< Yeremia 32 >

1 Neno likaja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe katika mwaka wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na nane wa Nebukadreza.
Voici la parole adressée à Jérémie de la part de l’Eternel, dans la dixième année du règne de Sédécias, roi de Juda, qui est la dix-huitième année du règne de Nabuchodonosor,
2 Katika wakati huo, jeshsi la mfalme wa Babeli lilikuwa limeuzunguka Yerusalemu, na Nehemia nabii alikuwwa amefungwa katika uwanja wa walinzi katika nyumba ya mfalme wa Yuda.
alors que l’armée du roi de Babylone faisait le siège de Jérusalem, et que Jérémie le prophète se trouvait enfermé dans la cour de la prison, qui faisait partie du palais du roi de Juda.
3 Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemfunga na kusema, “Kwa nini unatabiri na kusema, 'Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kuweka mji huu katika mikono ya mfalme wa Babeli, na atauteka.
Sédécias, roi de Juda, l’avait incarcéré, disant: "Pourquoi prophétises-tu en ces termes: Ainsi parle le Seigneur: Je vais livrer cette ville aux mains du roi de Babylone, qui la prendra de vive force.
4 Sedekia mfalme wa Yuda hatapona kutoka kwenye mikono ya Wakaldayo, kwa maana hakika atatiwa katika mkono wa mfalme wa Babeli. Mdomo wake utazumzia kwenye mdomo wa mfalme, na macho yake yatayaona macho ya mfalme.
Sédécias, roi de Juda, n’échappera pas aux mains des Chaldéens, il tombera au pouvoir du roi de Babylone, qui lui parlera de bouche à bouche et dont les yeux verront ses yeux.
5 Atampeleka Sedekia Babeli, na atabaki huko hadi nimuadhibu—hili ni tangazo la Yahwe. Ingawa unapigana dhidi ya Wakaldayo, hautafanikiwa.”
Et l’on dirigera Sédécias sur Babylone, où il demeurera jusqu’à ce que je prenne souci de lui, dit l’Eternel. En résistant par les armes aux Chaldéens, vous ne réussirez pas."
6 Yeremia akasema, “Neno la Yahwe likaja kwangu, likisema, Angalia, Hanameli mwana wa Shalumu mjomba wako anakuja kwako na atasema,
Jérémie dit donc: "La parole de l’Eternel m’a été adressée en ces termes:
7 “Linunue shamba langu ambalo liko katika Anathothi kwa ajili yako, kwa maana haki ya kununua ni yako.””
Voici, Hanamel, fils de ton oncle Challoum, vient te trouver pour te dire: Fais l’acquisition de mon champ qui est à Anatot, car, ayant le droit de rachat, c’est à toi d’acquérir."
8 Kisha, kama Yahwe alivyotangaza, Hanameli, mwana wa mjomba wangu, akaja kwangu katika uwanja wa walinzi, na akasema kwangu, 'Linunue shamba langu kwa ajili yako ambalo liko Anathothi katika nchi ya Benyamini, kwa maana haki ya urithi ni ya kwako, na haki ya kulinunua ni yako. Linunue kwa ajili yako.' Kisha nilijua kuwa hili lilikuwa neno la Yahwe.
En effet, Hanamel, le fils de mon oncle, vint me trouver, selon la parole de l’Eternel, dans la cour de la prison et il me dit: "Achète, je t’en prie, mon champ qui est à Anatot, sur le territoire de Benjamin, car tu possèdes le droit d’héritage et de rachat; fais donc cette acquisition." Je reconnus que telle était la volonté de Dieu.
9 Kwa hiyo nililinua shamba katika Anathothi kutoka kwa Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na nilipima fedha kwa ajili yake, shekeli kumi na saba katika uzito.
J’Achetai donc à Hanamel, le fils de mon oncle, le champ situé à Anatot, et je lui en comptai le prix, sept sicles et dix pièces d’argent.
10 Kisha niliandika katika barua na kuitia muhuri, na kulikuwa na mashadi wakaishuhudia. Kisha nikampa fedha katika mizani.
J’Écrivis le contrat de vente, le scellai, et assignai des témoins, puis je pesai la somme dans une balance.
11 Kisha nikaichukua hati ya manunuzi ambayo ilikuwa imepigwa muhuri, kwa kuifuata amri na taratibu, na kama ilivyo ada.
Puis je pris le contrat de vente, l’acte scellé contenant la loi et les clauses, et l’acte ouvert;
12 Ile barua nikampa Baruku mwana wa Neria wa Maaseya mbele ya Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na mashahidi waliotia sahihi kwenye barua iliyopigwa muhuri, na mbele ya Wayahudi wote waliokaa katika uwanja wa walinzi.
et je remis le contrat de vente à Baruch, fils de Néria, fils de Mahséia, en présence de Hanamel, mon cousin, en présence des témoins qui avaient signé le contrat de vente, en présence de tous les Judéens qui se trouvaient dans la cour de la prison.
13 Kwa hiyo nikampa amri Baruku mbele yao. Nilisema,
Et devant eux, je donnai à Baruch les instructions suivantes:
14 Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Chukua nyaraka hizi, vyote hati hii ya manunuzi iliyopigwa muhuri na nakala zisizopigwa muhuri za manunuzi, na uziweke katika chungu cha udongo ili vidumu kwa muda mrefu.
"Ainsi parle l’Eternel-Cebaot, Dieu d’Israël: Prends ces écrits, le contrat de vente, l’acte scellé et l’acte ouvert, et dépose-les dans un vase d’argile, afin qu’ils se conservent de longs jours.
15 Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nyumba, mashamba, na mashamba ya mizabibu vitanunuliwa tena katika nchi hii.
Car, ainsi parle l’Eternel-Cebaot, Dieu d’Israël: De nouveau, on achètera, dans ce pays, des maisons, des champs et des vignes."
16 Baada ya kumpa Baruki mwana wa Neria ile hati ya manunuzi, nikaomba kwa Yahwe nikasema,
Après avoir remis le contrat de vente à Baruch, fils de Néria, j’adressai à l’Eternel la prière suivante:
17 Ole, Bwana Yahwe! Angalia! Wewe peke yako umezitengeneza mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulioinuka. Hakuna kitu ambacho ukisema kwako ni kigumu sana kukifanya.
"O Seigneur-Elohim! c’est toi qui as fait le ciel et la terre par ta grande force et ton bras puissant; rien n’est trop difficile pour toi.
18 Wewe huonesha agano la uaminifu kwa maelfu na kumimina makosa ya wanadamu katika mapaja ya watoto wao baada yao. Wewe ni Mungu mkuu na mwenye nguvu.
Tu étends ta bienveillance jusqu’à la millième génération, tu fais aussi retomber la faute des pères sur la tête de leurs descendants; Dieu grand et fort, qui te nommes l’Eternel-Cebaot!
19 Wewe ni mkuu katika hekima na una nguvu katika matendo, kwa maana macho yako yanaona njia zote za watu, ili kumlipa kila mtu stahiki ya matendo yake.
Grand dans le dessein, souverain dans l’exécution, tes yeux sont ouverts sur toutes les voies des humains, pour rémunérer chacun selon ses voies et selon le mérite de ses oeuvres.
20 Ulifanya ishara na maajabu katika nchi ya Misiri. Hata leo hapa Israeli na kati ya wanadamu wengine wote, umelifanya jina lako kuwa maarufu.
Tu as fait éclater dans le pays d’Egypte, et pour Israël et pour les autres hommes, des signes et des prodiges dont la mémoire dure encore, et tu as illustré ton nom comme cela se voit aujourd’hui.
21 Kwa maana uliwanunua watu wako Israeli kwa ishira na maajabu, kwa mkono hodari, kwa mkono ulioinuka, na kwa hofu kuu.
Tu as fait sortir ton peuple Israël du pays d’Egypte, au moyen de signes et de prodiges, d’une main puissante et d’un bras vainqueur, au milieu d’une terreur profonde.
22 Kisha uliwapa nchi hii—ambayo uliapa kwa babu zao kwamba utawapa—nchi itiririkayo maziwa na asali.
Tu leur donnas ce pays que tu avais juré à leurs pères de leur donner, pays ruisselant de lait et de miel.
23 Hivyo walingia na kuimiliki. Lakini hawakuitii sauti yako wala kuishi kwa kuitii sheria yako. Hawakufanya chochote ulichowaamuru kufanya, kwa hiyo umeleta juu yao majanga haya yote.
Ils y entrèrent, ils en prirent possession; mais ils n’écoutèrent point ta voix, ils ne suivirent point ta doctrine, refusant de faire tout ce que tu leur avais prescrit; alors tu suscitas contre eux toute cette calamité.
24 Angalia! Urefu wa maboma haya umefika hadi kwenye mji ili kuuteka. Kwa sababu ya upanga, njaa, na tauni, mji umetiwa kwenye mikono ya Wakaldayo wanaopigana dhidi yake. Kwa maana ulichosema kitatokea sasa kinatokea, na ona, unatazama.
Maintenant, les terrasses avancent jusqu’à la ville, pour la prendre d’assaut; déjà elle est à la merci des Chaldéens qui l’assiègent, en proie qu’elle est au glaive, à la famine et à la peste; ce que tu as annoncé est arrivé, et tu en es témoin.
25 Kisha wewe mwenyewe uliniambia, “Nunua shamba kwa fedha kwa ajili yako na mashahidi wameshuhudia, ingawa mji huu unatiwa mikononi mwa Wakaldayo.””
Et pourtant, Seigneur-Elohim, tu me dis: Achète-toi ce champ, à prix d’argent, et constitue des témoins, alors que cette ville est à la merci des Chaldéens!"
26 Neno la Mungu likaja kwa Yeremia, likisema,
Mais l’Eternel répondit à Jérémie en ces termes:
27 “Angalia! Mimi ni Yahwe, Mungu wa wanadamu wote. Kuna kitu cho chote kigumu sana kwangu kukifanya?
"Certes, je suis l’Eternel, Dieu de toute chair: est-il pour moi rien de trop difficile?
28 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi, 'Ona, niko karibu kuutia mji huu kwenye mikono ya Wakaldayo na Nebukadreza, mfalme wa Babeli. Atauteka.
Voici donc ce que dit l’Eternel: Je vais livrer cette ville aux mains des Chaldéens et aux mains de Nabuchodonosor, roi de Babylone, qui la prendra d’assaut.
29 Wakaldayo wanaopigana dhidi ya mji huu watakuja na kuwasha moto kwenye mji huu na kuunguza, pamoja na nyumba juu ya paa la watu waliomwabudu Baali na kumimina dhabihu kwa miungu wengine ili kunikasirisha.
Les Chaldéens qui assiègent cette ville y entreront, ils la mettront à feu et la réduiront en cendres avec les maisons sur les terrasses desquelles on brûlait de l’encens à Baal et faisait des libations à des dieux étrangers, avec l’intention de me contrarier.
30 Kwa maana watu wa Israeli na Yuda hakika wamekuwa watu wanaofanya maovu mbele ya macho yangu tangu ujana wao. Watu wa Israeli hakika wameniudhi kwa matendo ya mikono yao—hili ni tangazo la Yahwe.
Car les enfants d’Israël et les enfants de Juda se sont plu, depuis leur jeune âge, à faire ce qui est mal à mes yeux; les enfants d’Israël n’ont su que m’offenser par l’oeuvre de leurs mains, dit l’Eternel.
31 Yahwe anatangaza kwamba mji huu umekuwa sababu ya hasira yangu na ghadhabu yangu tangu siku walipoujenga. Umekuwa hivyo hata leo. Kwa hiyo nitaundoa mbele ya uso wangu
Cette ville a provoqué ma colère et mon indignation, depuis le jour de sa fondation jusqu’à ce jour, au point que je veux la faire disparaître de mes yeux,
32 kwa sababu ya uovu wote wa watu wa Israeli na Yuda, mambo waliyofanya ili kunichukiza—wao, wafalme wao, wana wa wafalme, makuhani, manabii, na kila mtu katika Yuda na wakaaji wa Yerusalemu.
en raison de la perversité des enfants d’Israël et des enfants de Juda, qui ont agi de façon à m’irriter, eux, leurs rois, leurs grands, leurs prêtres et leurs prophètes, de même que tous les gens de Juda et les habitants de Jérusalem.
33 Wamenigeuzia migongo yao badala ya nyuso zao, ingawa niliwafundisha kwa furaha. Nilijitahidi kuwafundisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyenisikiliza ili kupokea marekebisho.
Ils ont tourné vers moi leur nuque et non leur visage; bien que sans cesse, chaque matin, on cherchât à les instruire, ils n’ont accepté aucune remontrance.
34 Walisimamisha sanamu zao za ajabu katika nyumba inayoitwa kwa jina langu, ili kunitia unajisi.
Jusque dans ma maison qui porte mon nom ils ont installé leurs infâmes divinités, de façon à la souiller.
35 Wakazijenga sehemu za juu katika Bonde la Beni Hinomu ili kuwatia katika moto wana wao na binti zao kwa ajili ya Moleki. Mimi sikuwaagiza. Sikuweka akilini mwangu kamwe kwamba watafanya mambo maovu na kwa hiyo kuwasabisha Yuda watende dhambi.
Ils ont édifié les hauts-lieux de Baal, ceux de la vallée de Hinnom, ils ont fait passer par le feu leurs fils et leurs filles en l’honneur de Moloch, acte abominable que je ne leur ai point prescrit et que ma pensée n’a jamais conçu, et ainsi Juda a été entraîné au mal."
36 Kwa hiyo sasa, Mimi, Yahwe, Mungu wa Israeli, kuhusu mji huu ninasema hivi, 'mji ambao mnasema, 'Umetiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli kwa upanga, njaa, na pigo.'
Et maintenant, malgré tout, ainsi parle le Seigneur, Dieu d’Israël, au sujet de cette ville dont vous dites qu’elle est à la merci du roi de Babylone, épuisée qu’elle est par le glaive, la famine et la peste:
37 Ona, niko karibu kuwakusanya kutoka kila nchi nilikowapeleka katika hasira yangu, ghadhabu, hasira kuu. Niko karibu kuwarudisha kwenye sehemu hii na kuwawezesha kuishi katika usalama.
"Moi, je vais les rassembler de toutes les contrées où je les aurai relégués dans ma colère, dans mon indignation et ma fureur extrême, les réinstaller dans ces lieux-ci et leur assurer un séjour paisible.
38 Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
Ils seront mon peuple, et je serai leur Dieu.
39 Nitawapa moyo mmjoa na na njia moja ya kuniheshimu kila siku ili kwamba yawepo mema kwa ajili yao na uzao wao baada yao.
Je leur donnerai un seul et même coeur et une même direction, afin qu’ils me craignent leur vie durant, pour leur propre bien et le bien de leurs enfants après eux.
40 Kisha nitafanya pamoja nao agano la milele, ili nisiache kufanya mema kwa ajili yao. nitajiwekea heshima katika mioyo yao, ili kwamba wasiniache.
Et je conclurai avec eux un pacte durable, leur promettant de ne pas les abandonner et de les combler de bienfaits; je disposerai leur coeur à me vénérer et à ne pas s’écarter de moi.
41 Kisha nitajifurahisha katika kufanya mema kwao. Kwa uaminifu nitawapanda katika anchi hii kwa moyo wangu wote na maisha yangu yoye.
Je prendrai plaisir à les rendre heureux et je les implanterai solidement dans ce pays, de tout mon coeur et de toute mon âme."
42 Kwa amaana Yahwe anasema hivi, 'Kama tu nilivyoyaleta majanga haya makubwa yote juu ya watu hawa, hivyo hivyo nitaleta juu yao mambo mema niliyosema kwamba nitafanya kwa ajili yao.
Oui, voici ce que dit le Seigneur: "Aussi bien que j’ai suscité à ce peuple toute cette grande calamité, je lui susciterai tout le bonheur que je lui annonce.
43 Basi mashamba yatanunuliwa katika nchi hii, ambayo mnaisema, “Hii ni nchi iliyoharibiwa, isiyo na mwanadamu wala mnyama. Imetiwa mikononi mwa Wakaldayo”
On achètera des champs dans ce pays qui, à vous entendre, est ruiné, vide d’hommes et d’animaux, livré au pouvoir des Chaldéens.
44 Watanunua mashamba kwa fedha na kuandika katika barua zilizopigwa muhuri. Watawakusanya mashahidi katika nchi ya Benyamini, wote kuzunguka Yerusalemu na miji ya Yuda katika miji ya nchi yenye vilima, na katika nchi tambarare, na katika miji ya Negebu. Kwa maana nitawarejesha wafungwa wao—hili ni tangazo la Yahwe.”'
On y achètera des champs à prix d’argent, on dressera des actes, on les scellera, on assignera des témoins; cela se verra dans le canton de Benjamin, aux alentours de Jérusalem, dans les villes de Juda, dans les villes de la montagne, dans les villes de la plaine et dans les villes du Midi, car je ramènerai leurs captifs," dit le Seigneur.

< Yeremia 32 >