako ni kigumu sana kukifanya.
“LEUM GOD Fulatlana, kom orala faclu ac kusrao ke ku lulap lom. Wanginna ma upa nu sum.
18 Wewe huonesha agano la uaminifu kwa maelfu na kumimina makosa ya wanadamu katika mapaja ya watoto wao baada yao. Wewe ni Mungu mkuu na mwenye nguvu.
Kom akkalemye lungse kawil lom nu sin tausin fwil, tusruktu kom oayapa kai mwet ke sripen ma koluk lun papa tumalos ac nina kialos. Kom sie God fulat ac ku. Kom LEUM GOD Kulana.
19 Wewe ni mkuu katika hekima na una nguvu katika matendo, kwa maana macho yako yanaona njia zote za watu, ili kumlipa kila mtu stahiki ya matendo yake.
Kom oru lemlem lalmwetmet ac oru orekma usrnguk ac kulana. Kom liye ma nukewa ma mwet uh oru, ac kom sang nu selos fal nu ke orekma lalos.
20 Ulifanya ishara na maajabu katika nchi ya Misiri. Hata leo hapa Israeli na kati ya wanadamu wengine wote, umelifanya jina lako kuwa maarufu.
Pacl loes somla kom orek mwenmen ac ma usrnguk in acn Egypt, ac kom srakna oru nwe misenge in acn Israel ac inmasrlon mutunfacl saya nukewa. Inge eteyuk kom yen nukewa.
21 Kwa maana uliwanunua watu wako Israeli kwa ishira na maajabu, kwa mkono hodari, kwa mkono ulioinuka, na kwa hofu kuu.
Ke mwenmen ac usrnguk ma aksangengye mwet lokoalok lasr, kom orekmakin ku lulap lom in use mwet lom liki facl Egypt.
22 Kisha uliwapa nchi hii—ambayo uliapa kwa babu zao kwamba utawapa—nchi itiririkayo maziwa na asali.
Kom sang nu selos acn mut ac kasrup fohk we, oana kom tuh wulela nu sin mwet matu lalos.
23 Hivyo walingia na kuimiliki. Lakini hawakuitii sauti yako wala kuishi kwa kuitii sheria yako. Hawakufanya chochote ulichowaamuru kufanya, kwa hiyo umeleta juu yao majanga haya yote.
Tusruktu ke elos utyak nu in facl se inge ac sruokya tuh in ma lalos, elos tuh tia akos ma sap lom, ku moul fal nu ke mwe luti lom. Elos tia oru kutena ma kom sapkin nu selos, pwanang kom use mwe ongoiya inge nukewa nu faclos.
24 Angalia! Urefu wa maboma haya umefika hadi kwenye mji ili kuuteka. Kwa sababu ya upanga, njaa, na tauni, mji umetiwa kwenye mikono ya Wakaldayo wanaopigana dhidi yake. Kwa maana ulichosema kitatokea sasa kinatokea, na ona, unatazama.
“Liye, mwet Babylonia elos elosak tari acn in fan lalos nu fin pot uh, ac inge elos mweuni. Ke sripen mweun, sracl, ac mas upa, elos ac sruokya siti uh. Kom ku in liye lah ma kom tuh fahk ah nufon akpwayeiyuk.
25 Kisha wewe mwenyewe uliniambia, “Nunua shamba kwa fedha kwa ajili yako na mashahidi wameshuhudia, ingawa mji huu unatiwa mikononi mwa Wakaldayo.””
Tusruktu, LEUM GOD Fulatlana, kom pa sapkin nga in molela ima sac ye mutun mwet loh, siti uh finne apkuran in sruhu sin mwet Babylonia.”
26 Neno la Mungu likaja kwa Yeremia, likisema,
Na LEUM GOD El fahk nu sik,
27 “Angalia! Mimi ni Yahwe, Mungu wa wanadamu wote. Kuna kitu cho chote kigumu sana kwangu kukifanya?
“Nga LEUM GOD, God lun mwet nukewa faclu. Wanginna ma upa nu sik.
28 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi, 'Ona, niko karibu kuutia mji huu kwenye mikono ya Wakaldayo na Nebukadreza, mfalme wa Babeli. Atauteka.
Nga ac fah sang siti se inge nu inpaol Tokosra Nebuchadnezzar lun Babylonia ac un mwet mweun lal. Elos ac sruokya
29 Wakaldayo wanaopigana dhidi ya mji huu watakuja na kuwasha moto kwenye mji huu na kuunguza, pamoja na nyumba juu ya paa la watu waliomwabudu Baali na kumimina dhabihu kwa miungu wengine ili kunikasirisha.
ac esukak. Elos ac furreak nwe ke apatla, wi pacna lohm ma mwet uh akkasrkusrakyeyu we ke elos esukak mwe keng nu sel Baal fin lohm selos, ac ke elos okoala mwe kisa wain nu sin god saya.
30 Kwa maana watu wa Israeli na Yuda hakika wamekuwa watu wanaofanya maovu mbele ya macho yangu tangu ujana wao. Watu wa Israeli hakika wameniudhi kwa matendo ya mikono yao—hili ni tangazo la Yahwe.
Oe ke mutaweyen sramsram kaclos me, mutunfacl Israel ac Judah elos tiana oru lungse luk, ac elso akkasrkusrakyeyu ke ma elos oru.
31 Yahwe anatangaza kwamba mji huu umekuwa sababu ya hasira yangu na ghadhabu yangu tangu siku walipoujenga. Umekuwa hivyo hata leo. Kwa hiyo nitaundoa mbele ya uso wangu
Mwet in siti se inge elos arulana angonyu ac akkasrkusrakyeyu, mutawauk na ke tufahna musaeak siti se inge nwe misenge. Nga wotela ku sik mu nga ac sukela
32 kwa sababu ya uovu wote wa watu wa Israeli na Yuda, mambo waliyofanya ili kunichukiza—wao, wafalme wao, wana wa wafalme, makuhani, manabii, na kila mtu katika Yuda na wakaaji wa Yerusalemu.
ke sripen ma koluk nukewa ma orekla sin mwet Judah ac Jerusalem, weang pac tokosra, mwet kol, mwet tol, ac mwet palu lalos.
33 Wamenigeuzia migongo yao badala ya nyuso zao, ingawa niliwafundisha kwa furaha. Nilijitahidi kuwafundisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyenisikiliza ili kupokea marekebisho.
Elos totulikiyula, ac nga nwe kwafeang in lotelos elos tiana porongeyu ku eis mwe luti luk.
34 Walisimamisha sanamu zao za ajabu katika nyumba inayoitwa kwa jina langu, ili kunitia unajisi.
Elos oru nwe ke na elos filiya pac ma sruloala srungayuk lalos uh in Tempul ma musaiyukla tuh in nien alu nu sik, ouinge elos akfohkfokyela.
35 Wakazijenga sehemu za juu katika Bonde la Beni Hinomu ili kuwatia katika moto wana wao na binti zao kwa ajili ya Moleki. Mimi sikuwaagiza. Sikuweka akilini mwangu kamwe kwamba watafanya mambo maovu na kwa hiyo kuwasabisha Yuda watende dhambi.
Elos etoak loang nu sel Baal ke Infahlfal Hinnom in kisakin wen ac acn natulos nu sel Molech, god lalos. Nga tiana sapkin elos in oru ma inge, ac nga tia pacna nunku mu elos ac ku in oru ouiya inge, in tuh pwanang mwet Judah elos oru ma koluk.”
36 Kwa hiyo sasa, Mimi, Yahwe, Mungu wa Israeli, kuhusu mji huu ninasema hivi, 'mji ambao mnasema, 'Umetiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli kwa upanga, njaa, na pigo.'
LEUM GOD lun Israel El fahk nu sik, “Jeremiah, mwet uh fahk mu mweun, sracl, ac mas upa ac oru siti se inge in itukyang nu inpoun tokosra lun Babylonia. Inge, porongo pac ma nga ac fahk uh.
37 Ona, niko karibu kuwakusanya kutoka kila nchi nilikowapeleka katika hasira yangu, ghadhabu, hasira kuu. Niko karibu kuwarudisha kwenye sehemu hii na kuwawezesha kuishi katika usalama.
Nga ac fah eisani mwet uh liki mutunfacl nukewa ma nga akfahsryeloselik nu we ke sripen mulat ac kasrkusrak luk, ac nga ac fah folokunulosme nu in acn se inge, ac oru tuh elos in mutana we ac tia fosrnga.
38 Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
Elos ac fah mwet luk, ac nga ac fah God lalos.
39 Nitawapa moyo mmjoa na na njia moja ya kuniheshimu kila siku ili kwamba yawepo mema kwa ajili yao na uzao wao baada yao.
Nga fah sang nu selos sripa sefanna nu ke moul lalos: in akfulatyeyu pacl nukewa, tuh in wo nu selos sifacna ac oayapa nu sin fwilin tulik natulos.
40 Kisha nitafanya pamoja nao agano la milele, ili nisiache kufanya mema kwa ajili yao. nitajiwekea heshima katika mioyo yao, ili kwamba wasiniache.
Nga fah oru sie wuleang yorolos su ma na nwe tok. Nga fah tiana tui in oru ma wo nu selos, ac nga fah oru elos in sangeng sik ke insialos nufon tuh elos fah tiana sifil forla likiyu.
41 Kisha nitajifurahisha katika kufanya mema kwao. Kwa uaminifu nitawapanda katika anchi hii kwa moyo wangu wote na maisha yangu yoye.
Nga fah arulana insewowo in oru ma wo nu selos, ac nga fah oakelosi in facl se inge nwe tok.
42 Kwa amaana Yahwe anasema hivi, 'Kama tu nilivyoyaleta majanga haya makubwa yote juu ya watu hawa, hivyo hivyo nitaleta juu yao mambo mema niliyosema kwamba nitafanya kwa ajili yao.
“In oana ke nga tuh sang mwe ongoiya se inge nu fin mwet inge, nga fah oayapa sang nu selos ma wo nukewa ma nga wulela kac.
43 Basi mashamba yatanunuliwa katika nchi hii, ambayo mnaisema, “Hii ni nchi iliyoharibiwa, isiyo na mwanadamu wala mnyama. Imetiwa mikononi mwa Wakaldayo”
Mwet uh fahk mu acn se inge ac fah oana sie acn mwesis ma wangin mwet ku ma orakrak muta we, ac lah ac mau itukyang nu inpoun mwet Babylonia. Tusruktu acn in ima ac fah sifilpa kukakinyuk ac moliyuk in acn se inge.
44 Watanunua mashamba kwa fedha na kuandika katika barua zilizopigwa muhuri. Watawakusanya mashahidi katika nchi ya Benyamini, wote kuzunguka Yerusalemu na miji ya Yuda katika miji ya nchi yenye vilima, na katika nchi tambarare, na katika miji ya Negebu. Kwa maana nitawarejesha wafungwa wao—hili ni tangazo la Yahwe.”'
Mwet uh ac molela acn, ac pwepu kac ac fah sainiyuki ac siliyuki ye mutun mwet loh. Ma inge ac fah orek in facl sin Benjamin, in siti srisrik ma rauneak Jerusalem, inkul srisrik lun Judah, yen tohktok uh, pe eol uh, ac layen eir in Judah. Nga fah folokunla mwet uh nu in facl selos. Nga, LEUM GOD, pa fahk ma inge.”

< Yeremia 32 >