< Yeremia 32 >

1 Neno likaja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe katika mwaka wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na nane wa Nebukadreza.
La parole qui fut adressée à Jérémie par l'Éternel, la dixième année de Sédécias, roi de Juda: c'était la dix-huitième année de Nébucadnézar.
2 Katika wakati huo, jeshsi la mfalme wa Babeli lilikuwa limeuzunguka Yerusalemu, na Nehemia nabii alikuwwa amefungwa katika uwanja wa walinzi katika nyumba ya mfalme wa Yuda.
Or l'armée du roi de Babel assiégeait alors Jérusalem, et Jérémie, le prophète, était enfermé dans le vestibule de la prison qui était dans la maison du roi de Juda,
3 Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemfunga na kusema, “Kwa nini unatabiri na kusema, 'Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kuweka mji huu katika mikono ya mfalme wa Babeli, na atauteka.
où l'avait enfermé Sédécias, roi de Juda, en disant: Pourquoi prophétises-tu disant: « Ainsi parle l'Éternel: Voici, je vais livrer cette ville aux mains du roi de Babel, pour qu'il s'en empare,
4 Sedekia mfalme wa Yuda hatapona kutoka kwenye mikono ya Wakaldayo, kwa maana hakika atatiwa katika mkono wa mfalme wa Babeli. Mdomo wake utazumzia kwenye mdomo wa mfalme, na macho yake yatayaona macho ya mfalme.
et Sédécias, roi de Juda, n'échappera pas aux mains des Chaldéens, mais il sera livré aux mains du roi de Babel, et il lui parlera bouche à bouche, et ses yeux rencontreront ses yeux;
5 Atampeleka Sedekia Babeli, na atabaki huko hadi nimuadhibu—hili ni tangazo la Yahwe. Ingawa unapigana dhidi ya Wakaldayo, hautafanikiwa.”
et il conduira Sédécias à Babel, où il demeurera jusqu'à ce que je le visite, dit l'Éternel. Si vous vous battez contre les Chaldéens, vous n'aurez point de succès »?
6 Yeremia akasema, “Neno la Yahwe likaja kwangu, likisema, Angalia, Hanameli mwana wa Shalumu mjomba wako anakuja kwako na atasema,
Alors Jérémie dit: La parole de l'Éternel m'a été adressée en ces mots:
7 “Linunue shamba langu ambalo liko katika Anathothi kwa ajili yako, kwa maana haki ya kununua ni yako.””
Voici, Hanaméel, fils de Sallum ton oncle, s'approchera de toi pour te dire: Achète mon champ qui est à Anathoth, car tu as le droit de retrait pour le rachat.
8 Kisha, kama Yahwe alivyotangaza, Hanameli, mwana wa mjomba wangu, akaja kwangu katika uwanja wa walinzi, na akasema kwangu, 'Linunue shamba langu kwa ajili yako ambalo liko Anathothi katika nchi ya Benyamini, kwa maana haki ya urithi ni ya kwako, na haki ya kulinunua ni yako. Linunue kwa ajili yako.' Kisha nilijua kuwa hili lilikuwa neno la Yahwe.
Et Hanaméel, fils de mon oncle, s'approcha de moi selon la parole de l'Éternel, dans le vestibule de la prison, et me dit: Achète mon champ qui est à Anathoth, dans le pays de Benjamin, car tu as le droit de succession et de retrait; achète-le! Et je reconnus que c'était là la parole de l'Éternel.
9 Kwa hiyo nililinua shamba katika Anathothi kutoka kwa Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na nilipima fedha kwa ajili yake, shekeli kumi na saba katika uzito.
Et j'achetai le champ de Hanaméel, fils de mon oncle, à Anathoth, et je lui pesai le prix, sept sicles [d'or], et dix sicles d'argent.
10 Kisha niliandika katika barua na kuitia muhuri, na kulikuwa na mashadi wakaishuhudia. Kisha nikampa fedha katika mizani.
Et je consignai cela dans une lettre que je scellai; et je pris des témoins, et je pesai l'argent à la balance.
11 Kisha nikaichukua hati ya manunuzi ambayo ilikuwa imepigwa muhuri, kwa kuifuata amri na taratibu, na kama ilivyo ada.
Puis je pris la lettre d'achat, celle qui était scellée selon l'ordonnance et les statuts, et celle qui était ouverte;
12 Ile barua nikampa Baruku mwana wa Neria wa Maaseya mbele ya Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na mashahidi waliotia sahihi kwenye barua iliyopigwa muhuri, na mbele ya Wayahudi wote waliokaa katika uwanja wa walinzi.
et je remis la lettre d'achat à Baruch, fils de Nérija, fils de Mahaséïa, en présence de Hanaméel, mon parent, et en présence des témoins signataires de la lettre d'achat, et en présence de tous les Juifs assis dans le vestibule de la prison;
13 Kwa hiyo nikampa amri Baruku mbele yao. Nilisema,
et en leur présence je donnai cet ordre à Baruch:
14 Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Chukua nyaraka hizi, vyote hati hii ya manunuzi iliyopigwa muhuri na nakala zisizopigwa muhuri za manunuzi, na uziweke katika chungu cha udongo ili vidumu kwa muda mrefu.
Ainsi parle l'Éternel des armées, Dieu d'Israël: Prends ces lettres, cette lettre d'achat scellée, et cette lettre ouverte, et mets-les dans un vase de terre, afin qu'elles se conservent longtemps.
15 Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nyumba, mashamba, na mashamba ya mizabibu vitanunuliwa tena katika nchi hii.
Car ainsi parle l'Éternel des armées, Dieu d'Israël: Il sera encore acheté des maisons, et des champs, et des vignes dans ce pays-ci.
16 Baada ya kumpa Baruki mwana wa Neria ile hati ya manunuzi, nikaomba kwa Yahwe nikasema,
Et je priai l'Éternel, après avoir remis la lettre d'achat à Baruch, fils de Nérija, disant:
17 Ole, Bwana Yahwe! Angalia! Wewe peke yako umezitengeneza mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulioinuka. Hakuna kitu ambacho ukisema kwako ni kigumu sana kukifanya.
Ah! Seigneur Éternel, voici, tu as formé les Cieux et la terre par ta grande force et ton bras étendu: rien n'est trop difficile pour toi.
18 Wewe huonesha agano la uaminifu kwa maelfu na kumimina makosa ya wanadamu katika mapaja ya watoto wao baada yao. Wewe ni Mungu mkuu na mwenye nguvu.
Tu fais grâce à mille [générations] et tu fais retomber la peine du péché des pères dans le sein de leurs enfants après eux. Dieu grand et puissant, dont le nom est l'Éternel des armées,
19 Wewe ni mkuu katika hekima na una nguvu katika matendo, kwa maana macho yako yanaona njia zote za watu, ili kumlipa kila mtu stahiki ya matendo yake.
toi qui es grand en conseil et puissant en action, toi dont les yeux sont ouverts sur toutes les voies des enfants des hommes, pour rendre à chacun selon ses voies et selon le fruit de ses œuvres,
20 Ulifanya ishara na maajabu katika nchi ya Misiri. Hata leo hapa Israeli na kati ya wanadamu wengine wote, umelifanya jina lako kuwa maarufu.
toi qui fis des signes et des miracles au pays d'Egypte jusqu'à ce jour, et pour Israël, et pour d'autres hommes, et qui t'es fait un nom tel qu'[il est] aujourd'hui;
21 Kwa maana uliwanunua watu wako Israeli kwa ishira na maajabu, kwa mkono hodari, kwa mkono ulioinuka, na kwa hofu kuu.
et qui tiras du pays d'Egypte ton peuple d'Israël, avec des signes et des miracles, et d'une main forte et d'un bras étendu, et avec une grande terreur,
22 Kisha uliwapa nchi hii—ambayo uliapa kwa babu zao kwamba utawapa—nchi itiririkayo maziwa na asali.
et qui leur donnas ce pays que tu avais juré à leurs pères de leur donner, pays découlant de lait et de miel;
23 Hivyo walingia na kuimiliki. Lakini hawakuitii sauti yako wala kuishi kwa kuitii sheria yako. Hawakufanya chochote ulichowaamuru kufanya, kwa hiyo umeleta juu yao majanga haya yote.
et ils sont venus et en ont pris possession; mais ils n'ont point obéi à ta voix, ni suivi ta loi, ne pratiquant point tout ce que tu leur avais commandé de faire; et tu as fait fondre sur eux toutes ces calamités!
24 Angalia! Urefu wa maboma haya umefika hadi kwenye mji ili kuuteka. Kwa sababu ya upanga, njaa, na tauni, mji umetiwa kwenye mikono ya Wakaldayo wanaopigana dhidi yake. Kwa maana ulichosema kitatokea sasa kinatokea, na ona, unatazama.
Voici, les terrasses atteignent déjà cette ville, en sorte qu'elle sera prise, puis livrée aux mains des Chaldéens qui lui sont hostiles, par l'épée et la famine et la peste; et ce que tu as dit arrive, et voici, tu en es témoin.
25 Kisha wewe mwenyewe uliniambia, “Nunua shamba kwa fedha kwa ajili yako na mashahidi wameshuhudia, ingawa mji huu unatiwa mikononi mwa Wakaldayo.””
Et néanmoins tu m'as dit, Seigneur, Éternel: « Achète-toi un champ pour de l'argent, et prends des témoins; » et cette ville est livrée aux mains des Chaldéens!
26 Neno la Mungu likaja kwa Yeremia, likisema,
Et la parole de l'Éternel fut adressée à Jérémie en ces mots:
27 “Angalia! Mimi ni Yahwe, Mungu wa wanadamu wote. Kuna kitu cho chote kigumu sana kwangu kukifanya?
Voici, moi l'Éternel, je suis le Dieu de toute chair; y a-t-il rien de trop difficile pour moi?
28 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi, 'Ona, niko karibu kuutia mji huu kwenye mikono ya Wakaldayo na Nebukadreza, mfalme wa Babeli. Atauteka.
Aussi, ainsi parle l'Éternel: Voici, je livre cette ville aux mains des Chaldéens, et aux mains de Nébucadnézar, roi de Babel, pour qu'il s'en empare.
29 Wakaldayo wanaopigana dhidi ya mji huu watakuja na kuwasha moto kwenye mji huu na kuunguza, pamoja na nyumba juu ya paa la watu waliomwabudu Baali na kumimina dhabihu kwa miungu wengine ili kunikasirisha.
Et les Chaldéens qui font la guerre à cette ville, vont arriver, et mettre le feu à cette ville, et la brûler, ainsi que les maisons sur les toits desquelles ils ont encensé Baal, et offert des libations à d'autres dieux, afin de me provoquer.
30 Kwa maana watu wa Israeli na Yuda hakika wamekuwa watu wanaofanya maovu mbele ya macho yangu tangu ujana wao. Watu wa Israeli hakika wameniudhi kwa matendo ya mikono yao—hili ni tangazo la Yahwe.
Car les enfants d'Israël et les enfants de Juda n'ont fait que ce qui est mal à mes yeux dès leur jeunesse; car les enfants d'Israël n'ont fait que me provoquer par l'œuvre de leurs mains, dit l'Éternel,
31 Yahwe anatangaza kwamba mji huu umekuwa sababu ya hasira yangu na ghadhabu yangu tangu siku walipoujenga. Umekuwa hivyo hata leo. Kwa hiyo nitaundoa mbele ya uso wangu
car dans la colère et le courroux que cette ville me donne depuis le jour où elle fut bâtie, jusques aujourd'hui, j'ai résolu de l'ôter de ma vue,
32 kwa sababu ya uovu wote wa watu wa Israeli na Yuda, mambo waliyofanya ili kunichukiza—wao, wafalme wao, wana wa wafalme, makuhani, manabii, na kila mtu katika Yuda na wakaaji wa Yerusalemu.
à cause de tout le mal qu'ont fait les enfants d'Israël et les enfants de Juda pour me provoquer, eux, leurs rois, leurs princes, leurs sacrificateurs et leurs prophètes, et les hommes de Juda et les habitants de Jérusalem.
33 Wamenigeuzia migongo yao badala ya nyuso zao, ingawa niliwafundisha kwa furaha. Nilijitahidi kuwafundisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyenisikiliza ili kupokea marekebisho.
Et ils m'ont présenté le dos et non point le visage; dès le matin je les ai instruits et instruits; mais ils ne furent point dociles à recevoir la remontrance;
34 Walisimamisha sanamu zao za ajabu katika nyumba inayoitwa kwa jina langu, ili kunitia unajisi.
et ils ont placé leurs abominations dans la maison appelée de mon nom pour la souiller,
35 Wakazijenga sehemu za juu katika Bonde la Beni Hinomu ili kuwatia katika moto wana wao na binti zao kwa ajili ya Moleki. Mimi sikuwaagiza. Sikuweka akilini mwangu kamwe kwamba watafanya mambo maovu na kwa hiyo kuwasabisha Yuda watende dhambi.
et ils ont élevé des tertres à Baal dans la vallée des fils de Hinnom, pour offrir leurs fils et leurs filles à Moloch; ce que je n'avais point ordonné et qui ne m'était point venu dans la pensée, qu'on fît de telles horreurs pour porter Juda à pécher.
36 Kwa hiyo sasa, Mimi, Yahwe, Mungu wa Israeli, kuhusu mji huu ninasema hivi, 'mji ambao mnasema, 'Umetiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli kwa upanga, njaa, na pigo.'
Et maintenant, ainsi prononce cependant l'Éternel, Dieu d'Israël, sur cette ville dont vous dites: Elle sera livrée aux mains du roi de Babel par l'épée et la famine et la peste:
37 Ona, niko karibu kuwakusanya kutoka kila nchi nilikowapeleka katika hasira yangu, ghadhabu, hasira kuu. Niko karibu kuwarudisha kwenye sehemu hii na kuwawezesha kuishi katika usalama.
Voici, je les recueillerai de tous les pays où je les aurai dispersés dans ma colère, et dans ma fureur, et dans mon grand courroux, et je les ferai revenir en ce lieu et habiter en sécurité,
38 Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
et ils seront mon peuple, et je serai leur Dieu;
39 Nitawapa moyo mmjoa na na njia moja ya kuniheshimu kila siku ili kwamba yawepo mema kwa ajili yao na uzao wao baada yao.
et je leur donnerai un seul cœur et une seule voie pour me craindre toujours, afin d'être heureux, eux et leurs enfants après eux.
40 Kisha nitafanya pamoja nao agano la milele, ili nisiache kufanya mema kwa ajili yao. nitajiwekea heshima katika mioyo yao, ili kwamba wasiniache.
Et je leur donne cette alliance éternelle, que je ne cesserai de leur faire du bien, et je mettrai ma crainte dans leurs cœurs, afin qu'ils ne s'éloignent pas de moi.
41 Kisha nitajifurahisha katika kufanya mema kwao. Kwa uaminifu nitawapanda katika anchi hii kwa moyo wangu wote na maisha yangu yoye.
Et ma joie à leur égard sera de leur faire du bien, et je les planterai dans ce pays, véritablement, de tout mon cœur et de toute mon âme.
42 Kwa amaana Yahwe anasema hivi, 'Kama tu nilivyoyaleta majanga haya makubwa yote juu ya watu hawa, hivyo hivyo nitaleta juu yao mambo mema niliyosema kwamba nitafanya kwa ajili yao.
Car ainsi parle l'Éternel: De même que j'ai fait venir sur ce peuple tous ces grands maux, de même je ferai venir sur eux tous les biens que je leur ai promis;
43 Basi mashamba yatanunuliwa katika nchi hii, ambayo mnaisema, “Hii ni nchi iliyoharibiwa, isiyo na mwanadamu wala mnyama. Imetiwa mikononi mwa Wakaldayo”
et des champs seront achetés dans ce pays duquel vous dites: « C'est un désert sans hommes ni bestiaux, il est livré aux mains des Chaldéens; »
44 Watanunua mashamba kwa fedha na kuandika katika barua zilizopigwa muhuri. Watawakusanya mashahidi katika nchi ya Benyamini, wote kuzunguka Yerusalemu na miji ya Yuda katika miji ya nchi yenye vilima, na katika nchi tambarare, na katika miji ya Negebu. Kwa maana nitawarejesha wafungwa wao—hili ni tangazo la Yahwe.”'
on achètera des champs pour de l'argent, les lettres en seront écrites et scellées, munies du témoignage des témoins, dans le pays de Benjamin, et dans les alentours de Jérusalem, et dans les villes de Juda, et dans les villes de la montagne, et dans les villes du bas-pays, et dans les villes du Midi; car je ramènerai leurs captifs, dit l'Éternel.

< Yeremia 32 >